
Picha kutoka Michuzi blog
Kulia mwa rais Kikwete ni Dada Ummie Mafoudha Alley Hamid. Aliapishwa jana kuwa makamu mwenyekiti wa tume ya haki za binadamu na utawala bora (Tanzania Commission for Human Rights and Good Governance) . Mh. jaji Amiri Manento (kushoto), ni wenyekiti. Makamishna wa tume ni mh. Joaquine De Mello, mh. Zahoro Juma Khamis na mh. Bernadeta Gambishi.
Dada Ummie ni mwanachama wa TAMWA wa siku nyingi sana. Na amefanya mengi kuinua haki za akina mama Tanzania hasa Zanzibar.
Honger Dada Ummie!


