Thursday, March 27, 2014

Ujerumani Kusaidia Kukarabati Reli ya Kati

DSC_0001

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe Bernard Membe na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani nchini, Dkt Frank-Walter Steinmeier wakiwasili kwenye chumba cha mkutano kuzungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar.(Picha na Zainul Mzige wa MObog).

Na Damas Makangale, MOblog Tanzania

SERIKALI ya Ujerumani kwa kushirikiana na Serikali ya Tanzania imeahidi kutumia zaidi ya Euro milioni 10 kukarabati reli ya kati (Central Line Railway). MOblog inaripoti.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kuwasili kwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani nchini, Dkt Frank-Walter Steinmeier, Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe Bernard Membe amesema serikali ya Ujerumani imekubali kwa dhati kabisa kukarabati reli ya kati kwa manufaa ya Tanzania na nchi jirani.

“kwa sasa siwezi kusema ukarabati utaanza lini na jina la mwekezaji kwa sababu mazungumzo yanaendelea lakini kwa hakika kabisa tumeshakubaliana kwenye jambo la ukarabati wa reli ya kati,” amesema Waziri Membe

Amesema reli ya kati itapunguza matumizi ya barabara kwa mizigo na barabara za nchi zitakuwa salama na kuongeza tija katika Nyanja za biashara kupitia soko la pamoja Afrika Mashariki na kati.

DSC_0072

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Dkt. Frank Steinmeier akizungumza waandishi wa habari kwenye mkutano huo jijini Dar es Salaam na kuelezea mafanikio ya ushirikiano wa nchi hizo mbili.

Membe alilisisitiza kwamba ziara ya Waziri mpya wa mambo ya nje kutoka Ujerumani ina manufaa makubwa kwa Tanzania kwa sababu amekuja na wawekezaji 65 kutoka maeneo mbalimbali.

Amesema kuwa ukarabati wa reli ya kati ni muhimu katika kudumisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii kati ya nchi hizo mbili kwa maslahi ya watu wao.

“reli ya kati kama mnavyojua ilijengwa na Wajerumani mwaka 1913 na kwa sasa ina miaka karibu mia moja na kitu,” aliongeza Waziri Membe

Kwa upande wake, Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani, Dkt. Steinmeier amesema kuwa nchi yake itaendelea kudumisha ushirikiano wa kiuchumi na kijamii na Tanzania katika jitihada za kuharakisha maendeleo ya nchi na watu wake.

Amesema kuwa serikali ya Ujerumani imeamua kukarabati reli ya kati katika jitihada za kukumbuka na kudumisha historia ya muda mrefu kati ya nchi hizo mbili.

“najisikia furaha na faraja kuona nchi yaTanzania inapiga hatua mbele kimaendeleo baada ya uhuru wake,” amesema

DSC_0096

Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mh. Bernard Membe akizungumza na waandishi wa habari kuhusu ushirikiano wa kihistoria na kiuchumi kati ya Tanzania na Ujerumani jijini Dar es Salaam.

DSC_0112

Baadhi ya wageni waalikwa na maafisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ubalozi wa Ujerumani nchini.

DSC_0043

Sehemu ya waandishi wa habari nchini pamoja na waandishi kutoka nje ya nchi waliohudhuria mkutano huo leo jijini Dar.

DSC_0116

Mwandishi wa gazeti la Tanzania Daima akiuliza swali wakati wa mkutano huo.

DSC_0122

Waziri Membe na mgeni wake wakiondoka kwenye chumba cha mkutano kuelekea Ikulu kuonana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete.

Zanzibalicious Women Group

Zanzibarlicious potrait

ZANZIBAR NI ZAMU YENU SASA KUUNGANA NA WANAWAKE WENZENU WA KUNDI LA ZANZIBALICOUS WOMEN GROUP NA KUSHEHEREKA NAO KATIKA UZINDUZI WA KUNDI LAO KATIKA KUUMALIZIA HUU MWEZI WA SIKU YA MWANAMKE DUNIANI

LITAKALOFANYIKA ::OCEAN VIEW BEACH RESORT

TAREHE ::28 MARCH

BURUDANI ::COCONUT BAND

KWA KIINGIILIO ::100,000 VIP & 50,000 VITI VYA KAWAIDA

KUBOOK /KUNUNUA TIKETI PIGA ::0713 868766,0773 662 662 ,0777 777441 , 0777 418324

Saturday, March 22, 2014

Mitumba Katika Taarifa ya Habari Marekani Leo!


Mitumba Zikiuzwa Dar es Salaam

Wadau leo kwenye taarifa ya habari wanasema kuwa Mitumba inazuia maendeleo Afrika. Tanzania imetajwa kama nchi mojawapo iliyoathrika na balaa ya mitumba. Wanasema kuwa viwanda  kama Urafiki, Mwatex, zinakufa shauri ya mitumba!   Ni kweli! Watu wanataka mitumba ili wavae kizungu. Hawana taimu na kushona nguo ya kishamba.

Sasa kuna watu Marekanu ambao wanataka watu wasitoe nguo zao za zamani kwa hao wanaziuza Afrika! Oh hooooo! 


Mnakumbuka enzi za Mwalimu mitumba ilikuwa maarufu!  Walikuwa wanaita mitumab  Kafa Ulaya. Baadaye ndo waliruhusu mitumba kuuzwa.  Mnaweza kusoma habari kamili kwa KUBOFYA HAPA:


*****************************************

The Truth About What Happens to the Old Clothes You Donate


Your old shirts could wind up at a market like this one, in the Democratic Republic of Congo. (Thomas Lohnes/Getty … Cleaning out your closets and getting organized for spring is a great feeling — and so is seeing the piles of old clothes you've ignored for years bagged and ready for donation. Between the space you’ve just created in your own life, and the perfectly good clothing you’re about to bestow on others through a charity like Goodwill or the Salvation Army, it’s pretty much a win-win situation. Right? Not necessarily. That’s because the castoffs you think are doing so much good are more likely being sold at a profit in Africa — part of an elaborate overseas resale system that’s effectively snuffing out other countries’ own vital textile industries.

“Most Americans are thoroughly convinced there is another person in their direct vicinity who truly needs and wants our unwanted clothes. This couldn’t be further from the truth,” writes Elizabeth Cline in “Overdressed: The Shockingly High Cost of Cheap Fashion.” “Charities long ago passed the point of being able to sell all of our wearable unwanted clothes,” she notes.

According to sustainable apparel consultant Shannon Whitehead, here is what actually happens to your old suits, shirts, and sweaters — part of the 4.7 billion pounds of clothing donated by Americans annually — once you shove them into that big metal drop box: Some of the items end up in landfills; some of them get recycled into rags and insulation; and much of the clothing ends up in the markets of sub-Saharan Africa. When they arrive at charity shops, the clothes are sorted, with only about 10 percent deemed good enough for sale in the retail shop; the rest is sold to textile recyclers, which ship tons of clothing in good enough shape for resale to countries including Ghana, Cameroon, Congo, Tanzania, and Rwanda.

So on one hand, you could feel OK about the fact that the profit for the tons of castoffs is going to support valuable social programs run by the charities — programs for seniors, single moms needing work, families living in poverty, people in drug rehab, prison populations, and homeless people. But on the other hand, there’s the worrisome viewpoint that, at the same time, the cycle of shipping used clothes overseas is contributing to growing poverty in other nations. That's because, as more and more of our clothing discards are sent overseas, there's less chance that African countries will develop their own textile trades. In the past decade, in fact, local industries such as garment-making and tailoring, have collapsed, creating mass unemployment.

“It’s neocolonialism in its purest form,” noted the late Neil Kearney, general secretary for the International Textile, Garment and Leather Workers Federation. “It’s exporting poverty to Africa, a continent that is already exceedingly poor.”

Further, a recent article in the Root points out:“The psychological — and, as a result, financial — blows of the used-clothing industry have been crippling. What seems to be carried over, along with the previously worn clothing, is that old-colonial mentality of ‘ours is better than yours,’ the often unspoken belief heralding all that is Western as superior, and all that is African as inferior.”

So what’s a spring cleaner to do? If you don’t want to be a part of the overseas consignment market, here are some other used-clothing recipients to consider:

• You can give used business attire to organizations such as Career Gear or the Women’s Alliance, which provide interview-worthy outfits to disadvantaged individuals seeking employment.
READ THE ENTIRE ARTICLE HERE:




Friday, March 21, 2014

Mama Bishanga Asherekea Miaka Minne ya Ndoa

MAMA BISHANGA AMEREMETA/ 4th WEDDING ANNIVERSARY
 
Nawasalimu na kuwashukuru wote mlionitumia kadi, txt, na kunipigia simu kunipongeza na kunitakia heri ya kutimiza miaka minne ya ndoa yangu. Nimeona nitumie njia hii nzuri na rahisi kuwafikishia shukurani zangu na za mume wangu Mzee Marolen. Mungu ni mwema ametupa faraja amani na furaha ya kuungana kwetu sote tukiwa ni mara yetu ya pili kufunga ndoa. Kwa upande wangu sikuweza kufunga ndoa na mchumba wangu wa kwanza kwa tofauti ya dini alikuwa muislamu toka Tanga. Nilifunga ndoa mwaka 1978 na marehemu Isaya Namajojo alikuwa anafanya kazi mamlaka ya bandari Mtwara na alikuwa mcheza mpira wa timu ya Bandari Mtwara na timu ya taifa. Na mume wangu huko Johannesburg alifiwa na mke wake mwaka 2009 kwa matatizo kisukari, na tunamshukuru Mungu kwa kutuunganisha na kujenga ndoa yetu. 
 
Tunawashukuru wote watoto wetu Sizelina, Kilian na Hendrick (Kenny), Floronce, Lucy, Nuru, Ibrahim, Amri, Thato na Zinzi na wajukuu zetu, ndugu zetu, marafiki zetu na wasanii wenzengu toka Tanzania JB, Natasha, Monalisa, George/Tyson, Bishanga, Lulu, Wema na wengine wote tunawapenda sana. AND GOD BLESS YOU!
 
MAMA BISHANGA/ MRS MAROLEN
OHIO
USA

Thursday, March 20, 2014

Mzungu Aliyedhani Wazungu Hawapati UKIMWI - Aaambukizwa!

 Mwanamke wa kizungu kutoka Uiingereza aliyedhani kuwa wazungu hawambukizwi UKIMWI amejikuta ni mgonjwa wa UKIMWI! Bi Rachel Dilley alisema kuwa alidhani kuwa unaweza kuambikizwa Afrika tu na wanaougua ni weusi tu! Jamani ni karne ya 21! Kweli kuna watu washamba na fikra za kibaguzi hivyo!

*******************************
Rachel Dilley
Mzungu Aliyedhani wazungu hawapati UKIMWI!

Kutoka The Grio.com

A British HIV-infected woman’s startling ignorance about her illness has stunned viewers of a talk-show clip that has since gone viral.

Rachel Dilley, 48, says she contracted HIV at age 40 from a sexual fling and admitted during an appearance on the UK’s ITV This Morning talk show that she “didn’t know anything about HIV” and “thought you got it in Africa.”
”I didn’t know a white person had ever got[sic] it,” said Dilley.

“I knew nothing about HIV or AIDs and everything I read on the Internet terrified me. When I told my children, they were devastated. My daughter was so affected she couldn’t speak and my younger son said: ‘Are you going to die?’ I couldn’t have felt more ashamed because I had no one to blame but myself.”
Click here to read more about Dilley’s remarks.
Do you think a lot of people share her bigoted views about the disease?

Tuesday, March 18, 2014

Watalii Kutoka Marekani Jamaica

Hao akina dada warembo kutoka Atlanta, Georgia  Marekani walienda Jamaica likizo.  Waliamua kupiga picha wakiwa beach Montego Bay.  Walitamba na bikini zao!


Monday, March 17, 2014

Wagadugu Stars - Watoto wa Chuo Kikuu (UDSM) 1988

Hii picha nilipiga 1988. Ni watoto wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Watoto walianzisha kikundi cha sarakasi Wagadugu Stars.  Wako wapi siku hizi?  Hii ilitoka kwenye gazeti la Daily News June, 6, 1988.

Sunday, March 16, 2014

Basi la Yanga Yapata Ajali!

 KUTOKA FACEBOOK:



Bus la timu ya Young Africans lililokuwa limebeba wachezaji pamoja na viongozi wa benchi la ufundi limepata ajali eneo na Mikese Mizani baada ya Mabus yaliyokua yakitanua kuelekea mikoa ya bara kuziba njia na kusababisha kutumbukia kwenye mtaro.

Katika ajali hiyo iliyotokea majira ya saa tatu na nusu asubuhi hakuna mtu yeyote aliyejeruhiwa na kwa sasa timu inaondoka na usafiri wa bus jingine kuelekea jijini Dar es salaam.

Saturday, March 15, 2014

Posta ya Zamani 1980

Posta ya Zamani Karibu na Forodhani Secondary School mnaona hiyo basi ya UDA!

Ndege ya Malaysia Airlines Iko Wapi?


YAANI WIKI NZIMA NDEGE KUBWA HIVYO HAIJAONEKANA POPOTE!!!  Malaysia Airlines 370 ilipotea wiki iliyopota ikitokea Kuala Lumpur kwenda Beijing, China. Ilikuwa na abiria na crew 239 wengiw wao WaChina.  Hakuna dalili ya hiyo ndege, kama imeanguka baharini, tungkwishaona mabaki yake.  Hiyo ndege iko wapi?

*******************************************

   KUALA LUMPUR, Malaysia (AP) - The Malaysian jetliner missing for more than a week had its communications deliberately disabled and its last signal came about 7 1/2 hours after takeoff, meaning it could have ended up as far as Kazakhstan or into the southern reaches of the Indian Ocean, Malaysia's leader said Saturday.

   Prime Minister Najib Razak's statement confirmed days of mounting speculation that the disappearance of the Malaysia Airlines Boeing 777 was not accidental, refocusing the investigation into the flight's crew and passengers and underlining the massive task for searchers who already have been scouring vast areas of ocean.

   "Clearly the search for (Flight) MH370 has entered a new phase," Najib said at a televised news conference.

   Najib stressed that investigators were looking into all possibilities as to why the plane deviated so drastically from its original flight path, saying authorities could not confirm whether or not it was a hijacking. Earlier Saturday, a Malaysian government official called the plane's disappearance a hijacking, though he said no motive had been established and no demands had been made known.

   "In view of this latest development, the Malaysian authorities have refocused their investigation into the crew and passengers on board," Najib told reporters, reading from a written statement but not taking any questions.

   Police on Saturday morning drove into the residential compound where the missing plane's pilot lives in Kuala Lumpur, according a guard and several local reporters who were barred from entering the complex. Authorities have said they will be investigating the pilots as part of their probe, but have released no information about how they are progressing.

   Experts have previously said that whoever disabled the plane's communication systems and then flew the jet must have had a high degree of technical knowledge and flying experience. One possibility they have raised was that one of the pilots wanted to commit suicide.

   The plane was carrying 239 people when it departed for an overnight flight from Kuala Lumpur to Beijing at 12:40 a.m. on March 8. The plane's communications with civilian air controllers were severed at about 1:20 a.m., and the jet went missing - heralding one of the most puzzling mysteries in modern aviation history.




Misa ya Shukrani - Mzee Arnold Nkhoma


Thursday, March 13, 2014

Mashoga wa Kike Waambukizana UKIMWI

Wadau, hii mpya! Kwa kawaida ni wasenge, mashoga wa kiume wanaoambukizana virusi vya UKIMWI (HIV/AIDS) kwa vile wanapenda mchezo wa kufirana. Sasa leo kuna habari shoga wa kike amemwambukiza shoga mwenzake kwa kupenda mchezo wa kutumia  sex toy (mboo bandia)!  Walisema kuwa walikuwa wanafanya mabo yao hata wakati wakiwa kwenye siku zao! Jamani, damu si ndo ina virusi!  Hii kali!  Walikuwa wanasema kuwa wanawake wakifanya ngono wenyewe kwa wenyewe yaani ushoga hawawezi kuambukizana! Kumbe

*************************************
 
 Kutoka Yahoo.com

Washington (AFP) - A rare case of suspected HIV transmission from one woman to another was reported Thursday by US health authorities.
The 46-year-old woman "likely acquired" human immunodeficiency virus while in a monogamous relationship with an HIV-positive female partner in Texas, said the Centers for Disease Control and Prevention.
The woman, whose name was not released, had engaged in heterosexual relationships in the past, but not in the 10 years prior to her HIV infection.
Her HIV-positive partner, a 43-year-old woman who first tested positive in 2008, was her only sexual partner in the six months leading up to the test that came back positive for HIV.
She did not report any other risk factors for acquiring the virus that causes AIDS, such as injection drug use, organ transplant, tattoos, acupuncture or unprotected sex with multiple partners.
The strain of HIV with which she was infected was a 98 percent genetic match to her partner's, said the CDC in its weekly report.
Authorities first learned of the case in August 2012 from the Houston Department of Health.
The couple said they had not received any counseling about safe sex practices, and reported that they routinely had sex without barrier methods.
"They described their sexual contact as at times rough to the point of inducing bleeding in either woman," said the CDC report.
"They also reported having unprotected sexual contact during the menses of either partner."
The partner who was infected since 2008 had been prescribed antiretroviral drugs in 2009 but stopped taking them in November 2010, and was lost to follow up in January 2011.
The CDC warned that although such cases are rare, "female-to-female transmission is possible because HIV can be found in vaginal fluid and menstrual blood."
People with HIV should be under the care of a doctor and take their prescribed medicines to keep their viral load down and reduce the risk of infecting a partner, the CDC said.
Very few cases of this kind have been documented, and confirmation "has been difficult because other risk factors almost always are present or cannot be ruled out," said the report.
One survey of 960,000 female blood donors found 144 who tested positive for HIV and were therefore blocked from donating.
Of 106 of those women who agreed to interviews, none described female-to-female sexual contact as their only risk factor.
The CDC also described one case of a woman in the Philippines who tested positive for HIV and said she had sex only with women and did not inject drugs, though no source of infection could be confirmed.
One other case is known of a 20-year-old woman who was diagnosed with HIV after a two-year monogamous relationship with a female partner who was HIV positive. While both women had the same drug-resistant HIV mutations, no tests were done to identify if their HIV strains were a genetic match.

Tuesday, March 11, 2014

Saturday, March 08, 2014

Barbershop Girls - Umalaya kwa Kinyozi

Mdau TJK ameleta hoja hii. Mnasemaje wadau? Je, ni kweli hao barabershop girls wanavunja ndoa za watu? Navyoona midume ndo inashindwa kujizuia!


 ******************************



Mwanzo ilikuwa ni vita na wahudumu wa bar. Wanawake walio kwenye ndoa
waliishi kwa hofu ya ndoa zao kuingiliwa na wadada warembo wanaovaa nusu
uchi kweye bars zilizopo karibu kila sehemu ya Dar es Salaam. Lakini sasa,
mambo yamehamia kwenye babaershops/salon za kiume.

Nadhani kila mtu anajua babershop ni nini, na pia anajua barbershop za siku
hizi sio kukata nywele peke yake,bali inajumuisha angalau lisaa limoja la
kufanyiwa scrub, massage, manicure, pedicure etc.

Tunajua wasichana hao wakati wa kutoa huduma hawawezi kuepuka kugusa wateja
wao so gently usoni wakati wa kufanya scrub na massage. huduma wakati
mwingine huenda zaidi ya huduma za kinyozi , wakati mwingine wateja
wanauliza kukutana na wasichana hawa baada ya saa za kazi. " Wakati
mwingine wasichana hulipwa fedha za ziada kwa kisingizio cha kuthamini
huduma waliyotoa.

Barbershops nyingi zimegeuka kuwa mahala pa biashara ya ngono. Wanaume
hawana muda tena na wahudumu wa baa, na hii ni tishio kwa ndoa nyingi hapa
mjini.

Je unalo la kusema kuhusu hili? Karibu tujadiliane!

Wednesday, March 05, 2014

Mzungu Akamatwa Akifanya Ngono Na Mbwa Florida!

Wadau, huyo mzungu alikuwa anafuga mbwa kwa ajili ya kufanya ngono nao!  Sasa amekamtwa laivu akiwa amemwingilia mbwa. Anashitikawa kwa kos ya kumtesa mnyama, na kumjeruhi mnyama!  Sheria za Marekani ni kali sana kwa wanaotesa wanyama!  Naona kafanya ngono na mbwa muda mrefu kiasi kwamba uso wake unafanana na mbwa!

BOFYA LINKI HAPO CHINI KWA HABARI ZAIDI!

**************************



Tampa man accused of sex with pit bull. Eight dogs were removed from his home after shocked neighbors complained.

STORY: http://www.myfoxtampabay.com/story/24892576/2014/03/05/man-accused-of-sex-with-pit-bull
— with William Fueshko, Paul Fraser, Daniel McGuinness, Kristin Lambert and Kimberly Heselton Nicholson.

Sunday, March 02, 2014

MKenya Lupita Nyong'o Ashinda Oscars!!!!




Mwigizaji, Lupita Nyong'o kutoka Kenya ameshinda tuzo za Oscar!!!!!! Anakuwa mwafrika mweusi wa kwa kushinda. Mzungu Charlize Theron kutoka Afrika Kusini amewahi kushinda.  Kweli Hollywood inabadilika maana miaka mingi ilikuwa vigumu mwigizaji mweusi kuteuliwa na hasa kushinda! Katika miaka 86 ya historia ya Oscar Lupita, ni mwanamke wa saba mweusi kupokea Tuzo ya Oscar!

HONGERA LUPITA NYONG'O!!!!


Lupita Nyong'o leo kabla ya Tuzo za Oscars Kuanza

Lupita Nyong'o katika sinema  12 Years a Slave

Lupita akicheza na mwimbaji Pharell


Afrika Inawakilishwa Katika Oscars ya Mwaka Huu!

Wadau, tunangojea kwa hamu kuona kama Lupita Nyong'o kutoka Kenya na Barkhad Abdi mwenye asili ya Somalia watashinda katika tuzo za Oscars leo jioni.

Kwa mara ya kwanza Nchi mbili za Afrika zinawakilishwa katika Tuzo za Juu za Oscars.

Lupita Nyong'o  yuko katika Best Supporting Actress (yaani mwigizaji bora wa kike katika sinema si mwigizaji mkuu).  Na Barkhad Abdi anagombea Best Supporting Actor (yaani mwigizaji bora wa kiume - si mwigizaji mkuu).

Jamani, jamani sijui waafrika tukoje, huyo Barkad kasemwa na waSomali wenzake, eti ana sura mbaya na mengine! Khaa! 

Na nisimsahahau Chiwetel  Ejiofor ambaye ni Mwingereza mwenye asili ya Nigeria.  Yeye anagombea Mwigizaji bora wa kiume. (Best Actor).

Kushoto ni Lupita Nyong'o na Kulia ni Barkhad Abdi

Mara nyingi nchi ya Afrika inayopata sifa katika Osars ni Afrika Kusini.  Waigizaji wao wazungu kama Charlize Theron wanatambulika sana.  Charlize alikuwa Msouth Afrika wa kwanza kupata Oscar.

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Saturday, March 01, 2014

Mh. Shy-Rose Bhanji Aiomba Serikali ya Tanzania Kuwezesha WaTanzania Waifahamu EAC na Faida Zake

1069410_488216681262565_60269170_n

Katibu wa Wabunge wa Tanzania Katika Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Shy-Rose Bhanji (pichani) amerejea nchini baada ya ziara ya siku 10 ya Wabunge wa EALA nchini Kenya na hicho ndicho alichokisema kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nimerejea nchini baada ya ziara ya siku 10 nchini Kenya. Ziara hii ya wabunge wa EALA ilikuwa kwa mwaliko wa Serikali ya Kenya lengo likiwa kuhamasisha wananchi wa Kenya kupata ufahamu mkubwa juu ya Mtangamano wa Jumuiya na faida zake. Tulipata nafasi ya kuonana na wananchi, wafanyabiashara, wabunge, maseneta, magavana, asasi za kiraia na makundi mengine.

Ziara hii imenifungua macho zaidi kwamba bado tuna kazi kubwa mbele yetu kuhakikisha kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki inakuwa ni ya Wananchi (people Centred Integration).

Kama nilivojionea mwenyewe kwa upande wa maeneo mbalimbali tuliyoyafikia bado mwamko wa ufahamu wa masuala ya EAC mdogo sana na kiu wa kuifahamu ni kubwa.

Hata hivyo Serikali ya Kenya kwa kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanashiriki kikamilifu juu ya masuala ya Jumuiya imefufua mpango huu wa wabunge wa EALA kufika Kenya kuendelea na zoezi la uhamasishaji.

Ni imani yangu kwamba na Serikali ya Tanzania itaiga mfano huu mzuri wa kuwaalika wabunge wa EALA kufika nchini ili kuwafikia makundi mbalimbali hapa nchini kwa lengo la kuhamasisha. Hata kwa upande wa Tz bado ufahamu wa wananchi wengi zaidi juu ya masuala ya Integration ni changamoto kubwa.

Lengo kuu la uanzishwaji wa EAC ni kuinua hali ya kiuchumi kwa wananchi wa EA ambao sasa ni takriban millioni 140. Na iwapo mwamko wa wananchi ni mdogo basi lengo hili litachukua muda mrefu sana kufikiwa au kutokufikiwa kabisa.

MChina Achoma Mahindi Mtaani Nairobi

Haya mmekaribisha waChina na sasa wanachukua kazi za walalahoi! Si angechoma mahindi kwao Uchina? Je, mwafrika akienda kuchoma mahindi huko China itakuwaje?

MChina akichoma mahindi mtaani Nairobi

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Rasimu ya Katiba imewashau Vijana! - Makonda

Mimi ni Kijana, ninayoyazungumza,ninayoyafanya yana reflect uhalisia huo. Hivyo kwa wito wa Ujana najikuta nashawishika sana kuongeza umakini katika masuala yahusuyo vijana hasa kwenye Katiba.

Ni ajabu lakini kweli kuwa sehemu inayotaja juu ya Haki na Wajibu wa Vijana katika Rasimu yote ni Ibara ya 44 tu, tena inataja kwa ujumla wake bila hata kuweka ibara ndogo ama vipengele vya ufafanuzi.

Ibara hiyo inasema;

"..kila kijana ana haki na wajibu wa kushiriki kikamilifu katika shughuli za maendeleo ya Jamhuri ya Muungano pamoja na jamii kwa ujumla, na kwa mantiki hiyo, Serikali ya Jamhuri ya Muungano, serikali za nchi washirika na jamii zitahakikisha kuwa vijana wanawekewa mazingira mazuri ya kuwa "Raia Wema" na kupatiwa fursa za kushiriki kikamilifu katika nyanja za kisiasa, kiuchumi, kijamii na kiutamaduni..."

Sikuwa nategemea huu unaweza ukawa ndio mwisho wa maelezo ya Rasimu kuhusu Vijana. Nilitegemea nitakuta vipengele vinavyobainisha namna vijana watakavyonufaika na rasilimali, namna ambavyo sheria ndogo na taratibu baguzi ktk upatikanaji wa ajira na fursa zitakavyobainishwa kikatiba ili kumaliza kabisa matatizo ya Vijana.

Nilidhani Rasimu itaweka bayana Uanzishwaji wa Baraza La Vijana la Taifa ili kiwe chombo cha kikatiba cha Vijana.

Nikitumia fursa na nafasi yangu kama mbunge wa bunge maalum la Katiba zipo hoja hizo kuu (3) tatu ambazo nitazisimamia ziingie kwenye Katiba kwa manufaa na mustakabal mwema wa Vijana bila kujali tofauti ya itikadi, dini ama kabila.

Na nakaribisha mawazo na michango ya fikra ktk hoja zihusuzo Vijana.

IMETOLEWA NA:
PAUL MAKONDA.
MBUNGE WA BUNGE MAALUM LA KATIBA.

Mrembo Miss Kentucky 2010 Asema Yeye Ni Shoga!!!

Miss Kentucky 2010 Djuan Trent

 Wadau, huko Kentucky moto unawaka baada ya Mrembo, Miss Kentucky 2010, Djuan Trent (26) kujitokeza na kusema yeye ni shoga.   Ameamua kujitokeza kwa vile Mkoa wa Kentucky karibu wataruhusu ndoa za mashoga!  Midume mlie tu....huyo mrembo anapenda wanawake na si nyie wenye dhakhari.

 Mikoa ya kusini ya Marekani wan Siasa kali dhidi ya wasenge na mashoga.

******************************************************

KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA:

On Thursday, there was huge news that a Kentucky judge ruled that same-sex marriages performed in other states and countries must now be recognized by the state. Some more news came out on Friday, Feb. 28, 2014, as former Miss Kentucky Djuana Trent publicly revealed in her blog that she is gay, per WKYT.

She started her blog post by wrestling with herself as to whether or not she should keep writing and reveal her news or still keep it inside. With that being said, she wondered how she should reveal her news - special date? Mysteriously? Seriously?
Djuan Trent simply decided to make her announcement with just three words:
"I am queer."
Djuan Trent went on to be crowed Miss Kentucky in 2010 and finished in the top 15 of the 2011 Miss America pageant. She had traveled all around Kentucky during her reign and was a spokesperson for the Kentucky Department of Agriculture's "Kentucky Proud" slogan and initiative.
Trent wrestled with how to make the announcement:
"I could write about what it was like to come out to my mom for the third and final time at the age of 26 (the first time was when I was in the 4th grade and the second time was in college). I could write about the years I spent praying to a God whom I wanted so badly to serve with all of my heart, but couldn't understand why this God made me "wrong". I could write about all the times that people have asked me if I have a boyfriend and I've purposely chosen to just say "no" with no further explanation."