Friday, June 06, 2008

Kwa Heri Mzee Tibaigana

picha kutoka ippmedia.com

Mkuu mpya wa polisi, Mkoa wa Dar es Salaam Special, Suleiman Kova, akipata mawaidha kutoka kwa Kamanda wa Polisi, Alfred Tibaigana ambaye anastaafu. Sherehe za kumwaga Mzee Tibaigana zilifanyika jana huko Police Officers Mess jijiji Dar.

3 comments:

  1. Ataweza kukabidhi majambazi wa Dar huyo? Mola ampe nguvu!

    ReplyDelete
  2. namuunga mkono mwandishi Edo Kumwembe aliyemuuliza afande mstaafu Tibaigana kuwa,anaondoka lakini ni nani aligushi saini ya AthumaniIddy?

    ReplyDelete