Sunday, July 05, 2009

Fourth of July Boston


Jana hapa Marekani ilikuwa sikukuu ya Fourth of July. Ni siku ya kusherekea Uhuru kutoka kwa Uingereza miaka 233 iliyopita mwaka 1776. Jana jioni nilikuwa mmoja wa maelfu ya watazamaji wa Fireworks, kwenye Charles River upande wa Cambridge, MA. Nilipiga picha hizi mbili.

Mdau Ibra na Danny Glover ZIFF

Wadau, nimepokea hii habari kutoka kwa mdau Ibarhim Matukuta, ambaye alishiriki katika utengenezaji wa sinema Bongoland II. Sasa anafanya mambo ZIFF.


Salam,

Ni mimi Ibrahim Matukuta nikikupa salamu toka ZIFF. Tunaendelea vizuri na kila siku tuonaonesha documentary za Dakika 7 za Matukio yote ya ZIFF. Na nimepata bahati ya kupiga picha na ZIFF special guest Bwana Danny Glover. Kwa wale ambao ungependa waone daily documentaries waende kwenye link hii http://www.zgfilms.com/events.html

Ahsante!
Ibrahim Matukuta

Zanzibar International Film Festival

Tanzania Christian Heritage Blog

Naomba kufahamisha blogu mpya yenye kugusa zaidi maisha na mienendo ya watu. Baadhi ya watu watakuwa wamemsoma Mhandisi na Mwelimishaji ndugu Sabato E. Tarimo katika gazeti la MsemaKweli kwenye makala zake mbalimbali. Sasa amejikita katika ulimwengu wa blogu ili kuwafikia wengi zaidi hasa wale wanaoishi nje ya Tanzania.

Jina la Blogu ni tanzaniachristianheritage.blogspot.com
Makala alizoandika hadi sasa na zinazotia changamoto ni zile zinazohusu URITHI na MAVAZI kama vile:
URITHI: Mahakama ya kufungulia mirathi
URITHI: Urithi kwa watu wasio na undugu na marehemu...
URITHI: Kumnyima mtu haki ya urithi
URITHI: Umuhimu wa wosia
URITHI: Je, urithi ni haki au ni fadhila?
URITHI: Biblia inasema nini kuhusu watoto wa kambo...
URITHI: Sheria za mirathi
URITHI: Kwanini mzaliwa wa kwanza alipendelewa?
URITHI: Ni wakati gani wa kurithisha au kurithi?
URITHI: Nani anastahili kurithi?
URITHI: Kiini cha makala
Ni vitu gani sisi wanadamu tunavyoweza kurithishan...
URITHI: HAKI NA WAJIBU WAKO
pamoja na
MKRISTO NA MAVAZI: Mavazi yasiyofaa ni yapi?
MKRISTO NA MAVAZI: Mavazi yatamanishayo ni tishio ...
MKRISTO NA MAVAZI: Dhambi ya Bath-sheba
MKRISTO NA MAVAZI: Makanisa ya kimadhehebu yamepot...
MKRISTO NA MAVAZI: Eti Mungu anaangalia moyo tu?
MKRISTO NA MAVAZI: Mavazi yasiyofaa
Tafadhali unaombwa kukosoa na kuchangia maoni yako.
Wasalaam Subi, nukta77!

Saturday, July 04, 2009

Kwa Heri Sarah Palin!

Gavana wa Alaska, Sarah Palin, ametangaza kuwa anajiuzulu ugavana. Habari za kujiuzulu kwake zimeshangaza sana maRepublicans wenzake, huko watu wengine wanashangilia kuondoka kwake. Naibu Gavana ataapishwa kuwa Gavana hivi karibuni.

Palin, aligombea umakamu rais, chini ya John McCain, katika uchaguzi wa rais mwaka jana. Rais Barack Obama aliibuka mshindi, ingawa maRepublicans walimchafua kwa kila aina ya tusi na kuchochea ubaguzi Marekani. Hatimaye Barack Obama alishinda uchaguzi huo.
Watu wanasema huenda Palin atagombea urais mwaka 2012. Wengine wanasema atakuwa na TV show yake kama Oprah. Kama ni kweli fans wake lazima watakuwa ma redneck.
************************************
WASILLA, Alaska (AP) - Even for a nonconformist, Alaska Gov. Sarah Palin has defied political logic with her sudden, stunning announcement to leave office more than a year early.
Supporters and critics alike say the former GOP vice presidential candidate's resignation, announced Friday afternoon and effective July 26, is an inexplicable move for a high profile Republican widely seen as a contender for a White House run in 2012. A half-term governor campaigning for president?

"If she is thinking that leaving her term 16 months early is going to help her prepare to maybe go on to bigger and better things on the political stage, I think she's sadly mistaken. You just can't quit," said Andrew Halcro, a Palin critic who lost the 2006 gubernatorial race to her.
Kwa habari zaidi soma:

Tembo Washinda Bindamu katika Mashindano ya Kula 'Hot Dog'




Jana huko Coney Island, New York kulikuwa na mashindano ya aina yake. Binadamu walishindana na tembo katika kula mahot dog. Hapa Marekani, Hot dog ni aina ya sausegi ambao inapendwa sana. Hot inawekwa ndani ya mkati maalum (bun) uliopasuliwa, na inapakwa mustard, tomato, vitunguu, sauerkraut (kabichi), chili, na vitu vingine chaguo lako.

Katika dakika sita, tembo watatu walikuwa hot dog 505, wakati binadamu walikula 143 tu. Tembo waliweza kula na matunda pia katika kipindi hicho.

Duh! Yaani mtu wa kawaida sana sana anaambulia mbili. Hao bindamu walikuwa na matumbo ya ajabu!


Kwa habari zaidi someni:

Thursday, July 02, 2009

Danny Glover Awasilli ZIFF

Danny Glover akiongea na Martin Mhando

Kutoka LUKWANGULE BLOG:

Danny Glovver Atua Uwanja wa Zenj

Muigizaji maarufu wa Hollywood na ambaye pia ni balozi wa Shirika la Umoja wa mataifa la Kuhudumia watoto(UNICEF) danny glover amewasili mjini Zanzibar leo majira ya alasiri na kusema ziara yake nchini itasaidia kujenga mahusiano zaidi kati ya Wamarekani weusi na ndugu zao wa Afrika.

Muigizaji huyo alisema hayo akiwa uwanja wa ndege wa zanzibar wakati akizungumza na waandishi wa habari.

Amesema pamoja na kuwa balozi wa uNICEF na kupeleka salamu za UNICEF maeneo anayotembelea pia ana shirika lisilo la kiserikali ambalo hushughulikia mahusiano na nchi za Kiafrika hasa kudumisha utamaduni ulipo wa miaka mingi kati ya wamarekani weusi na ndugu zao waliopo bara la Afrika.

Amesema katika kuimarisha uhusiano huo anajikita zaidi katika mawasiliano na kunyambua tamadunia mbzo anaona ndio ufunguao wa mahusiano kati ya Afrika na bara la Amerika.
Glovver ambaye atakuwa nchini kwa siku tano anatarajiwa pia kushiriki katika masuala mbalimbali ya tamasha kuwa na mahojiano na vyombo vya habari na kufanya shughuli za UNICEF ikiwa ni pamoja na kumuona Rais wa Zanzibar, Abeid Aman karume.
Pia akiwa hapa atashiriki katika kongamano la watoto na amani linaloandaliwa na GNRC na na kuzungumza na watengeneza sinema .

Pichani kama nilivyomnyaka akiwa na Mkurugenzi wa tamasha la filamu za zanzibar Dk martin wakikumbushana enzi hizo za nairobi, kenya mara tu baada ya kumaliza mazungumzo na waandishi wa habari ndani ya VIP ya zanzibar.

Kanisa Mbili Zachomwa Moto Zanzibar

Wadau, siku zote Tanzania tumekuwa nchi enye amani na utulivu. Ni nchi enye upendo na uvumilivu. Undugu! Wakristo na Waislam wamekulia katika nyumba moja, ujirani, wanasoma pamoja na kusherekea mambo mengi pamoja. Inasikitisha kusikia kuwa kanisa mbili zimechomwa moto huko Zanzibar na watu wanaosema kuwa hawataki ukristo uenee kisiwani. Serikali inafanya nini? Naomba isikae kimya katika suala hiyo.

Nina amini kuwa waliochoma kanisa hizo si waTanzania.

Tunataka Amani tuliozeoa iendelee!

**************************************************************************

http://www.bosnewslife.com/8107-zanzibar-christians-fear-more-attacks-after-church-burnings-evictions

ZANZIBAR CITY, TANZANIA (BosNewsLife)-- Christians on Tanzania's Zanzibar Island anticipated more attacks against them Wednesday, July 1, as two churches were reportedly burned over the weekend by suspected militants opposing the spread of Christianity on the Muslim dominated semi-autonomous territory.

The Evangelical Assemblies of God in Tanzania (EAGT) church and a nearby Pentecostal Evangelical Fellowship in Africa church building were torched Sunday, June 28, with militants warning Christians to halt worship services, church officials said in published remarks.

*************************

http://www.compassdirect.org/en/display.php?page=news&idelement=5985&lang=en&length=short&backpage=archives&critere=zanzibar&countryname=&rowcur=0

NAIROBI, Kenya, June 30 (Compass Direct News) – Two church buildings were razed Sunday night (June 28) on the island of Zanzibar after worship services. Suspected radical Muslims set the church buildings on fire on the outskirts of Unguja Township, on the Tanzanian island off the coast of East Africa, in what church leaders called the latest incidents of a rising tide of religious intolerance. With Christian movements making inroads in the Muslim-dominated area, the Evangelical Assemblies of God in Tanzania (EAGT) church and a Pentecostal Evangelical Fellowship in Africa church building a few miles away were burned down as a fierce warning, church leaders said. “We don’t want churches on our street,” read a flier dropped at the door of Charles Odilo, who had donated the plot on which the EAGT building stood. “Today we are going to burn the church, and if you continue we are going to burn your house also.”

Sweet Eazy July


Monday, June 29, 2009

Ndege Imeanguka Karibu na Comoro

UPDATE - Msichana mwenye miaka 14 ndiye abiria pekee aliyepona katika ajali hiyo! http://blogs.usatoday.com/ondeadline/2009/06/survivor-of-indian-ocean-crash-may-be-14yearold-girl.html

***********************************************
Duh! Ndege enye abiria 150 imeanguka karibu na visiwa vya Comoro katika Bahari ya Hindi. Ndege ni ya Yemenia Air (kutoka Yemen). Kwa sasa hakuna taarifa kuna waliopona.

**********************************************************

Yemeni plane crashes off Comoros, 150 on board

By Ahmed Ali Amir Ahmed Ali Amir –

MORONI (Reuters) – An airliner with 150 people on board belonging to Yemeni state carrier Yemenia crashed in the Indian Ocean archipelago of Comoros Tuesday, a senior government official said.

"We don't know if there are any survivors among the 150 people on the plane," Comoros vice-president Idi Nadhoim told Reuters from the airport at the main island's capital Moroni.
Nadhoim said the accident happened in the early hours of Tuesday, but could not give any more details.

"There is a crash, there is a crash in the sea," said an unnamed official who answered the phone in the Yemenia office in Moroni. He declined further comment.
An airline official in Yemen declined to comment.

Yemenia, which is 51 percent owned by the Yemeni government and 49 percent owned by the Saudi Arabian government, flies to Moroni, according to flight schedules on its Web site.

Kwa habari zaidi someni:

http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8125664.stm

http://blog.seattlepi.com/aerospace/archives/172602.asp?from=blog_last3

Michael Jackson Angelikuwa Bila MaSurgery

Wadau, marehemu Michael Jackson, hakupenda weusi wake. Alitaniwa sana na ndugu zake kwa vile alikuwa na pua kubwa. Baba yake alikuwa anamwita, "Big Nose" (pua kubwa). Matokeo yake alijigeuza mzungu na kachonga pua yake.

Kuna Forensic Scientist ambaye amachora picha ya jinsi Michael angelikuwa kama asingejiharibu kwa maplastic surgery.

*************************************************************************
Michael mwaka juzi

Alivyokuwa na miaka 13 na pua ya kawaida ya kiafrika
Akiwa late 30's bila masurgery


Mzee Michael Jackson bila masurgery

Rest in Peace Prof. Haroub Othman

(pichani Prof. Othman akihutubia mkutano jumamosi, masaa machache kabla ya kifo chake. Watu wanasema alionekana mwenye mzima kabisa)


Kutoka THE CITIZEN

Shock, disbelief as Prof Othman dies suddenly in Zanzibar


Renowned academic Prof Haroub Othman, 66, is dead. The University of Dar es Salaam (UDSM) lecturer died in his sleep early yesterday at a hotel in Zanzibar.

However, the cause of his death had not been established by the time of going to press.

His son, Mr Tahir Othman, and family spokesman Ali Uki said Prof Othman was in good health when he went to bed on Saturday night after attending various events.

His last public appearance was at the official opening of the 2009 Zanzibar International Film Festival (ZIFF) on Saturday evening at the Old Fort, where Zanzibar Chief Minister Shamsi Vuai Nahodha was the chief guest.

Mr Uki said yesterday Prof Othman arrived in Zanzibar from Dar es Salaam on Saturday morning and attended the launch of a book titled Race Revolution and the Struggle for Human Rights in Zanzibar, jointly authored by Prof Thomas Burgess, Mr Ali Sultan Issa and Mr Seif Shariff Hamad.

"He was not sick? I think you saw him at the launch of the book and later at the ZIFF function," he said.

Prof Othman was the founding chairman of the Zanzibar Legal Aid Centre.

He joined the UDSM in the 1970s, and worked at the university as a lecturer until his death.

Prof Othman, who was a lawyer and lecturer in development studies, will be remembered as a member of the renowned Nyalali Commission, whose findings and proposals led to the re-introduction of political pluralism in the country.

UDSM vice-chancellor Rwekaza Mukandala said the university community was shocked by the sudden death of one of its most hardworking and respected lecturers.

Funeral arrangements were being made at Prof Othman?s residence at Michenzani area in Zanzibar, and his is burial is scheduled for today at Masharifu Chuini area.

He leaves behind a widow, Saida Yahya Othman, who is a lecturer in linguistics at the UDSM, and a son, Tahir.

Mr Hamad said Prof Othman's death had shocked him as they had met only a few hours earlier during the launch of a book about his (Mr Hamad's) political career.

"I'm deeply shocked?it was only yesterday (Saturday) that Prof Othman was among guests who attended the launch of the book on my political life. He also edited the book," said Mr Hamad, who is also secretary-general of the opposition CUF.

He noted that this proved that Prof Othman was dedicated to his professional work.

"The University of Dar es Salaam, Zanzibar, Tanzania and Africa in general have all suffered a big loss?Prof Othman was a man with considerable knowledge in politics and law," Mr Hamad added.

Prof Othman will be remembered for his bold stand on various issues. He never hesitated to criticise the leaders of both the Union and Zanzibar governments whenever he thought they had gone astray, particularly on Union matters.

He had spent all of his adult life at the UDSM?s Institute of Development Studies (IDS), where he was once its director.

The soft-spoken don has left a treasure of literary and academic works at the UDSM and in many other academic circles.

The head of the UDSM Political Science and Public Administration Department, Dr Bernadette Kilian, was among those who expressed their shock upon learning of Prof Othman's sudden demise.

A prominent Pan-Africanist, Prof Othman was a leading authority on African issues. He had on numerous occasions commented on internal conflicts and post-election violence in Africa.

The local media has also lost an important source in that he was readily available to comment on various issues. Prof Othman regularly featured in The Citizen's Political Platform magazine, which is published on Wednesdays.

Apart from Union matters, he discussed a wide range of issues from the collapse the former USSR and its implications to global politics to the strife in Somalia and Darfur.

He pursued graduate and postgraduate studies in law in the former USSR where he graduated with an LLM. He later pursued a postgraduate diploma in refugee law at Antwerp University in Belgium and a PhD in law at the UDSM.

The executive secretary of the Media Council of Tanzania (MCT), Mr Kajubi Mukajanga, said the death was a big blow to the local media fraternity.

He said Prof Othman had twice served as chairman of the MCT Finance and Administrative Committee.

He was an ordinary member of the council after relinquishing his leadership posts last December.

"He was a most articulate and resourceful person and his death is a severe blow to the media, academia and the country in general," Mr Mukajanga said.

Reported by Salma Said in Zanzibar and Elias Mhegera in Dar es Salaam

*********************************************************************

REST IN ETERNAL PEACE

Tapeli Bernard Madoff Afungwa Miaka 150!


Tapeli Mkuu wa Marekani, Bernard Madoff, amehukumiwa kifungo cha miaka 150 jela. Madoff alitapeli matajiri, vyuo vikuu, mahospitali na wengine zaidi ya dola bilioni 70. Waathirika wote ni wayehudi wenzake. Ilikuwa jambo la fahari kuingia kwenye klabu ya Madoff na kufungua akaunti naye. Kumbe hamna lolote. Pesa za waweka hisa wapya alikuwa anawapa waliokaa siku nyingi. (Ponzi Scheme) Jamaa aliwahi kuwa mkuu wa NASDAQ! Walikuwa wanamwamini kweli. KUMBEEEE!

Asante Madoff kuna waliokuwa matajiri ambao sasa ni makamchape kama sisi. Utasikia huyo alipoteza pesa zake na Madoff, sasa anafanya kazi Walmart, au Starbucks kusudi wapate pesa za chakula cha kawaida tu.

Haya story ya Madoff haijaisha, bado tutaendelea kusikia mengine.

Kwa habari zaidi someni:

Saturday, June 27, 2009

Uchumi Wetu Blog

Mambo vipi Da' Chemi,

Pokea salamu zangu.

Ningependa kukupongeza kwa kazi yako nzuri na ya heshima unayofanya katika mtandao wako wa SWAHILITIME. Inatuhamasisha na kutupa michapo katika maswala tofauti hasa mambo ya ughaibuni.

Inspired by your blog and many other bloggers I have taken it up the challenge and created a blog modelled around it for making important Business and Economic News and Info about Tanzania.

Kindly spread the word for people to visit the blog and receive the latest business and economic news/info on TANZANIA.


BLOG: ECONOMY TICKER
URL: http://www.economyticker.blogspot.com

Natanguliza shukrani zangu.

Pamoja,
ECONOMY TICKER

Barua pepe: uchumiwetu@gmail.com

Friday, June 26, 2009

Hasheem Thabeet atakuwa Grizzilies

MBongo Hasheem Thabeet, ameingia rasmi NBA. Atachezea timu ya Memphis Grizzilies. Namtakia mafanikio mema akiwa NBA.

Mnaweza kupata taarifa zaidi hapa:

http://www.nba.com/grizzlies/

http://www.wmctv.com/Global/story.asp?S=10598452

MaCelebrity Halahala na Tarehe 25!!!

MaCelebrity waliokufa tarehe 25:

JAMES BROWN - December 25th

AALIYAH - August 25th

LISA 'LEFT EYE' LOPES - April 25th

MICHAEL JACKSON - June 25th

Daktari wa Michael Jackson Anatafutwa na Polisi!

Jana, walisema wapelelezi wa mauaji (Homicide) wamekwenda kwenye nyumba aliyokodi Michael Jackson kufanya uchunguzi. Sasa kuna habari kuwa daktari aliyekuwa anamtibu nyumbani kwake haonekani!

********************************************************************
June 26th, 2009

Cops look for Jackson’s doctor

Posted: 12:29 PM ET

LOS ANGELES, California (CNN) — Police are looking for Michael Jackon’s personal physician but have been unable to contact him, they said Friday.

The doctor’s car was towed from Jackson’s home Thursday and impounded, authorities said.
The car may contain “medications pertinent to the investigation” into Jackson’s death, said Detective Agustin Villanueva of Los Angeles Police Department said.
Police did not release the doctors name.

Kwa habari zaidi soma:

http://www.google.com/hostednews/ap/article/ALeqM5iJN6FHrmT75HzSZChIb2PDzFEDXgD992F6Q00

Kifo cha Michael Jackson Karibu Kiue Mtandao!

Duh! Hivi mna habari kuwa Mtandao (internet) karibu ife jana. Kisa, watu dunia nzima walikuwa wanatafuta habari za kifo cha Michael Jackson. Kama ulifanya search na kuona ilikuwa taratibu mno sababu ilikuwa hiyo, watu wengi mno waliingia kwenye neti.

Inanikumbusha siku ile 9/11. World Trade Center ilivyoangushwa. Internet ilianguka siku hiyo.

Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:

http://edition.cnn.com/2009/TECH/06/26/michael.jackson.internet/

Thursday, June 25, 2009

Vifo Vya MaCelebrity Wiki Hii

Ed McMahon 1923 - 2009

Ushauri - Muziki wa Michael Jackson

Nendeni dukani na ITunes nk. mkanunue CD's za Michael Jackson kabla hawajapandisha bei. Sijui kwa nini hapa Marekani msanii akifa ndo muziki, michoro, nk. ina kuwa mali kweli.

Halafu, kwenye FOX News niliona video iliyopigwa hivi karibuni. Kwa kweli MJ alikuwa amekondeana kama 'scarecrow'. Alikuwa amebakia mifupa na ngozi tu! Wanaongelea jinsi alivyokosa imani na watu tangu ile kesi ya yule kijana wa kizungu adai eti MJ alimbaka.

REST IN PEACE MICHAEL JACKSON

Tanzia - Michael Jackson

Michael Jackson 1958-2009

Wadau, watu wanashangaa na kulia. Michael Jackson amefariki dunia leo! Alikuwa anajiandaa kwa ajili ya concerts na watu walikuwa wanasubiri albamu yake mpya.

Taarifa ya habari inasema kuwa alifariki saa sita na dakika 20 (Pacific) mchana. Alikuwa ametoka kwenye mazoezi, ndipo alianguka. EMT's/911 waliitwa na walikuta hapumui na moyo umesimama. Walijitahidi kwa kila mbinu waliokuwa nayo kumfufua lakini wapi.

Michael atakuwa na imani sasa, maana maisha yake kwa kweli yalikuwa ya ajabu. Muziki wake ulipendwa lakini watu walibakia kushangaa jinsi alivyokuwa anaogea madawa ya bleaching (kujikrimu) mpaka kawa kama mzungu. Alifanya surgery usoni na kuchonga pua. Alikataa asili yake ya uafrika. Alisema kuwa anajitengeneza kuwa kama Mwenyezi Mungu alivyotaka awe. Na watu walisema, Michael, Mungu alikuumba alivyotaka yeye.

Tuache utani, na kumlaani sasa. Amefariki na familia yake, marafiki na mashabiki wake wamebakia na majonzi. Muziki wake utakumbukwa daima.

REST IN ETERNAL PEACE MICHAEL JACKSON
Kwa habari zaidi someni:

Michael Jackson Apata Heart Attack!


Michael kabla hajajigeuza kuwa mtu mwingine wa ajabu

DUH! Makubwa! Habari zinasema kuwa Michael Jackson alikutwa nyumbani kwake, hapumui na moyo wake umemisama! Lakini hospitali za Marekani nzuri wanaweza kumfufua, na hivyo tajiri. Tumwombee apone, ila ndugu zake wanasema afya yake ilikuwa mbovu kweli hivi karibuni.

***********************************************************
Michael Jackson in Cardiac Arrest, Rushed to Hospital

http://www.eonline.com/uberblog/b131160_michael_jackson_in_cardiac_arrest.html

Today 2:07 PM PDT by Ashley Fultz

Michael Jackson has been rushed by ambulance to the hospital after collapsing at his home.

"The call came in because a person was not breathing," says a spokesman for the Los Angeles City Fire Department, who says paramedics were dispatched to Jackson's Holmby Hills mansion shorty after noon today.

"When the team arrived, they saw that CPR was already in progress by someone at the home. The person not breathing was transported to UCLA Medical Center and remains there."

His immediate condition is unknown.

Michael's father, Joe Jackson, says he had been alerted to the emergency but didn't have any additional details.

"I am in Las Vegas, but yes, people in Los Angeles called me and are with Michael and tell me he was taken to the hospital," the elder Jackson tells E! News. "His mother is on her way to the hospital now to check in on him.

"I am not sure what's wrong. I am waiting to hear back from them."

(Originally published June 25, 2009, at 1:50 p.m. PT)




Gavana wa South Carolina Atoroka na Kimada

Governor Mark Sanford (South Carolina)

Bila shaka mmesikia habari za Gavana wa South Carolina kupotea kwa siku kadhaa. Alivyotokea alisema kuwa eti alienda kutembea (hiking) kwenye milima ya Appalachian. Kumbe kuna mtu alimwona kwenye uwanja wa ndege akitokea Argentina na kampiga picha!

Hapo sasa ilibidi gavana aseme ukweli. Alienda Argentina kumfuata kimada wake. Kimada mwenyewe ni mwanamke kutoka huko Argentina. Anasema kuwa alimjua huyo mwanamke kwa miaka minane, lakini alianza uhusiano wa kimapenzi naye mwaka jana. Alisema alienda Argentina mara tatu kumwona. Gavana Sanford ana mke na watoto wanne wa kiume, lazima wameaibika.

Habari zinasema kuwa mke wake aligundua habari ya mume wake kutembea nje ya ndoa na kamfukuza ndani ya nyumba yao kama wiki mbili zilizopita! Na pia eti hizo safari za Argentina zimelipiwa na walipa kodi wa South Carolina! Hmmm, naona itabidi jamaa ajiuzulu.

Hapa Marekani ingawa watu wengi wanatembea nje ya ndoa zao ni mwiko na jambo la aibu. Inaweza kumwangusha mtu mkubwa mwenye cheo. Siyo kama nchi zingine amabako dume akitembea nje ya ndoa eti ni jambo lakujivunia na inaonyesha eti ni mwanaume!

Cha kuchekesha zaidi jamaa ni Republican. Hao Republican wanajidai watakatifu, wapenda familia wasio na makosa...kazi kusema wenzao! Kumbe wao ndo mabingwa wa kutembea nje, na uhuni mwingine!

Kwa habari zaidi someni:

http://www.cnn.com/2009/POLITICS/06/25/sanford.fallout/index.html

http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2009/06/24/AR2009062402504.html

http://www.mercurynews.com/politics/ci_12678735


******************************************************************

Kusoma habari ya e-mails za mapenzi kati ya Gavana na kimada soma hapa:

http://www.thestate.com/sanford/story/839350.html

http://www.cnn.com/2009/POLITICS/06/24/south.carolina.governor.emails/index.html

"I could digress and say that you have the ability to give magnificent gentle kisses, or that I love your tan lines or that I love the curve of your hips, the erotic beauty of you holding yourself (or two magnificent parts of yourself) in the faded glow of the night's light -- but hey, that would be going into sexual details ..."
"...while all the things above are all too true -- at the same time we are in a ... hopelessly impossible situation of love...." he added.


DUH!!!!!

ATM Fraud in Dar - Message from U.S. Embassy

U.S. Embassy
Dar es Salaam, Tanzania
Warden Message - ATM Fraud
June 24, 2009

Several American citizens have reported to the U.S. Embassy in Dar es
Salaam that money has been taken from their bank accounts by an
unidentified person in Nairobi, Kenya. All of the complainants stated
they used ATMs in Dar es Salaam. The Embassy is unsure of the method
the perpetrators are using and must assume that all ATMs in Tanzania are
potentially compromised.

The Embassy strongly recommends that American citizens check their
accounts and determine if any unusual withdrawals have occurred. If so,
the Embassy suggests American citizens contact their bank immediately.
The bank is in the best position to take measures to prevent further
losses. The Embassy is working closely with the Tanzanian police on
this matter.

Updated information on travel and security in Tanzania may be obtained
from the Department of State by calling 1-888-407-4747 toll free in the
United States and Canada, or for callers outside the United States and
Canada, a regular toll line at 1-202-501-4444. For further information
please consult the Country Specific Information for Tanzania, the East
Africa Travel Alert, and the Worldwide Caution Travel Alert, which are
available on the Bureau of Consular Affairs Internet website at
http://travel.state.gov .

The Consular Section of the U.S. Embassy in Tanzania can be contacted by
telephone [255](22) 266-8001 x 4122 and fax [255](22) 266-8238.
You may also contact the U.S. Embassy in Tanzania via email at
drsacs@state.gov.

After hours American Citizen emergencies should call [255] (22)
266-8001.