PICHA ZA HABARI : UZINDUZI WA WASATU NORTHAMPTON , UINGEREZA
Na Freddy Macha
Jumuiya ya wasanii Watanzania Uingereza (WASATU) ilizunduliwa kwa vigelegele
na muziki mjini Northampton , katikati ya Uingereza jumamosi iliyopita. Tafrija
hiyo ndogo lakini iliyowakutanisha zaidi ya Watanzania mia moja na wenzao
wa Kenya, Uganda, Kongo , Nigeria, Uingereza nk, ilihudhuriwa na Mheshimiwa
Balozi Dk Asha Rose Migiro.
WASATU ilibuniwa mwaka jana kati ya wasanii wakiongozwa na mwanamuziki na
mcheza sarakasi Fab Moses na promota wa vyakula vya Kitanzania, Bi Neema
Kitilya.
Asilimia 20 ya kipato cha onesho zilitolewa na WASATU kwa walio Northampton; kwa maafa ya
mafuriko ya maji karibuni Tanzania.
Pichani: Watanzania na wasanii wenzao wakijimwaga ukumbi wa The Eastern District Social
Club, Northampton
Showing posts with label Asha Rose Migiro. Show all posts
Showing posts with label Asha Rose Migiro. Show all posts
Saturday, April 08, 2017
Saturday, July 11, 2015
Saturday, January 21, 2012
Dr. Asha Rose Migiro Anaondoka Umoja wa Mataifa
![]() |
| UN Deputy Secretary General Dr. Asha Rose Migiro |
Kutoka The Citizen
Saturday, 21 January 2012
By Mkinga Mkinga
The Citizen Reporter
Dar es Salaam. - Dr Asha-Rose Migiro is leaving her high profile posting
as deputy secretary-general of the United Nations.* Having served the
UN for five years as the second in command following a surprise
appointment in 2007, she is expected home in the next few weeks.
UN Secretary General Ban Ki Moon appointed her upon his election to
succeed Dr Kofi Annan, possibly as a reward to Tanzania, which was
said to have played a key role in helping the former South Korean
foreign minister win the job. Dr Migiro was the first woman to land
the post.
A former foreign minister herself, she is leaving at a time when Mr Ki
Moon is lining up a new team to carry forward his agenda after he was
re-elected last year for a second and final five-year term.
The permanent secretary in the ministry of Foreign Affairs and
International Cooperation, Mr John Haule, confirmed the news
yesterday.* The PS said Dr Migiro’s tour of duty at the New York based
UN headquarters was over. “We have not received an official document
from the UN, but I’m aware that her tenure is almost ending,” Mr Haule
said on the phone. “She also confirmed this development on Thursday.”
The PS noted that the UN was undergoing major reforms that were bound
to affect its offices worldwide under the “Delivering as One”
programme. “But we at the foreign affairs are not the spokespersons on
Dr Migiro,” Mr Haule added.
Separately, a source in Washington told The Citizen yesterday that
news of her imminent departure from UN was circulating among close
friends and Tanzanians living in the city.
“We have heard that she applied for an extension of her contract,”
said one of the sources in an email communication.* “But that is
likely not going to happen as sources close to her say she is planning
to return home.”
*
Dr Migiro is said to be in the process or organising how one of her
children, who is enrolled in school in New York, can complete her
studies without interruption.
She was the third deputy secretary-general and the first African woman
to hold the prestigious post that was established by the General
Assembly at the end of 1997 as part of reforms in the United Nations
to help manage secretariat operations and ensure coherence of
activities and programmes. The position was also meant to elevate the
organisation's profile and leadership in the economic and social
spheres.
In his New Year address, Mr Ban said he intended to build a new team
that was strong on substance and diverse in composition—what he called
“a team that works as one”.
He added: “Leading by example, I have placed priority on mobility,
combining fresh perspectives and institutional continuity and
synergy.”
With these criteria in mind, he said, he was undertaking a thorough
review of the entire team and its management structure.
http://thecitizen.co.tz/component/content/article/37-tanzania-top-news-story/19047-migiro-leaves-un-post.html
Tuesday, September 29, 2009
Mama Kikwete na 'Natural Look'
Wadau, niliona hii picha kwenye Dr. Faustine Baraza. Ilipigwa mwaka jana wakati wa ufunguzi wa maktaba pale Mlimani Primary School, iliyoko Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kushoto ni Mh. Asha Rose Migiro, Kati ni Mama Salma Kikwete. Cheki wanavyopendeza na nywele 'natural'! Saturday, September 08, 2007
Hafla ya Kumpongeza Dada Asha Rose Migiro New York





(All Photos courtesy of Issac Kibodya)Kumbukumbu ya hafla ya Dr. Asha Rose Mtengeti Migiro ilofanyika Pelham, New York kumkaribisha Marekani na kupongeza kwa kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu Msaidizi wa Umoja wa Mataifa tarehe 25 Agosti 2007.
Labels:
Asha Rose Migiro,
Kibodya,
New York,
United Nations
Saturday, January 06, 2007
Hongera Dada Asha Rose Mtengeti-Migiro

Nachukua nafasi hii kumpongeza Dada Asha Rose Mtengeti-Migiro, kwa kuteuliwa kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (United Nations). Kwa kweli ni jambo sisi WaTanzania lazima tujivunie.
Namfahamu Dada Asha Rose, tangu alivyokuwa anasoma UDSM. Mimi wakati huo bado nilikuwa nasoma Secondary School. Kwa kweli huwezi kujua Mungu amempangia mtu nini. Nikikumbuka enzi zile, yaani tusingeweza kutegemea kuwa atakuwa kiongozi anayeheshimika dunia nzima. Alikuwa hana makuu. Lakini miaka ilivyoenda tuliona alivyoonyesha meno kuwa anaweza kuongoza na kuongoza vizuri.
Pia kuteuliwa kwake unaonyesha jinsi Tanzania inavyoheshimika duniani. Hatujawa na migogoro mingi ya kisiasa kama nchi zingine barani Afrika. Na nasikia ilikuwa kila mkutano wa kimataifa akienda anapata washabiki kwa uongozi wake mzuri. Watu wengine wamekuwa wakishangaa alipataje kuteuliwa katika nafasi nzito hivyo. Nawambia ameteuliwa kwa sababu ameonyesha watu wengi Tanzania na nje ya Tanzania kuwa ni mtu mzuri mwenye moyo na kipaji cha uongozi.
Jambo lingine ni kuwa mwanamke kutoka Third World amekababidhiwa uongozi mzito. Lazima Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Bwana Ban Ki-Moon, kamwona Dada Asha Rose ni mwanamke jasiri atakayeweza hiyo kazi.
Dada Asha Rose amekuwa ni mfano mzuri kwa wasichana wote wa Tanzania na Afrika kwa ujumla!
Akina Mama Oyee!
Subscribe to:
Comments (Atom)












