

Wadau, nilivyokuwa mdogo nakumbuka wazee wakisema kuwa Mjerumani alikuwa mkatili, bora mwingereza alivyoingia Tanganyika. Nilisikia kuwa hao wajerumani walikusanya wazee wengi na walemavu karibu na Bagamoyo na walikuwa na mpango wa kuwaua. Kumbe halocaust (Mauaji ya wayeheudi kwa mkono wa mjerumani) haikutaokea miaka ya 40 tu! Ni mila yao! Leo nimeona hizi picha za ukatili.
Ukiwa hujafanya kazi ya kutosha unachapwa! Ukizidi kuwa mvivu, unakatwa mikono!


