Saturday, October 25, 2014

Mh. Shy-Rose Bhanji Ajibu Shutuma Dhidi Yake

Mh. Shy-Rose Bhanji
Mimi Shy-Rose Bhanji, Mbunge wa Afrika Mashariki-Tanzania, ninapinga vikali na kwa nguvu zote shutuma zilizotolewa dhidi yangu kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii.
Shutuma hizi hazina ukweli wowote na zinalenga, si kuniharibia, bali kuchafua sifa yangu na utendaji kazi wangu katika Bunge la Afrika Mashariki.
Lengo kuu la shutuma hizo ni kunivunja nguvu na ari ya kutetea maslahi ya nchi yangu na Watanzania wenzangu kwani daima nimekuwa kikwazo na mwiba kwenye ajenda zinazokiuka maslahi ya Tanzania.
Kwa mfano ardhi ya Tanzania kugawiwa kwa wana Jumuiya ya Afrika Mashariki ni kinyume na Sera ya Tanzania. Nimekuwa miongoni mwa wabunge wa Tanzania tulio mbele katika kulipinga suala hilo. Sishangai likinijengea uadui.
Isitoshe, kwenye ajenda ya kumuondoa madarakani Spika wa EALA, Dk. Margaret Zziwa, nilisimama kidete kwa kutounga mkono kwa sababu halikuwa na maslahi ya Tanzania na yalikuwa kinyume na malengo ya ushirikiano wa Jumuiya nzima.
Hoja ya kumuondoa Spika ilikuwa ni sehemu ya ‘mchezo mchafu’ ya ajenda ya siri ya kumweka kwenye nafasi hiyo mjumbe mwingine kwa maslahi ya wachache.
Jaribio hili la kumuondoka Spika lilifanywa na kushindikana mara tatu baada ya kukosa sahihi za kutosha kutoka Tanzania, ikiwamo ya kwangu.
Baada ya kampeni ya kumwondoa Spika kushindwa, wabunge kadhaa walikuwa wanasusia vikao vya Bunge wakati wameshachukua posho za vikao. Kwa mfano kikao kilichofanyika hivi karibuni hapa Dar es Salaam.
Malumbano ndio yamekuwa yakitawala na kuinyima Bunge akidi ya kuendelea na ajenda za mtangamano. Huu ni usaliti wa wazi kwa nchi zilizowachagua na kuwatuma katika Bunge la EALA.
Ukijaribu kuwaasa kwamba mwenendo huo si sahihi, unageuka kuwa adui.
Na sasa wameamua kunitukana na kuzusha tuhuma kadhaa kupitia mitandao ya kijamii ambako yote ni utunzi wa kisanii usiokuwa na chembe ya ukweli, uhalali wala ushahidi.
Wahenga walisema ‘akutukanaye hakuchagulii tusi’. Walete ushahidi wa tuhuma zote dhidi yangu.
Kwa mfano, shutuma kwamba nililewa pombe ndani ya ndege, kuvunja chupa, kufanya fujo na kufungwa pingu wakati wa safari ya Ubelgiji si kweli hata kidogo.
Kama hizi tuhuma ni za kweli, kwanini hazikupelekwa polisi, serikalini au vyombo vingine vya sheria baada tu ya tukio?
Ijewe wamesubiri wiki mbili baada ya madai hayo ya tukio la kutunga ndipo wajitokeze wakati wa kikao kinachoendelea mjini Kigali, Rwanda? Kwanini wasubiri kikao cha Kigali ndipo uzushi huu utolewe?
Tuhuma kwamba nimewatukana marais wa nchi tatu hazina mashiko isipokuwa kuhalalisha kampeni ya wale wanaonichafua na kuibua chuki kwa maraisi na raia katika nchi za Kenya, Rwanda na Burundi.
Ninayo heshima kubwa sana kwa marais wa nchi zote tano na raia wa nchi wanachama ambako mara zote nimepokewa na kuishi kwa amani na upendo katika nchi hizo. Naahidi kuedeleza heshima hii.
Hainiingii kichwani ni wapi nilipoteza heshima hii isipokuwa kwa wale wasionitakia mema ambao wamekusudia kufanikisha ajenda zao.
Shutuma zote dhidi yangu zimetengenezwa na watu ambao hatushabihiani katika hoja zetu na sishangai kwa hilo.
Mimi ni Mtanzania na ni Mbunge wa Tanzania. Hivyo nina wajibu wa kulinda na kutetea maslahi ya Watanzania ili kuleta mtangamano wenye uwiano sawa kwa nchi zote wanachama.
Ninaahidi nitaendelea kuwatumikia Watanzania kwa nguvu zangu zote na kutoa ushirikiano kwa wabunge wengine wa EALA kwa manufaa ya Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Nimeyasema haya nikiamini kuwa: “Uongo ukiachwa usemwe mara nyingi unaweza kuaminiwa kuwa ni ukweli.”
Umoja Wetu Ni Nguzo Yetu
Mungu ibariki Afrika Mashariki
Asanteni,
Shy-Rose Bhanji
Mbunge EALA

Barua za Kitapeli

Yaani matapeli hawachoki! Shenzi Zao!

*********************************************
 Hello Dear,

My name is Beatrice Solin, 24yrs old girl. I am a female journalist and a model. Please am presently lying on the Suka specialist hospital bed right now as a result of the heavy injuries which I sustained from a car accident. On 24th of May I was traveling with my mum and dad to our home town(Banfola) when we had an accident which led to my parent's instant death because they sat on the front seat without fastening their safety seat belt.

Since this incident my father's brothers has been my major problem selling all my father's properties, forcing me to write different bank cheque claiming that they are using all my father's money to pay for my hospital bills. They hide all my contacts and the hospital where I am receiving treatment from people who supposed to assist me. They are all interested in my father's money and his documents. Now I don't trust anybody around me here any more.

Please I want you to assist me and receive ATM Master Card that is attached to my father's bank account because I am making arrangement to visit your country since I am no longer safe because of my father's wealth. I think my father's brothers spiritually caused the accident so they will take his wealth.

I'll explain the whole matter when you write back ok, Thanks.

Please do reply me on my private email: solinbeatrice@yahoo.co.uk

Best Regards,
Beatrice Solin


****************************************************************************************************



 
Your Classic version of Yahoo! Mail is closing.
You need to upgrade now
 
  Hello,
 

The Classic version of Yahoo! Mail will be replaced by our new version on 22 October 2014. So it's time to upgrade, before you lose your email access.
 

When you upgrade your Yahoo! Mail

Your email service won't be affected and you'll keep all your old contacts, folders and messages. Plus you'll get:
  • faster email
  • the latest spam protection
  • unlimited email storage.

How you upgrade

Click on the link below and follow the instructions. You'll also need to agree to some new terms and conditions.

Upgrade Yahoo! Mail

If your browser displays a message saying it won't support the new version of Yahoo! Mail, you'll need to update your browser (it's easy and free) then you can go on to upgrade.
 

If you don't upgrade now

If you want to carry on getting your emails, you need to upgrade now, because the Classic version of Yahoo! Mail will stop working after 3 June.
 

Got a question?

For more information, help or to get in touch, go to yahoo/help/newmail.
 

***********************************************


Good day
I am Mr. Ali Kaba of B.O.A Bank in (Burkina Faso). I got your email account while searching for a business oriented personality in my private study in the internet. I bring forth a business proposal in the tune of US$10 million U.S dollars to be transferred to an offshore account with your assistance acting as beneficiary and next-of-kin to the funds.
 
If you know you are capable of involving and partaking in this transaction, please send down the following personal details to me at this my private email address for briefing: mralikaba1956@gmail.com
 
 
(1)Full names:.............................
(2)Occupation:...............................
(3)Age and Sex:..........................
(4)Marital Status:................
(5)Private phone number:...................
(6)Current residential address:..................
 
Yours Sincerely.
Mr. Ali Kaba
****************************************************************************************************
From kadiogo Area 22 Petti Ouaga Refugees Camp
(U.N.H.C.R) Ouagadougou Burkina Faso
Camp Authority office Telephone: +226 744 565 16
Apartments Hostels W Block Gov-3 Hostels.

I am writing this mail to you with tears and sorrow from my heart. With due respect trust and humanity, i appeal to you to exercise a little patience and read through my letter i feel quite safe dealing with you in this important business having gone through your remarkable profile, honestly i am writing this email to you with pains from my heart, i will really like to have a good relationship with you and i have a special reason why i decided to contact you, i decided to contact you due to the urgency of my situation, My name is Miss. Hanaa Kipkalya Kones, 24yrs old female and I held from Kenya in West Africa.

My father was the former Kenyan road Minister. He and Assistant Minister of Home Affairs Lorna Laboso had been on board the Cessna 210, which was headed to Kericho and crashed in a remote area called Kajong'a, in western Kenya. The plane crashed on the Tuesday 10th, June, 2008.

After the burial of my father, my step-mother has threatened to kill me because of the money my father deposited in one of the banks in Ouagadougou, Burkina Faso in my name as the next of kin before his dead which amount is ($6.8 USD) Million United State Dollars. I travelled down to Burkina Faso to withdraw the money so that I can start a better life and take care of myself.

On my arrival, the Branch manager of the Bank whom I met in person told me that my father's instruction to the bank was the money will be release to me only when I am married or I should present a trustee who will help me and invest the money overseas. I have chosen to contact you after my prayers and I believe that you will not betray the trust I have on you. But rather take me as your own daughter or your Sister. Though you may wonder why I am so soon revealing myself to you without knowing you, well, I will say that my mind convinced me that you are the true person to help me stand as my trustee since i have not married.

More so, I will like to disclose much to you if you can help me to relocate in your country because my Step-Mother has threatened to assassinate me. Also be informed that I have confirmed from the bank in Burkina Faso that the money is still unclaimed. You will also help me to a place where the money will be establish a more profitable business venture in your Country. Moreover, you will also help me by recommending a nice University in your country so that I will complete my studies.

It is my intention to compensate you with 20% of the total money for your services and the balance shall be my capital in your establishment. As soon as I receive your interest in helping me, I will put things into action immediately. In the light of the above, I shall appreciate an urgent message indicating your ability and willingness to handle this transaction sincerely. Please do keep this only to yourself. I beg you not to disclose it to anybody until the money transferred into your bank account and then I will come over to your country. Meanwhile as i am talking to you, my step-mother don't know i am here in Petti Ouaga Refugees Camp Burkina Faso.

I am waiting to hear from you soonest,

Yours Sincerely,
Miss Hanaa Kones.
 
*****************************************************************************
 
 Hi,

I have a project we both can work out for benefit ? if interested email me at ( lin.lins@aim.com )
 
 
**********************************************************************************
Hello Dear,

Greetings to you, I know my message will come to you as a surprise but i want you to know that am contacting you for Friendship and business partnership. I really wish to have you as my good friend/partner  and wishes to hand over my funds to you for investments on trust. Because of the situation we are in here in Iraq.


I will like to use this opportunity to let you know about me, I am Emad Yousef personal aid to the oil chief in Iraq, because of the on going fighting between the suni rebels and the Iraqi government the country has been divided we have been under house arrest for weeks now, and we don't know what the future will be.

I have $9.5 Million US dollars that I successfully moved out of the country.  I need a good partner someone I can trust. It is oil business money we did with the Iraq government worth of 46 million US dollars, but the $9.5 million us dollars stated is my share on the business and it's legal. I have successfully moved the funds out of Iraq.

The most important thing is ''' Can I Trust You in this partnership?  I am willing to offer you 35% of the fund for your role/assistance, while you keep the remaining 65% for me. Once the funds get to you, you take your 35% out and keep my own 65% for me.Your own part of this deal is to find a safe place where my part of the funds will be until I come to meet with you for discussions on investment plans and business partnership, but I have more interest on real estate or any other profitable investment. If you are interested send reply to my private email emadyousef9888@yahoo.com and I will furnish you with more details on how to proceed for the transfer of the funds.

The whole process is simple and we must keep a low profile at all times, because the wise ones are the humble ones.
I look forward to your reply and co-operation, and I thank you in advance as I anticipate your co-operation waiting for your urgent response.

My Regards,
Emad Yousef 
 
********************************************************************************************

Wednesday, October 22, 2014

Ibada ya Kiswahili Ottawa - Ottawa Swahili Fellowship

Wadau, Pastor Edith Mwita, wa Ottawa, Canada anafurahi kuwatangazia kuwa kutakuwa na Ibada ya Kiswahili jumapili hii Oktoba 26th, kuanzia saa 11 hadi saa 1 jioni (5:00pm to 7:00pm) mjini Ottawa.

Anwani ni 36 Bentley Avenue, Ottawa.

Pia, Ibada ya Kiswahili itafanyika kila jumapili ya mwisho wa mwezi.

Wote Mnakaribishwa!

Saturday, October 18, 2014

Chemi Katika Sinema, HIstoria ya Khanga 1994



Mwaka 1994, TAMWA, walitengeneza sinema kuhusu Historia ya Khanga. Mimi nilikuwa mmoja wa waigizaji pamoja na Issa Michuzi.  Mnaweza kuona Clip yote YOU TUBE:

CHEMI & MICHUZI IN HISTORY OF KHANGA

ZILIPENDWA - Prince Nico Mbarga Sweet Mother

HUU WIMBO ULIPIGWA SANA TANZANIA KWENYE RADIO TANZANIA MIAKA YA 1970's!

ZILIPENDWA - Orchestra Makassy - Mambo bado

   RAHA TUPU!

Thursday, October 16, 2014

Nafasi ya Kuwa Katika Sinema Boston

Jodi Purdy CASTING & PRODUCTION NOTICES
BOSTON AREA ONLY

Seeking Ethnic Family for Birthday Party scene to be shot on Saturday 10/18 or Sunday 10/19 in your home - must be able to sing Happy Birthday in your language - PAYING GIG!!
Please send photos of family - mom, dad, grandparents, kids, teens and your contact info asap to: zandrakcasting@gmail.com Subject: Ethnic Family

Mbinu Mpya ya Majambazi

Nimepata kwa Email:

Kuna watu 3 au 4 wanapita majumbani wakidai wanatoka kampuni ya maji wamekuja kuweka bomba ya mvua ili kuokoa upotevu wa maji au watadai wanatoka Eskom au sehemu kama hizo wanabadilisha balbu bure. Wameonekana sehemu nyingi. USIWARUHUSU kuingia ndani ni wezi majambazi wa kutumia bunduki. Wataarifu wote kwenye kitabu chako cha simu kwani unaweza kuokoa maisha yao. Hakikisha milango na madirisha umefunga na usiwaruhusu watoto kuwafungulia wageni wasiowajua

Wednesday, October 15, 2014

Cheki Rais Obama AlivyoZeeka!


Jamani, kuwa Rais wa Marekani ni kazi ngumu. Cheki Rais Obama alivyozeela katika miaka 6!

Monday, October 13, 2014

What is Chikungunya Disease

From the WORLD HEALTH ORGANIZATION - WHO

Key Facts

  • Chikungunya is a viral disease transmitted to humans by infected mosquitoes. It causes fever and severe joint pain. Other symptoms include muscle pain, headache, nausea, fatigue and rash.
  • The disease shares some clinical signs with dengue, and can be misdiagnosed in areas where dengue is common.
  • There is no cure for the disease. Treatment is focused on relieving the symptoms.
  • The proximity of mosquito breeding sites to human habitation is a significant risk factor for chikungunya.
  • Since 2004, chikungunya fever has reached epidemic proportions, with considerable morbidity and suffering.
  • The disease occurs in Africa, Asia and the Indian subcontinent. In recent decades mosquito vectors of chikungunya have spread to Europe and the Americas. In 2007, disease transmission was reported for the first time in a localized outbreak in north-eastern Italy.

Chikungunya is a mosquito-borne viral disease first described during an outbreak in southern Tanzania in 1952. It is an RNA virus that belongs to the alphavirus genus of the family Togaviridae. The name ‘chikungunya’ derives from a word in the Kimakonde language, meaning "to become contorted" and describes the stooped appearance of sufferers with joint pain (arthralgia).

Signs and symptoms

Chikungunya is characterized by an abrupt onset of fever frequently accompanied by joint pain. Other common signs and symptoms include muscle pain, headache, nausea, fatigue and rash. The joint pain is often very debilitating, but usually lasts for a few days or may be prolonged to weeks.
Most patients recover fully, but in some cases joint pain may persist for several months, or even years. Occasional cases of eye, neurological and heart complications have been reported, as well as gastrointestinal complaints. Serious complications are not common, but in older people, the disease can contribute to the cause of death. Often symptoms in infected individuals are mild and the infection may go unrecognized, or be misdiagnosed in areas where dengue occurs.

Transmission

Chikungunya has been identified in nearly 40 countries in Asia, Africa, Europe and also in the Americas.
Chikungunya map
WHO
The virus is transmitted from human to human by the bites of infected female mosquitoes. Most commonly, the mosquitoes involved are Aedes aegypti and Aedes albopictus, two species which can also transmit other mosquito-borne viruses, including dengue. These mosquitoes can be found biting throughout daylight hours, though there may be peaks of activity in the early morning and late afternoon. Both species are found biting outdoors, but Ae. aegypti will also readily feed indoors.
After the bite of an infected mosquito, onset of illness occurs usually between four and eight days but can range from two to 12 days.

Diagnosis

Several methods can be used for diagnosis. Serological tests, such as enzyme-linked immunosorbent assays (ELISA), may confirm the presence of IgM and IgG anti-chikungunya antibodies. IgM antibody levels are highest three to five weeks after the onset of illness and persist for about two months. Samples collected during the first week after the onset of symptoms should be tested by both serological and virological methods (RT-PCR).
The virus may be isolated from the blood during the first few days of infection. Various reverse transcriptase–polymerase chain reaction (RT–PCR) methods are available but are of variable sensitivity. Some are suited to clinical diagnosis. RT–PCR products from clinical samples may also be used for genotyping of the virus, allowing comparisons with virus samples from various geographical sources.

Treatment

There is no specific antiviral drug treatment for Chikungunya. Treatment is directed primarily at relieving the symptoms, including the joint pain using anti-pyretics, optimal analgesics and fluids. There is no commercial chikungunya vaccine.

Prevention and control

The proximity of mosquito vector breeding sites to human habitation is a significant risk factor for chikungunya as well as for other diseases that these species transmit. Prevention and control relies heavily on reducing the number of natural and artificial water-filled container habitats that support breeding of the mosquitoes. This requires mobilization of affected communities. During outbreaks, insecticides may be sprayed to kill flying mosquitoes, applied to surfaces in and around containers where the mosquitoes land, and used to treat water in containers to kill the immature larvae.
For protection during outbreaks of chikungunya, clothing which minimizes skin exposure to the day-biting vectors is advised. Repellents can be applied to exposed skin or to clothing in strict accordance with product label instructions. Repellents should contain DEET (N, N-diethyl-3-methylbenzamide), IR3535 (3-[N-acetyl-N-butyl]-aminopropionic acid ethyl ester) or icaridin (1-piperidinecarboxylic acid, 2-(2-hydroxyethyl)-1-methylpropylester). For those who sleep during the daytime, particularly young children, or sick or older people, insecticide treated mosquito nets afford good protection. Mosquito coils or other insecticide vaporizers may also reduce indoor biting.
Basic precautions should be taken by people traveling to risk areas and these include use of repellents, wearing long sleeves and pants and ensuring rooms are fitted with screens to prevent mosquitoes from entering.

Disease outbreaks

Chikungunya occurs in Africa, Asia and the Indian subcontinent. Human infections in Africa have been at relatively low levels for a number of years, but in 1999-2000 there was a large outbreak in the Democratic Republic of the Congo, and in 2007 there was an outbreak in Gabon.
Starting in February 2005, a major outbreak of chikungunya occurred in islands of the Indian Ocean. A large number of imported cases in Europe were associated with this outbreak, mostly in 2006 when the Indian Ocean epidemic was at its peak. A large outbreak of chikungunya in India occurred in 2006 and 2007. Several other countries in South-East Asia were also affected. Since 2005, India, Indonesia, Thailand, Maldives and Myanmar have reported over 1.9 million cases. In 2007 transmission was reported for the first time in Europe, in a localized outbreak in north-eastern Italy. There were 197 cases recorded during this outbreak and it confirmed that mosquito-borne outbreaks by Ae. Albopictus are plausible in Europe.
In December 2013, France reported 2 laboratory-confirmed autochthonous (native) cases of chikungunya in the French part of the Caribbean island of St Martin. Since then, local transmission has been confirmed in the Dutch part of Saint Martin [St Maarten], Anguilla, British Virgin Islands, Dominica, French Guiana, Guadeloupe, Martinique and St Barthelemy. Aruba only reported imported cases.
This is the first documented outbreak of chikungunya with autochthonous transmission in the Americas.
As of 6 March 2014, there have been over 8000 suspected cases in the region.

More about disease vectors

Both Ae. aegypti and Ae. albopictus have been implicated in large outbreaks of chikungunya. Whereas Ae. aegypti is confined within the tropics and sub-tropics, Ae. albopictus also occurs in temperate and even cold temperate regions. In recent decades Ae. albopictus has spread from Asia to become established in areas of Africa, Europe and the Americas.
The species Ae. albopictus thrives in a wider range of water-filled breeding sites than Ae. aegypti, including coconut husks, cocoa pods, bamboo stumps, tree holes and rock pools, in addition to artificial containers such as vehicle tyres and saucers beneath plant pots. This diversity of habitats explains the abundance of Ae. albopictus in rural as well as peri-urban areas and shady city parks.
Ae. aegypti is more closely associated with human habitation and uses indoor breeding sites, including flower vases, water storage vessels and concrete water tanks in bathrooms, as well as the same artificial outdoor habitats as Ae. albopictus.
In Africa several other mosquito vectors have been implicated in disease transmission, including species of the A. furcifer-taylori group and A. luteocephalus. There is evidence that some animals, including non-primates, rodents, birds and small mammals may act as reservoirs.

WHO response

WHO responds to chikungunya by:
  • formulating evidence-based outbreak management plans;
  • providing technical support and guidance to countries for the effective management of cases and outbreaks;
  • supporting countries to improve their reporting systems;
  • providing training on clinical management, diagnosis and vector control at the regional level with some of its collaborating centres;
  • publishing guidelines and handbooks for case management, vector control for Member States.
For more information contact:
WHO Media centre
Telephone: +41 22 791 2222
E-mail: mediainquiries@who.int

Sunday, October 12, 2014

Rais Kikwete Aongoza Waombolezaji Kutoa Heshima za Mwisho Kwa Mwili wa Dkt. William Shija

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitoa heshima zake za mwisho kwa mwili wa Marehemu Dkt William Shija alipoongoza shughuli za kuaga leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpa pole Mama Getrude Shija, Mjane wa  Marehemu Dkt William Shija alipoongoza shughuli za kuaga leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi kitabu cha maombolezo cha msiba wa  Marehemu Dkt William Shija alipoongoza shughuli za kuaga leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimwelekeza ofisa wa Bunge wakati wa shughuli za kutoa heshimam za mwisho kwa Marehemu Dkt William Shija alipoongoza shughuli za kuaga leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam
Bw. Saidi Yakubu, MC wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu Dkt William Shija leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Anne Makinga akiongea wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu Dkt William Shija leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam
Sehemu ya waombolezaji
Rais Kikwete akipeana mikono na Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) baada ya kutoa salamu za rambirambi kutoka makao makuu ya CPA jijini London. 
Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Madola (CPA) akimkabidhi binti wa marehemu vitabu vya maombolezo vilivyotiwa saini na waombolezaji huko London Uingereza.
Familia ya marehemu Dkt William Shija wakiwa  katika shughuli za kuaga mwili leo Jumapili Oktoba 12, 2014 katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam

Mama BIshanga na Rafiki Yake Julie Kutoka Liberia


MAMA BISHANGA WA TZ NA JULIE WA LIBERIA

Mama Bishanga na mfanya kazi mwenzake kutoka Liberia wanonekana wakiwa kazini, Adern Court Alzheimer Home Care wakifurahia uamuzi wa madaktari watano wa Tanzania wanokwenda kuongeza nguvu ya kusaidia kuwatibu raia wa Liberia, baada ya kusoma taarifa hizo kwenye magazeti ya Tanzania. Julie Blanton ambae alikuja Amerika miaka mingi mara baada ya vita iliotokea Liberia miaka ya themanini na tisini, huwa anenda kwao kila mwaka kusalimia ndugu zake. Julie ameshukru sana Rais Kikwete na watanzania kwa ujumla kwa moyo wao wa upendo na kusaidia nchi nyingine tangia miaka sana iliopita katika Nyanja mbali mbali. kasema GOD BLESS ALL TANZANIANS.

Pili: mimi Mama Bishanga na shost yangu Julie tuwapa heri ya kuzaliwa/ Happy Birthday kwa mwanetu Kenny @ Henrich na Raisi Kikwete, Bishop Desmund Tutu na wote waliozaliwa tarehe saba mwezi huu wa octoba, Mungu awaongezee upendo na nguvu ya kufanya kazi na kulitumikia taifa.

Christina I Marolen 

 Mama Bishanga

Ohio / USA

Saturday, October 11, 2014

Athari ya Kuchoma Sindano za Kukuza Matako!

Oh hooo, shauri zenu nyie mnaochoma sindano ile matako na matiti yenu yawe makubwa! Mpende Mwenyezi Mungu aliyokuumba!  Ona yaliyompata mwenzenu aliyeenda kuchoma sindano ili matako yake kama maputo! 


Vituko Vya Askari wa Trafiki

Kutoka Facebook:

Hapo zamani za kale, Askari polisi walikuwa na nidhamu wakiwa wamevaa uniform! DUH!




HUYU NDIYE AFANDE VERONICA MDEME NAMBA ZA KAZI ILIKUWA WP 8898...AMBAYE AMEFUKUZWA KAZI BAADA YA KUNYONYANA NDIMI NA AFANDE MWENZAKE WAKIWA KATIKA SARE ZA KAZI  - 




***************************

Kutoka Gazeti la MTanzania

 RENATHA KIPAKA, BUKOBA

JESHI la Polisi mkoani Kagera limewafukuza kazi askari wake watatu kwa kulifedhehesha jeshi hilo kutokana na kitendo cha kupiga picha inayowaonyesha wawili kati yao wakinyonyana ndimi wakiwa kazini.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera, Henry Mwaibambe, alisema kitendo kilichofanywa na askari hao kimeshusha hadhi ya jeshi.
Aliwataja askari hao waliofukuzwa ni F.7788 PC Mpaji Mwasumbi, G 2122 PC Fadhili Linga na WP.8898 Veronica Mdeme ambao wote ni wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Misenyi.
Alisema PC Mpaji na WP Veronica walipiga picha inayokwenda kinyume na maadili ya Jeshi la Polisi wakiwa kazini, huku PC Fadhili akiingia matatani kwa kuwapiga picha hiyo chafu askari wenzake na kuisambaza kwenye mitandao ya kijamii.
Kamanda Mwaibambe alisema picha hiyo ilianza kuonekana katika mitandao mbalimbali ya kijamii mapema wiki hii.
Alisema askari PC Fadhili alipiga picha hiyo mwaka 2012 kwa kutumia simu yake ya kiganjani na kuitunza, lakini wiki hii aliamua kuisambaza kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kitendo ambacho ni kinyume na kazi yake.
“Napenda kuthibitisha kuwa picha hii iliyoonekana kwenye mitandao ya kijamii ni picha halisi ambayo haijachakachuliwa kabisa.
“Maadili ya kijeshi yapo kisheria na askari wetu wanafundishwa namna ya kuishi katika maisha ya utumishi wa jeshi na si vinginevyo.
“Jeshi halikubaliani na vitendo hivi, ikitokea askari kwenda kinyume lazima achukuliwe hatua kali,” alisema Kamanda Mwaibambe.
Taarifa zaidi kutoka mkoani Kagera, zinaeleza baada ya kusambazwa kwa picha hiyo na kuonekana katika mitandao ya kijamii, WP Veronica alianguka ghafla na kupoteza fahamu kwa mshtuko wa tukio hilo.
Kutokana na hali hiyo, majirani waliokuwa karibu na nyumbani kwake walilazimika kumpatia msaada na kumkimbiza hospitali kwa matibabu, ambako aliruhusiwa juzi jioni kabla ya kutiwa mbaroni.
DAR ES SALAAM
Wakati hayo yakiendelea, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limewahamisha askari wake, WP 5863 Quine na WP 3548 Koplo Maeda kutoka Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Ilala kwa kukiuka maadili ya kazi.
Taarifa ya ndani ya Oktoba 2, mwaka huu ya Kikosi cha Usalama Barabarani Makao Makuu Dar es Salaam iliyosambazwa kwenye mitandao ya kijamii, imesema askari hao walisimamisha gari dogo na baada ya dereva kujitetea, waliendelea kutafuta makosa hali iliyosababisha abiria aliyekuwa mgonjwa kufariki.
Kutokana na tukio hilo, makamanda wa polisi wa wilaya zote za Mkoa wa Kipolisi wa Dar es Salaam wametakiwa kuwakumbusha askari wao kuepuka kutolazimisha kutafuta makosa ambayo hayana madhara.
“Makosa ambayo hayana madhara katika kusababisha ajali mfano ni vifaa vya kuzimia moto, rangi, kadi kutoandika anuani, motor vehicle, leseni chini ya siku 30 na kadhalika,” lilisomeka agizo hilo kwa makamanda hao wa polisi.
 

It's Still Safe to Travel to Africa even with the Ebola!


I just returned to the USA from Tanzania, East Africa. The Ebola paranoia in USA is ridiculous. Americans are ignorant of Geography. Africa is a huge place, so demanding that all travelers from Africa be banned from traveling to the USA is absurd.  Imagine if Ebola was in some place in Idaho. Does it make sense to say all American's should not travel abroad? Let me say, they have a better education campaign in Tanzania, than they do the USA. Screenings at the airports for all arriving passengers, educational billboards, TV& radio ads galore! USA can learn from Tanzania!

********************************************

The Ebola Outbreak: Is It Still Safe To Go To Africa?

Written by 
Over the last few weeks there has been extensive and often terrifying coverage of the Ebola outbreak in parts of West Africa, and our thoughts are with all those fighting this dreadful disease.

Whilst the coverage has highlighted that the disease is not airborne and can only be contracted by contact with body fluids from an infected person, we have had a number of people asking if it is safe to travel to South Africa, Tanzania, Botswana and other destinations in Eastern and Southern Africa.

The short answer is ‘yes – you can still safely travel to Africa’, however given the seriousness of the situation in West Africa we feel it is worth expanding on this. There are two key points to consider:

Africa is big – really , really big...

READ THE WHOLE ARTICLE HERE:

http://www.satoa.com/news/item/712-the-ebola-outbreak-is-it-still-safe-to-go-to-africa