Tuesday, February 19, 2008

Rais Castro wa Cuba Ajiuzulu!

Cuban President Fidel Castro with his host Tanzanian President Julius Nyerere in Tanzania in 1978. I was there!


Rais Fidel Castro, wa Cuba amejiuzulu urais. Castro aliongoza nchi hiyo kwa miaka hamsini! Alipindiua serikali ya kibepari ya Batista siku ya mwaka mpya mwaka 1958! Castro alikuwa mgonjwa muda mrefu, hajaonekana hadharani kwa miaka miwili sasa. Kulikuwa na uzushi kuwa amefariki dunia, lakini habari hizo si kweli.

Alikuwa adui mkubwa wa Marekani shauri ya siasa zake za Communism. Mdogo wake, Raoul Castro atakuwa rais sasa.

Nakumbuka mwaka 1978, nilimwona laivu. Alikuja Dar es Salaam kumsalimia Mwalimu Nyerere. Wakati huo nasoma Zanaki secondary Form II. Tuliambiwa tukajipange pale Ikulu kumpokea. Alikuwa bado fiti wakati huo. Sasa ni mzee kabisa. Nakumbuka watu walisema eti, Castro alijialika kutembea Tanzania. Sijui walikuwa na maana gani. Tulitolewa haraka darasani na kuambiwa tuwahi Ikulu.

***********************************

Kwa habari zaidi soma:

http://www.cbsnews.com/stories/2008/02/19/world/main3843492.shtml?source=mostpop_story

http://ap.google.com/article/ALeqM5jo_74bCqDvop0iQubmaRzy42RadwD8UTE7E00

http://blogs.guardian.co.uk/politics/2008/02/so_fidel_castro_has_finally.html

2 comments:

  1. Bora ajiuzulu. Apumzike siku zake za mwisho duniani. Kazi kafanya watu hawatamsahau.

    ReplyDelete
  2. Interesting angle. Cool. Castro is human garbage who has killed thousands of innocent Cubans in his failed pursuit of a communist paradise.

    absurd thought -
    God of the Universe says
    Castro was BRILLIANT

    like Marx, Lenin and Mao
    he helped redefine EVIL


    absurd thought -
    God of the Universe says
    celebrities are GUILTY

    of having talent and luck
    so they must praise dictators


    absurd thought -
    God of the Universe says
    never admit you were wrong

    Communism’s FANTASTIC
    BEST false ideology


    absurd thought -
    God of the Universe says
    keep your people poor

    deny them decent health care
    convince them they have it GREAT


    Fidel Castro
    murderous tyrant
    - fools' hero

    communist freedom killer
    imprisons many poets...


    http://absurdthoughtsaboutgod.blogspot.com/

    http://www.therealcuba.com/

    :)
    .

    ReplyDelete