tag:blogger.com,1999:blog-17229004.post202836546332138103..comments2024-03-22T03:02:53.585-04:00Comments on Swahili Time: Malaria!Chemi Che-Mpondahttp://www.blogger.com/profile/16717731951202118305noreply@blogger.comBlogger4125tag:blogger.com,1999:blog-17229004.post-15057624074129320422009-11-10T10:40:17.668-05:002009-11-10T10:40:17.668-05:00Pole sana dada. Na nakuonea wivu na nakusifu kwa k...Pole sana dada. Na nakuonea wivu na nakusifu kwa kusema mwakani utarudi tena TZ na kukaa huko muda mrefu zaidi. Safi sana dada.Yasinta Ngonyanihttps://www.blogger.com/profile/09314172793959023532noreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-17229004.post-32145094592998634862009-11-10T10:11:04.289-05:002009-11-10T10:11:04.289-05:00Pole sana kwa kupatwa na malaria.Pia pole kwa safa...Pole sana kwa kupatwa na malaria.Pia pole kwa safari yako ya kufika hadi kijijini Manda.Umenikoga sana kwa kutembelea mahali ulikotokea.Unahitaji kupongezwa sana kwani wengi wanaoishi huku ughaibuni wakienda bongo huishia hapo Dar na kudharau kijijini walikokulia kuliko na bibi na babu zao.Nakutakia maandalizi mema ya safari ya mwaka kesho.Mungu akubariki sasa dada Chem<br /><br />Mdau wa MinnesotaAnonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-17229004.post-86943630884018716042009-11-10T09:51:59.222-05:002009-11-10T09:51:59.222-05:00Pole sana Da Chemi. Tunakuombea upate nafuu mapema...Pole sana Da Chemi. Tunakuombea upate nafuu mapema ili utuhabarishe yaliyojiri huko nyumbani.Anonymousnoreply@blogger.comtag:blogger.com,1999:blog-17229004.post-44506647943962234082009-11-10T07:47:47.516-05:002009-11-10T07:47:47.516-05:00Pole sana Da Chemi. Ndo Tanzania hiyo. Homa! Homa!...Pole sana Da Chemi. Ndo Tanzania hiyo. Homa! Homa! Homa!Anonymousnoreply@blogger.com