![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgPxRCA642TWZFb8g9LaDLqPPeAGoxKvs_dGZewI8B7BDE79u_V7oXaUCAb6qG5ON5MoxW2wgeIUueXL8uRm67GQvNXk4WOxclK0f67MRrirZRBGDRiAy16jwXlKI0PVXobNxn0TA/s400/Miss+Tanzania+2008.jpg)
Mrembo Nasreem Karim (22) amechaguliwa kuwa Miss (Vodocom) Tanzania 2008. Alichaguliwa kati ya warembo 26 kutoka sehemu mbalimbali Tanzania.
Tunamtakia kila la kheri katika mwaka wake wa U-Miss.
Kwa habari zaidi mtembelee Kaka Michuzi.
Blogs in Kiswahili, the main African language of EAST AFRICA.
2 comments:
Uso wake umekomaa. Best Wishes kwake!
mwe kumbe ni vodocom sijajua dada.
Post a Comment