Prof. Saida Othman (kulia) Prof. Amandina Lihamba, Prof. Penina Mlama na Mama Thecla Mjatta wakiongea kabla ya heshima za mwisho kuanza.
Wazazi wangu Dr. Aleck Che-Mponda na Rita Che-Mponda wakiongea na Prof. Penina Mlama, Prof. Saida Othman na Prof. Amandina Lihamba.
Mama Thecla Mjatta (mwenye Scarf ya pinki) akiongea na waombolezaji wengine kabla ya shughuli za kuwaga Mzee Kaduma kuanza.
Mzee Masimbi akitoa maelezo kuhusu mipango ya mazishi. Mwili wa Mzee Kaduma ulipelekwa kwanza nyumbani kwake Bagamoyo halafu ulipelekwa Iringa kwa ajili ya mazishi.



