
Nani anakumbuka sinema za:
Muhogo Mchungu (Mzee Rashid Mfaume Kawawa)
Fimbo ya Mnyonge
YombaYomba
Je, hizi sinema zinapatikana kweli? Kanda ziko wapi maana ni sinema muhimu kwa nchi yetu. Zisipotee.
Nani anakumbuka walioigiza ni akina nani na zilihusu nini?
Hiyo ya Muhogo Mchungu ulifichwa enzi za Mwalimu kwa vile Mzee Kawawa aliigiza kama mwizi.


