Professor Henry D. Kadete 1954-1995
Former Head of Electrical Engineering Department, University of Dar es Salaam
Henry, time flies and we can't believe that its been 16 years today since you left us that sad April day 4/22/1995. You are deeply missed by your wife Chemi, your sons Camara and Elechi, Brothers, Charles, Joel, Peter, Sisters Rebecca and Erica and a host of nephews and nieces, family and friends.
REST IN ETERNAL PEACE



6 comments:
pole sasa da Chemi, kumbe pia your first husbdand died, Mungu akutie nguvu
Da Chemi, shukrani kwa kutuwekea hiyo picha. Inanikumbusha miaka ile tulipokuwa majirani pale Kileleni, Chuo Kikuu Dar. Imenigusa sana.
Mungu ndiye anayepanga maisha yetu. Tuendelee kumwombea mwenzetu Prof. Kadete raha ya milele huko aliko. Nawe na wanao Mungu aendelee kuwatunza na kuwabariki.
at 41, the engineering prof was too young to die. God has His ways wallah. look, he was arlead a prof at that age! raha ya milele umpe eeh Bwana na mwanga wa milele umwangazie
Asante. John, nadhani alikuwa youngest Ph.d katika High Voltage Engineering was UDSM kwa wakati wake. Alikuwa 33 alipopata. Labda kuna mtu kampita sasa. Na WaBongo ni Wasahaulifu. Prof.Kadete ndo alifanya utafiti wa awali wakuleta LUKU na pia kama wangemsikiliza alikuwa amebinu njia ya kupatia vijiji umeme kwa bei rahisi. WaTanzania wanasahau haraka mno!
Chemi;Mungu akufariji.
Tulikuwa marafiki enzi hizo za FoE. Alifariki nikiwa nimeshaondoka Tanzania, habari ambazo niliona ugumu sana wa kuziamini hasa kwa vile wakati huo Tanzania ilikuwa haijaungwa kwenye internet. RIP
Post a Comment