Showing posts with label TASA. Show all posts
Showing posts with label TASA. Show all posts

Tuesday, December 20, 2011

Matokeo ya Uchaguzi wa Viongozi wa TASA

Taarifa imeletwa na Mdau Emmauel Manase

WALIOCHAGULIWA KWENYE UCHAGUZI NGAZI YA TAIFA WA CHAMA CHA WAANDISHI WA FILAMU/TANZANIA SCREEPTWRITER ASSOCIATION-TASA


1. Abdul Maisala -Mwenyekiti

2. Kimela Billa -Makamu Mwenyekiti

3. Samwel Kitang’ala -Katibu

4. Subira O.Nassor Chuu -Mweka Hazina

5. Mike Sangu -Mjumbe

6. Dimo Debwe -Mjumbe

7. Ramadhani King’aru -Mjumbe

8. Badru Soud -Mjumbe

9. Amos Banzi -Mjumbe

10. Nasir Mohamed -Mjumbe

11. Christian Kauzeni -Mjumbe

12. Pirre Mwinuka Mwakalukwa -Mjumbe

13. Erick Chrispin -Mjumbe

Kwa mujibu wa sharia ya TASA,TASA itakuwa na mikutano mikuu minne kwa mwaka,Mweyekiti ,Makamu Mwenyekiti na Katibu wa TASA Taifa wanapiga kura kwenye uchaguzi w a kuchagua viongozi wa Taifa wa Shirikisho la Filamu/Tanzania Film Federation-TAFF

Tunawapongeza wote waliochaguliwa kama wajumbe na nafasi nyingine za kiutendaji,Tunatarajia kuwa kuchaguliwa kwao kutaleta changamoto za kiutendaji na kusukuma mbele maendeleo ya TASA naTAFF.