

Kanisa la wa Tanzania na watu wote wanaotumia lugha ya kiswahili wanapenda kuwatangazia wadau wote wa blog hii popote walipo kwamba yule mwanamzuki machachari wa nyimbo za injili kutoka nyumbani Tanzania Dada ROSE MUHANDO atakuwa na onyesho kabambe katika kanisa hilo.
Onyesho hili la aina yake litaanza saa kumi kamili jioni siku ya jumapili tarehe 21.10.2007. Dada ROSE MUHANDO ni muimbaji aliyetokea kupendwa ndani na nje ya Tanzania, uimbaji wake wa nguvu na hisia kali unavutia watu wengi.
Rose Muhando ameshashinda tuzo mbali mbali za uimbaji.
Kwa wale watakaopenda waandaliwe malazi tunaomba wawasiliane nasi kupitia:
Email:
umojachurch@yahoo.com,Simu: 214 554 7381,
682 552 6402,
au 214 341 7287.
Kanda zote za Rose zitauzwa moja kwa moja kutoka ukumbini.
Kanisa lako ulipendalo la Umoja.
ANWANI NI:
Trinity Hillcrest Church
12727 Hillcrest Road • Dallas, TX 75230