
Minnesota’s Andrew Zimmern will be in Tanzania in tonight’s episode:
http://www.travelchannel.com/TV_Shows/Bizarre_Foods
http://www.travelchannel.com/TV_Shows/Bizarre_Foods
****************************
Kwenye hiki kipindi jamaa anatembelea nchi mbalimbali na kula vyakula ambavyo wazungu wanaona vya ajabu. Mfano anakula nyoka, nge, ubongo, macho ya wanyama.
Nadhani Bongo atalishwa samaki nchanga na supu ya utumbo wa mbuzi!
Nadhani Bongo atalishwa samaki nchanga na supu ya utumbo wa mbuzi!


