Nchini
Tanzania vurugu zimekatisha mdahalo ulioitishwa kujadili yatokanayo na
rasimu ya katiba iliyopendekezwa. Waziri Mkuu mstaafu na aliyekuwa
mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya
Katiba, Joseph Warioba, alikuwa jukwaani wakati vurugu zilipozuka.
Wanaounga mkono rasimu wamedaiwa kusababisha vurugu ukumbini.Wapo watu
waliojeruhiwa. Nini maoni yako na umelipokea vipi tukio hilo? Habari
zaidi katika Amka na BBC.
Showing posts with label Paul Makonda. Show all posts
Showing posts with label Paul Makonda. Show all posts
Sunday, November 02, 2014
Subscribe to:
Comments (Atom)





