Saturday, August 30, 2008

Mgombea Miss Utalii aanguka Ziarani

Nimeona hizi picha kwa Michuzi Jr. (Jiachie Blog). Huyo mshiriki wa Miss Utalii alikuwa kwenye ziara. Ghafla alianguka. Wanasema kuwa harufu ya dawa wanazotumia kiwandani zilimwangusha. Inawezekana. Ila navyofahamu hizi pageant za urembo, mara nyingi mtu akianguka hivyo ni shauri ya njaa. Hao wagombea wanakula kidogo sana au hawali kabisa kusudi wakonde au wabakie wembamba. Wakati mwingine wanapata dehydration (ukosefu wa maji mwilini) na utapiamlo. Inatokea sana kwenye pageant za Marekani. Lakini kwa Bongo huenda ana malaria. Pole sana Sara Salum.
Mshiriki wa miss utalii 2008 Sara Salum kutoka Dodoma akipewa sapoti ya kutembea na baadhi ya wasimamizi wa walimbwende hao waliofika kushuhudia kazi za uchapaji ndani ya kiwanda cha Image Printer,kilichopo Nyerere road jijini dar. Moja ya washiriki wa miss Utalii Tanzania 2008, Sara Salum 25, Dodoma alidondoka katika ziara ya kutembelea kiwanda cha Image Printer leo mchana baada ya kuzidiwa na kemikali zinazotumika katika masuala ya uchapaji kiwandani hapo. (Picha kutoka Michuzi Jr. Blog)

Obama kumbe wamo!



Hii kideo ni ya siku nyingi. Cheki Obama alivyo na 'rhythm'.


Rais Bush na Rais Kikwete wazungumzia Malaria

Rais Kikwete akikutana na Rais Bush huko Oval Office, White House, Washington D.C. USA
Picha kwa hisani ya Freddy Maro wa Ikulu

US, Tanzania Leaders Discuss Malaria
By Scott Stearns
White House
29 August 2008


U.S. President George Bush and Tanzanian President Jakaya Kikwete met Friday at the White House to talk about fighting malaria. VOA White House Correspondent Scott Stearns has the story.

President Bush's malaria initiative has reached some 25 million people in Sub-Saharan Africa over the last three years.

Nowhere has it had a more dramatic impact than on the Indian Ocean island of Zanzibar, where insecticide-treated bed nets and indoor spraying have reduced malaria's incidence from about 20 percent of the population to just one percent.

Zanzibar is part of Tanzania, and President Kikwete thanked President Bush for America's help in curbing malaria on the island, as well as working to confront the disease on the mainland.

"Of course, our biggest challenge now with Zanzibar is how to sustain that success, because only [30 kilometers] away on the mainland, in Dar es Salaam, malaria is still there," he said. "So, if people go to Zanzibar with malaria, then the problem is there."

At least one million infants and children under five die from malaria each year in Sub-Saharan Africa.

Fighting the disease was a big focus of the president's trip to Africa earlier this year, when he met with President Kikwete at State House in Dar es Salaam.

Speaking to reporters following their Oval Office meeting Friday, President Bush again thanked President Kikwete for his hospitality, and praised his determination to use foreign assistance wisely.

"I am confident in saying to the American people that your money is being spent wisely and compassionately in Tanzania, and a lot of it has to do with the leadership of the president," said the U.S. president. "He stood up and said, 'We've got a problem, and I'm going to take the lead.' And his government has been responsive to the needs of the people."

The president's malaria initiative is spending more than $1 billion over five years to cut malaria deaths by half in 15 African countries.

During their White House talks, President Bush and President Kikwete also discussed efforts to resolve political divisions in Zimbabwe and end the violence in Sudan's troubled Darfur region.

President Kikwete has been involved in both efforts in his role as the current chairman of the African Union.

Will Smith akutana na Rais wa Zanzibar

Rais wa Zanzibar mh. Amani Abeid Karume akiongea na mcheza sinema wa Marekani Will Smith
Rais wa zanzibar mh. Amani Abeid Karume na mkewe Mama Shadya katika picha ya pamoja na Will Smith na mai waifu wake Jada Pinkett Smith leo huko Ikulu, Zanzibar.
Picha kwa hisani ya kwa mdau Othman Maulidi wa Zanzibar.

Thursday, August 28, 2008

Afande Chemi!

Wadau tangu jana ninaigiza katika sinema, Edge of Darkness, hapa Boston. Stelingi wake ni Mel Gibson na Robert DeNiro.

Ninacheza kama askari polisi wa kike (background). Nitaitwa mara kwa mara kuigiza kwenye background hadi wanapomaliza ku-shuti mwezi Desemba. Nilipatwa na butwaa nilipopigiwa simu wiki mbili zilizoipita na kuambiwa kuwa nimechaguliwa na mwongoza sinema, kuwa askari kanzu wa kike. Na tena si kwa siku moja tu.

Haturuhusiwi kupiga picha kwenye set hii nimepiga mwenyewe Dressing Room. Ninavaa bastola bandia na madude mengine wanaovaa polisi wa Boston.
Mel Gibson mtu poa sana, jana alikuwa anatuchekesha kwenye set, leo alikuja kula lunch kwenye meza tuliyokuwa tunakula. Kaongea vizuri tu na sisi. Tulishangaa kuona mtu "A" list kama yeye anafanya hivyo. Mara nyingi wanaenda kula kwenye trela au hoteli lakini siyo na extras.
Haya nitawapa updates.

Mcheza sinema, Gbenga Akkinabe (The Wire) mwenye asili ya Nigeria anaigiza kwenye hiyo sinema kama mpelelezi. Nimeongea naye kidogo, alisema kuwa ana marafiki wengi kutoka Tanzania huko New York.

Wednesday, August 27, 2008

Obama Ateuliwa Rasmi!


Senator Barack Obama wa Illionois, leo ametuliwa rasmi kuwa mgombea rais wa Marekani kupitia chama cha Democrats. Ni jambo la kihistoria maana yeye ni mtu mweusi wa kwanza kuteuliwa na chama kikubwa hapa Marekani kuwa mgombea rais.

Kesho Obama atakubali kuteuliwa kwake. Watu wanangojea kwa hamu kusikia atasema nini.

Mungu amlinde yeye na familia yake maana wabaguzi bado wamejaa hapa Marekani. Hata juzi tuklisikia wazungu watatu walikamtwa wakiwa na mpango wa kutaka kumwua kesho akienda kutoa hotuba yake huko Colorado.
Kwa habari zaidi soma:

Tuesday, August 26, 2008

Mtoto alazimishwa kufanya mapenzi na Mbwa Mwanza!


Wadau, sikumbuki ni mwaka gani lakini nadhani ilikuwa kama 1989. (Michuzi hebu toa ile story kwenye Daily News Archives) Wazungu waItalia walimchukua malaya huko Dar na kumlazimisha afanya mapenzi na mbwa aina ya German Shepherd maeneo ya Kunduchi! Wale wazungu walikamtwa na kufukuzwa nchini (deported).

Kuna wazungu wenye tabia chafu ya kutembea na mbwa. Hapa Boston kuna mama moja alifungwa hospitali ya vichaa baada ya kugundulika alikuwa anafanya mapenzi na mbwa wake. Huyo mbwa alimwita 'bwana yake'! Watu walikuwa wanapita na kuona mbwa kampanda huko anafurahia ndipo wakaita polisi.

Je, hao waliomlazimisha huyo binti huko Mwanza afanye na mbwa watafanyiwa nini? Inaelekea wabongo walishiriki kwenye huo mkasa! Sijui walitaka sinema ya bure. Hizi sinema za magharibi zinaharibu watu!

Asante Kaka Edwin Ndaki kwa kunidokeza kuhusu hii habari ya kusikitisha.


************************************************************************

Kutoka Edo Ndaki Blog:

Wamewachuna ngozi watoto miaka kadhaa iliyopita.Wamekuja na stahili ya kuwaua na kuwakata viuongo wenye ulemavu wa ngozi(albino).Wamewaongezea nauli ya daladala.Wameziba masikio ..hawasikii tena kilio chao

Tukio limetokea wilaya ya sengerema mkoani Mwanza.Mtoto mwenye umri wa miaka 13(jina limeifadhiwa).Ilikuwa jioni akiuza maandazi na kuja kuchukulia na mwanamke Shija Mdata na kumpelekea kwenye kituo cha utafiti wa madini kinachomilikiwa na kampuni ya madini ya Barrick.

Shija akishirikiana na watu watatu walitumia nguvu kumpeleka kwenye banda la mbwa. Walimwinamisha mtoto huyo na kumlengesha maungo yake ya siri usawa wa mbwa, na kisha mbwa kumwingilia.

Mbali ya mtoto huyo kulia kwa uchungu kuomba msaada ,lakini waliendelea kumshikilia huku akingiliwa mpaka pale mbwa alipokidhi haja yake.

Baada ya ukatili huo walimpatia shilingi 1000 ya matababu na pia asitoe siri.

Alipokwenda katika zahanati moja na kupimwa, alikutwa na usaha mwingi katika haja ndogo na hivyo kupewa vidonge vya kumsaidia kutoa uchafu huo, pamoja na dawa za kupunguza maumivu.

Ni habari ya kusikitisha sana.Inaumiza sana.Haiwezi kuvumilia.Ni mara ngapi tunasikia vilio vya wanaofanyiwa ukatili huu.Wengine wanaishia kuteseka na kukaa kimya.

Unasemaje baada ya kusoma hii habari ili tuokoe jamii yetu.Huo ndio utafiti wa madini?

Tutafika tu.

Habari zaidi soma

Wanafunzi wamwua Mwalimu wao Bongo!

Jamani! Bongo kuna nini siku hizi wanafunzi wanamwua mwalimu wao!!! Khaa! Na hivyo wana miaka 18 watawasaidia polisi na uchunguzi wao mpaka wana miaka 50!
*******************************************************************

Kutoka Michuzi Blog:

Wanafunzi mbaroni kwa tuhuma za kuua mwalimu wao

Habari toka Singida zinasema polisi mkoani humo wanawashikilia wanafunzi wanne wa shule ya sekondari ya Chemchem katika wilaya ya Iramba kwa tuhuma za kumuua mwalimu wao wa nidhamu, Rajabu Dude (49).

Kamanda wa polisi mkoani humo afande Celina Kaluba amewataja watuhumiwa hao mbele ya waandishi wa habari kuwa ni Shani Mtua (18), Mohamed Salum (18) and Emmanuel Daud (18) wote wanafunzi wa kidato cha tatu pamoja na Michael Msengi (18) wa kidato cha nne.

Kamanda Kaluba amesema kwamba tukio hilo lilitokea alhamisi usiku majira ya saa mbili unusu wakati marehemu akiwa anatoka kwenye matembezi katika kilabu moja cha pombe kijijini hapo.

Amesema wakati mwalimu akiwa anarejea kwake akiimba kwa furaha, alivamiwa na kukatwakatwa na kichwani na kuchomwa kisu kifuani, kabla washambuliani hawajatokomea gizani.

Kamanda huyo amesema mwili wa marehemu uligunduliwa na wanakijiji wenzie ambao waliuarifu uongozi na taarifa kupelekwa kituo cha polisi ambako upelelezi ulianza mara moja. Ndipo watuhumiwa hao wanne, ambao amesema wamekiri kuhusika na shambulio hilo, walipotiwa mbaroni.

Kamanda huyo pia alisema baada ya kukamatwa wanafunzi hap waliisaidia polisi kukipata kisu kinachosadikiwa kutumika katika shambulio kikiwa kimetupwa kichakani karibu na eneo la tukio.

Haikuweza kufahamika sababu ya shambulio hilo, lakini Kamanda huyo wa polisi amesema huenda lilisababishwa na kulipizwa kisasi kufuatia adhabu aliyopewa mmoja wa watuhumuwa siku chache zilizopita.

Amesema watuhumiwa watafikishwa mahakamani mara tu baada ya upelelezi kukamilika. Hakutaja itakuwa lini zaidi ya kusema upelelezi unaendelea

Will Smith safarini Bongo



(Picha kutoka Michuzi Blog)


Nimefurahi mno kuwaona akina Will Smith na mke wake Jada Pinkett Smith safarini Tanzania. Hasa baada ya kumwona Jada akikata mitaa ya Boston mwaka jana kwenye shuti ya sinema mpya The Women. Bahati mbaya sikuweza kushiriki kwenye hiyo sinema.

Haya papparazi wa Zanzibar tupeni Scoop! Natumaini Will Smith na Jada watapapenda Tanzania kiasi cha kutaka kushuti sinema huko. Mnakumbuka walishuti ile sinema ya Ali, Msumbiji na Ghana.

Kongamano la CUF

CUF waandaa kongamano la ukosefu wa uongozi na hatma ya Tanzania

Chama Cha Wananchi
Office of The Secretary General
P.O. Box 10979
Dar Es Salaam, Tanzania
www.cuftz.info
www.hakinaumma.wordpress.blog

TAREHE: 26/08/2008

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

KUHUSU: KONGAMANO LA KITAIFA KUJADILI
UKOSEFU WA UONGOZI NA HATIMA YA TANZANIA

Imetolewa na Mbaralah Maharagande,
Mkurugenzi Haki za Binadamu na Mahusiano ya Umma.

Nchi yetu inapita katika moja ya kipindi kigumu katika historia yake tokea ilipopata Uhuru mwaka 1961. Hali ya uchumi ni ngumu sana huku gharama za maisha zikipanda kwa kasi ya ajabu chini ya falsafa ya ari, nguvu, na kasi mpya. Tofauti za kipato na kiwango cha maisha kati ya matajiri wachache na walalahoi walio wengi inazidi kuongezeka. Migomo ya wafanyakazi na wanafunzi imekuwa ni jambo la kawaida hivi sasa.

Nyufa katika Muungano wetu zinazidi kukua na hata kutishia uhai wa Muungano wenyewe. Migawanyiko ya kidini inaonekana kuzidi kujikita. Mpasuko wa Kisiasa Zanzibar umeshindwa kupatiwa jibu huku uchaguzi mkuu wa 2010 ukiwa unakaribia. Serikali inaonekana kuzidiwa nguvu katika mapambano dhidi ya ufisadi na sasa mafisadi wanaonekana kutamba. Taifa linakwenda bila ya Dira wala Mwelekeo unaoeleweka. Wananchi wanaonekana kukata tamaa.

Matatizo haya kwa kiasi kikubwa yanaonekana kusababishwa na ukosefu wa uongozi thabiti, makini na adilifu. Hii si hali nzuri na tusipokuwa makini Taifa litayumba sana. Wazalendo wakweli wa Tanzania hawapaswi kukaa kimya na kusubiri matokeo ambayo kwa vyovyote vile hayawezi kuwa mazuri.

The Civic United Front (Chama Cha Wananchi-CUF) kikiwa chama makini kikuu cha upinzani nchini, kinachotegemewa na Watanzania walio wengi, kimeandaa kongamano maalum kujadili na kubadilishana mawazo kuhusu hali hii ya ukosefu wa uongozi na athari zake kwa hatima ya Tanzania. Kongamano hilo litafanyika siku ya Alhamis, tarehe 28 Agosti, 2008, kuanzia saa 3.30 asubuhi katika ukumbi wa Diamond Jubilee, mjini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Taifa wa CUF, Mhe. Prof. Ibrahim Lipumba, atawasilisha mada kuhusu UKOSEFU WA UONGOZI NA HATIMA YA TANZANIA na baadaye washiriki watapata nafasi ya kuichambua mada hiyo na kutoa maoni na mtazamo wao.

CUF imewaalika watu mbali mbali kushiriki katika kongamano hilo wakiwamo viongozi wa vyama vya siasa, wahariri na waandishi wa vyombo vya habari, taasisi za kiraia na kijamii, viongozi wa kidini, wasomi na wataalamu, maofisa wa kibalozi wanaowakilisha nchi zao hapa Tanzania, wabunge na wajumbe wa Baraza la Wawakilishi.

HAKI SAWA KWA WOTE
Mbaralah Maharagande,
Mkurugenzi wa Haki za Binadamu na Mahusiano ya Umma.

0773 062 577

Radar Dar ni Mbovu!

Duh! Pesa zote zilitumika kununua hiyo radar na sasa ni mbovu! Si bora wangekarabati barabara au kujenga hospitali! Na nakumbuka ilivyouzwa ilikuwa skandali kwenye Bunge la Uiingereza maana walidai ufisadi wakati huo. Mpaka watu walidai turudishiwe dola zetu $45 millioni!

Na bado sijaelewa hiyo radar ilikuwa na faida gani kwa Tanzania maana air traffic siyo kubwa.

Labda ingesaidia usiku ule fulani wa mwaka 1978. Taa zote zilizimwa mjini Dar es Salaam, eti makababuru wa South Africa walitaka ku-bomu Dar!


***************************************************************

Controversial radar switched off

Kutoka ippmedia.com

2008-08-26
By Njonanje Samwel

The multi-billion air traffic control system at the Julius Nyerere International Airport (JNIA) in Dar es Salaam has developed a technical glitch, The Guardian can authoritatively report.

The combined civilian and military radar system, which the UK`s BAE Systems sold to Tanzania in 2001, has been non-operational for over a month now.

Infrastructure Development minister Dr Shukuru Kawambwa said in a recent interview that he was unaware of such developments, but yesterday, Tanzania Civil Aviation Authority director general Margaret Munyagi confirmed the information.

``Yes, the air traffic control system (radar) has been switched off,`` said the TCAA head during an interview.

According to her, the USD40m (over 40bn/-) equipment had been ``switched off`` after a component that supplies emergency power during interruption became defective.

``As a precaution, we decided to switch it off to avoid anything wrong that would happen from running it without the component,`` she explained.

The component, which is part of the radar system she identified as uninterruptible power supply (UPS), is used to provide backup power when commercial current is off.

However, Munyagi downplayed the technical glitch, saying was ``normal and a minor one,`` and would not affect airport services and other operations.

She said TCAA technicians were working on an option to procure from abroad a new UPS as soon as possible. She said the authority was now sorting out quotations from various UPS suppliers.

In an earlier interview, Dr Kawambwa dismissed the reports as mere speculation.

``I have no such information. If there is any, it would just be mere speculation,`` he said. He, however, promised to find out the truth on the matter.

In 2001, the government bought the radar from the British giant weapons and rms manufacturer ? British Aerospace (BAE).

The move however, was strongly opposed by members from both, UK?s House of Commons and the Parliament of Tanzania.

The World Bank, International Monetary Fund and International Civil Aviation Organisation also revealed their opposition to the deal, saying it was not economical.

ICAO made it clear that the technology was old-fashioned and expensive, that it would cover only half the country at best, and would not provide the country with the air traffic control that it needed to develop its tourist industry.

Members of the UK?s lower house expressed grave concern and they accused bribery in the process of its sale.

One of them, Clare Short, had told the House of Commons: ``I should say to the House that the police came to see me and said that they have documents showing that it was bribery.``

UK`s Serious Fraud Office (SFO) is currently investigating claims that BAE Systems bribed some Tanzanian officials and businessmen to help push the deal through, fully knowing that the facility involved had used ageing technology that was both inadequate and too expensive.

The radar scandal started way back in 1999, when the government of Tanzania signed a contract with BAE Systems for a combined civilian and military-use radar system.

Two years later, a World Bank report concluded that the system offered poor value for money and was unsuitable for Tanzania`s needs.

The World Bank subsequently asked the ICAO for a more detailed report, and, in November 2001, the ICAO report raised concerns about the project and recommended a further report.

During an official tour of Western Europe, President Jakaya Kikwete expressed concern over the issue and censured London for allowing its company?BAE Systems to ``steal`` poor Tanzanian tax-payers` money.

SOURCE: Guardian

Monday, August 25, 2008

Da Nuru Mkeremi akumbuka Wagonjwa wa Kansa Tanzania


Hivi karibuni, Dada Nuru Mkeremi alifiwa na Mama yake mzazi Mama Nellie Kidela, ambaye alikuwa mtangazaji miaka mingi Radio Tanzania. Dada Nelie aliugua kansa ya ziwa muda mrefu. Alifariki mwaka jana mjini Dar es Salaam. Rest in Peace.

Juzi Da Nuru alituma huo ujumbe kwa marafiki zake
.

********************************************************************

Hi yall, I was comforted when I heard that my mom was surrounded by people of God when she was on her dying days........It still hurts, don't get me wrong.

This morning I remembered all those cancer patients at Ocean Road Hospital who have been referred from other hospitals............who is there to comfort them? Who is there to cry with them? How many people really pray for them and their families? I just mentioned Ocean Road hospital to represent all other hospitals.

I guess I was called for this, I ask my friends for supports both spiritually and materially. I do this in honor of all those who were there for my mom. God bless you all mightly in Jesus name!!Amen

WaTanzania na Kodi

Changes in Citizens’ Perceptions of the Local Taxation System
in Tanzania


by Odd-Helge Fjeldstad, Erasto Ngalewa and Lucas Katera

Brief 12 from REPOA examines citizens’ perceptions of local taxation, investigating why residents do or do not pay local taxes, and their perceptions of misuse of tax revenue. Respondents’ opinions are given on:

- why people pay local taxes;

- their perception of the provision of public services which are financed by tax revenue collection;

- perceptions of misuse of tax revenues, and

- reporting corruption within local taxation systems.

The conclusion is that improved tax compliance is dependent upon citizens perceiving that their local government is trustworthy, and that the taxes are appropriately collected and used to provide public services. Administrative and legal measures are needed to ensure transparency in the collection and disbursement of tax revenues at the local level, to enable citizens to confidently report official misuse of revenue, and to address cases of corruption.

You can access the electronic copy of this brief on REPOA’s website, or please contact REPOA if you would like to receive a printed copy.

You will find further material on accountability and corruption on pages 55 to 58 of the recently released report: ‘The Views of the People 2007’. This is a large report to download, but the pages I am referring to are in chapter 13 of part III, so you can just download this section. The printed copy of this report is also available from REPOA.

The brief is based on the findings from two surveys conducted in 2003 and 2006 of 1,260 respondents from the Bagamoyo, Iringa, Kilosa and Moshi District Councils, as well as Ilala Municipal Council and the Mwanza City Council. This brief has been produced as part of REPOA’s Local Government Reform Formative Research Programme. This research study of six councils, which has been running since 2002, documents the processes of change and impacts of the Local Government Reform Programme in Tanzania .

I would appreciate it if you would let me know if you use this brief or report in an item your produce. This means that I can let others know to look out for the item, and where possible, circulate a copy of the article to those who may have missed seeing your article.

Thank you

Sonja

Sonja Tiscenko
Communications Manager
For Executive Director

Tel.: +255(0) (22) 270 00 83 Fax: +255(0)(22) 277 57 38
Mobile: +255 (0) 754 864 438 Email: sonja@repoa.or.tz
P.O. Box 33223 , Dar es Salaam , Tanzania
Plot 157 Mgombani Street , Regent Estate, Dar es Salaam
Website: http://www.repoa.or.tz/

Research on Poverty Alleviation, REPOA, undertakes and facilitates research, conducts and coordinates training, and promotes dialogue and development of policy for pro-poor growth and poverty reduction.

Auwawa ndani ya Daladala!

Jamani, mbona kuna vituko huko Dar. Unapanda daladala mzima, unashushwa maiti! Mola ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Amin.

*************************************************************
Hatari! Abiria Dar kauawa ndani ya daladala

Kutoka ippmedia.com

2008-08-25

Na Moshi Lusonzo, Pilosi Kati


Ukusimulia tukio hilo, utadhani ni zile hadithi za kubuni za elfu lela ulela siku alfu na moja. Lakini amini usiamini, limetokea Jijini Dar es Salaam.

Mtu katoka nyumbani kwake salama, akavuka barabara salama, akapanda basi salama, halafu akauawa akiwa ndani ya daladala!

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Emmanuel Kandihabi amesema tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana mishale ya saa 3: 45 usiku katika barabara ya Kilwa eneo la Madafu Jijini.

Amemtaja aliyeuawa kuwa ni Suleiman Namumila, mkazi wa Mbagala Kwa Mangaya aliyekuwa kwenye daladala yenye nambari za usajili T989 ARL aina ya Toyota DCM inayofanya safari zake kati ya Mwenge na Mbagala.

Akisimulia mkasa huo kwa undani, Kamanda Kandihabi amesema kwenye daladala hiyo alipanda abiria mmoja mwenye asili ya Kiarabu, ambaye alianza kuzozana na konda akidai amepilizwa kituo.

Kwa mujibu wa Kamanda Kandihabi, mzozo huo ulianza mara baada ya daladala hiyo kuondoka kituo cha Kwa Aziz Ally ambapo abiria huyo alidai kuwa alipaswa kushushwa.
Akasema gari hiyo ilipofika kwenye kituo cha Kwa Madafu, ikasimama ili abiria huyo ashuke.

Hata hivyo akasema wakati abiria huyo akishuka, alimkaba na kumkunja shati konda wa daladala aitwaye Yusuph Hassan, 27, akidai kuwa ndiye aliyesababisha yeye apitilize kituo chake cha kushukia.

Kamanda Kandihabi akasema baada ya abiria wengine kuona hivyo, wakaingilia kati kumtetea konda wao, kwa madai kuwa abiria huyo amepitiliza kituo chake kutokana na uzembe, kwa kuwa gari lilisimama pale kwa Aziz Ally.

Akasema Mwarabu huyo alipoona abiria wote wanamjia juu, akachomoa kisu kutoka mfukoni na kumchoma kifuani Suleiman ambaye alionekana kuwa alikuwa akimsaidia konda.

Akasema baada ya tukio hilo, Suleiman alikimbizwa katika hospitali ya Temeke kwa matibabu, lakini alifariki wakiwa njiani.

Kamanda Kandihabi amesema Mwarabu huyo baada ya kumchoma kisu Suleiman alikimbia na jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta.

Amesema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Temeke.

Big Brother Africa 3

Latoya (Tanzania)


Mwakilishi wetu kwenye Big Brother 3 ni Bi Latoya Lyakurwa, kutoka Arusha. Namtakia mema na naomba afanikiwe kushinda. Ila nashangaa favorite TV Shows, sinema, muziki zote ni za West. Si angetupiga jeki, waBongo. Mfano, " I love to listen to Tanzanian musicians like ....

Unaweza kusikia mahojiano kati ya Latoya na Big Brother huko Diary Room.


***********************************************
Name: Latoya Lyakurwa

Age: 21

City of Residence: Arusha
21-year-old secretary Latoya from Tanzania describes herself as an extrovert because she likes people and loves to have fun. She says that she thinks she was chosen for Big Brother Africa because she has what it takes and says that she is the ‘right ingredient to spice up the house.’The bubbly Latoya loves to shop, and enjoys dancing. Her favourite actors are Chris Tucker and Owen Wilson, and her favourite movie is the blockbuster DreamGirls. She enjoys tuning for The Tyra Banks Show and currently her favourite tune is Upgrade You by Beyonce and Jay-Z. Other performers she listens to include Linkin Park and Ludacris. Latoya would like to visit Jerusalem. Asked about her favourite memory, Latoya says that it was time spent with her first love. Close to her family, she says that if she wins USD 100 000 she’ll use it on them. Commenting on her country, she says that Tanzanians are nice and humble and that the best place to visit in Tanzania is the Ngorongoro Crater.
Bofya chini kwa updates za Big Brother 3

Saturday, August 23, 2008

Wake wa Mzee Mandela


Wake wa Mzee Mandela.

Mke wa sasa Nelson Mandela, Mama Graca Machel (kushoto) akimpiga busu mke wa zamani wa Mandela, Winnie Mandela (kulia), kwenye sherehe za kusherekea birthday ya 90 ya mume wao. Naona wanapatana vizuri tu. Je, wana-share siri za kumfurahisha mzee?

Ukweli Kuhsu Wanaume


Imeandikwa na Kaka Lazarus Mbilinyi

Wanaume viumbe wa ajabu sana, atakupa raha zote na ahadi kedekede, muhimu kutambua je, ni tamaa au upendo wa kweli?

Ni vizuri wanawake wote wakajua kwamba:Kufanya mapenzi kabla ya kuoana (premarital sex) na mwanaume haiwezi kukusaidia yeye ku – fall in love na au wewe kuwa mtu special kwake au kukuhakikisha mahusiano yanayoyumba yasimame vizuri au hata kusaidia mwanaume aji-commit kwako.
Mwanaume akiwa serious na mwanamke anayemtaka kumuoa ataweza kuvumilia sex kwa muda wowote mliokubaliana hadi ndoa.Mwanaume anapokujia kuna mambo mawili kutoka kwake jambo la kwanza inaweza kuwa ni tamaa zake na jambo la pili ni upendo wa kweli.
Pia usichanganye hayo mambo mawili.Kama mwanaume anakutaka kwa ajili ya tamaa zake, kitu cha maana anachokitaka kwako ni kutimiza malengo yake ya kukuchezea kwa ajili ya raha zake (sex). He is just for fun, hata kama atakuahidi mambo makubwa bado anakuwa lengo ni kukuchezea tu.
Kama mwanaume anakutaka kwa ajili ya upendo wa kweli, atakuwa tayari kuvumilia kukusubiri kwa sababu upendo wake ni zaidi ya sex, kwake maisha kwanza na yupo tayari kuvumilia.
Pia mwanamke kuwa bikira au mtakatifu (untouched) ni vitu ambavyo wanaume wanapenda sana, sababu ya msingi ni kwamba mwanaume akimpata mwanamke ambaye hajawahi kuwa na mwanaume mwingine hujisikia vizuri sana, anamwona ni mwanamke special na pia anampa feelings zaidi.
Hii ni kumaanisha kwamba jinsi mwanamke anavyokuwa na wanaume wengi kabla ya kuolewa hupunguza nafasi ya wanaume kujisikia vizuri kumuoa.

Njia nzuri ya kujua mwanaume anakupenda kwa upendo wa kweli uwezo wake wa kuwa serious na wewe ni jinsi anavyovumilia kuhakikisha mnaepuka sex kabla ya ndoa.
Mnaweza kusoma mada zingine za Kaka Mbilinyi kuhusu mapenzi bora huko The Hill of Wealth Blog:

Mdogo wake Obama anaishi kwa dhiki Nairobi


Mdogo wa mwisho wa Senator Barack Obama, ambaye anagombea urais wa Marekani, amaepatikana huko Nairobi Kenya. George Hussein Obama (26) anaishi kwa dhiki huko kwenye kitongoji cha Huruma.
Vyombo vya habari hapa Marekani vinamsema Obama. Wanasema kuwa Obama anaishi kwenye nyumba ya fahari, huko modogo wake anaishi kwenye eneo hatari na kwenye dhiki.
Lakini niulize, unadhani wazungu hapa watafurahi kusikia kuwa Obama mdogo kapata visa kuja Marekani? Wanafiki kweli! Hawapendi kuona weusi wanapata visa, walilamika kweli waHaiti na waSomali walivyopata visa kwa wingi kuja Marekani, lakini husikii wakilalamika kuwa wazungu kutoka Bosnia au Russia wanapata visa. Na ngoja, mtasikia wazungu wa Georgia wamepata kwa wingi. Hakuna atakayesema kitu.
Haya tuone Obama atamsaidiaje ndugu yake. Inaelekea kuwa ndugu zake wengine hawako karibu naye huyo kijana.
Kwa habari zaidi someni:


Obama amchagua Senator Biden


Mgombea rais wa Marekani kutoka chama cha Democrats, Senator Barack Obama, amemchagua Senator Joe Biden (pichani) kutoka jimbo la Delaware kuwa mgombea mwenzake.
Haya tuone matokea yatakuwa nini. Huyo Mzee Biden aliwahi kumkashifu Obama. Ndo siasa hiyo.. Mmh!
***********************************************************************
Barack Obama selects Sen. Joe Biden of Delaware to be his vice presidential running mate

By LIZ SIDOTI and NEDRA PICKLER , Associated Press
August 23, 2008

WASHINGTON - Barack Obama named Sen. Joe Biden of Delaware as his vice presidential running mate early Saturday, balancing his ticket with a seasoned congressional veteran well-versed in foreign policy and defense issues.

Obama announced the pick on his Web site with a photo of the two men and an appeal for donations. A text message went out shortly afterward that said, "Barack has chosen Senator Joe Biden to be our VP nominee."

Biden, 65, has twice sought the White House, and is a Catholic with blue-collar roots, a generally liberal voting record and a reputation as a long-winded orator.

Across more than 30 years in the Senate, he has served at various times not only as chairman of the Foreign Relations Committee but also as head of the Judiciary Committee, with its jurisdiction over anti-crime legislation, Supreme Court nominees and Constitutional issues.

In selecting Biden, Obama passed over several other potential running mates, none more prominent than former first lady Hillary Rodham Clinton, his tenacious rival in dozens of primaries and caucuses. Clinton issued a statement Saturday praising Obama's decision and calling Biden "an exceptionally strong, experienced leader and devoted public servant."

Obama's campaign arranged a debut for the newly minted ticket on Saturday outside the Old State Capitol in Springfield, Ill.

Obama's decision leaked to the media several hours before his aides planned to send a text message announcing the running mate, negating a promise that people who turned over their phone numbers would be the first to know who Obama had chosen. The campaign scrambled to send the text message after the leak, sending phones buzzing at the inconvenient time of just after 3 a.m. on the East Coast.

Hundreds of miles to the west, carpenters, electricians, sound stage gurus and others transformed the Pepsi Center in Denver into a made-for-television convention venue.

Ujiondoe Mwenyewe - Illegal Aliens

Hi programu ya "Self Deportation" inafutwa. Serikali wanasema wataendelea kusaka illegals na kuwaondoa.

Hapa Boston illegals wanahaha ingawa kuna miji kadhaa ambao wako salama.

*********************************************

SANTA ANA, Calif. (AP) -- Federal immigration officials vowed Friday to intensify efforts to track down illegal immigrants after scrapping a trial "self-deportation" program that attracted only eight volunteers.

Though the 2 1/2-week effort produced few volunteer deportees among illegal immigrants who are under court orders to leave the country, a U.S. Immigration and Customs Enforcement official said his agency will arrest more of them this year than last -- and still more next year as more agents are assigned.

"We are going to continue our enforcement of immigration law whether it is convenient for people, or whether it's not convenient," Jim Hayes, ICE's acting director of detention and removal operations, told reporters.

"Congress has mandated that we enforce these laws and that is what we intend to do," he said.
Immigrant advocates accused ICE of using the failure of the "Scheduled Departure" program to justify raids that have caused many illegal immigrants to live in fear of a pre-dawn knock on the door. They ridiculed the self-deportation program, saying it gave people no incentive to surrender.

"It seems to me ICE used this as nothing more than a publicity ploy as a means to justify their harsh enforcement of immigration law," said Charles Kuck, president of the American Immigration Lawyers Association.

Kuck said he supports enforcement but that ICE could handle cases in a gentler way after arresting people at home. Instead of jailing them, for example, they could allow them to wear ankle bracelets while preparing to depart.

The self-deportation pilot program gave illegal immigrants up to 90 days to leave the country and was intended to quell criticism that its enforcement is heavy-handed and disruptive to families. Critics noted that those who participates were barred from returning to the United States for as long as a decade.

The program applied to only about 457,000 of the estimated 12 million illegal immigrants nationwide. It was open only to those who have ignored judicial orders to leave the country but have no criminal record.

The program was offered in five cities: Charlotte, N.C., Chicago, Phoenix, San Diego and Santa Ana. ICE estimates that 30,000 eligible immigrants live in those areas.

ICE has been steadily expanding the number of agents charged with finding fugitive illegal immigrants. Its fugitive operation teams made more than 30,000 arrests during the last fiscal year, nearly double from the previous 12-month period.

Hayes said that during the time the self-deportation program was going on, the teams made 1,300 arrests.

Critics say ICE often arrests others who just happen to be at home when agents come looking for fugitives. About 31 percent of immigrants arrested by the teams last year had no order to leave the country or criminal record.

ICE has also been increasingly raiding workplaces, including nearly 400 people in May at an Iowa meatpacking plant, the largest single-site raid in U.S. history.

The eight volunteers include an Estonian man in Phoenix, a Guatemalan man and Indian couple in Chicago, a Salvadoran man in Charlotte, a Mexican woman in San Diego and a Guatemalan man and Lebanese man in Santa Ana, according to ICE.

ICE spent $41,000 to advertise the program. Hayes said the government saved money because the cost of detaining the eight who turned themselves in would have been $54,000.

Friday, August 22, 2008

Ridhiwani Kikwete Aoa!

Ridhiwani Jakaya Kikwete akiwa na mai waifu wake mara baada ya kufunga ndoa leo ukumbi wa ubungo plaza, dar. Maharusi wote ni wanasheria na wanafanya kazi mjini Dar es Salaam.

Akina dada mliokuwa mnamwania bachela Ridhiwani Kikwete, mlie tu. Leo amemwoa kipenzi chake Bi Arafa Mohamed. Hongera Ridhiwani na Arafa, nawatakaieni maisha mema ya ndoa. Zaeni matunda mema.

Pichani - Rais Jakaya Kikwete akimuaga mkwewe Bi.Arafa Mohamed pamoja na mtoto wake Ridhwani Kikwete muda mfupi baada ya mtoto wake kufunga ndoa na Bi Arafa katika ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam leo majira ya alasiri kuelekea Magharibi. Picha imepigwa na Freddy Maro wa Ikulu.

Kichekesho

Vp mambo DA CHEMI,Ni matumaini yangu u-mzima wa afya.
Nimependa kukutumia kichekesho hiki uweke katika blog ili tuweze kushare na
wadau. W.K.

****************************************************************

MFUNGWA MWAFRIKA

Mfungwa mmoja Mwafrika,alitoroka jela baada ya kukaa miaka 15.Katika
kukimbiakimbia akajikuta anaingia nyumba moja na kuwakuta mke na mume wamelala
kitandani wakiwa kama walivyozaliwa.

Mfungwa akatumia mabavu akamtoa mue kitandani na kumfunga kamba kwenye kiti,
kisha yeye akaenda kumbusu kwenye shingo mke wa jamaa.Ghafla akaingia bafuni.

Wakati yupo bafuni, jamaa mwenye mke akamwambia mkewe;

"Sikiliza mke wangu, huyo bwana anaonekana ni mfungwa, angalia magwanda
yake!!
Inaonekana amekaa sana jela na hajalala na mwanamke siku nyingi sana. Hivyo mpe
chochote atakacho na usibishe, hata akitaka penzi mpe vinginevyo atatuuwa wote
wawili. Fanya ufanyavyo ili umridhishe huyu bwana aende zake,vumilia
mpenzi,nakupenda sana na nitaendelea kukupenda zaidi.

Mke Akajibu;

" Ni kweli usemavyo mume wangu. Huyu bwana hajalala na mwanamke siku
nyingi,ila aliponibusu shingoni alininong`oneza kwamba,MUME WAKO NI MZURI NA
AMENIVUTIA ZAIDI,KUNA MAFUTA YOYOTE?"Nikamjibu yapo bafuni na ndiyo
kayafuata!!Vumilia mume wangu,nakupenda sana na nitaendelea kukupenda
zaidi."

KAZI NJEMA.

DVD za Bongoland II Zinapatikana sasa!


Kwa wadau wa Boston, nitakuwa nazo wiki ijayo. Unaweza kuwasiliana na mimi kupitia e-mail chemiche3@yahoo.com.

************************************************************************
Taarifa kutoka Kibira Films:

BONGOLAND II - IMETOKA KWENYE DVD - AGIZA LEO

Kusubiri kumekwisha BONGOLAND II imetoka katika DVD. Jipatie nakala yako kwa kubofya hapa.

Kama kawaida ys filamu za Kibira Films , unapojipatia filamu ya Bongoland II unapata zaidi ya filamu yenyewe katika DVD. Utaweza kuona jinsi sinema hiyo ilivyotengenezwa pale mjini Dar, katika vitongoji vya Manzese, Magomeni na Tenki Bovu. Pia utaona milolongo iliyowatesa watengenezaji wa sinema hii walipokuwa pale mjini Dar. Vile vile utaona watu wote walioshiriki katika utengenezaji wa sinema hii kama waliotupatia nyumba, usafiri na kadhalika. Pia katika DVD hiyo utaona scene ambazo ingawaje zilikuwa sehemu ya sinema, lakini hazikutumiwa katika makala ya sinema ya mwisho.

Mwisho unapata sinema iliyotengenezwa na wasanii wa kitanzania waliokubaliwa katika matamasha ya kimataifa kuanzia Zanzibar, Marekani na Uingereza mwezi wa kumi mwaka huu wa 2008.

Kibifa FIlms inakuhakikishia kuwa sinema hii itakuburdisha na kukufurahisha sana maana kusema kweli kama hadithi inavyosema "kuondoka kutoka nyumbani kama Juma ni rahisi kuliko kurudi nyumbani"

Jipatie makala yako hapa.

Kwa wale wote mlioko Bongo, mipango iko mbioni kwa kuwaletea BONGOLAND II!!

Thursday, August 21, 2008

Ukweli kuhusu Mamodo (Models)



Nilishasema hao warembo tunawaona ni feki wamevaa masks usoni. Ona huyo mpaka walimrefusha shingo kwa photoshop! Nawaona kwenye seti za sinema, wanapambwa kwa masaa mawili kabla ya kutoka kwenye trailer!

Wabunge wakistarehe

Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera akicheza na Ofisa Uhusiano wa Zain Tanzania, Celine Njuju, muziki ulioporomoshwa na African Stars 'Twanga Pepeta International' mjini Dodoma, wikiendi. picha kutoka Jiachie Blog.
Kweli mambo yanabadilika Bongo. Zamani ni mwanamke ndo alikuwa anacheza na ungo. Siku hizi hata wanaume wanacheza nazo. Kushoto ni Mbunge Kapiteni John Komba. picha kutoka Lukwangule Blog

Kulikuwa hakuna Makuu!

Rais Kikwete akihutubia Bunge leo

Imeandikwa na Beda Msimbe

Gumzo la lukwangule:Nilichovuna saa 4 za kumsikiliza rais

JANA nilisema kwamba kutakuwa na makubwa leo. Naamini saa nne za kumsikiliza JK hazikuzaa hasara kama mtuma habari. Lakini kama mchambuzi wa masuala ya kisiasa na kiuchumi yapo makubwa yaliyoainishwa na kutolewa ufumbuzi ambao unaweza usiwe bora leo lakini miaka kadhaa ijayo.

Jambo la msingi ambalo mimi nimeliona ni kuwa masulaa niliyodhani atayagusa aliyagusa, sikutarajia mengi makubwa katika EPA kwa kuzingatia mfumo wa sheria wa nchi yetu, lakini kwa sasa wabunge waliokuwa hawaelewi nini EPA sasa watakuwa wameelewa.

Nilichotoa hai katika EPA ni kufilisiwa kwa watu, kunyimwa nafasi ya kusafiri na fedha hizo zinazorejeshwa kusaidia wakulima kwa kuanzisha ruzuku katika mbolea na pia katika kusaidia TIB yaani Tanzania Investment Bank kuwa na uwezo wa kukopesha wakulima kwa muda nrefu na riba nafuu.

Swali linalobaki je hawa wahuni waliotwaa fedha ambazo si za serikali lakini serikali inaweza kudaiwa watafanywa nini? Matajiri azimio la Arusha walishughulikiwa kwa kurejesha mali zao kwa umma je hawa hawastahili kweli kushtakiwa, wanasheria wanajua lakini la maana zaidi utawala wa sheria hauna maana ya kuachia wakwivi kutokomea hivi hivi tu lakini pia si kwa kuwafanya waingie mahakamani bila kigezo, hawa ni wevi au wajanja hilo ni swali kwanza kisha... waswahili wanasema habari ndio hiyo... lakini amesema kwamba Novemba Mosi kitaeleweka mahakamani.

Nilisema shauri la Zanzibar lakini kidiplomasia kabisa kasema watu wasikoroge mambo na kwamba ukiwa nje ni tanzania ukirejea hapa unazungumza zanzibar, alitumia akili sana kuhusu hili hasa aliposema wimbi hili nalo litapita walio watu wazima wasiwe wapuuzi, nadhani kimeeleweka.

Rais Jakaya Kikwete akilihutubia Bunge hilo kwa mara ya pili tangu ashike madaraka mwishoni mwa mwaka 2005 nilichoona kama alivyowahi kusema katika hotuba yake ya kwanza alitumai tena fursa hiyo kuelezea mwelekeo wa uchumi wa taifa na masuala mbalimbali ambayo serikali yake imekuwa ikiyapa kipaumbele.

Na shida zote alisema tusigombee fito, tunajenga nyumba moja na hili siwezi kulikataa, lakini inakuwaje unapokuwa na watu ambao hawaelewi hasa nini wanatakiwa kukifanya, na watu hao wakiwa viongozi? Lipo tatizo la ufinyu wa sheria na utawala pengine Sitta yuko sahihi sheria zetu zinaruhusu mambo kuenenda kigoigoi zaidi.

Huu muungano nao aliuzungumzia vyema, alisema wazi ubaya wa uropokaji, alisema matamshi ambayo yamekuwa yakitolewa na baadhi ya viongozi yanaweza kuchangia kuwavuruga kama siyo kuwachochea wananchi.

Ilivyo ni kwamba kama ni kujadili suala la Muungano basi hapana budi mjadala ufanyike kwa hekima na busara na siyo jazba kama ambavyo imejitokeza katika siku za karibuni, hili siliendelezi sana.Na huu mpasuko wa Zenj kumbe ulishafikia hatua nzuri lakini jamaa hawa wa Unguja kama wanavyosema katika suala la U nchi na Usio nchi amesema wanashindwa kuaminiana.

Kitu ambacho nilikiona kuwa kidogo cha mgomo, kumbe sivyo, rais alizungumzia haki ya watu kugoma, lakini ndani ya sheria, ndani ya uelekezi wa kawaida uliokubalika, kama kweli ni mgomo unaostahiki. Hapa alifafanua vyema kuhusu mgomo unaokuja, hakuugusia wa walimu lakini huu wa TUCTA alisema mpaka kwa Kiingereza haukubaliki. Alikuwa na vigezo vyake.Alisema kwamba mfuko wa hazina baada ya makubaliano sio ATM ni lazima kuweka sawa baada ya bajeti na walizungumzia Agosti sasa watu watazame kama serikali haitalipa.

Kweli kabisa serikali kwa mgao wa kota si ATM lakini nini maana ya maneno yote hayo ambayo serikali inazungumza. Inamaananisha kwamba haipo tayari kuyumbishwa, makubaliano ni muhimu watu wa TUCTA wanajua wamevumilia kiasi gani lakini wachambuzi wa mambo wa naweza pia kuelewa kwa kina nini maana ya kauli ya serikali kuhusiana na njia zilizotumika kutangaza mgomo.

Shauri la mwisho ambalo mimi nilisema ni la kawaida ni matumizi mabaya ya uhuru wa kunadika na kusema, maandamano,kupiga domo, kupinga serikali,kushughulikia hasira na kutuliza munkari.kwa haraka haraka unaona kwamba alikuwa anachimba mkwara, lakini kama yeye aliwezesha upana wa mambo katika kucheua sumu mwilini alitaka watu wawe wastaarabu wasitapike bila mpangilio wakawavushia matapishi wenzao wakabaki wananuka bila sababu.

Hili halina ubishi kucheua sumu muhimu lakini utapike kwa mipangilio na uwe na sababu sio uachie tu mradi mdomo wa kutapikia unaoKimsingi mimi nasema rais saa zake nne hazikuwa mbaya sana ingawa haya mengine ni elekezi za kawaida za nini amefanikisha katika miaka miwili na miezi saba ya utawala wake, kilichobaki ni kuangalia ushauri wa spika kwamba kunahitajika kasi zaidi kushughulikia wanaohujumu uchumi kwa mtindo wa EPA.

Naam, kweli tunahitaji mabadiliko kwani hii ni salamu, kazi yenyewe bado iko kwa wananchi wenyewe, ni hotuba inayotakiwa kuchambuliwa, kuna mengi sana ambayo sikuyatia hapa kwani huenda yakasaidia miaka mitatu ijayo wakati wa uchaguzi: ni ukweli kuwa wanaobungua nchi hii ni viongozi wafanyabiashara kwa hiyo tunahitaji waamue ama kuwa na biashara au kuwa wanasiasa na viongozi, hata ughaibuni linajulikana.

Wednesday, August 20, 2008

Jamaa akifaidi Swimming Pool

Nimeletewa hii picha kwa e-mail. Mnaionaje?

MAKUBWA....Bongo Kesho!!!!!!


Kaka Beda Msimbe (Lukwangule Entertainment Blog) anatabiri kuwa kesho yatatokea makubwa huko Tanzania!

*******************************************************************

Gumzo la Lukwangule

Kesho kuna kitu kinataka kutokea nchini hapa, natumaini si kuvunjwa tena kwa baraza la mawaziri, manake hii sasa itakuwa taabu kubwa, lakini ni wazi Rais Jakaya Kikwete
kesho ataleta taabu kidogo mpaka hotuba yake imalizike na kila mtu ajuwe nini kimetokea.
Si kawaida kwa rais katikati ya safari yake akahutubia Bunge moja kwa moja labda kuna daawa inatafutwa kwa tatizo kubwa au anavunja bunge, natumaini tena si kuvunjwa kwa bunge manake itakuwa sooo.

Bungeni kesho asubuhi kila mtu atakuwa tisti, hii ni kutokana na rais kuifanya ziara yake hiyo bungeni kuwa ni siri yake mwenyewe hata wasaidizi wake hawajui wanahisi tu Rais ataenda kufanya nini. Masikhara hayo!!!

Ni baada ya maswali na majibu mishale ya saa nne Rais atakuwa yu katika mimbari ya pale bungeni akizungumza kinachomkera na kumfurahisha lakini akipeleka ujumbe mkataa kwa umma na kwa watunga sheria.

Naam yapo mengi ambayo watu tunahisi..labda rais atazungumzia haya yafuatayo ni labda:

PA-- MANAKE AMEIPOKEA RIPOTI YA TUME ALIYOIAGIZA NA NDANI HUMO WAPAMBE WANASEMA CCM INATAJWA LAKINI KWA KUZUNGUKA SANA lakini unajua hii inapingana na nini hasa? Ni kuwa aliomba kuhutubia bunge kabla ya kupokea ripoti sasa sijui ni coincidence au alishaelewa vitu vinavyokwenda akasema njia ni hii hii.. wape salamu zao bungeni
SUALA ZA ZENJ-- WABUNGE WA ZANZIBAR WAMECHACHAMALIA HAKI YA KUWA TAIFA LISILO TAIFA NDANI YA JAMHURI YA MUUNGANO, NA MOTO UMESHIKA KASI KWELIKWELI.

MIGOMO YA WAFANYAKAZI-- HILI SASA LINATIBUA ZAIDI, MIGOMO SI DALILI NJEMA PAMOJA NA WALIMU KUSHIKISHWA KITU KIDOGO INAONEKANA KUWA MAMBO SI SHWARI

MPASUKA WA KISIASA ZENJ--HILI NDILO SUALA AMBALO ALIAZIMIA KABISA KULIFANYA AKIWA IKULU LABDA ANA YA KUSEMA KUHUSU HILI.
LAKINI PENGINE ANAKUJA KUTUPA TATHMINI YAKE YA KAZI KWA KIPINDI CHA MIAKA MIWILI

Vyovyote itakavyokuwa Rais kesho atakuwa na mambo mazito ya kuzungumza kwani pamoja na ziara zake za nje hizi na za ndani kuna maeneo alikuwa anaonekana kuwa mkali kigodo kutokana na watu kushindwa kujituma na viongozi kubweteka.Isije ikawa kesho ni kiama cha mambo wakati rais anajiandaa kuelekea ughaibuni kutekeleza majukumu yake ya kimataifa katika kijiji Dunia.

Ajali ya Pikipiki huko Oklahoma

Hivi karibuni, kwenye saa saba za usiku (1:00am) jamaa alikuwa anaendesha lori karibu na Tulsa, Oklahoma. Alitokea jamaa aliyekuwa anaendesha pikipiki kwa kasi 120mph (240kilometres) kwa saa. Dereva alisikia kitu kikigonga lori lakini aliendelea kuendesha kidogo. Alivyosimama na kushuka kwenye gari ona alichoona......








Ingawa Brandon Lee White (26) alikuwa anavaa helmet haikumsaidia alifariki papo hapo.
Msiendeshe pikipiki kwa kasi.

WaMarekani Weusi

Nimepata kwenye e-mail, inachekesha lakini ina ukweli ndani yake.


******************************************


'I LOVE BLACK FOLK'! THERE'S NOBODY LIKE US.

With black folks, everything starts late! Everything ends late. Time is just a thang! Black folks' philosophy about time is, 'We may not be on time, but we are in time, and we don't want to miss anything.' Black folks arrive late for weddings, funerals, and Sunday church services! And then act like they are on time!

Black folks will go to social functions, particularly at church, and not stay for the program, but want to wrap up some food to take home as if the event is fast food 'take out.'


When some black preachers can't think of what else to say during a sermon, will say, 'Look at your neighbor and say, 'God loves you!'

Every black family has a preacher..

When a lead choir member can't reach a high note or has forgotten the words, the choir members will get filled with 'a holy ghost,' get happy, shout and not have to finish the song.

A black gospel choir can sing a three word song for twenty minutes. In the black church, the announcements are longer than the sermon.

Black folks cry and pass out at the funeral, but are fine and laughin' at the dinner following the interment.

The black church takes twenty minutes to take up an offering at an afternoon program and only raise $76.34! (don't forget they take an hour to count it again after church).

Black folks will ask grandparents to watch their kids while they run an errand but don't pick them up until two days later.

Black folks eat 'fried' bologna.

Black folks refer to diabetes as, 'Sugar.'

Don't ask black folks for the precise time. They respond, 'Almost a quarter after....' or a 'little after two.'

Black folks will eat ferociously a t the family dinner, and then have the nerve to start wrappin' stuff up in foil to take home.

Black cashiers always seem to have an attitude.

Black folks sell CDs, potato chips, nabs and sodas out the trunk of their cars after church and at the football game.

Black folks have at least one person in the family who still wears a Jheri curl.

Black folks stay engaged for six years and never get married.

Black folks will have the telephone company shut off their house phone, but still have a cell phone on.

Black folks put hot sauce and ketchup on everything! Black folks have at leas t one family member that 'almost' made it to the pros.

Black folks will owe you and everybody else in the neighborhood money but can buy a new car.

Black folks re-use ZipLoc baggies, paper plates, plastic forks, spoons, and knives.

Black folks put thin left over bars of soap in jars or plastic containers, run scalding hot water over them to melt them down to use as dishwashing liquid or home made bubble bath.

Black folks won't throw anything away! The rationale is that you never know when you might need it.

IN SPITE OF ALL OF OUR PECULIAR WAYS , I STILL LOVE BLACK FOLKS! DON'T YOU??YOU'D BETTER CUZ YOU IS ONE!

Bongoland II itaonyeshwa mjini Chicago Leo 8-20-08


Sinema Bongoland II itaonyeshwa tena leo jioni huko Gene Siskel Film Center mjini Chicago. Time 6:15pm (Saa 12 na robo jioni saa za Chicago).
**************************************************************************

Bongoland II: There's No Place Like Home
Gene Siskel Film Center Find Tickets
164 N State St (at Randolph St) Loop/West Loop, Chicago Map
312-846-2600
El: Brown, Green, Orange, Pink, Purple (rush hrs) to State/Lake; Red to Lake; Blue to Clark/Lake. Directions
BONGOLAND II: THERE’S NO PLACE LIKE HOME 2008, Josiah Kibira, Tanzania, 100 min. With Peter Omari, Thecla Mjatta

In his first film BONGOLAND (2003), Josiah Kibira related the misadventures of Juma, a Tanzanian immigrant in Minnesota. In this self-sufficient sequel, Juma returns to Tanzania (aka Bongoland) to manage a company. His American-style ideas about efficiency and motivation meet with a less than enthusiastic response, and, when Mom’s visit produces some jaw-dropping revelations, he discovers that his relationship to his homeland has become even more tenuous. The film’s sharp, angry satire recalls such Ousmane Sembene classics as XALA and GUELWAAR. In Swahili with English subtitles. DV-CAM video. (MR)


Wednesday, August 20, 6:15 pm



Michuzi Blog imerudi pa Zamani

KUTOKANA NA SABABU ZA KIUFUNDI GLOBU YA JAMII IMELAZIMIKA KUREJEA MTAA WAKE WA ZAMANI WA issamichuzi.blogspot.com HADI HAPO MAMBO YATAPOKUWA MSWANO KWA HOST WETU AMBAYE ANAFANYIA KAZI CHANGAMOTO ZA KIUFUNDI ZINAZOIKABILI GLOBU HII KWENYE MTAA WA michuzi-blog.com NA KUSABABISHA KWIKWI YA MARA KWA MARA.

KUNRADHI WADAU KWA USUMBUFU HUO AMBAO UKO NJE YA UWEZO WA GLOBU YA JAMII. PIA KWIKWI HIYO INASABABISHWA NA AZMA YA KUTAKA KUBORESHA LIBENEKE ILI MAMBO YA VIDEO YAANZE KAMA ILIVYOAHIDIWA AWALI. NASHUKURU KWA KUELEWA NA KUWA WAVUMILIVU WAKATI HUU WA CHANGAMOTO YA KWIKWI

MUHIDIN ISSA MICHUZI

Tuesday, August 19, 2008

Rais wa Zambia Afariki


Nilikuwa nasita kuposti habari hizi mpaka kupata thibitisho. Unakumbuka hivi karibuni kulitokea uzushi kuwa Rais Levy Mwanawasa (59) amefariki akiwa kwenye mkutano Misri kumbe ilikuwa si kweli.

Sasa ni kweli amefariki huko Ufaransa alipokuwa anapata matibabu kutokana na kuugua kiharusi/kupooza (stroke).
Poleni wananchi wa Zambia kwa msiba huo mzito.

Mungu ailaze roho yake mahala pema mbinguni. AMEN.

*******************************************************************************

Zambian president dies after stroke

Mwanawasa won praise for his economic reforms and anti-corruption drive [AFP]
Levy Mwanawasa, the Zambian president, has died in hospital in Paris, where he was receiving treatment following a stroke he suffered earlier in the year.

Rupiah Banda, the country's vice-president, told state media on Tuesday that Mwanawasa had died and that seven days of national mourning had been declared.

"Fellow countrymen, with deep sorrow and grief, I would like to inform the people of Zambia that our president Dr Levy Patrick Mwanawasa died this morning at 10:30 hours [08:30 GMT]," Banda said.

Mwanawasa's health deteriorated after he suffered a stroke while attending an African Union summit in Egypt in June.

He was rushed to a hospital in Paris, the French capital and a statement on Monday night indicated that the president's health had taken a turn for the worse.
Outspoken leader

Mwanawasa was elected president in 2002, Zambia's third president since independence from Britain in 1964.

He won praise for his anti-corruption and economic modernization drive in one of the world's biggest copper producers, but was unable to lift his nation out of poverty.

In recent months, he broke African leader's traditional silence towards the actions of Robert Mugabe, the Zimababwean president, describing Zimbabwe as a "catastrophe" and criticising the the 2008 presidential elections.

Under Zambia's constitution, elections are meant to be held within 90 days of his death.
Vice-president Banda is expected to take over as acting president until then.
Kwa habari zaidi soma:

Monday, August 18, 2008

Taarifa ya Ikulu - EPA

Taarifa ya Ikulu kuhusu EPA


DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail : press@ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425

PRESIDENT’S OFFICE,THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120
DAR ES SALAAM.Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo (Jumatatu, Agosti 18, 2008) amepokea rasmi ripoti ya uchunguzi wa upotevu wa fedha za Akaunti ya Malipo ya Nje (External Payments Accounts - EPA) katika hafla fupi iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam.

Rais Kikwete amekabidhiwa ripoti hiyo na Mwenyekiti wa Timu iliyokuwa inafanya uchunguzi huo, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Johnson P.M. Mwanyika.Mwanasheria Mkuu huyo alifuatana na wajumbe wengine wa Timu hiyo, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Inspekta Jenerali Saidi Mwema na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa, Edward Hosea.

Rais amewashukuru na kuwapongeza wajumbe wa Timu hiyo kwa kazi kubwa na ngumu lakini nzuri.Rais, baada ya kuwa ameisoma na kuitafakari ripoti hiyo, ataitolea maamuzi katika siku chache zijazo, na taarifa rasmi ya maamuzi hayo ya Rais itatolewa kwa wananchi.

Timu hiyo iliundwa na Rais Kikwete Januari 9, mwaka huu, 2008 katika tangazo rasmi lililotolewa kwa waandishi wa habari na Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo.Wakati anaunda Timu hiyo, Rais aliipa muda wa miezi sita kukamilisha kazi yake, ambayo ilikuwa ni pamoja na kuhakikisha kuwa fedha zilizolipwa isivyo halali zinarudishwa.

Rais aliunda Timu hiyo baada ya kuwa amepitia Taarifa ya Ukaguzi wa Hesabu za Mwaka wa Fedha 2005/06 za EPA katika Benki Kuu Tanzania (BOT), uliofanywa na Wakaguzi wa Kampuni ya Ernst and Young, kwa niaba ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.Kampuni hiyo ya Ernst and Young iliombwa na Serikali kuifanya kazi hiyo.

Iliianza Septemba, 2007 na kumalizika Desemba, mwaka huo huo, 2007. Rais Kikwete alikabidhiwa Taarifa hiyo Januari 7, mwaka huu, 2008 na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali. Siku ya tatu, baada ya kuwa ameisoma na kuifanyia kazi, Rais aliitolea maamuzi Taarifa hiyo, ikiwa ni pamoja na kuunda Timu ya Mwanyika.

Imetolewa naKurugenzi ya Mawasilia ya Rais,

Ikulu,DAR ES SALAAM.

18 Agosti, 2008

Watumwa


Wadau, ukienda Bagamoyo kutalii lazima utaonyeshwa 'Fort' amabako watumwa walipelekwa kabla ya kusafirishwa kwenda Zanzibar kabla ya kwenda Arabuni. Huko waliambiwa "bwaga moyo".

Nimeona hi picha ya watumwa na baadhi ya waarabu waliokuwa wanawauza.

Sunday, August 17, 2008

Hongera Flaviana Matata!

Kutoka Jiachie Blog

Pichani ni Miss Universe Tanzania 2007 Flavian Matata akiwa nchini South Afrika ambapo ameuchinja kwa kusaini mkataba wa mwaka Mmoja na Kampuni ya kubwa ya mitindo ya Ice Model Agency,pamoja na mambo mengine Flavian Matata anatarajia kutua mapema mwezi huu nchini Tokyo Japan chini ya mwaliko wa kampuni ya Wilna International Limited ya Japan ambapo atajaribu zali na kampuni kubwa ya mambo ya Ulimbwende nchini humo ya Jones.Blog ya JIACHIE inamtakia kila la kheri mlimbwende huyu katika kuifanikisha ndoto yake zaidi katika masuala ya Modeling.
*****************************************************************
Na mimi nampongeza Flaviana kwa kupata mkataba na moyo wake wa kuendelea na modelling. Naomba afike mbali katika fani huo. Flaviana ni wa pekee, na tusisahau alivyofika mbali katika mashindano ya Miss Universe. Bado wanazungumzia kipara chake. Flaviana ni mfano wa kuigwa.

Bendera yetu Iraq - Part II

Mwanajeshi wa Tanzania (?) aliyeumia huko kwenye Vita vya Iraq
Jamaica Flag

Tanzania Flag
********************************************
Wadau, kuna watu ambao wanadai kuwa huyo mwanajeshi kavaa bendera ya Jamaica begani. Wala haifanani na bendera ya Jamaica. Ila inaonekana kabisa kama ya Tanzania, au ni macho yangu?

Saturday, August 16, 2008

Wanajeshi wa Tanzania wako Iraq?


Nimepata hii kwa e-mail. Lakini jamani, ni kweli huyo jamaa ana bendera ya Tanzania kwenye Uniform. Ni Mwanajeshi wa kiTanzania huyo? Najua kuwa kuna waTanzania wenye Green Card waliojeshi la Marekani lakini wao wanachukuliwa kama wanajeshi wa kiMarekani na kuvaa benedera ya Marekani.

Na maskini jamaa kaumia kweli. Atapelekwa Marekani kutibiwa?

***********************************************************

Yahoo news has recently posted the picture by Andrea Comas with above with the following caption "A U.S. soldier (L) from the Second Stryker Cavalry Regiment helps a wounded Iraqi soldier at the site where an explosive device went of inside a house during security operations in Diyala province August 8, 2008".But if you look carefully on the left shoulder of the injured soldier, you will see a badge with Tanzanian flag.

This has gotten me and other readers puzzled: Did Tanzania sent an Army contingent in Iraq?

If so, what are they doing there?

Who authorised it? Who is footing the bill?

If this is not the case, why should the US or Iraqi army badges with Tanzanian flags?

If Tanzania has an army contingent, then the Government need to tell the people and they should braced themselves for difficult questions. If, Tanzania did not send troops in Iraq, then the Foreign Ministry needs to follow up on this matter with US or Iraq Government on why their are using badges with Tanzanian flags.

Dr. Ali Salim Ali.MD
Ministry of Health Botswana
Department of HIV/AIDS Prevention and Care

Aliyempaka rangi Njiwa New York anatafutwa na Polisi!


Haya, aliyempaka njiwa rangi ya zambarau huko New York City anatafutwa! Ole wake akikamatwa! Atachukuliwa hatua kali za kisheria akikamatwa kwa kumtesa mnyama. Kama huyo njiwa atapona uwe na uhakika kuwa hata kuwa njiwa wa kawaida ambaye atazagaa kwenye majeshi ya njiwa huko New York. Huyo atatunzwa kama mfalme na mpenda mnyama.
****************************************************
Fowl play: Sicko paints pigeon purple in Queens

By LISA L. COLANGELO DAILY NEWS STAFF WRITER
Updated Friday, August 15th 2008, 4:49 PM

A pigeon that was painted purple was discovered in a Queens park.
We heard it through the grapevine - Queens has a purple pigeon.
Theroyal-hued bird wasn't born that way, though. Someone with a sick senseof humor - or a problem with pigeons - painted him purple.

"Itwas terrible," said Joe Mora, an animal lover who rescued the birdThursday from a Long Island City playground, where onlookers weregawking at the oddly-colored columbine.
"It looks like this was done intentionally...it could have been blinded," Mora said.

Hetried coaxing the lethargic bird to eat while asking anyone andeveryone for advice
on how to clean paint from its feathers and beak.

Friday,city Animal Care and Control officials transferred the pigeon to BobbyHorvath, a licensed wildlife rehabilitator in Nassau County who hasextensive experience caring for injured birds.
The young pigeon, about three or four months old, might not survive the prank - if it was one, Horvath said.

"I have never seen anything like it," said Horvath, who is also a New York City firefighter.
"He's flightless at this point. His feathers are completely rigid," he said.

"His beak and mouth and eyes are clear of paint," Horvath said. "That's a positive thing."
Horvath said the bird has a better chance if the paint hasn't seeped through into his skin.
Morasaid he hopes someone in the neighborhood will come forward withinformation about the bird. He said he has heard stories about a man onnearby Roosevelt Island who dyed his dog's fur purple.

"If this was intentionally done to the bird, it certainly is animal cruelty," said ASPCA Assistant Director Joseph Pentangelo.

Friday, August 15, 2008

Chacha Wangwe aibuka toka Kuzimu

Wadau, niliona hii huko World Press. Kwa kweli maneno ni mazito si mchezo:

*********************************************************************
Kutoka
http://tarishi.wordpress.com/2008/08/

Chacha Wangwe aibuka toka kuzimu

Filed under: habari ndio hiyo — tarishi @ 12:15 pm

JARIDA LA CHACHA ZAKAYO WANGWE MBUNGE WA TARIME CHADEMA

Utangulizi:

Jarida hili la Mheshimiwa Chacha Zakayo Wangwe lina sehemu tatu. Sehemu ya kwanza litaweka bayana na kufafanua sababu za mimi kuchafuliwa kisiasa na baadhai ya viongozi wa ngazi za juu za Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, na sehemu ya pili itaonyesha baadhi ya maswali ya msingi niliyopata kuuliza Bungeni na majibu yake na sehemu ya tatu itakuwa na michango mbalimbali niliyopata kuchangia kwa muda wa miezi miaka miwili na nusu.

Lengo hasa la Jarida hili ni kumwelewesha Mtanzania na hususan MWANADEMOKRASIA juu ya tuhuma zilizoelekezwa kwangu kwa lengo la kunichafua kisiasa huku viongozi wa CHADEMA wakidai kukisafisha chama jambo ambalo si kweli na ni kampeni chafu zilizoandaliwa na baadhi ya viongozi wa Chama na kuwarubuni wajumbe 31 wasiokuwa wanademokrasia na kunipaka matope ya siasa zao zisizo na hata chembe ya Demokrasia.

Nasema hivi nikijua wazi kwamba, CHADEMA kama chama kinaendeshwa kwa katiba na kwa wakati huo huo kikiwa kinaendeshwa kidikteta na kauli za NDIYO MZEE. Ninajua wazi kwamba, viongozi wa sasa wa chama changu wanatofautiana sana na viongozi wa mwanzo wakati CHADEMA ikianzishwa kwani wanatofautiana kiitikadi, kisera na hata kimtazamo. Kwa mfano, mzee Mtei alikuwa akikieneza chama hasa vijijini miaka ya 95 kwa kutumia magari chakavu na alifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwashawishi wananchi na wakijua kuwa CHADEMA si chama cha mjini, na hapa ndipo mwanzo wa CHADEMA kuwa Chama Tawala kule Tarime hadi sasa. Ila katika uongozi huu wa kizazi kipya basi kila kitu kinaenda kwa kauli za “Mheshimiwa Mwenyekiti kasema” na matumizi mabaya huku ufisadi ukikitafuna chama kwa matumizi hewa na kwa kigezo kuwa eti wanajilipa madeni ya Kampeni. Nililia sana juu ya matumizi ya helkopta katika kampeni lakini nikaanza kuonekana kuwa mini ni mbaya. Binafsi sikuona sababu za Chama kutumia helkopta ilhali bado wanachama wa vijijini hawakijui chama wala sera zake huku viongozi wa wilaya na mikoa wakishindwa hata kutoa durufu (photocopy) za viepeperushi vya chama kwa kukosa ruzuku. Hii si sawa.

SEHEMU YA KWANZA

Sababu za baadhi ya Viongozi wa CHADEMA kuamua kunichafua kisiasa.

Baadhi ya Kampeni za chini chini dhidi yangu, tarehe 28 na 29 Juni 2008 katika kikao cha Kamati Kuu kilichofanyika Dodoma ambacho kiluhudhuriwa na wajumbe 31 kiliridhia mimi kuondolewa kwenye wadhifa niliokuwa nao ndani ya chama kama Makamu Mwenyekiti kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutuhumiwa kuwa navujisha siri za chama kwa CCM. Binafsi kwangu kama mwanasiasa wa kiwango cha juu ni pigo kubwa sana kisiasa kuchafuliwa na watu 31 tu ndani ya chama. Ninachokiamini hapa ni kwamba, kutokana na msimamo wangu wa siku nyingi hata kabla sijawa makamu mwenyekiti CHADEMA, ndiyo sababu rasmi ya kupigiwa kampeni na baadaye kura za kutokuwa na imani na mimi kwa taarifa nilizo nazo ni kwamba anaandaliwa Dr. Slaa kushika nafasi hiyo. Hapa ikumbukwe kuwa Mke wa Dr. Slaa ni diwani kupitia CCM hivyo kuna uwezekano wa sera za chama zikavuja kupitia Mama huyu katika njia mbalimbali.

Ofisi ya Katibu Mkuu (Ofisi ya Slaa) ndiyo ya kwanza kunituhumu kuwa nawaingilia majukumu yao katika suala zima la matumizi mabovu ya fedha za ruzuku ya chama. Chama hupata zaidi ya milioni 60 kila mwezi. Ni fedha nyingi sana kukijenga chama kama zikipata mipango mizuri na kuachana na matumizi mabovu kama matumizi ya helkopta kwenye kampeni kama ilivyotokea kwenye chaguzi zetu pamoja na baadhiya viongozi kudai kuwa wanajilipa madeni waliokikopesha chama wakati wa kampeni za 2005.

Mhe. Philemon Ndesamburo Mbunge wa Moshi Mjini inadaiwa kuwa anakidai chama milioni 100 alizokopesha wakati wa kampeni za 2005.

Mhe. Philemon Ndesamburo Mbunge wa Moshi Mjini inadaiwa kuwa anakidai chama milioni 100 alizokopesha wakati wa kampeni za 2005, Freeman Mboe ambaye hadi sasa ni Mwenyekiti wa chama changu katika ngazi ya Taifa naye kwa taarifa nilizo nazo ni kwamba kila mwezi hulipwa shilingi milioni 10 ili kufidia fedha anazodai kukikopesha chama ambazo ni zaidi ya milioni 500 katika kampeni hizo hizo na hadi sasa anaendelea kukidai chama mamilioni ya shilingi.

Mimi nilipoonyesha wasiwasi juu ya madeni haya yasiyoisha, ikaundwa tume ya kampeni za kutokuwa na imani na mimi. Binafsi sijui kama viongozi wanaojiita makini kama kina Dr. Slaa na Kabwe Zitto wangeweza kuusimamia ufisadi mkubwa kama huu ndani ya chama huku wakiwa mstari wa mbele kuwafichua mafisadi Serikalini. Au ni kawaida kuwa Mganga hajigangi? CHADEMA kuna ufisadi wa aina nyingi sana kuanzia uchapaji bendera hadi manunuzi ya vifaa vya chama!

Katika ofisi ya Vijana nako kunanuka ufisadi kwani ni vijana wachache sana ambao hupata nafasi ya kwenda nje ilhali mikoani nako kuna vijana wanaohitaji kujifunza. Ofisi hii ina watu maalumu wa kwenda kwenye Semina na Matamasha mbalimbali. Na watu hao hupangwa na John Mnyika.

Pamoja na hayo, Kurugenzi hii inayoendeshwa na John Mnyika imekuwa ikifanya hesabu za “Mbili mara Mbili toa nne”. Nakumbuka matamasha mbalimbali yaliyowahi kuratibiwa na Kurugenzi hii kwa kutumia fedha za chama yamekuwa hayana maslahi yoyote kwa chama ….labda kwake mwenyewe kwani itakumbukwa kwamba Kurugenzi ilizindua mfuko ulioitwa Tumaini jipya Septemba 16, 2007 katika hafla ya wafanyakazi vijana na akaunti ya Tumaini Jipya 01810301 NBC ilifunguliwa. Jumla ya shilingi milioni 6,176,500 zimekusanywa na shilingi milioni 6,064,300 zimetumika kwa shughuli mbalimbali za vijana ikiwemo gharama za hafla yenyewe. Hafla nyingine kama hiyo ilifanyika Arusha.

Hafla hii ilifanyika tarehe 29 Machi, 2008 The New Polygon Triangel Arusha na kuhudhuriwa na washiriki 67 mgeni rasmi akiwa Mhe. Mzee Edwin Mtei. Jumla ya shilingi milioni 2,300,700 zilikusanywa na shilingi milioni 1,885,000. Zimetumika kwa shughuli mbalimbali za vijana ikiwemo gharama za hafla yenyewe. Sasa najiuliza, kulikua na mantiki gani ya kutumia fedha za chama kiasi cha shilingi 6,064,300 na kukusanya shilingi 6,176,500/=? Ni faida ya shilingi ngapi ilipatikana kama ameamua kukiingiza chama katika kufanya biashara ya matamasha?

Jingine, tangu nimekuwa mbunge Chadema na Baadaye Makamu Mwenyekiti sijawahi kuandaliwa safari za kibunge ama za kukiwakilisha chama ilhali kuna watu wasio na uwezo kiakili, kifikra na hata nafasi za uongozi lakini waliandaliwa safari za nje. Chama kimefikia hatua ya kuwakilishwa kimataifa na watu wasio na vigezo kwa ajili ya utawala mbovu! Siandiki haya kwa kuwa nimeondolewa katika uongozi, hapana! Hizi ni harakati zangu za muda mrefu juu ya utawala bora. Tazama, wafuatao wamewahi kusafiri katika mataifa mbalimbali kwa shughuli mbalimbali kukiwakilisha chama. Mhe. Suzan Lymo (Mb. Viti maalumu) Cape Towan, Afrika Kusini kwa Mkutano wa Interparliamentary Union. Susan pia amesafiri kwenda USA kwa High Level meeting ya HIV/AIDs mwezi June, 2008. Mhe. Zitto Kabwe, (Mb) alisafiri kwenda Berlin mara mbili – Mhe. Zitto pia alisafiri kwenda Marekeani kwa wiki 3 kwa mwaliko wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani pamoja na Wabunge vijana toka dunia nzima ambako walipata nafasi ya kutembelea majimbo mbalimbali ya Marekani. Mhe. Mhonga Said (Mb – Viti maalum) alisafiri kwenda Burundi kwa Mkutano wa Nchi za Maziwa Makuu. Mhe. Dr. Slaa amesafiri kwenda Johannesburg, Windhoek na Manzini Swaziland kwa vikao vya Kamati na Bunge la SADC. Dr. Slaa ni Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya InterParliamentary Cooperation Committee ya Bunge la SADC. Mhe. Maulida Komu (Mb. Viti Maalumu) alisafiri kwenda Nairobi na pia Finland. Mhe. Ndesamburo (Mb) alisafiri kwenda Australia kama Commissioner wa Bunge.

Wafuatao walisafiri kichama; Mhe. Mhonga Said (Mb – Viti Maalum), Maulida Komu (Mb – Viti Maalum), Suzan Kiwanga (Afisa Msaifizi Idara ya Uchaguzi na Kampeni) na John Mnyika Mkurugenzi wa Idara ya Vijana) walisafiri kwenda Norway na Sweden. Anthony Komu (Mkurugenzi wa Fedha na Utawala) alisafiri kwenda Norway kwa mwaliko wa Centre Party, Mhe. Balozi Ngaiza (Mjumbe wa heshma wa kamati kuu wa kuteuliwa na Mwenyekiti), John Mnyika (Mkurugenzi katika Ofisi ya Vijana), John Mrema (Afisa katika Kurugenzi ya Halmashauri na Bunge), walisafiri kwenda Windhoek Namibia kwa Mkutano wa Dua, na Mhe. Kimesera (Katibu Mtendaji wa kuteuliwa na Mwenyekiti), Suzan Lymo (Mb) Viti maalum, na John Mrema walisafiri kwenda Kampala, Uganda kwa Mkutano wa Dua.

Ndugu Regia Mtema (Afisa katika Kurugenzi ya Vijana) alisafiri kwenda Malawi kwa Mkutano wa NIMD. Mama Naomi Kaihula (Mkurugenzi katika Idara ya Wanawake) na Regia Mtema walisafiri kwenda Finland kwa mwaliko wa Shirika la Demo Finland. Johna Mrema, Msafiri Mtemelwa na Happiness Mwaipopo (Sina hakika kama ni Mwanachama) walisafiri kwenda London/Uingereza kwa mwaliko wa Conservative Party/WFD wakati wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa. Mhe. Benson Kigaila (Mkurugenzi wa Oganaizesheni na Mafunzo) alienda Zimbabwe katika uchaguzi uliofanyika 27 June, 2008 kupita Ofisi ya Msajili wa Vyama.

Suala la ukabila ni jambo ambalo halihitaji kupingwa kwani asilimia karibu 85 ya viongozi wa CHADEMA wametoka katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha pamoja na kwamba baada ya mimi kulishupalia jambo hili wameanza kubadilisha majina.

Wapo wanachama kama mimi ambao nao wakipewa nafasi za uongozi ndani ya chama hiki watafanya vizuri zaidi ya hawa na wengine ambao ni Jobless! Pengine niweke wazi hapa kuwa, mimi ni kiongozi shupavu nisiye kuwa na hata chembe ya woga katika kuteta na kusimamia haki za mwanachama wa CHADEMA tena nisiyependa siasa za kisanii. Ukweli huu ndio uliowafanya kina Mbowe, Slaa kuwa mstari wa mbele katika kupiga kampeni na baadaye kura ya kutokuwa na Imani na mimi. Binafsi naamini katika chama cha siasa mtu muhimu ni Mwanachama na si Mwenyekiti au Katibu. Hapa mimi siandiki maneneo haya kukufanya udhani kuwa nataka kuwa king’ang’anizi kwenye wadhifa niliovuliwa, la hasha bali napenda upate picha halilisi ya uendeshwaji wa Siasa ya CHADEMA na kisha uweze kugundua uhalisia wa mgogoro ulivyo. Viongozi wa CHADEMA Makao Makuu wamening’oa kutoka katika wadhifa niliokuwa nao kwa sababu zao binafsi na si sababu za chama kama chama, na wanajitahidi kuzunguka mikoani kwa siri kuendelea kunichafua kisiasa kuwa sifai. Kweli sifai kwa wafuja ruzuku ya chama, kweli sifai kwa mafisadi ndani ya chama ila nafaa kukiendesha chama katika ngazi ya taifa katika nafasi yoyote na siku zote. Nafaa kwa sababu nimefukuzwa kwa kusema ukweli hivyo nikageuka mwiba kati kati ya majipu, nikatolewa. Ndiyo, nafaa kwa sababu siko tayari kufanya kazi na watu waliozoea kukaa ofisini kama mafaili! Nafaa kwa sababu mimi ni mpambanaji, kamanda shujaa niliye tayari kuwajibishwa kwa ajili ya kuwatetea WANADEMOKRASIA hususan WANACHADEMA nchi nzima.

Kuliendesha Taifa kama Tanzania hakuhitaji siasa za kisanii, fitina, na chuki. Kinachotakiwa ni nani abadilike alete mabadiliko katika siasa ili aweze kukabidhiwa dola na alete mabadiliko. Wananchi wamechoshwa na siasa zetu ndio maana wanaziita siasa za kisanii. Wanahitaji mabadiliko. CHADEMA maana yake ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo, lakini huku wanakoelekea tayari uongozi wa Mbowe na Slaa wameiondosha Demokrasia kwa kunitoa katika wadhifa wa umakamu Mwenyekiti kwa kupiga kampeni ndogo ya wajumbe 31 tu! Tena huku wakinituhumu kuwa navujisha siri za chama!!. Dhahama kama hii siwezi kuivumilia hata kidogo na ni wazi kuwa hata wanachama wetu hawajafurahishwa na jambo hili. Mimi nilipokuwa kwenye ngazi hiyo ndipo fedha zilipoanza kupelekwa mikoani kwa viwango halali, ndipo ukarabati wa Makao Makuu ulifanyika. Niweke wazi hapa kuwa, jambo lililonifanya niandike jarida hili si kuwashawishi Freeman Mbowe na Slaa kunirudisha kwenye nafasi waliyonitoa kwa matusi, la hasha! Lengo ni kuweka wazi kwa wanachama wajue aina ya uongozi uliopo Makao Makuu ya Chama. Kama ni suala la mimi kurudi katika nafasi hiyo ni mimi mwenyewe nikiamua na kwa kutumia Demokrasia. Ikumbukwe kuwa, Freeman ndiye aliyesema kuwa hataki kufanya kazi na mimi na kutokana na UMANGIMEZA na Kauli za NDIYO MZEE akapata kuungwa mkono na wajumbe 31 tu! Baada tu ya mimi kutangazwa kuwa nimetolewa kwenye wadhifa niliokuwa nao nilipata simu nyingi sana za wanachama na hata baadhi ya watendaji Makao Makuu wakiniambia kuwa kama Mbowe hayuko tayari kufanya kazi na mimi, wao bado wananihitaji katika Uongozi Taifa. Kuna mila ya kichagga kuwa, katika eneo la kazi/biashara, ukimuona anayekusababisha ukose maslahi Fulani unatakiwa kumuondoa kwa gharama yoyote! Na hili ndilo lililojiri kwangu na mwenyekiti wangu.

Aluta Continue…………………..

Wangwe Chacha Zakayo,
Mbunge wa Tarime-CHADEMA


KAULI YANGU KWA MSOMAJI

Awali ya yote, nasikitika sana kwa maamuzi yaliyofikiwa na wajumbe 31 kule Dodoma aidha, kwa hasira, chuki au majungu na kuamua kuniondoa katika wadhifa niliokuwa nao wa Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara wakitumia kivuli cha Katiba ya Chama. Pili nimezidi kuumia zaidi pale nilipotuhumiwa kuwa eti navujisha siri za Chama kwa CCM! Niliwapa siku Arobaini (40) kuwaza kuthibitisha juu ya tuhuma hizo lakini wameshindwa hadi leo! Inamaanisha kuwa walitumia tuhuma hizo ili kunitoa kati yao ili nisiendelee kutetea ahadi za wanachama wa CHADEMA na nisiendelee kupinga ubadhirifu wa fedha za chama. Pengine kutokana na hasira, chuki na majungu hayo hayo wakaamua kuzidi kunichafualia jina katika mkutano uliofanyika Tanga kwa kunisema kuwa mimi ni mhuni. Hapa sintakuwa na huruma wala urafiki na yeyote aliye mstari wa mbele kunichafua kisiasa nitahakikisha nawafungulia mashtaka na waweze kuthibitisha tuhuma hizo. Mpendwa msomaji, pamoja na hayo ni vyema ukumbuke kuwa, uongozi wa CHADEMA Taifa umeshindwa kukieneza chama hadi vijijini. Ni kwa ajili ya majungu haya haya!.

Kimsingi, tusiposhikamana kwa sauti moja, lengo moja na kwa msimamo, ni dhahiri kuwa chama cha mapinduzi kitaendelea kushika Dola hadi Ukamilifu wa Dahari! Chama kisipokuwa madhubuti hakitaweza kushika Dola hakiwezi kuaminika na Wananchi. CHADEMA tufike mahali tugeuke, tujue tuna lengo la kuiongoza Tanzania na si vinginevyo. Badala ya kulewa katika kuwafichua mafisadi. Tumejisahau!.

Naamini kuwa, nguvu za umma ndiyo nguvu inayoweza kuleta mabadiliko ya kweli.

Naamini kuwa, katika chama chochote cha siasa, mwanachama ndiye bora kuliko Kiongozi.

Naamini kuwa msingi bora wa chama hujengwa na watu makini.

Naamini pia baada ya kusoma Jarida hili ukiwa kama mwanachama au Mwanademokrasia utaungana nami katika kupiga vita UFISADI ndani ya CHADEMA.