Saturday, June 25, 2016

Mtumishi wa Mungu Masanja Mkanamizaji Arindima Katika Mkutano wa OUES 2016 Jijini Mwanza

Mhubiri na Mwimbaji wa Muziki wa Injili nchini Tanzania, Masanja Mkandamizaji, akihudumu katika Mkutano Mkubwa wa Injili wa Open Your Eyes and See OYES 2016 wenye lengo la kuwafungua watu wote kiroho na hivyo kuondokana na vifungo mbalimbali vinavyowakabiri, uliofanyika katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Sabasaba Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza.

Mkutano huo ulianza June 12,2016 na kufikia tamati jana June 19,2016 katika viwanja vya Kanisa hilo. Wahubiri na waimbaji mbalimbali walihudumu katika mkutano huo akiwemo Mchungaji wa Kimataifa kutoka nchini Canada Mama Domitila Nabibone ambae amewahi kufariki na kufufuka siku ya nne, Mwimbaji na Mhubiri Joseph Rwiza pamoja na Mwimbaji Chamwenyewe Jembe ambapo watu wengi walifunguliwa kiroho na kuokoka katika mkutano huo.
Na George Binagi-GB Pazzo

Wasanii Payus na Mecras wawashukuru Mashabiki Waz wa Kanda ya Ziwa

Msanii Payus kutoka Jijini mwanza.

Uzibuaji wa Mitaro Jijini Mwanza

Uzibuaji wa Mitaro ukiendelea katika Mitaa mbalimbali ya Katikati ya Jiji la Mwanza. BMG inatoa pongezi za dhati kwa Uongozi wa halmashauri ya Jiji la Mwanza kwa zoezi hili maana lisipofanyika kwa muda mrefu, mitaro hii huziba, mvua inaponyesha huwa Mitaa ya Jiji haitamaniki tena na inapoteza hadhi ya Jiji la Mwanza.

Barua pepe za Kitapeli


Halahala Msitapeliwe na hao matapeli wa Mtandao

 Hello Dear,

How are you today, i am your friend from Burkina Faso. Can you use ATM  Visa card to withdraw money on ATM cash machine in your country?. i  want to transfer money to you from my country, it is the part of the  money taken by the old politician newly forced out of power. i will  change the account to your name and apply for a visa card with your  name in our bank, i will send the visa card to you and you will be  withdrawing money with it and always send my own percentage of the  money. whenever you withdraw money you will send 50% to me and you  will take 50% of the money. the visa card and the bank account will be  on your name, there is no any risk involve, i assure you will never  get into problem. I will be waiting for your information as soon as  possible.

Your name...........................................
Age.................................................
Sex.................................................
Country.............................................
Occupation..........................................
Phone number........................................

Best Regards.
Abdul-Hamid Rahman
+226 7423 2777
***************************


 ***************************************

Greetings,
 
I am Mrs Maria Lopez, I am 65 years old base in Spanish I write to relate to you of my intention to use my money 9.5 million Euro for charity work in your country. I was married to Late Jullien Raul L who was a contractor with the Government of Spain before he died after few days in the hospital. I have been suffering from cancer I want to know if I can trust you to use these funds for charity/orphanage and 20% will be for you as compensation. Please contact me, so that I will give you more details.
 
Yours in the Lord,
 
Mrs Maria Lopez
 
***************************************************************

Good Day, I want you to read this letter very carefully and then 
accept my apologize for bringing this massage to you without 
informing, it is due to the urgency regarding the issue. I am happy to 
know you but Almighty Lord knows you better and know why he directed 
me to you at this point. I am writing this mail to you with tears in 
my eyes and great sorrow in my heart, My Name is Marym Birgoren sukru 
Mrs married to Mr.Birgoren sukru who worked with Turkish embassy in 
France for nine years before he died in the year 2007.

We were married for eleven years without a child. My husband died 
after a brief illness that lasted for five days, since his death I 
decided not to re-marry, When my late husband was alive he deposited 
the sum of US$ 8.5M (Eight Million Five hundred Thousand Dollars) in 
bank in Ouagadougou the capital city of Burkina Faso in west Africa 
Presently this money is still in bank He made this money available for 
exportation of Gold from Burkina Faso mining.

Now, I am suffering from throat cancer terminally ill. My Doctor told 
me that i shall be condemned to death due to cancer problem any moment 
from now. The one that disturbs me most is my stroke sickness. Having 
known my condition I decided to hand you over this money to take care 
of the less-privileged people, you will utilize this money the way I 
am going to instruct herein.

I want you to take 30 Percent of the total money for your personal use 
while 70% of the money will go to charity" people in the street and 
helping the orphanage. Am doing this so that God will forgive my sins 
and accept my soul because these sicknesses have suffered me so much.

As soon as I receive your reply I shall give you the contact of the 
bank in Burkina Faso and I will also instruct the Bank Manger to issue 
you an authority letter that will prove you the present beneficiary of 
the money in the bank that is if you assure me that you will act 
according to my instruction.

Thanks
Mrs Marym Birgoren sukru.

**************************************

PLEASE REPLY ME THROUGH MY PRIVATE EMAIL ADDRESS wendykipkallya@gmail.com
 
 
I am writing this mail to you with tears and sorrow from my heart. With due respect trust and humanity, I appeal to you to exercise a little patience and read through my letter, I wish to contact you personally for a long term business relationship and investment assistance in your Country so I feel quite safe dealing with you in this important business having gone through your remarkable profile, honestly I am writing this email to you with pains, tears and sorrow from my heart, I will really like to have a good relationship with you and I have a special reason why I decided to contact you, I decided to contact you due to the urgency of my situation, My name is Miss Wendy Kipkalya Kones, 23yrs old female and I held from Kenya in East Africa. My father was the former Kenyan road Minister. He and Assistant Minister of Home Affairs Lorna Laboso had been on board the Cessna 210, which was headed to Kericho and crashed in a remote area called Kajong,
in western Kenya. The plane crashed on the Tuesday 10th, June, 2008.
You can read more about the crash through the below site:
 
 
After the burial of my father, my stepmother and uncle conspired and sold my father's property to an Italian Expert rate which the shared the money among themselves and live nothing for me. I am constrained to contact you because of the abuse I am receiving from my wicked stepmother and uncle. They planned to take away all my late father's treasury and properties from me since the unexpected death of my beloved Father. Meanwhile I wanted to escape to the USA but they hide away my international passport and other valuable traveling documents. Luckily they did not discover where I kept my fathers File which contains important documents. So I decided to run to the refugee camp where I am presently seeking asylum under the United Nations High Commission for the Refugee here in Ouagadougou, Republic of Burkina Faso.
 
One faithful morning, I opened my father's briefcase and found out the documents which he has deposited huge amount of money in one bank in Burkina Faso with my name as the next of kin. I traveled to Burkina Faso to withdraw the money for a better life so that I can take care of myself and start a new life, on my arrival, the Bank Director whom I met in person told me that my father's instruction/will to the bank is that the money would only be release to me when I am married or present a trustee who will help me and invest the money overseas. I am in search of an honest and reliable person who will help me and stand as my trustee so that I will present him to the Bank for transfer of the money to his bank account overseas. I have chosen to contact you after my prayers and I believe that you will not betray my trust. But rather take me as your own sister or daughther.
 
Although, you may wonder why I am so soon revealing myself to you without knowing you, well I will say that my mind convinced me that you may be the true person to help me. More so, my father of blessed memory deposited the sum of (US$11.500, 000) Dollars in Bank with my name as the next of kin. However, I shall forward you with the necessary documents on confirmation of your acceptance to assist me for the transfer and statement of the fund in your country. As you will help me in an investment, and I will like to complete my studies, as I was in my 1year in the university when my beloved father died. It is my intention to compensate you with 30% of the total money for your services and the balance shall be my capital in your establishment. As soon as I receive your positive response showing your interest I will put things into action immediately. In the light of the above. I shall appreciate an urgent message indicating your ability and willingness to
handle this transaction sincerely.
 
AWAITING YOUR URGENT AND POSITIVE RESPONSE, Please do keep this only to your self for now un till the bank will transfer the fund. I plead to you not to disclose it till I come over because I am afraid of my wicked stepmother who has threatened to kill me and have the money alone, I thank God Today that am out from my country (KENYA) but now In (Burkina Faso) where my father deposited these money with my name as the next of Kin. I have the documents for the claims.
Yours Sincerely
Miss Wendy Kipkalya Kones
 
******************************************************************

Saturday, June 18, 2016

Dk. John Pombe Magufuli Kukabidhiwa Uenyekiti wa CCM Julai 23

SAFARI YA DK. MAGUFULI KUKABIDHIWA UENYEKITI CCM YAIVA, MKUTANO MKUU MAALUM WA CCM KUFANYIKA JULAI 23, 2016
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, pamoja na mambo mengine, Kikao hicho kimejadii na kupitisha kuwa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utafanyika Julai 23, 2016, ambapo mkutano huo unatarajiwa kumchagua Rais Dk. John Magufuli kuwa Mwenyekiti mpya Taifa.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam, pamoja na mambo mengine, Kikao hicho kimejadii na kupitisha kuwa Mkutano Mkuu Maalum wa CCM utafanyika Julai 23, 2016, ambapo mkutano huo unatarajiwa kumchagua Rais Dk. John Magufuli kuwa Mwenyekiti mpya Taifa. Kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Hii ndiyo taarifa rasmi kama ilivyotolewa na Msemaji Mkuu wa CCM, Christopher Ole Sendeka, baada ya Kikao hicho cha Kamati Kuu ya CCM, kilichofanyika leo, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Picha zote na Bashir Nkoromo, Kwa picha nyingine kem kem za kikao hicho>BOFYA HAPA

Saturday, June 11, 2016

Tukumbuke Askari Wetu Waliopigana kwa Niaba ya Mkoloni



Askari Monument in Dar es Salaam, Tanzania
 Leo nimekumbuka ule wimbo tuliokuwa tunaimba jeshini, JKT, inaenda hivi..... Askari Eh, Vitani yee mama......   

Wadau, mnajua ile sanamu pale City Center Dar. Inaitwa Askari Monument.  Ni kumbukumbu ya Askari waafrika waliopigana katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.  Waafrika walichukuliwa na Mkoloni kuwa Askari katika Majeshi yao, Walifanya kazi ngumu ya kupigana huko wazungu walikaa kwenye viti vyao wanapunga hewa!  Kwa maana hiyo Akari wa nchi fulani, walikuwa wanaua Askari wa nchi nyingine, Kama mchezo vile!  (Gameborad) Askari wengine walipelekwa Ulaya na hawakurudi kwa familia zao, wala familia zao hawajui waliishia wapi!

Nimekusanya picha ya Askari waliopigana katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, wakati huo Tanzania, inaiitwa Deustche Oost Afrika (German East Africa).

Na Mjerumani alikuwa ni msehenzi mkatiki kwa Waafrika..  Waafrika huko vijijini waliuawa wengi sana na Mjerumani eti wazaa au wagonjwa.

Kwa habari zaidi za Vita Kuu ya Kwanza na Dunia na Tanzania (German East Africa) BOFYA HAPA:

Askari Akiaaga Familia Yake kabla ya kwenda Vitani

Askari kwenye Gwaride Dar es Salaam

Askari kwenye Mafunzo 1918










Askari Monument Mwaka 1945

Ni Ngoma ya Kabila Gani Hii?

Wasdau, hebu nisaidie kujua hii ni ngoma ya kabila gani? Picha imepigwa mwaka 1907 miaka mia moja iliyopita. Ilipigwa enzi za Mjerumani wakati Tanzania ni German East Africa.




Watoto waliozaliwa na Maanbukizi ya VVU (HIV) Wataka Jamii Kuwakumbuka!

Imeelezwa ili kuwawezesha watoto yatima ambao walizaliwa wakiwa na Virusi vya UKIMWI ambao wanapatikana katika Kituo cha Matumaini kilichopo Manispaa ya Dodoma, Watanzania wametakiwa kuungana kwa pamoja na kuwasaidia watoto hao ambao wanaishi katika kituo hicho ili kuwawezesha kuishi mazingira bora pamoja na kupata huduma za bora za afya.

Hayo yalisemwa na Msimamizi wa Kituo cha Matumaini, Sister Maria Rosaria Gargiulo, alisema kituo hicho chenye watoto 151 wakati kimeanzishwa kilikuwa kikipokea msaada kutoka Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na TACAIDS lakini kwa sasa msaada umesimama na hivyo kuwafanya kwa sasa kuishi katika mazingira magumu.

Sister Maria alisema kuwa hali ya maisha kwa watoto hao ni ngumu na hivyo kuwataka Watanzania kuwakumbuka watoto hao ambao walizaliwa wakiwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ili waweze kupata huduma bora ambazo zitawawezesha kuishi katika mazingira bora, kupata elimu na kupata dawa ambazo zitaimarisha afya zao.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (kushoto) na mfanyakazi mwenzake Beatrice Mkiramweni wakiongozwa na Msimamizi wa Kijiji cha Matumaini, Sista Rosaria Gargiulo mara baada ya kuwasili katika kituo hicho kilichopo katika manispaa ya Dodoma karibu na Hoteli ya Mtakatifu Gasper.(Imeandaliwa na Zainul Mzige wa Modewjiblog)

“Hapa wanakuja tu watu wa hapa Dodoma mara nyingi siku za Jumamosi na Jumapili ila tofauti na hivyo hatuna msaada mwingine, watoto hawa wanahitaji faraja kutoka kwa watu wengine inapendeza kuona watu wanakuja kuwaona na kuwasaidia nao wanafurahi,

“Ukiangalia hali ya kimaisha inazidi kupanda tunafanya jitihada kujisimamia sisi wenyewe lakini tunashindwa bado tunahitaji msaada sisi tumejitoa kuwasaidia hawa watoto hata hatulipwi lakini tunahitaji sana msaada wa Watanzania,” alisema Sister Maria.

Nae Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999 na Mtalaam wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Hoyce Temu ambaye alifika kituoni hapo kwa ajili ya kutoa msaada ambapo alituma ujumbe kwa Watanzania wengine ambao wamekuwa hawana utaratibu wa kutoa misaada kwa wahitaji na kuwataka kubadilika.

Bi. Temu alisema kuwa mazingira ambayo wanaishi watoto hao ni magumu na hawana wazazi kutokana na wazazi wao kuwa wamefariki hivyo kuwataka Watanzania kujitoa kwa pamoja na kuwasaidia watoto hao kwa chochote ambacho kinaweza kuwasaidia kuimarisha maisha yao ili waishi mazingira bora.

“Jamani kama watu wanasema tunapoishi kuna shida basi hakuna, shida zipo huku, ukiangalia kuna watoto wengine wana wiki moja na hawana wazazi wametupwa wanahitaji kupata misaada ya Watanzania,

Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akimsikiliza kwa makini mmoja wa watoto wanaoishi kituoni hapo aliyewahi kumuona mara ya kwanza alipofika kituoni hapo.

“Nitoe rai kwa Watanzania wenzangu kama una pesa au nguo au chochote ambacho kinaweza kuwasaidia tutoe kwa watoto hawa mazingira yao ni magumu sana, hawana makosa hawa hata mbele za Mungu naomba tuwasaidie,” alisema Bi. Temu.

Kwa yoyote atakayeguswa na angependa kufika kituoni hapo kusaidia anaweza kupiga simu kwa Msimamizi wa Kituo cha Matumaini, Sister Maria Rosaria Gargiulo +255754272707
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (kulia) na mfanyakazi mwenzake Beatrice Mkiramweni wakiwa wamewabeba watoto yatima wanaoishi kituoni hapo.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akifurahia jambo mara tu baada ya kuwasili katika kijiji cha Matumaini kilichopo mkoani Dodoma kinacholea watoto yatima ambao 98% wanaishi na Virusi vya Ukimwi.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akiwa kwenye wodi ya watoto wachanga ambao ni yatima wanaoishi waliozaliwa na maambuki ya Virusi vya Ukimwi.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu na mfanyakazi mwenzake Beatrice Mkiramweni pamoja na Msimamizi wa Kijiji cha Matumaini, Sista Rosaria Gargiulo (kulia) walipotembelea wodi ya watoto wachanga waliozaliwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akifurahi na watoto wachanga ambao ni yatima waliozaliwa na maaumbikizi ya Virusi vya Ukimwi waliolazwa katika wodi ya watoto kijiji cha Matumaini kilichopo mkoani Dodoma.
Wewe acheka afurahi kumuona Aunty....Jiji jiji jiji.....jamani acheka....Ni maneno ya Mlimbwende Hoyce Temu akicheza na mmoja wa watoto hao katika wodi hiyo.
Meneja Mwendeshaji wa mtandao wa Habari wa Modewjiblog, Zainul Mzige akimbeleza mmoja wa watoto waliozaliwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi wanaolelewa katika kijiji cha Matumaini kilichopo mkoani Dodoma.
Eweee Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema, tunakuomba wajaalie Malaika wako hawa afya njema, maisha marefu, wape uponyaji viumbe hawa wasiokuwa na hatia, Amen!
Msimamizi wa Kijiji cha Matumaini, Sista Rosaria Gargiulo akimsimulia Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu historia ya mtoto Richard aliyeshikwa mikono na mlimbwende huyo.
Mmoja wa Masista wanaohudumia watoto hao Sista Mary Shayo akifurahi jambo wodini mbele ya kamera ya Modewjiblog.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akicheza kwaya ya wimbo maalum aliokuwa akiimbiwa na bendi ya kijiji cha Matumaini kabla ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali.
Hoyce Temu akigawa zawadi kwa watoto wanaolelewa kwenye kijiji cha Matumaini mkoani Dodoma.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akikabidhi 'Pampers' kwa mmoja wafanyakazi wanaohudumia (jina lake halikuweza kupatikana) watoto kituoni hapo.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akikabidhi mfuko wa sukari.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akikabidhi makopo ya maziwa. (Picha zaidi ingia hapa)

Kanisa la EAGT Lumala Mpya ya Mjini Mwanza Linakukaribisha KatikaMkutabo Mkuu wa OYES 2016.

Kongamano Kubwa Lililotarajiwa Kufanyika Mjini Mwanza Laahirishwa

Lile Kongamano Kubwa la Wajasiriamali lililotarajiwa kufanyika hii leo June 11,2016 katika Uwanja mkongwe wa Nyamagana Jijini Mwanza, limeahirishwa hadi Julai 16,2016.

Thursday, June 09, 2016

Ibada ya Uchumba wa Richard Jeremia na Kulola Yafana Huko Mwanza

Richard Jeremia (Kulia) akimvisha pete ya Uchumba, Mchumba wake, Happness Daniel Kulola (Kushoto). Ibada ya kutangaza Uchumba huo ilifanyika jumapili iliyopita, June 05,2016 katika Kanisa la EAGT Lumala Mpya lililopo Manispaa ya Ilemela Jijini Mwanza, chini ya Mchungaji Dr.Daniel Moses Kulola.
Sendoff inatarajiwa kufanyika June 29,2016 na Harusi Julai 03,2016.
Imeandaliwa na BMG

Sunday, June 05, 2016

WaCameroon waliotapeli Medicare Marekani Wahukumiwa

FOR IMMEDIATE RELEASE
Wednesday, June 1, 2016

Owners of Home Health Care Agency Sentenced to Prison For Taking Part in $80 Million Medicaid Fraud

Defendants Used Money to Finance a Lavish Lifestyle

            WASHINGTON –Florence Bikundi and her husband, Michael D. Bikundi, Sr., the owners of Global Healthcare, Inc., a home care agency, were sentenced today to prison terms for health care fraud, money laundering, and other charges stemming from a scheme in which they and others defrauded the District of Columbia Medicaid program of over $80 million.
            The sentences were announced by Channing D. Phillips, U.S. Attorney for the District of Columbia; Paul M. Abbate, Assistant Director in Charge of the FBI’s Washington Field Office; Nicholas DiGiulio, Special Agent in Charge of the U.S. Department of Health and Human Services, Office of Inspector General (HHS-OIG), for the region that includes Washington, D.C.; Brian J. Ebert, Special Agent in Charge, Washington Field Office, U.S. Secret Service, and Daniel W. Lucas, Inspector General for the District of Columbia (D.C. OIG).
            The two defendants, of Mitchellville, Md., were found guilty on Nov. 12, 2015 in the U.S. District Court for the District of Columbia. The Honorable Chief Judge Beryl A. Howell sentenced Florence Bikundi to 10 years in prison. She sentenced Michael D. Bikundi, Sr. to seven years in prison. Following their prison terms, the Bikundis will be placed on three years of supervised release. Judge Howell earlier ordered them to forfeit over $11 million seized from 76 bank accounts; their residence, worth approximately $1 million; $73,000 in cash seized from their residence, and five luxury vehicles with a total purchase price of more than $400,000.  She also imposed a forfeiture money judgment of $39,989,956 on both defendants. Finally, Judge Howell ordered the defendants to pay $80,620,929 in restitution to D.C. Medicaid.
            “The investigation of this case exposed a massive health care fraud that cheated the District of Columbia Medicaid program of more than $80 million that could have been spent on people who needed services,” said U.S. Attorney Phillips. “Florence and Michael Bikundi enriched themselves for years by operating a rogue home care agency. Hopefully the sentences today will serve as a deterrent to other unscrupulous health care providers who aim to steal the taxpayers’ money.”
            “The Bikundis funded their lavish lifestyle by defrauding the District of Columbia’s Medicaid program designed to provide for those in need,” said Assistant Director in Charge Abbate of the FBI’s Washington Field Office.  “The FBI will continue to pursue criminals who target our health care system in order to protect its integrity and to prevent fraud. I commend the dedicated agents, analysts, and prosecutors who worked to bring this case to justice.”
            “It’s outrageous that fraudster couple Florence and Michael Bikundi stole millions of Medicaid funds meant to provide home health services to vulnerable patients just to fuel their own lavish lifestyle,” said Special Agent in Charge DiGiulio of the HHS Office of Inspector General. “But today’s prison sentences show the results of our continued work with other law enforcement agencies to crack down on greedy individuals who rip off government health care programs.”
            “Health care fraud and other similar elaborate fraudulent schemes are not victimless crimes,” said Special Agent in Charge Ebert of the U.S. Secret Service’s Washington Field Office.  “This type of fraud can have a significant detrimental effect on our nation’s financial infrastructure and our local community’s economy. The Secret Service will continue to tirelessly pursue justice by investigating and dismantling these types of fraudulent schemes.”
            “I hope this sentence sends a clear message that we will continue to investigate and propose prosecution for anyone who engages in corruption or fraudulent activities against the District government,” said Inspector General Lucas. “I applaud the hard work of my D.C.  OIG Medicaid Fraud Control Unit (MFCU) staff for bringing this case to its rightful close.”
**
            Florence Bikundi, 53, also known as Florence Ngwe and Florence Igwacho, has been in custody since her arrest in February 2014. She was found guilty by the jury of 12 charges: one count of conspiracy to commit health care fraud; one count of conspiracy to commit money laundering, two counts of health care fraud; one count of Medicaid fraud; and seven counts of money laundering. Michael D. Bikundi, Sr., 63, was found guilty of 10 charges: one count of conspiracy to commit health care fraud; one count of conspiracy to commit money laundering, one count of health care fraud; and seven counts of money laundering.
            According to evidence presented at trial, Florence Bikundi, a former nurse, and her husband owned Global Healthcare, Inc. According to the government’s evidence, Florence Bikundi was not entitled to take part in the Medicaid program and fraudulently got approval as a provider. Then, the government’s evidence showed, she and her husband led a scheme to bill Medicaid for services that were not fully provided – recruiting others, including family members, into the scam, and creating fraudulent paperwork to hide the illegal activity.
            The D.C. Medicaid program is funded jointly by District of Columbia tax dollars and federal tax dollars. Medicaid provides for home care services to be performed by personal care aides, working for eligible home care agencies. Doctors or advanced practice registered nurses must examine beneficiaries and authorize them to receive these services. The aides are to follow a plan of care and assist Medicaid beneficiaries in performing activities of daily living, such as getting in and out of bed, bathing, dressing, keeping track of medication, and so forth.
            In 1999, Florence Bikundi went by her maiden name of Florence Igwacho.  In August 1999, the Virginia Board of Nursing revoked the nursing license of Florence Igwacho.  In March 2000, the U.S. Department of Health and Human Services, Office of Inspector General notified Florence Igwacho in writing that she was excluded from participation in Medicare, Medicaid, and all federal health care programs due to the revocation.
            Florence Bikundi subsequently concealed her past – namely, the Medicaid exclusion and the revocation of her nursing license - when she applied for a Medicaid provider number for Global Healthcare in June 2009 using the name of Florence Bikundi.  She also used three forged signatures on her Medicaid provider application.  Florence Bikundi married Michael Bikundi in September 2009.
            From August 2009 through February 2014, Florence and Michael Bikundi used Global HealthCare to carry out a massive fraud, the government’s evidence showed. Year after year, the D.C. Medicaid program was billed for personal home health aide services that were not fully provided to Medicaid beneficiaries. Phony time sheets, patient files and employment files were created. Global Healthcare generated increasing amounts of payments as the years continued, going from roughly $1.35 million in 2009 to $14.27 million in 2011 to $27.16 million in 2013.
            According to the government’s evidence, the Bikundis used the proceeds to finance a lavish lifestyle. In just over three years, they spent $1.3 million to purchase and renovate a newly built home. They also used the proceeds for a $140,000 Land Rover, a $120,000 Porsche, a $75,000 Mercedes Benz, a $70,000 Cadillac and a $36,000 BMW.
            Seven others earlier pled guilty to charges in the investigation. They include Florence Bikundi’s son, Carlson M. Igwacho, 35, of Bowie, Md.; Florence Bikundi’s two sisters, Irene M. Igwacho, 50, of Bowie, Md., and Berenice W. Igwacho, 31, of Bowie, Md.; James Mbide, 55, of Laurel, Md; Nicola C. White, 34, of Laurel, Md.; Elvis N. Atabe, 57, of Adelphia Md., and Melissa A. Williams, 33, of Silver Spring, Md.
            Two others were indicted on charges in the investigation but remain fugitives: Christian S. Asongcha, 39, formerly of Lanham, Md., and Atawan Mundu John, 39, formerly of Washington, DC.
            In announcing the sentence, U.S. Attorney Phillips, Assistant Director in Charge Abbate, Special Agent in Charge DiGiulio, Special Agent in Charge Ebert, and Inspector General Lucas commended the work of those who investigated the case from the FBI’s Washington Field Office, the U.S. Department of Health and Human Services, Office of Inspector General, and the U.S. Secret Service, as well as a team from the Medicaid Fraud Control Unit of the District of Columbia’s Office of the Inspector General that included Director Brent Wolfingbarger; Special Agents Mike Kellam, Sandra Adams, Victor Richardson, and Senior Auditor LaShawn Brooks. They also expressed appreciation for the assistance of the District of Columbia’s Department of Health Care Finance and other agencies.
            They commended the work of those who prosecuted the case, including Assistant U.S. Attorneys Lionel A. André, Anthony Saler, and Michelle Bradford, of the Office’s Fraud and Public Corruption Section. They acknowledged the efforts of Assistant U.S. Attorney Christopher B. Brown, of the Asset Forfeiture and Money Laundering Section, who assisted during the forfeiture proceedings, and Criminal Investigator Nicole Hinson, also of the U.S. Attorney’s Office, who was the prosecution’s law enforcement representative during the trial.
            Finally, they expressed appreciation for the assistance in this case and related investigations that was provided by Arvind K. Lal, Chief of the Asset Forfeiture and Money Laundering Section; Assistant U.S. Attorneys Zia Faruqui, Ted Radway, Michael Friedman, Chrisellen Kolb, and Michelle Zamarin; Financial Analyst Bryan J. Snitselaar; Deputy U.S. Marshal Wayne Rollock of the U.S. Marshals Service; Paralegal Specialists Toni Donato, Donna Galindo, Krishawn Graham, Tasha Harris,  Corinne Kleinman, and Kristy Penny; Legal Assistants Angela Lawrence, Jessica McCormick, and Christopher Samson; Litigation Support Specialist Ron Royal, and former Forensic Accountant Maria Boodo

Saturday, June 04, 2016

Muhammad Ali Alipotembelea Tanzania 1980

Wadau, Nina kumbuka vizuri marehemu Bondia Muhammad Ali, alipokuja Tanzania kutembea mwaka 1980. Watu walikuwa na  kiwewe kumwona shujaa wao Vijana walivamia fensi na  kukimbiza ndege yake pale airport  Dar!   Watu walisema bora Ali angemtwanga Mzee Nchimbi (picha ya pili). Sijui kwa nini walikuwa wanamchukia.

Muhammad Ali amefariki dunia leo katika hospitali huko Arizona.  Alikuwa na miaka 74.  Alkuwa na ugonjwa wa pneumonia.  Lakini pia alipambana na ugonjwa wa Parkinson's disease (mwili ktetetmeka) muda mrefu.  

Rest in peace Muhammad Ali (1942-2016). 

Kusoma historia ya Muhammad Ali BOFYA HAPA:



City FM Radio Mwanza Kuzindua Kampeni ya Kuzuia Matumizi ya Mifuko ya Plastiki

Baadhi ya Wafanyakazi wa 90.2 City Fm Radio ya Jijini Mwanza wakionyesha na vikapu vya asili ambavyo vinapendekezwa zaidi kutumika katika shughuli mbalimbali ikiwemo mahemezi sokoni ili kuzuia matumizi ya mifuko ya plastiki ambayo ni hatari katika uchafunzi wa mazingira.

Katika kuadhimisha Wiki ya Mazingira ambayo huadhimishwa kila mwaka nchini kuanzia june mosi hadi june 05, City Fm inatarajia kuzindua kampeni ya kuzuia matumizi ya mifuko ya plastiki ambayo ijulikanayo kama "My Bag Campaign" ambapo uzinduzi wake utafanywa na maafisa mazingira kutoka halmashauri ya jiji la Mwanza hii leo majira ya saa kumi alasiri katika mtaa wa Market Street uliopo Soko Kuu Jijini Mwanza.

Friday, June 03, 2016

UN Yaishukuru Tanzania Kwa Juhudi Zake za Kusaidia Kulinda Amani Nchi Zingine

 Mgeni rasmi Meja Jenerali James Mwakibolwa akipata maelezo mara baada ya kuwasili kwenye  maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa wa Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam 31 Mei, 2016.(Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
 Kutoka kushoto ni Mgeni rasmi Meja Jenerali James Mwakibolwa, Mwakilishi Msaidizi Mkazi wa Shirikala Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP), Amon Manyama pamoja na Mkuu wa Jeshi la Akiba wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Meja Jenerali, Elias Athanas wakitoa heshima kwa wimbo wa taifa wakati wa maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Walinda Amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Mashujaa wa Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam 31 Mei, 2016.