Wednesday, March 05, 2014

Mzungu Akamatwa Akifanya Ngono Na Mbwa Florida!

Wadau, huyo mzungu alikuwa anafuga mbwa kwa ajili ya kufanya ngono nao!  Sasa amekamtwa laivu akiwa amemwingilia mbwa. Anashitikawa kwa kos ya kumtesa mnyama, na kumjeruhi mnyama!  Sheria za Marekani ni kali sana kwa wanaotesa wanyama!  Naona kafanya ngono na mbwa muda mrefu kiasi kwamba uso wake unafanana na mbwa!

BOFYA LINKI HAPO CHINI KWA HABARI ZAIDI!

**************************



Tampa man accused of sex with pit bull. Eight dogs were removed from his home after shocked neighbors complained.

STORY: http://www.myfoxtampabay.com/story/24892576/2014/03/05/man-accused-of-sex-with-pit-bull
— with William Fueshko, Paul Fraser, Daniel McGuinness, Kristin Lambert and Kimberly Heselton Nicholson.

7 comments:

  1. Aiyaiyai! Wengine hufanya na mbuzi, kondoo, nk!

    ReplyDelete
  2. Haya mambo ya kufanya na wanyama yanafanyika duniani nzima, hata Africa, Ulaya, Amerika, na kadhalika. Wachafu wako dunia nzima.

    ReplyDelete
  3. Kwanini title inasema "MZUNGU Akamatwa... [...]"?

    baadala ya kusema, "MWANAUME Akamatwa... [...]"?

    au "MTU Akamatwa... [...]"?

    Naona kama ni UBAGUZI; kwa sababu, ingeandikwa "MWEUSI Akamatwa... [...]"; watu wangesema kwamba in UBAGUZI wa RANGI. Au sio?

    Anyway, kwa ujumla, haya mambo machafu yakiajabu ya 'bestiality' yanatoka duniani kote; hata Africa na Ulaya.

    ReplyDelete
  4. Kweli anafanana na mbwa. Labda ndio mana anatamani mambwa kwa mambo ya ngono. Au labda ni mwendawazimu?! Jamani!

    ReplyDelete
  5. Halafu tunasema Wazungu wameendelea.

    ReplyDelete
  6. Anonymous wa March 13, 2014 3:40 AM ~ Haya mambo ya ngono na wanyama yanatokea dunia nzima; hata Africa na makontinenti mengine. Wachafu wako nchi zote. Wachafu sio wazungu tuu. Nchi zingine huripoti haya mambo zaidi kwenye njia mbalimbali za midia (media).

    Waofu na wachafu wako duniani kote!

    ReplyDelete
  7. Mtu mwenywe anaonekana choka ile mbaya, hata kam Mzungu, lakini choka ile mbaya, macho shuti yamemtoka, sidhani kama ana ata japo maisha mazuri, nadhani ata ho wanawake sidhani kam watamkubali jaama mwenyewe choka, kapoteza mpaka mvuto

    ReplyDelete