Blogs in Kiswahili, the main African language of EAST AFRICA.
Friday, September 25, 2009
Wake wa Viongozi wa nchi za G-20
Naona leo Mke wa Rais Obama, Michelle Obama amepozi na wake wa mawaziri wa fedha na magavana wa mabenki ya nchi za G-20. Kikundi cha G-20 kilundwa mwana 1999 kuongelea maswala ya uchumi wa dunia.
Nchi za G-20 ni:
Argentina Australia Brazil Canada China France Germany India Indonesia Italy Japan Mexico Russia Saudi Arabia South Africa South Korea Turkey United Kingdom United States of America
Vyote vizee vimekwisha
ReplyDeleteNa wewe unayesema eti vizee, umejitizama kwenye kioo leo?
ReplyDeletesasa wewe unayebisha sio vizee mbona huna hoja ya kupinga? mbona ni vizee tuu hivyo vishajichokea?
ReplyDeleteWote wazuri! Hao wabichi unayowataka watazeeka pia!
ReplyDelete