Kati ya wahitimu wa sheria za kimataifa Oxford Brookes University siku ya Ijumaa 4/9/10....Maina Ang'iela Owino ( Mwenyekiti wa CCM UK) - LLM International Trade and Commercial Laws Shose Susa Katende (Advocate) -LLM International Human Rights Laws Rujama Chisumo (Mwanasheria Wizara ya Fedha TZ) -LLM International Economic Laws.
Jamani Shose mdogo wangu hongera saaana.
ReplyDeleteKweli palipo na nia pana njia!
Am so happy for you and God bless.
Hongera pia kwa Owino na Rujama.
Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote!
Tanyo