Monday, March 31, 2008

Ahmed Khalfan Ghailani atashitakiwa Marekani!



Mnakumbuka yale mshamubulizi kwenye ubalozi wa Marekani, mjini Dar es Salaam mwaka 1998? Yalisababisha vifo vya watu 11 na mamia ya watu waliumia.

Sasa, leo serikali ya Marekani imetangaza kuwa Ahmed Khalfan Ghailani, mwenye asili ya Pemba atashitakiwa kuhusiano na mashambulizi hayo. Ghailani amekuwa akishikiliwa huko Guantanamo Bay muda mrefu sasa.

***********************************************************************************

3-31-08

SAN JUAN, Puerto Rico - The U.S. has charged a Guantanamo prisoner with war crimes for the deadly 1998 al-Qaida attack on the American embassy in Tanzania.

The Pentagon said Monday that Ahmed Khalfan Ghailani could receive the death penalty if convicted by a military tribunal at the U.S. military prison.

The charges against Ghailani include murder and attacking civilians for his alleged role in a bombing that killed 11 people and wounded hundreds.

He is the 15th person charged in the military tribunals at Guantanamo, where trials are expected to get under way in late spring or early summer.

****************************************************************************

Kutoka FBI:

Ahmed Khalfan Ghailani

From The FBI

Wanted by the FBI: Murder of U.S. Nationals outside the United States. Conspiracy to murder U.S. Nationals outside the United States. Attack on a federal facility resulting in death.

Description: Born in Zanzibar, Tanzania, Ahmed Ghailani is a five-foot three-inch to five-foot four-inch tall male who weighs 150 pounds. He has black hair and brown eyes and a dark complexion. He has used multiple dates of birth: March 14, 1974, April 13, 1974, April 14, 1974, and August 1, 1970. He speaks Swahili.

Aliases: Ahmad Khalafan Ghilani, Ahmed Khalfan Ahmed, Abubakar K. Ahmed, Abubakary K. Ahmed, Abubakar Ahmed, Abu Bakr Ahmad, A. Ahmed, Ahmed Khalfan, Ahmed Khalfan Ali, Abubakar Khalfan Ahmed, Ahmed Ghailani, Ahmad Al Tanzani, Abu Khabar, Abu Bakr, Abubakary Khalfan Ahmed Ghailani, Mahafudh Abubakar Ahmed Abdallah Hussein, Shariff Omar Mohammed, "Foopie", "Fupi", "Ahmed the Tanzanian"

Caution: Ahmed Ghailani was indicted in the Southern District of New York, on December 16, 1998, for his alleged involvement in the August 7, 1998, bombings of the United States Embassies in Dar es Salaam, Tanzania, and Nairobi, Kenya. He should be considered armed and dangerous.

Reward: The Rewards For Justice Program, United States Department of State, is offering a reward of up to $5 million for information leading directly to the apprehension or conviction of Ahmed Ghailani.

What to Do: If you have any information concerning this case, please contact your Local FBI Office or the nearest American Embassy or Consulate.

Bongo na Face of Tanzania










Yafuatayo ni maoni ya mdau.


Imeandikwa na Dada Tanzania


Bongo na Face of Tanzania “mimi kisura najitambua”

Je kisura atakayeshinda Tanzania atakubaliwa South Africa au……?

Mambo vipi wadau wenzangu,na Chemi Che Mponda pole na kazi na hongera kwa kupata shavu la kuwa kwenye filamu ya ukweli.Huo ni mwanzo na unajitengenezea profile nzuri ambayo itakusaidia hapo baadae.

Haya wapedwa,wale mlio Tanzania nafikiri wengi wenu mmepata nafasi ya kuangalia mchakato mzima wa kinyang’anyilo cha kumtafuta kisura wa Tanzania unaoendelea hapa home,Mshindi atapata mkataba huko kwa mzee Mandiba South Africa.(mkataba na moja ya kampuni ya mitindo SA)

Kwanza kabla ya kuelezea zaidi napenda kuwapongeza au kumpongeza muandaaji Irene Kiwia kwa ubunifu na kujiamini kwa hali ya juu kufanya kitu kama hicho.

Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa hayo mashindano katika luninga yetu ya Taifa,toka walipoanza mikoani na hadi hapa Dar es salaam. Kwa kweli walifanya kazi ngumu sana na kwa sasa hawa washiriki wamepatikana na wako kambi na mchujo unaendelea kila wiki.

Swali ni je huyu mshiriki atakubaliwa huko SA, embu waangalieni hao washiriki pita 8020fashions.blogspot.com kwa picha zaidi.Mimi nimewatazama hawa washiriki kwa mtazamo wangu hakuna hata mmoja mwenye kiwango cha uanamitindo.wengi wao ni warefu na ni wazuri sana tu.Tatizo kimtazamo wa kimtindi wanatuchanganya.

Hapa najaribu kusema kuwa,waandaaji hawajajiandaa vya kutosha,kifedha kuweza kuendesha show nzima.kama kimatangazo,kimavazi nk

Kama kule mikoani,waandaji walitangaza mabinti waende kwenye audition, lakini washiriki hawajajitokeza kabisa kama wamejitokeza ni wawili au watatu tu.kusema la ukweli hadi mi nilikuwa nawaonea huruma.kama kule Mwanza. Mwanza ni jiji kubwa tu,cha kushangaza walikosa kabisa washiriki,hadi waliamua kwenda kwenye nyumba za starehe na mitaani kutafuta.washiriki,hii inaonyesha ni jinsi gani hawakutangaza vya kutosha,na kueleza faida ya uanamitindo ni nini,ivyo ilisababisha kutokuwa na msisimko.

Tuache hapo,hao washiriki wengi wao wamelazimishwa,kama akikutwa mrembo barabarani mrefu tu kafikia 174m basi wanamlazimisha akashiriki hata kama hapendi na hata kama anaonekana mrefu tu lakini hana haiba za kiuana mtindo.

Kwangu mimi, Irene na timu yako kama unataka kufanya kitu lazima ukipende na ukifahamu.na ukikipenda utakifanyia kazi na hautataka kukiacha,hao warembo wako wote hakuna hata mmoja anayependa kupiga picha(yaani wanapooza ile mbaya na waoga kwenye picha).iyo pia inafanya uzuri wao ufichike.

Au basi wanafaa nyie hamna vifaa,maana Irene nilikuona kwenye TV wewe ndo unacamera yako ya digital ndogo inamuonekano ya kupiga picha za nyumbani tu. unawapiga picha wewe mwenyewe.kwa iyo hawapigwi picha kiufundi.(professional) ndio maana hawatokei kimtindo.

Embu tuchukulie mfano wa wenzetu kama “America next top model”,wanawashirikisha wanamitindo waliopata mafanikio,kama Tyra mwenyewe,mtu aliyebobea kwenye kupiga picha za uanamitindo,waandishi wa majarida muhimu ya mitindo nk.
Sasa ukiangalia nyie yenu hata hakuna mtu mmoja anayejua mambo ya mitindo na ambaye amewahi kufanya shughuli za mitindo mnayemshirisha.kwenye ushauri na kuwaweka sawa hao wabinti wapate muonekano wa kiuanamitindo.

Ni siku moja tu juma lililopita,mlipotembelea TBL ,kulikuwa na kaka mpiga picha yeye angalau ongea yake kuusiana na picha alizowapiga kwa siku iyo,alionyesha na ufahamu na upigaji picha.je kwa nini msimtumie uyo kuwapiga picha models wenu?.Je pia hamuoni kama mkiwapatia elimu ya kutosha kuhusiana na mitindo pia mtawanufaisha hata watakapoenguliwa wakajiendeleza wenyewe kwa namna moja au nyingine?.

Embu hayo yabaki kama maswali tu,Lakini picha za mitindo mara nyingi zinaongea,yaani unaijaji picha na kuhisi mwanamitindo anataka kusema nini au kufanya nini.lakini karibia picha zote mlizozitoa kwenye vyombo vya habari hazisemi hata kidogo(zimenuna).na toka hao washiriki waingie kambini hawajabadilika kimitindo, wako vile vile.badiliko nililoliona ni yule mmasai kuacha nguo zake za asili na kukimbilia jeans.(na ni kawaida tu,sio kimsingi)

Tukianza na wewe Irene mwenyewe na Nancy Sumari,wote nyie hamkuwahi kufanya shughuli za mitindo bali mliwahi kuwa warembo tu.hali urembo na uanamitindo ni vitu viwili tofauti kabisa.naona jinsi mnavyowafundisha kupose kwenye picha ,sio kabisa ni kikawaida mno.kwenye kutembea je,Nancy siku aliwahi kukiri kwenye kipindi chake alikuwa akimuhoji Richa (Miss TZ),kuwa Richa anatembea vizuri kuliko yeye Nancy. Pia nimewahi kumuona Nancy kwenye fashion shows za hapa home ya Mustafah Hassanali hatembei vzuri kabisa,wanampa tu chance kama mgeni na mtu mashuhuri wa TZ kwa heshima naye aoenyeshe mavazi.

Inakuwaje hawa waandaaji wasiweze kualika wanamitindo mbalimbali kama Happiness Magesa,Hawa n.k wawasaidie kuwashauri washiriki kama kupose kwenye picha,kutembea,kuvaa kutokana na mazingira na halikadhalika kuweka make up(kujiremba)n.k

Inasikitika sana kuona washiriki wote wanapiga picha na nywele kama vile wanaenda sokoni(sorry sio naponda).,wengine wamevaa nguo za ofisini kwa kifupi saa ingine haieleweki kabisa.

Mi naona msipowafundisha hao mabinti kupose kwenye kamera,kutembea,kuwa wasafi,wanaweza hata wasikubaliwe huko SA.Lakini hao visura ni wazuri na wakifundishwa watawakilisha vizuri.

Huo ni mtazamo wangu tuu,cha muhimu waandaaji mmeamua kufanya kitu basi jitoleeni kabisa,sio kubip (msemo wa mtaani),zaidi ya yote hii ni changamoto na watu wengi wameona haya,na mimi nimeamua kuwakilisha mtazamo wangu na jamii.


Asante ni mimi Dada TZ

Majina ya kijinga mwiko kwa watu weusi Marekani!

Hii hadithi chini ni utani. Lakini kwa kweli siku za karibuni watu wamezungumzia hiyo suala ya weusi Marekani kutoa majina ya ajabu kwa watoto wao. Mtoto moja aliitwa XXalAXXAXia! Kweli kabisa! Walimhoji mama yake kwenye taarifa ya habari kwa nini alimpa binti yake jina hiyo, alisema alitaka mtoto wake awe na jina tofauti na watu wengine. Haya hii si neno. Ni vizuri katika enxi hizi za identity theft.

Ila wamefanya utafiti na kugundua kuwa hao wenye majina ya ajabu, mara nyingi wanachukuliwa kama punguani, na wenyewe hawana moyo ya kufika mbali katika maisha yao. Na ukitaka kujua kama ni kweli je, ni Ta'Quxti'hqb' wangapi ambao ni executives?


***********************************************************

Federal Judge: Enough With the Stupid Names
March 2, 2008

By Bill Matthews


After Judge Cabrera’s historic ruling, little Clitoria Jackson will likely undergo a name change.

(DETROIT) In a decision that’s expected to send shockwaves through the African-American community—and yet, give much relief to teachers everywhere—a federal judge ruled today that black women no longer have independent naming rights for their children. Too many black children—and many adults—bear names that border on not even being words, he said.

“I am simply tired of these ridiculous names black women are giving their children,” said U.S. Federal Judge Ryan Cabrera before rendering his decision. “Someone had to put a stop to it.”

The rule applies to all black women, but Cabrera singled out impoverished mothers.

“They are the worst perpetrators,” he said. “They put in apostrophes where none are needed. They think a ‘Q’ is a must. There was a time when Shaniqua and Tawanda were names you dreaded. Now, if you’re a black girl, you hope you get a name as sensible as one of those.”

Few stepped forward to defend black women—and black women themselves seemed relieved.

“It’s so hard to keep coming up with something unique,” said Uneeqqi Jenkins, 22, an African-American mother of seven who survives on public assistance. Her children are named Daryl, Q’Antity, Uhlleejsha, Cray-Ig, Fellisittee, Tay’Sh’awn and Day’Shawndra.

Beginning in one week, at least three white people must agree with the name before a black mother can name her child.

“Hopefully we can see a lot more black children with sensible names like Jake and Connor,” Cabrera said.

His ruling stemmed from a lawsuit brought by a 13-year-old girl whose mother created her name using Incan hieroglyphics.

“She said it would make me stand out,” said the girl, whose name can’t be reproduced by The Peoples News’ technology. “But it’s really just stupid.”

The National Association of Elementary School Teachers celebrated Cabrera’s decision.

“Oh my God, the first day of school you’d be standing there sweating, looking at the list of names wondering ‘How do I pronounce Q’J’Q’Sha.’?” said Joyce Harmon, NAEST spokeswoman. “Is this even English?”

The practice of giving black children outlandish names began in the 1960s, when blacks were getting in touch with their African roots, said historian Corlione Vest. But even he admits it got out of hand.

“I have a niece who’s six. I’m embarrassed to say I can’t even pronounce her name,” said Vest, a professor at Princeton University. “Whenever I want to talk to her, I just wait until she looks at me and then I wave her over.”

Cabrera’s ruling exempted black men because so few of them are actually involved in their children’s lives.

Note: This article is satire, brought to you by the creative minds at The Peoples News. It’s not real, but we hope it made you think.

http://thepeoplesnews.wordpress.com/2008/03/02/federal-judge-enough-with-the-stupid-names/

Sunday, March 30, 2008

Fomu za Tuzo za Vinara Zatolewa

Fomu za ushiriki katika kinyang'anyiro cha kuwania Tuzo za Vinara wa
filamu Tanzania 2007/8 zimeanza rasmi kutolewa jana katika vituo
mbalimbali nchini ikiwa ni hatua ya kwanza kabla ya kutolewa kwa tuzo
hizo.

Tuzo hizo zitakazotolewa kwa mara ya kwanza nchini, zimeandaliwa na
kampuni ya One Game Promotions na kudhaminiwa na Kampuni ya Bia
Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya dovu Power Malt.

Mratibu tuzo hizo, Khadija Khalili, amesema kuwa, kutokana na sababu
zilizo nje ya uwezo wao, fomu hizo zilichelewa kutoka kwa tarehe ya
awali hivyo kusababisha kuongezwa kwa muda wa kurejeshwa fomu na
kupokea filamu zitakazoshiriki katika tuzo hizo hadi Aprili 18 badala
ya Machi 31 kama ilivyotangazwa awali.

Alisema watengenezaji wa filamu nchini wanakaribishwa kutuma nakala za
filamu zilizotengenezwa kati ya Januari 2007 hadi Machi 31, 2008, kwa
ajili ya kuwania tuzo hizo.

Khalili alisema kuwa, jopo la majaji litakutana baada ya Aprili 18
kuchagua watakaowania tuzo za Vinara wa Filamu Tanzania 2008.
Alisema fomu za kushiriki kuwania tuzo hizo zinapatikana katika vituo
vilivyotangazwa awali ambavyo ni ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa
(BASATA) kwa Omari Mayanga, pia zinapatikana kwa wasambazaji wa filamu
ambao ni Wananchi Wote, GMC, Kapico na Game First Quality.

"Fomu zilizojazwa na nakala ya filamu iliyopo kwenye mfumo wa VCD na
DVD zitumwe kwenye ofisi za BASATA zilizopo Ilala Bungoni jijini Dar
es Salaam au ofisi ya One Game Promotion," alisema.

Vipengele vitavyoangaliwa na majaji katika filamu hizo kuwa ni Filamu
Bora ya Mwaka, Muigizaji Bora wa Mwaka wa Kiume, Muigizaji Bora wa
Mwaka wa Kike, Muigizaji Bora Chipukizi wa Mwaka wa Kiume, Muigizaji
Bora Chipukizi wa Mwaka wa Kike, Mwongozaji Sinema Bora wa Mwaka,
Mchekeshaji Bora wa Mwaka, Mwandishi Bora wa Filamu, Mtunzi Bora wa
Filamu, Filamu Bora ya kutisha, Muigizaji Mwandamizii Bora wa kike
(supporting actor), Muigizaji Bora Mwandamizi wa Kike, Adui Bora
kwenye Filamu, Wimbo Bora wa Mwaka (Sound Track), Mhariri Bora wa
Filamu ambao wote watapata tuzo na zawadi. Pia itatolewa tuzo ya
heshima kwa wale waliotoa machango wao kukuza sanaa nchini.

Saturday, March 29, 2008

Tembo wa Ajabu!!!


Wanasema kuwa Tembo ana kumbukumbu ya ajabu. Lazima nikubali!

Ajali kwenye Machimbo ya Tanzanite Mererani!!!!

Wanasema huenda watu 80 wamekufa, shauri ya hiyo ajali! Mungu alaze roho zao mahala pema peponi. AMEN.

*************************************************************************
3-29-08 UPDATE- More than 80 feared dead in Tanzania mining accident

MIRERANI, Tanzania (AFP) — More than 80 miners are feared dead after floods swept pits in northern Tanzania on Saturday, a survivor and police said.

Rescue operations were hampered by lack of equipment at the Mirerani Tanzanite gemstone mines near the northern city of Arusha, around 450 kilometers (280 miles) north of the capital Dar es Salaam.

"It started raining at two o'clock (2300 GMT) in the morning. We struggled and I managed to get out at three o'clock," said one surviving miner, Elia Fanuel.

"I know there is no hope of finding anybody alive. We will just look for the bodies to give them a decent burial," he told AFP. It was unclear if there were more survivors.

Police said six bodies had been recovered while mine owners said there were 87 people underground when the disaster struck.

"We have so far received six bodies and we are still searching for others," said the official, who was at the scene but declined to be identified.
"The owners of the pits said 87 were underground at the time of the floods," he added.
"We have the reports of the missing miners and rescuers have been rushed to the scene," Manyara regional commissioner Henry Shekifu told AFP.

"There have been heavy rains for the last seven days in the area. Similar cases occurred in the past, but this is worse because it involves a lot of people," he added.

Miners heading back to Arusha from the Mirerani and neighbouring pits told AFP they feared their colleagues were dead.

Torrential rains hampered communications in the region as well as the rescue operation, with many vehicles involved in the effort stranded several miles from the site of the disaster.
A lack of equipment also impeded the rescue operation.

"The (search) operation will continue but mining activity has been suspended," said Khalid Mandia, the district chief.

Tanzanite, a purple-blue shimmering stone, has been found only in northern Tanzania and in 2005 a leading gemstone miner said it unearthed the world's largest tanzanite stone weighing about three kilograms (6.6 pounds).

The lure of striking riches has drawn thousands of miners to Mirerani, which resembles a gold-rush town dotted with brothels, bars and hardware stores supplying the miners.
Tanzanite is believed to be limited to east Africa's Rift Valley region and the pits where the accident happened are located in the heart of Maasai land, a short distance from Mount Kilimanjaro.

The gemstone was discovered by Maasai tribesmen in 1967.

The east African nation's mining sector has expanded rapidly over the past decade after it adopted liberal economic policies in the mid-1980s.

Tanzania is the continent's third-largest gold producer after South Africa and Ghana and is also rich in diamonds, emeralds, rubies and sapphires.

The mining sector contributes less than three percent of the nation's GDP but the rate should reach 10 percent by 2025 according to a development plan outlined by the government.
*************************************************************************

3-29-08 ARUSHA, Tanzania (AP) -- A government official says 75 miners are missing and believed to have died in mines following heavy rains in northeastern Tanzania.

Manyara Regional Commissioner Henry Shekifu says mine owners reported the 75 men went missing Friday as heavy rains pounded their mines in Mererani, 25 miles southeast of Arusha.
Shekifu says the government is trying to get equipment to the mines to drain the water in hopes of retrieving the men.

Friday, March 28, 2008

Kupenda Kukaa kwenye Internet ni Ugonjwa wa Akili!


Wataalam wa magonjwa ya akili wanasema kuwa mtu ambaye anapenda kukaa kwenye internet ana ugonjwa wa akili. Wanasema kuwa una ugonjwa wa akili kama, Usipoingia kwenye neti unakuwa na hasira.

Basi naona itaongoza dunia kwa magonjwa ya akili:

********************************************************************************
March 28, 2008

FROM CNN’s Jack Cafferty:
Before you sit down to write in to the Cafferty File, think about this: sending excessive e-mails and text messages could be a sign of mental illness – and some of you are on the margin. An editorial in The American Journal of Psychiatry suggests that these obsessive-compulsive symptoms are now so common that they should be included in an industry manual on mental disorders.

Here’s how to tell if you need help:

- Excessive use, which often goes along with a loss of any sense of time when you’re online.

- Withdrawal, which includes feelings of anger, tension or depression when you can’t get to a computer.

- The need for a better computer, more software and even more hours of use.

- And, negative repercussions, which can include arguments, lies, and social isolation all due to your time spent online.
In South Korea, which has the highest use of broadband internet worldwide, internet addiction is considered one of the most serious public health issues. The government estimates that more 210,000 children are affected and need treatment, and another 1.2 million are believed to be at risk for addiction. In China, it’s believed that nearly 14% of adolescent internet users are addicted… that’s 10 million Chinese youngsters.

So it comes as no surprise that there are now internet addiction clinics around the world. Experts say it’s also become a more significant legal issue in criminal, divorce and employment cases.
Here’s my question to you: Is sending excessive e-mails and text messages a sign of mental illness?

Tune in to the Situation Room at 6pm to see if Jack reads your answer on air.
And, we love to know where you’re writing from, so please include your city and state with your comment.

Kwa habari zaidi someni:



Mtindo wa Kusuka Mpya!!

Picha kutoka Jiachie Blog

Kweli waBongo ni wabunifu. Sasa wanasuka na nyuzi za kufuma vitambaa (yarn). Si mtindo mbaya! Halafu kamechisha na hereni, na eye shadow.

Kipanya Anavyoona Wanasiasa!

First Picture:

'While he is Campaigning' "I will bring Progress!"

Second Picture:

'After he has Won' "Let us Cooperate to bring Progress"

Kipanya Rat Character - "What the..."

Hatimaye Aden Rage aachiwa Huru!!!!



Kutoka Michuzi Blog:

Ismail Aden Rage ni Mtu Huru Sasa

MAHAKAMA ya Rufaa jana imemsafisha Rais wa klabu ya Moro United Ismail Aden Rage baada kushinda rufaa ya hukumu iliyotolewa wakati akiwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Tanzania (FAT) na sasa TFF miaka sita iliyopita.

Majaji Damian Lubuva, John Mroso na Mbarouk S. Mbarouk wamefuta hukumu ya miaka mitatu jela iliyotolewa mwaka 2005 na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar es Salaam na baadaye kuthibitishwa na Mahakama Kuu.

Imebainika kuwa hakukuwa na vielelezo vya kutosha kuonyesha kuwa Rage alitenda kosa alilohukumiwa nalo. Wakati wa kusikiliza rufaa hiyo, mwendesha mashitaka alikiri kuwa hatia aliyokutwa nayo Rage kutokana na makosa mawili haikuwa sahihi.

Makosa aliyokuwa akikabiliwa nayo ni yanayomhusisha kuiba Sh milioni 1 kutoka Salvation Army ya jijini Dar es Salaam ambako timu ya Taifa iliweka kambi kwa ajili ya maandalizi na michezo ya kimataifa na Sh 400,000 alizodaiwa kuwalipa posho wachezaji. Habari kamili bofya hapa.
********************************************************

Yaani Aden Rage kakaa miaka mitatu ndani! Huyo jamaa alikuwa mtu poa sana. Alikuwa anakuja kututembelea pale Daily News mara nyingi kwa ajili ya habari ya michezo.

Thursday, March 27, 2008

Sindimba



Sindimba ni moja ya ngoma maarufu wa Kusini mwa Tanzania. Nilivyokuwa JKT, nilikuwa kwenye kikundi cha ngoma na ni moja wa ngoma ambayo tulikuwa tuna cheza. Ila kwenye hii version naona wameongeza Bumping.

Msiba Michigan, USA - Mama Suma M. Ngonyani

Pichani ni mume wa marehemu Associate Prof. Deogratius Ngonyani


It is with sorrow and regrets that I inform you about the passing of Mrs Suma Mwankenja Ngonyani who died in the early hours of Monday March 24, 2008 in Lansing, Michigan.
The late Suma was suffering from celvical cancer and was under going treatment till the time of her death. Please pray for Suma to have a peaceful resting place, and that her husband Dr. Deo Ngonyani, children and family will have strength through this difficult time.

The body of Suma is expected to be travelling to Tanzania for burial in the coming days. In order to accomplishthis, we ask for your help in raising the necessary funds to make it possible.
A memorial account has been opened with the following information.

SUMA MWANKENJA MEMORIAL ACCOUNT
M.S.U.F.C.U
P.O. BOX 1208
EAST LANSING
MICHIGAN, 48826
Account # 34627707Routing # 272479663
If you have any question please call
Deo Ngonyani - 517 614 3543
Frank Mwakasisi - 269 321 9900
Martin Korosso - 734 239 3935
Thanking you in advance
Martin.
Mwenyeji - KLH NewsSauti ya Watanzania kwenye Mtandao!Hatulali - Daima tuko Macho!!http://mwanakijiji.podomatic.com/

Wednesday, March 26, 2008

Elimu ya Mjinga ni Majungu!

Au, mnasemaje wadau?

Mnaotaka kuwa kwenye sinema Msikose Nafasi Hii!!!!!

OPEN CALL -

The Proposal Tuesday, April 1st, 4-6pm

Boston Casting129 Braintree Street Boston, MA 02134

Ethnic Extras wanted for "The Proposal" starring Sandra BullockPlease come dressed in ethnic grab,( example Saris, African dress, etc. ) if you have it.Looking for minorities of all ages that would be in line at the Immigration office.Must be available to work a full day on April 8th.Open to union and nonunion actors

Michoro ya 3D








Hebu chekini hii michoro ya kwenye njia za wapita miguu (sidewalks). Zimechorwa kwa mtindo wa 3D (Three Dimension) yaani zinadanganya macho kabisa.

Zimechorwa na msanii maarufu wa Uingereza, Julian Beever. Usanii wake unaweza kuona kwenye mita ya nchi za Uiingereza, Ujerumani, Ufaransa, Marekani, Ubelgiji na Australia.

Tuesday, March 25, 2008

Casting Call Tatu Boston

March 26,2008

Boston Casting is seeking Beautiful girls 18-30 years old And adults 18 and 19 who look like teenagesFor the "Untitled Kevin James Film" Shooting next week 3/31-4/2 ( we will need you for one day only )IF INTERESTED AND AVAILABLE please email a photo and contact phone numbers to movieextra@bostoncasting.com Open to union and nonunion actors and nonactors.

IF YOU ARE CHOSEN SOMEONE WILL GET BACK TO YOU WITH MORE DETAILS

*********************************************
MOVIE CASTING CALLC.P. CASTING & MEAGAN LEWIS CASTING ARE HOLDING A CASTING CALL FOR"SURROGATES"A FEATURE FILM STARRING BRUCE WILLIS AND RHADA MITCHELL

WHEN: Saturday, March 29, 200810:00 AM until 4:00 PM

WHERE:Felt Nightclub ­ Boston533 Washington Street, Boston, MA, 02111

WHAT:Extras and speaking roles are needed for a science fictionfeature film that will shoot in Boston for several weeks starting April 28.
We are looking for men and women [AGE 18+] of all races and types.UNION AND NON-UNION.

We are particularly looking to cast SURROGATES, remotely operatedsynthetic humans who are distinguishable from flesh-and-blood humansprimarily by their *physical perfection.*
In this future world, any consumer who can afford it can have an attractive looking SURROGATE replace them in the real world.All Actors who wish to be considered for SURROGATE Roles should looktheir BEST. That means Men, clean shaven and Women having done theirmake up and hair to the very best of their ability, and dressed to impress!

Not a SURROGATE? That's ok, we also need all types to play "realhumans" and DREADS, a particularly downtrodden group of anti-surrogate rebels who wish to destroy the surrogacy way of life...If you can, please bring recent photo(s) with you. (They will not be returned!)NO PHONE CALLS, PLEASE!JUST SHOW UP!

--Can't make it? You can submit by mail for *EXTRA WORK ONLY* to:
Surrogates Attn: Extras Casting36 Cabot RoadWoburn, MA 01801 http://www.rpmcasting.com/

****************************************************************
MOVIE CASTING CALL"THIS SIDE OF THE TRUTH "A FEATURE FILM STARRING RICKY GERVAIS AND JENNIFER GARNER WHEN: Saturday, March 29, 200811:00 a.m. - 4:00 p.m.
WHERE:92 Bolt St.Lowell, MA(warehouse behind cream/white wooden fence)Enter through blue door under the sign for "Mill City Paintball"
WHAT:Looking for men and women [AGE 18+] of all races and types.UNION AND NON-UNION.

They are filming almost entirely in the Andover/Lowell region starting in mid-April. If you don't have transportation to this area it will be impossible for you to work on this film.
Tip for saving time: Print the sizecard (attached/on website, http://rs6.net/tn.jsp?e=001z5akWp5njTHW2HpWQeNI2Z3JQ441sIdEFOoH3reWrB24b7qL5f97aFkxD6w34vi0MtNQMHQ6KvRByYeCwWT-tau64u5D6zTQ-gzhq3_Bh-JSgtVkYXSI6A==) and complete it in advance. This will allow you to get right in line.

What you should bring: Completed sizecard, headshot (or a recent photo), resume, and a pen. (It is always recommended that you, to casting calls and to set, bring a pen)For more information, visit http://www.truthextras.com/

*******************************************************************

MOVIE CASTING CALLJODI PURDY-QUINLAN OF GRANT WILFLEY CASTING'S BOSTON OFFICE IS HOLDING A CASTING CALL FOR:"BRIDE WARS" A FEATURE FILM STARRING KATE HUDSON AND ANNE HATHAWAY

WHEN:Sunday, March 30, 200810:00am - 4:00pm

WHERE:Maria Weston Chapman Middle School 1051 Commercial Street East Weymouth, MA 02189
WHAT:We are looking for people of all races and types.UNION AND NON-UNION.

upscale men and women, specifically those with high-end, formal wedding and rehearsal dinner attireadult ballroom dance studentsDJ w/equipmentstring quartet, classical musicians and wedding band typesattractive men and women 18-30power executives and lawyer/business typeschildren and school teacher typesNew York socialite types, ladies who lunch, etc...
Filming begins in Boston area starting in mid-April.Please bring a recent photo and contact info.
--Can't make it? EMAIL a recent picture and contact information to:http://us.f397.mail.yahoo.com/ym/Compose?To=bridewars@gwcnyc.com

Sinema ya Mall Cop

Hapa niko Holding Area nangojea kuitwa kwenye seti. Kwa nyuma kabisa ndo walikuwa wanapaka watu make-up na kutengeneza nywele na sehemu ya kubadilisha nguo. Holding ilikuwa kwenye tent iliyowekwa kwenye parking lot ya Mall.
Mimi na Mwanangu


Wadau, hamkujua kuwa nilifungua miezi mitatu iliyopita! Jina la mwanangu ni Prop.

Ukweli huyo ni mdoli. Jana, nilikuwa extra kwenye sinema 'Mall Cop aka. Untitled Kevin James Project.' Hatujui itaitwa nini ikitoka mwakani.

Kulikuwa na hizi baby strollers kama 5 zenye midoli halafu Prop Master (anayegawa vifaa), alikuwa anachagua watu wa kuwa Moms. Ukichaguliwa unapewa stroller. Wengine walipewa shopping bags zilizojaa vitu kama makaratasi na chupa tupu. Sasa sinema ikitoka utaona huyo mtoto anasukumwa na watu mbalimbali, lakini kwa asiyejua wanavyotengeneza sinema utadhani kila mtu ana mtoto wake. Partner wangu kwenye set alikuwa mwanaume wa kizungu anaitwa Steve.

Tulikuwa extras zaidi ya 250 ilikuwa shuti kubwa Burlington, Mall, huko Burlington, Massachusetts. Tulifika kwenye set saa 11:30 (5:30am) na kuruhusiwa kuondoka saa 1 jioni (7:00PM). Siku ilikuwa ndefu. Na miguu wa watu iliuma maana kazi yetu ilikuwa kutembea mle kwenye seti na kujifanya ni shoppers.

Tulikuwa na yule Kevin James, wa ile show, The King of Queens. Yeye ndo stelingi. Nilipita nyuma yake. Sijui kama nitaingia kwenye final cut yaani picha ambao watu wataiona kwenye sinema.

DAWASCO kuwa na viosk Dar

Tuone kama watakuwa na mafanikio. Au tutasikia hajkuna maji ila kwa wanaoweza 'kuongeza kidogo'. System ya maji inahaitaji kukarabatiwa. Si ni ile ile aliyoacha mkoloni iliyojengwa kuhudumia watu milioni moja tu?

****************************************************************

Dawasco to introduce 300 water selling kiosks

2008-03-21

By Our Correspondent

The Dar es Salaam Water and Sewerage Corporation (Dawasco) has announced new plans to use trucks to distribute water at designated selling points in Dar es Salaam. The water utility firm says it will introduce kiosks and start physical distribution of water, apart from installing water pipes.

Dawasco Public Relations Manager Badra Masoud told The Guardian that water kiosks would be placed in areas that face acute water crisis, adding that the services would be offered at affordable price. According to the official, a 10-litre container will be selling at 20/- and a 20-litre one at 30/-.

``The facility will be managed by DAWASCO employees. A respected and trustworthy member of the community will be picked to manage these kiosks,`` said Masoud. On the monitoring of sales, she said the company would directly deal with the appointed sales persons who would be required to submit collected money against meter records.

Masoud said collections from the respective water points would be divided equitably - part of the money would go to the maintenance of the facility and the other for paying the salary of the manager. According to the official, Dawasco has drawn up a two-year plan to put up 300 water-kiosks in Dar es Salaam. She added that all problematic areas would be covered satisfactorily.

Meanwhile, DAWASCO has dismissed as baseless claims that its workers have polluted the water source at Ruvu, saying the security level at the location was too high for that to be done.

``Those were mere rumours. No one is allowed to stay close to the source. Even those who are going for a study tour must be scrutinised thoroughly before they are allowed in. How come that a stranger could find his way in? asked Masoud.

As part of Water Week celebrations, a number of Dar es Salaam residents turned up at Mnazi Mmoja grounds to clear their outstanding debt balances, according to the official.

SOURCE: Guardian

Sunday, March 23, 2008

Bei ya Petroli imepanda mno USA!

Wadau, hali imekuwa mbaya USA! Bei ya Chakula na kila kitu kimepanda. Sasa bei ya mafuta nso inamaliza watu hasa wanaokaa mbali na kazi zao, na inabidi waendeshe magari yao. Heri wanaoweza kupanda basi na treni (subway).

Nimeletewa katuni hizi kwa e-mail:









Saturday, March 22, 2008

Pasaka Njema! Happy Easter!


Wadau, ninawatakia Pasaka Njema!

Happy Easter!

Katumwa!!!!

Samaki aina ya Sting Ray aliyoua!

Huyo mdudu/samaki pichani (Sting Ray) kamwua mwanamke Florida siku ya Jumatano wiki hii. Kwa maelezo ya familia yake, Judy Kay Zagorski, 55, alikuwa anaota jua kwenye boti yao. Ghafla huyo mdudu katokea majini na kuruka kwenye boti na kumgonga huyo mama aliyekuwa anaota jua. Yule mama alikufa papo hapo. Ni ajali ya ajabu.

Na huko Bongo lazima watu wangesema, "KATUMWA!" Watasema lazima alimkera mtu fulani, au kamkosea mtu au mtu kamwonea wivu, hivyo walitambika na kumtuma huyo mdudu kwenda kumtoa roho huyo mama.

Mwaka jana, samaki kama huyo alimwua yule mtaalam wa wanyama, Steve Irwin, wa kumchoma kwenye moyo akiwa anaogelea baharini.
Kwa habari zaidi someni:

Chanjo ya UKIMWI - Tusahau kwa Sasa!

Ile chanjo ya UKIMWI iliyokuwa kwenye majaribio barani Afrika na sehemu zingine haifanyi kazi. Wataalam wanasema kuwa badala ya kuzuia watu kupata ugonjwa uliongeza uwezekano wa kuambukizwa!

Kwa kweli ni habari ya kuhuzunisha. Ugonjwa wa UKIMWI umeua mamilioni ya watu duniani.

**************************************************************

Testing A New HIV/AIDS Vaccine May Endanger Patients

March 22, 2008

Bethesda, MD (AHN) - American researchers said that the two field tests of an HIV/AIDS vaccine failed to explore its safety and efficacy on volunteers but may have a chance of being infected by the disease.

Both tests were stopped last September and seven other trials of similarly created AIDS have been either sopped or postponed indefinitely.

The STEP and Phambili used the vaccine made from a common respiratory virus called adenovirus type 5 that had been weakened and then loaded with fragments of HIV. Both studies were stopped after the STEP study was proven useless and may be harmful.

The working hypothesis for what went wrong is that the vaccine somehow primed the immune system to be more susceptible to HIV infection - a scenario neither foreseen nor suggested by previous studies.

Kwa habari zaidi Someni:
http://abcnews.go.com/Health/AIDS/story?id=4496620&page=1

http://www.voanews.com/english/Africa/2008-03-21-voa30.cfm

http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/story/2008/03/21/ST2008032101286.html

http://www.allheadlinenews.com/articles/7010406736

Friday, March 21, 2008

Go Hashim!

Natazama game kati ya San Diego na U Conn! Watangazaji wanamsifia Hashim Thabeet! Kijana anaelekea NBA huyo!

San Diego walishinda 70. U Conn walipata 69.

Kwa habari zaidi za Hashim BOFYA HAPA:

Thursday, March 20, 2008

Hashim Thabeet afanya mambo NCAA!

Asante mdau Subi kwa kuniletea habari hizi:

(pichani Hashim kabla hajaondoka kuja USA)

Thabeet ranks second in the nation with 143 blocks. Averaging 4.5 blocks a game this season, the 263-pound sophomore from Tanzania broke Alonzo Mourning's single-season Big East record of 93 blocks set in 1992 and was named the conference's defensive player of the year.
UConn's Thabeet presents big challenge for San Diego in NCAA tourney
TAMPA, Fla.: San Diego coach Bill Grier came up with a couple of ways to prepare for 7-foot-3 Hasheem Thabeet.

"We had one of our kids get on the shoulders of another one of our kids and practice all week, then we held brooms up all around," Grier said Thursday.
He was joking.

But his ideas may not have been too far fetched. The 13th-seeded Toreros (21-13) haven't faced anyone with Thabeet's size and shot-blocking ability — a major concern heading into Friday's first-round NCAA tournament game against No. 4 seeded Connecticut (24-8) in the West Region.

Thabeet ranks second in the nation with 143 blocks. Averaging 4.5 blocks a game this season, the 263-pound sophomore from Tanzania broke Alonzo Mourning's single-season Big East record of 93 blocks set in 1992 and was named the conference's defensive player of the year.
When he accepted the award at the Big East banquet, clips of his blocks played on a big screen — a glaring flashback for all his victims sitting in the room. Thabeet's ensuing speech included a line thanking his teammates for allowing opponents to penetrate so he could swat so many shots.
"That's part of what I do," Thabeet said. "But it's not like I have to block everything for the team to win. I'm a small part of the team defense."

Most would disagree. Even coach Jim Calhoun lauded his post player for UConn's success.
"We would not be sitting here today with 24 wins without him," Calhoun said. "He's a factor even if he doesn't block his shot. If he gets there and blocks a couple, you're going to be very careful. If you try to shoot a second one, then you're very competitive. You try to shoot the third one, then (you're) very stupid. ... He can change a game."

Big men have made a big impact in the NCAA tournament the last two years.
Florida's Al Horford and Joakim Noah swatted some shots and altered many others at one end, then forced teams to collapse so much that it often created wide-open 3-pointers for their teammates. With Horford and Noah leading the way, the Gators became the first team in 15 years to repeat as national champions.

Throw in Ohio State's Greg Oden and Georgetown's Roy Hibbert, and centers were the center of attention in last year's Final Four.
Thabeet took notice.

"It does change the game a lot, when centers can block shots, run the floor, pass the ball, rebound and score," he said.
Thabeet is averaging 10.4 points and 7.9 rebounds, and shooting 60 percent from the field and 70 percent from the free throw line.


Not bad for someone who's been playing basketball for just five years. He grew up playing soccer in Dar Es Salaam, Tanzania, then turned to hoops at age 15. At 6-8 and still growing, friends suggested he try basketball, which would allow him to get a college education in the United States.

He searched the Internet, contacted a few small colleges and ended up at Cypress Christian School in Houston.

Although he was considered a project coming out of high school, he had offers from Louisville, Cincinnati and UConn. He chose the Huskies in hopes of following in the footsteps of some of the school's top shot-blockers like Donyell Marshall, Emeka Okafor, Josh Boone and Hilton Armstrong.
Thabeet averaged 6.2 points and 6.4 rebounds as a freshman and probably could have entered the NBA draft a year ago. But he decided to return for at least another year — and another shot at getting the Huskies back to the NCAA tournament.
They're there now — and creating matchup problems for San Diego, an 11 1/2-point underdog whose tallest starter is 7 inches shorter than Thabeet
.
"He's a great shot blocker," Grier said. "You see some teams on film keep trying to challenge him, and he keeps blocking shots. ... We have to be smart about it, but at the same time, we can't play in fear of him."

http://www.iht.com/articles/ap/2008/03/20/sports/BKC-NCAA-San-Diego-Connecticut.php

Deodorants Bongo

Deodorants za Kike
Deodorants za Kiume

Kwanza ni nini mtu utumie deodorant?

Inajulikana kuwa Jasho pekee halina harufu ila kunapokua na bacteria na unyevunyevu kama vile kwapani hapo ndipo harufu huwepo.

Kwapa ni mojawapo ya eneo la mwili ambalo lina joto na unyevunyevu karibu muda wote. Na nywele kwapani zinaongezea harufu kwa kuwa zinawapa bacteria eneo zaidi la kuzaliana.
Deodorants zinasaidia kuzuia harufu na kupunguza jasho kwapani. Deodorants bora zenye perfum mbalimbali zapatika SINZA MAPAMBANO, karibu na Africasana.

Kwa maelezo zaidi piga au tuma sms kwa Beauty Specialist
@ 0784-521171 au email deodorants123@yahoo.com

****************************************************************************
Wadau, nimefurahi kuona hii tangazo kwa Michuzi maana wakati mwingine Bongo unakutana na mtu ana Kikwapa hasa. Si mwanaume si mwanamke. Mara ngapi umeshuka kwenye daladala uliyojaa na unanuka jasho la mtu mwingine. DUH. Kwa wasiojua matumizi zinapakwa makwapani kila baada ya kuoga.

Wednesday, March 19, 2008

Chagga Series


Kwa wanaotaka kujua habari za WaChagga, ni lazima msome stories za Dada Sandra Mushi.

Kuna habari muhimu sana kwa wanaotaka kuolewa au kuoa MChagga. Kwa MChagga pesa ni muhimu kuliko ngono.

Kutoka Chagga Series:
"There is something else you should know before getting married to a Chagga - especially one from the village, kuku wa kienyeji, as vijana wa mjini would call them. Chaggas are generally not taught about sex – not like our Zaramo cousins who are taught how to gyrate those hips or as Waswahili say - kukata kiuno mpaka jamaa anahonga gari. Chaggas are taught how to make money and provide for their families. Kyasaka women get married to Chagga men because they can provide – not because they are the Don Juan’s in bed. "

Kusoma Chagga Series BOFYA HAPA

http://saharasoulfood.wordpress.com/2007/10/18/chaggas-first-time/

Picha Rasmi za Mh. Waziri Mkuu Pinda



Hizi picha mbili ni picha rasmi (Official Portraits) za Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda. Zimetolewa rasmi na ofisi yake.

Tuesday, March 18, 2008

Kweli Kabisa!


Hii ni kweli kwa wazungu! Mzungu mwanamke atakuwa kapigwa pasi huko nyuma atajiona kama kavimba huko nyuma. Wanaona kitu kibaya kuwa na matako makubwa. Mzungu dume nene/baya/kipara atajiona kama Mr. Universe!

Dada Ummie Mafoudha Alley Hamid


Picha kutoka Michuzi blog
Kulia mwa rais Kikwete ni Dada Ummie Mafoudha Alley Hamid. Aliapishwa jana kuwa makamu mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na utawala bora (Tanzania Commission for Human Rights and Good Governance) . Mh. jaji Amiri Manento (kushoto), ni wenyekiti. Makamishna wa tume ni mh. Joaquine De Mello, mh. Zahoro Juma Khamis na mh. Bernadeta Gambishi.

Dada Ummie ni mwanachama wa TAMWA wa siku nyingi sana. Na amefanya mengi kuinua haki za akina mama Tanzania hasa Zanzibar.

Honger Dada Ummie!

Monday, March 17, 2008

Ajali Central Square Leo - Part 2

Police wakikagua vipande vya nyama na mifupa barabarani

State Police akipima urefu wa ajali ilipotokea hadi lori iliposimama. Unaona alama ya damu jamaa alivyoburuzwa.
Lori kwa mbele! Ilisimama kwenye crosswalk nyingine mbele na ingendelea kumburuza jamaa kama watu wasingemsimamisha!
Kipande kilichofunikwa!
Lori iliposimama! Imesajiliwa Maine Namba yake ni #908655


Hizi ni picha nilizopiga leo asubuhi wakati polisi wanafanya uchunguzi kuhusu hiyo ajali mbaya Central Square iliyomtoa roho mwanafunzi wa chuo kikuu cha Harvard. Alikata roho saa 6 na dakika ishirini mchana. Marehemu ametambulika kama Isaac Meyers, mwenye miaka 28. Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. Amen.
Kuna watu ambao wanadai kuwa marehemu alikuwa anasikiliza Ipod yake ajali ilipotokea. Mwingine anasema alikuwa anatazama kuelekea MIT na hakuwa natazama mbele ndo maana alizolewa na matairi ya nyuma ya lori. Dereva wa lori hajafunguliwa mashitaka.
Wadau, hapo jamaa lipogongwa ni pa hatari sana, maana wenye magari mara nyingi hawaheshimu waenda kwa miguu! Dawa wasimamishe magari ndo watu waruhusiwe kupita!
Kwa habari zaidi someni:

Ajali Central Square, Cambridge MA leo!

Central Square, Cambridge, MA kona alipogongwa jamaa

Leo asubuhi mwanaume aliyekuwa anavuka barabara alikanyagwa na lori Cambridge! Habari zinasema kuwa jamaa alifariki hospitalini. Marehemu ametambulika kama Graduate Student wa Harvard University mwenye miaka 28. Jina linahifadhiwa mpaka familia yake inajulishwa.

Ajali hiyo ilitokea kwenye kona ya Massachusetts Ave. na Prospect St., (pichani) pale unapopandia subway (treni) Red Line. Nilifika baada ya jamaa kuchukuliwa na ambulance. Watu walioshuhudia wanasema alikuwa na hali mbaya sana. Nilisikia watu wakisema, "this is the worse thing I ever saw!"

Aliyekuwa anavuka barabara hakuwa na kosa maana taa ilikuwa ya waenda kwa miguu. Kwa wanaopafahamu pale Central Square, Cambridge, magari yanaruhusiwa kupinda kona huko watu wanaruhusiwa kuvuka. Ila wenye magari wanatakiwa kupisha waenda kwa miguu. Kila siku napita pale na lazima niseme huwa wakati wenye magari hawaheshimu waenda kwa miguu! Wanakupita kwa mbele au nyuma bila kujali.

Sasa leo asubuhi maskini, huyo mwanaume alikuwa anavuka barabara na lori ya SHAW's supermarket, tena zile kubwa kabisa 18 wheeler ilikuwa inapinda kona. Jamaa alikanyagwa na magari ya nyuma na kuburuzwa hadi kwenye taa nyingine pale mbele ya Dunkin Donuts na Liquor Store. Hiyo lori imesajiliwa Maine. Sidhani kama malori yanaruhusiwa kupita kwenye hiyo barabara nyakati hizo.

Kulikuwa na alama ya madamu na nyama za binadamu kwenye barabara! Hiyo alama ya damu inaonyesha jamaa alivyoburuzwa! Watu walioshuhudia wanasema kuwa ilibidi watu wapige makelele kumwambia dereva wa lori kuwa amemkanyaga mtu!
Nimeona nyama na vitu vyeupe sijui ndo mifupa. DOH! Wewe leo nimeona watu walioshuhudia wakichanganyikiwa! Nilimkuta jirani yangu (mwanamke kutoka Haiti) analia, ilibidi nimsindike hadi nyumbani kwake ndo nianze safari tena ya kuelekea kazini. Mimi mwenyewe bado natetemeka nikikumbuka zile nyama na madamu barabarani!

Cambridge police, State police walitokea na walizungusha eneo yote kuanzia kwenye kona ya Mass Ave. hadi kwenye kona ya Pearl St. na kamba ya njano (crime scene). Nafuatilia kuona kama wataweka habari zaidi kwenye TV. Nimepiga picha lakini sijaziprocess bado.


Na vituko havikuisha hapo! Nafanya transfer kwenda kazini. Nilikuwa nangojea treni ya Orange Line pale Downtown Crossing halafu nilishuhudia jamaa akiruka kwenye reli. Treni ilikuwa inakuja nikahofia atakanyagwa. Lakini alipanda juu ya platform kabla treni haikumfikia! DUH! Kabla hajaruka kwenye track alinipita anaongea peke yake.


Kwa habari zaidi soma:



http://www.thebostonchannel.com/mostpopular/15619169/detail.html

Saturday, March 15, 2008

Mwanamke akaa kwenye choo miaka miwili!

Trailer ya Tukio huko Wichita, Kansas


Wadau hii story itakutia kichefuchefu, hivyo halahala mkisoma.
Juzi tulisikia habari ya mwanamke fulani huko Kansas aliyekutwa amekaa kwenye choo miaka miwili. Pam Babcock (35) alikutwa kwenye choo ndani ya trela ya boyfriend wake. EMT's walipofika kumhudumia walikuta trela inanuka harufu mbaya mno na huyo Pam kaganda kwenye choo hawezi hata kuinuka! Kumbe nyama ya matako yake ilianza kuota kuzunguka hiyo kiti cha choo!
EMT's walipofika alikataa kuhudumiwa akisema ni mzima na hana shida. Baadaye alikubali msaada wao.

Ilibidi wabandue kiti kwenye choo na kumpeleka hospitalini hivyo hivyo imenasa matakoni! Wanasema kuwa huyo mama aliuwa hajaoga wala hajaosha nywele zake muda wote huo hivyo harufu ilikuwa balaa.
Pia matako yake yalikuwa yamejaa vidonda! Madaktari wanasema kuwa miguu yake ime 'atrophy' yaani misuli imekwisha maana alikuwa hatembee. Wanasema huenda hatatembea tena na itabidi atembee kwa kiti maalum.
Boyfriend wake alisema kuwa eti alikuwa anatoka kwenye choo anaoga na kubadilisha nguo zake, lakini kwa hali wale EMT's na polisi waliyokuta wanampinga! Boyfriend wake anasema kuwa alikuwa anamwomba atoke chooni kila siku na alikuwa anajibu, "labda kesho". Ina maana alikuwa anakula chakula na kulala hapo hapo kwenye choo!

Sasa jamani, hicho choo kilikuwa hakisafishwi hivyo ilikuwa imejaa vinyesi na wadudu! Huyo boyfriend wake alikuwa anajisaidia wapi miaka yote miwili?

Huenda huyo boyfriend atafunguliwa mashitaka kwa kutomkutafutia huyo mwanamke msaada mapema!
Kwa habari zaidi someni:


Kuona video BOFYA HAPA

Kipanya na Skandali ya Gavana Spitzer!

TRANSLATION:

(TV Caption- Sex Scandal, Nee York Governor resigns)

Hooker: Darling, There is no need to worry...that is the USA and this is Bongo...we're very different!

John: Mh!

Kipanya (rat character): If this comes to our country, every week they will be exposing different leaders!

Friday, March 14, 2008

Mwafrika ashinda Dola Millioni moja kwenye Lottery Boston!


Kushoto ni Bwana Samuel Gbotee, ambaye kashinda dola milioni moja ($1,000,0000) kwenye tiketi ya bahati nasibu ya Massachusetts. Alipata donge nono kwenye tiketi ya '$5,000,000 Jackpot ' ambayo inauzwa kwa dola $10 kila moja. Kwa muda wa miaka ishirini atalipwa $50,000 kwa kila mwaka. Alinunua tiketi yake kwenye kituo cha petroli huko Lowell.
Bwana Gbotee anatoka Liberia, kwa sasa anakaa Lowell, Massaschuetts.
Jaribuni bahati yenu!
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA: