Blogs in Kiswahili, the main African language of EAST AFRICA.
Saturday, June 18, 2011
Msomi Afanya Fuja Kwenye Treni New York
Cheki huyo dada mwenye asili ya kihindi anayodai ni msomi kondakta wa treni alivyomwomba aache kutumia lugha ya matusi akiwa kwenye simu yake ya mkononi! Watu wanauliza kama huyo kondakta angekuwa mzungu anejibiwa hivyo. Mwisho watu wanakubai kuwa pamoja na usomi wa huyo dada hana akili za kuwa na watu hadaharani.
Dah! Msomi gani huyo! Kasoma community college!
ReplyDelete