Picha kutoka: http://www.barnorama.com/wow-thats-one-big-fish/Huyu ni samaki aina ya Herring. Anapatikana huko nchi za Scandinavia. Anaweza kufika urefu wa mita 17! Hebu fikiria kama wangekuwa huko Ziwa Victoria wanapambana na Sangara!
Samaki mkubwa hivyo angeweza kulisha watu wangapi huko Bongo? Ugali na Samaki.








