Taarifa imeletwa na Mdau Emmauel Manase
WALIOCHAGULIWA KWENYE UCHAGUZI NGAZI YA TAIFA WA CHAMA CHA WAANDISHI WA FILAMU/TANZANIA SCREEPTWRITER ASSOCIATION-TASA
1. Abdul Maisala -Mwenyekiti
2. Kimela Billa -Makamu Mwenyekiti
3. Samwel Kitang’ala -Katibu
4. Subira O.Nassor Chuu -Mweka Hazina
5. Mike Sangu -Mjumbe
6. Dimo Debwe -Mjumbe
7. Ramadhani King’aru -Mjumbe
8. Badru Soud -Mjumbe
9. Amos Banzi -Mjumbe
10. Nasir Mohamed -Mjumbe
11. Christian Kauzeni -Mjumbe
12. Pirre Mwinuka Mwakalukwa -Mjumbe
13. Erick Chrispin -Mjumbe
Kwa mujibu wa sharia ya TASA,TASA itakuwa na mikutano mikuu minne kwa mwaka,Mweyekiti ,Makamu Mwenyekiti na Katibu wa TASA Taifa wanapiga kura kwenye uchaguzi w a kuchagua viongozi wa Taifa wa Shirikisho la Filamu/Tanzania Film Federation-TAFF
Tunawapongeza wote waliochaguliwa kama wajumbe na nafasi nyingine za kiutendaji,Tunatarajia kuwa kuchaguliwa kwao kutaleta changamoto za kiutendaji na kusukuma mbele maendeleo ya TASA naTAFF.
Showing posts with label TASA. Show all posts
Showing posts with label TASA. Show all posts
Tuesday, December 20, 2011
Subscribe to:
Comments (Atom)


