Showing posts with label Lap Tops. Show all posts
Showing posts with label Lap Tops. Show all posts

Tuesday, March 13, 2012

Prof. Mbele Kaibiwa LapTop Dar!!!

Natoa pole kwa Prof. Mbele ambaye yuko safarini Tanzania ameibiwa LapTop yake.  Wasdau mlioko Dar msaidie kuipata!..

******************************************************************************


Nimetua Bongo kutokea ughaibuni tarehe 3 Machi. Wiki moja baadaye,
"laptop" yangu imeibiwa hapa Dar es Salaam, eneo la Sinza. Ilikuwa ni
Apple mpya. Nilikuwa nimeipakia maandishi yangu mengi, miswada na
ripoti za utafiti wa kuanzia 1993.

Ninachohitaji ni haya maandishi. Huu ni mchango wa taaluma ambao natoa
kwa wa-Tanzania na walimwengu. Miswada ya vitabu viwili nilitaka
kuchapisha hapa Tanzania wakati huu, kwa manufaa ya wanafunzi, walimu,
na jamii.

Hii "laptop" ukiifungua inakupa jina la Joseph Mbele, na unahitaji
"password" ili kuweza kuitumia.

Habari ndio hiyo. Hivi sasa najiona kama mkulima mwenye ari ya kulima,
lakini jembe hana. Nakala za miswada ziko ofisini Marekani. Lakini
mimi nilipania kufanya kazi kubwa kwa wiki hizi nitakapokuwa hapa
Tanzania. Nimekwama.

http://hapakwetu.blogspot.com/2012/03/nimetua-bongo-na-laptop-yangu-imetoweka.html

Wednesday, March 25, 2009

Haki Miliki


Kutoka Mzee wa Sumo Blog:

Jamani wabongo wezi yaani mshikaji amekaa na laptop anasubiri chinga anayeuza CD anatoa sh 500 anakopy miziki na movies! Kweli kwa jinsi hii wasanii wetu watafika?

*********************************************************

Wadua, hapa Marekani ukikutwa unafanya piracy unapigwa faini ya maelfu ya dola! Wasanii wanatakwa walipwe na kuna sheria za kuwalinda. Bongo bado, wamepiga hatua lakini bado! Naona akina Dr. Remmy wamelipwa residuals, je, wajukuu wao watarithi haki ya kupokea?

Monday, February 16, 2009

Lap Tops Bongo

Brand: Toshiba L305
Processor: Intel T3200 @ 2 GHz (2 CPU's)
RAM: 2GB(Also available in 3GB)
Hard Drive: 160 GB
Screen: 15.4" WXGA
Graphics: Mobile Intel ® 4 series express chipset
Audio: Realtek High Definition Audio
3 USB ports
1 VGA External Port
Gigabit (1000Mbp/s) Ethernet port
Modem
Memory Card Reader
Wireless: 802.11BG
Battery life: 3 hrs (6 cell ion)
DVD Bay: DVD+/-RW DL (Dual Layer, Multi-writer)
Operating System: Microsoft Windows Vista Home Premium
Standard 1 year warranty with Toshiba
Free Norton 360 Antivirus and Microsoft Office 2007 Included
THE FIRST BUYER WILL RECEIVE FREE EMPREX 2GB FLASH DRIVE!!!!!!!
For Prices please contact us at:
NEDCO Building, 4th Floor Suite 404
Ali Hassan Mwinyi Road, Dar-Es-Salaam
Cell: +2...


Thank you,
Mdau