Brandeis ni Chuo Kikuu cha Wayehudi, lakini wanapokea wanafunzi kutoka nchi mbalimbali na dini mbalimbali. Imam alisoma sala ya kufungua sherehe. Baadaye Rabbi wa kiyehudi, na Padre wa Kikristo walitoa sala za kufunga sherehe.
Hongera Elechi!
![]() |
| L-R Dr. Aleck Che-Mpomda (babu), Mimi, Elechi, Camara (kaka), Malaika (mama mdogo) na Mrs. Che-Mponda (bibi) Watoto wadogo ni watoto wa Malaika |
![]() |
| Mimi na Elechi |
![]() |
| Elechi na Bibi na Babu yake |
![]() |
| Mama na Mwana |
![]() |
| Graduates wa Bachelor of Arts wakitoka ukumbini |
![]() |
| Elechi akiwa na siku tatu tangu azaliwe,, Hapa ni 21 Kileleni Road UDSM 1989 |
![]() |
| Imam akisuali kabla ya ceremony kuanza |
![]() |
| Elechi na Babu yake, Dr. Aleck Che-Mponda |
















