Showing posts with label Tanzania. Show all posts
Showing posts with label Tanzania. Show all posts

Saturday, December 17, 2022

Nyani Wasaidia Wanasayansi katika Utafiti kugundua chanzo cha Binadamu kutembea kwa Miguu Miwili


                           Familia ya Nyani aina ya Chimpanzee

Nyani wa Tanzania wanasaidia wanasayansi kugundua sababu ya binadamu kutembea kwa miguu miwili.  Pia tusisahau kuwa wanasayansi wanasema Tanzania ni chimbuko la bindamu duniani.  Kusoma habari zaidi BOFYA HAPA 




Friday, January 31, 2020

Tanzania Added to Trump's Travel Ban

Washington (CNN)The Trump administration on Friday announced an expansion of the travel ban -- one of the President's signature policies, which has been derided by critics as an attempt to ban Muslims from the US -- to include six new countries.
Immigration restrictions will be imposed on: Nigeria, Eritrea, Tanzania, Sudan, Kyrgyzstan and Myanmar (known as Burma), with exceptions for immigrants who have helped the US.
The latest iteration comes three years after President Donald Trump -- in one of his first moves in office -- signed the first travel ban, which caused chaos at airports and eventually landed at the Supreme Court. The announcement also comes at the end of a major week for Trump with the signing of the USMCA trade deal and expected acquittal in the Senate impeachment trial.
The updated ban has already sparked controversy over its targeting of African countries with lawmakers and advocates calling the changes discriminatory and without merit.
    The administration has argued that the travel ban is vital to national security and ensures countries meet US security needs, by requiring a certain level of identity management and information sharing requirements.
    In 2018, the Supreme Court upheld the third version of the travel ban after the previous iterations were challenged in court. The current policy restricts entry from seven countries to varying degrees: Iran, Libya, Somalia, Syria and Yemen, along with Venezuela and North Korea.
    Restrictions on those countries will remain in place, the official said. Chad was removed from the list last April after the White House said the country improved security measures.
    Unlike the original ban, the new restrictions only include categories of immigration visa applicants. Specifically, all immigrants from Burma, Eritrea, Kyrgyzstan and Nigeria will be banned from the US. However, only green card lotteries will be restricted from Sudan and Tanzania, said a DHS official Friday.

    Saturday, October 05, 2019

    There is no Ebola in Tanzania - Minister of Health Hon. Ummy Mwalimu

    MAY GOD CONTINUE TO PROTECT THE PEOPLE OF TANZANIA FROM EBOLA! AMEN!

    By TOM ODULA
    Associated Press

       NAIROBI, Kenya (AP) - Tanzania on Thursday rejected suspicions that it might have covered up cases of the deadly Ebola virus, calling it a plot to show the country "in a bad light."

       The health minister's comments came after the World Health Organization issued an unusual statement saying Tanzania refused to share information and the United States and Britain issued travel warnings. The current Ebola outbreak based in neighboring eastern Congo is now the second-deadliest in history with more than 2,000 people killed.

       Tanzanian Health Minister Ummy Mwalimu said there were two suspected Ebola cases last month but the East African country determined they did not have the virus.

       "Ebola is not a disease one can hide," the minister said. "Tanzania is well aware of the dangers of hiding such an epidemic."

       Global health officials had repeatedly asked Tanzania to share the results of its investigations, but Mwalimu asserted there is no need to submit a "negative sample" for further testing.

       Countries with little or no experience testing for Ebola, especially ones such as Tanzania which have never had a confirmed Ebola case, are asked to send samples to a WHO-accredited lab to confirm the initial results, no matter whether they are positive or negative.

       Tanzania's health minister said the country will follow international protocols, including reporting to WHO, "if there is an Ebola case."

       WHO has said it was made aware on Sept. 10 of the death in Tanzania's commercial capital, Dar es Salaam, of a patient suspected to have Ebola. A day later, it received unofficial reports that an Ebola test had come back positive. On Thursday, it received unofficial reports that a contact of the patient, who had traveled widely in the country, was sick and hospitalized.

       The lack of information from Tanzania made it difficult to assess potential risks, WHO said.

       A rapid response is crucial in containing Ebola, which can be fatal in up to 90% of cases and is most often spread by close contact with bodily fluids of people exhibiting symptoms or with contaminated objects.

       The initial symptoms for Ebola, including fever and pain, are similar to those of other diseases such as malaria and measles, and mistakes in diagnosis and mismanagement of patients could inadvertently allow an outbreak to spread.

       Critics have shown increasing alarm as Tanzanian President John Magufuli's government has restricted access to key information and cracked down on perceived dissent. Lawmakers recently approved an amendment to a statistics law to make it a crime to distribute information not sanctioned by the government or which contradicts the government.

       ---

       Associated Press writer Maria Cheng in London contributed.


    Saturday, August 24, 2019

    Tanzania has enough Giraffes - Government

       GENEVA (AP) - Nations around the world moved Thursday to protect giraffes as an endangered species for the first time, drawing praise from conservationists and scowls from some sub-Saharan African nations.

       Thursday's vote by a key committee at the World Wildlife Conference known as CITES paves the way for the measure's likely approval by its plenary next week.

       The plan would regulate world trade in giraffe parts, including hides, bone carvings and meat, while stopping short of a full ban. It passed 106-21 with seven abstentions.

       "So many people are so familiar with giraffes that they think they're abundant," said Susan Lieberman, vice president of international policy for the Wildlife Conservation Society. "And in Southern Africa, they may be doing OK, but giraffes are critically endangered."

       Lieberman said giraffes were particularly at risk in parts of West, Central and East Africa.


       The Wildlife Conservation Society said it was concerned about the multiple threats to giraffes that have already resulted in population decline, citing habitat loss, droughts worsened by climate change and the illegal killings and trade in giraffe body parts.

       The Natural Resources Defense Council, an environmental advocacy group, hailed the move, noting that giraffes are a vulnerable species facing habitat loss and population decline. A key African conservationist said it could help reverse drops in giraffe populations, as the move would help better track numbers of giraffes.

       "The giraffe has experienced over 40% decline in the last 30 years, said Maina Philip Muruthi of the African Wildlife Foundation. "If that trend continues, it means that we are headed toward extinction."

       Still, not all African countries supported the move.

       "We see no reason as to why we should support this decision, because Tanzania has a stable and increasing population of giraffes," said Maurus Msuha, director of wildlife at the Tanzanian Ministry of Natural Resources and Tourism. "Over 50% of our giraffe population is within the Serengeti ecosystem, which is well protected. Why should we then go for this?"

       CITES says the population of wild giraffes is actually much smaller than that of wild African elephants.

       "We're talking about a few tens of thousands of giraffes and we're talking about a few hundreds of thousands of African elephants," said Tom De Meulenaar, chief of scientific services at CITES. He said the convention was intended to specifically address the international trade in giraffes and their parts.



       "With fewer giraffes than elephants in Africa, it was a no-brainer to simply regulate giraffe exports," said Tanya Sanerib, international legal director at the Center for Biological Diversity.

       The U.S. is the world's biggest consumer of giraffe products, conservationists said. Sanerib said it was important for the U.S. to act on its own as well.

       "It's still urgent for the Trump administration to protect these imperiled animals under the U.S. Endangered Species Act," she said in a statement.

       The meeting in Geneva comes after President Donald Trump's administration last week announced plans to water down the U.S. Endangered Species Ac - a message that could echo among attendees at the CITES conference, even if the U.S. move is more about domestic policy than international trade.

     

    Saturday, August 10, 2019

    Uchu wa Mafuta yaua watu zaidi ya 70 Morogoro - Ajali ya Lori la Mafuta

    Jamani wadau, mkiona  mafuta yanavuja kutoka kwenye gari kimbia, siyo mnakimbilia kupata mafuta dezo!  Yanawaka kwa kirahisi mno. Umaskini kitu kibaya sana, maana si ajabu wengine waldihani watuuza hayo mafuta wapate hela ya ugali!   Ona sasa watu zaidi ya  sabini wamepoteza maisha baada yakuungunguzwa! 

    Wengine waliokufa ni madereva wa bodaboda na mama nitilie!  Walizoa mafuta hata kwenye ndoo! Na wanasema, mafuta yalilipuka baada ya mtu kuchomoa  betri 
    ya lori  na mtu mwingine alikuwa anavuta sigara!   Nasikia huyo mvuta sigara aliambiwa asivute karibu na mafuta.  Alijibu mafuta ya kisasa hayawezi kuwaka moto! Nadhani watakuwemo kwenye watu waliokufa!
    Mungu alaze roho za waliokufa mahala pema mbinguni. Amen.


    Kutoka Associated Press
    DAR ES SALAAM, Tanzania (AP) — A damaged tanker truck exploded in eastern Tanzania as people were trying to siphon fuel out of it Saturday, killing at least 62 in one of the worst incidents of its kind in the East African country.
    Tanzanian state broadcaster TBC, citing police figures, said at least 70 more people were injured during the explosion in the town of Morogoro, located about 120 miles (200 kilometers) from the economic hub of Dar es Salaam.
    Regional police commissioner Steven Kabwe told the local Azam TV that many suffered serious burns.
    Witnesses told The Associated Press that a crowd had gathered around the fuel tanker after it was involved in an accident early Saturday and some people were trying to siphon away fuel when the truck burst into flames.
    Video footage posted on social media showed people collecting fuel into jerry cans before the fire incident.
    In a statement expressing condolences, Tanzanian President John Magufuli said he was dismayed people attacked vehicles involved in accidents instead of offering help.
    Residents are routinely killed by explosions while stealing fuel from incapacitated tankers in East Africa. Those who steal the fuel usually hope to be able to sell it cheaply to motorists.
    In 2013, at least 29 people were killed on the outskirts of the Ugandan capital, Kampala, as scores swarmed around the scene of an accident.
    There is limited awareness about the danger of explosions of damaged fuel tankers, said Henry Bantu, a road safety expert who runs the Tanzania-based Safe Speed Foundation. Local leaders need to do more to educate people on the risks, he said.



    Watazamaji kwenye shemu ya mlipuko Morogoro

    Saturday, January 06, 2018

    UN Investigating Deaths of 14 Tanzanian Peacekeepers in Congo

      UNITED NATIONS (AP) - The U.N. is launching an investigation into attacks on peacekeepers in a part of Congo where the deadliest single assault on a U.N. peacekeeping mission in almost 25 years unfolded last month.

       Secretary-General Antonio Guterres announced Friday he's appointing longtime U.N. peacekeeping official Dmitry Titov to lead a special investigation into attacks around the town of Beni.

       The probe will focus on the Dec. 7 rebel attack that killed 15 peacekeepers and wounded over 40 others at a base near Beni. The dead were Tanzanian.

       The attack has been blamed on the Allied Democratic Forces, one of various armed groups in the mineral-rich region.

       The U.N. peacekeeping mission in Congo is the world's largest. The investigation will evaluate its preparedness and response to attacks and provide recommendations on preventing them.

    In December, at an emotional ceremony held to commemorate the dead, the prime minister, Kassim Majaliwa said Tanzanians want to know what exactly happened and ‘ legal actions taken against those involved’.
    ‘‘The government of Tanzania is calling on the UN to conduct a thorough and transparent investigation for the spilled blood of Tanzanian soldiers, in order to know and justice be attained. It is our hope that will be done within the shortest time.’‘
    Bodies of Murdered Peacekeepers returned to Tanzania for burial





    Saturday, September 09, 2017

    Burundi Refugees Repatriated Home

       DODOMA, Tanzania (AP) - The U.N. refugee agency has started repatriating hundreds of Burundian refugees back home from neighboring Tanzania.

       Emmanuel Maganga, government commissioner for the Kigoma region in northwestern Tanzania, said 300 refugees returned home Thursday using public transport.

       At least 12,000 Burundian refugees have signed up for voluntary repatriation. Maganga said the initial agreement with U.N. officials says 300 Burundians will be repatriated every week.

       More than 240,000 Burundian refugees are sheltering in Tanzania. Most of them fled political violence in 2015 after President Pierre Nkurunziza announced plans to seek a disputed third term that he ultimately won.

       Tanzania's government has been putting pressure on UNHCR to facilitate the repatriation of those refugees who want to return home.

       Burundi's government says the country is now peaceful.

    Friday, September 16, 2016

    Matokeo ya Tanzania Kukataa EPA


    KAMA mkataba wa ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na zile za Umoja wa Ulaya (EU) utaendelea kubaki kama ulivyo sasa, ni wazi kwamba Tanzania itabaki na msimamo wake.

    Nimezungumza na baadhi ya mawaziri wa serikali ya Rais John Magufuli na nadhani msimamo huo utabaki ulivyo hata baada ya kupita kwa miezi mitatu kama ambavyo wakuu hao walitangaza wiki iliyopita.

    Lakini, hivi kuna nini kibaya kwenye mikataba hiyo ya kiuchumi ambayo inafahamika kwa kifupi cha EPA (Economic Partnership Agreement)?

    Kuna mengi lakini nitasema machache tu. Mikataba hiyo inataka Tanzania iondoe ushuru wa bidhaa kutoka nje zisizokuwa za kilimo kwa asilimia 90 na pia ushuru wa asilimia 10 kwa bidhaa za kilimo kutoka kwao. Hapa wanataka bidhaa zao zije kushindana na zetu wakati wao wameendelea zaidi kimtaji na kiteknolojia.

    Nchi wanachama wa EAC watabaki kuwa masoko ya bidhaa za Ulaya. Wakati huohuo, kwa utaratibu huo wa bidhaa za kilimo, maana yake ni kuwa nchi hizi za Afrika zitabaki kutoa malighafi tu kwa ajili ya viwanda vya Ulaya kuzalisha bidhaa.

    Kwa utaratibu huu wa EPA, Tanzania ya viwanda haitawezekana asilani. Hakuna namna ambayo viwanda vya Afrika vinaweza kushindana na vile vya Ulaya. Kuna kipengele pia katika mkataba huo ambacho kinataka nchi za Ulaya zipewe upendeleo uleule ambao watapewa wabia wengine wa kibiashara wa Afrika kama vile India na China.

    Yaani, kwa mfano, kama tukisema India tutawapunguzia ushuru wa bidhaa hii kwa kiwango hiki, basi na Ulaya nao wafaidi kwa kiwango hichohicho. Cha ajabu, mkataba huo hausemi kwamba na wao wazungu wakiingia makubaliano ya namna hiyo na rafiki zao, nasi wa EAC tufaidi vilevile. Hakuna !

    Ukiniuliza kwanini Kenya, Rwanda na Uganda wanataka kusaini mikataba hiyo, jibu langu litakuwa sijui. Lakini, ninachojua ni kitu kimoja pekee –kwamba wazungu hawataacha hili lipite hivihivi.

    Jijini Dar es Salaam, Rais Yoweri Museveni alizungumza wiki iliyopita mbele ya wageni akiomba watu wa EU wasiiadhibu Kenya kwa kuwa imekubali kusubiri hiyo miezi mitatu.

    Museveni anawajua wazungu. Anajua visasi vyao. Inawezekana mara moja au mbili kwenye utawala wake amewahi kukumbana na visanga vyao.

    Kwenye kitabu chake Trade is War, Profesa Yash Tandon, ameandika kwamba inawezekana Uganda na Rwanda zimebanwa na wazungu kwamba wakikataa kusaini, wanaweza kukosa misaada mbalimbali mingine ambayo haihusiani na EPA kama vile silaha na vita dhidi ya ugaidi.

    Tandon, mmoja wa wasomi mashuhuri barani Afrika, ameandika pia kwamba biashara ya maua; inayofanywa na matajiri wengi wa Kenya wakiwamo wanasiasa, itaathirika endapo viongozi wa EPA wasiposaini. Kwa kuishughulikia biashara hiyo, watu wa EU wanafahamu watakuwa wanafanya jambo ambalo linawaumiza wakubwa moja kwa moja.

    Nchi za Ulaya, na mabeberu katika ujumla wao, hawapendi nchi masikini kujiamulia mambo yao. Wanafahamu kwamba Tanzania ikiwa na uchumi wa viwanda, itajikwamua kutoka kwenye makucha yao. Wanafahamu kwamba wao waliendeleza viwanda vyao kwa kuvilinda. Sisi wanataka tusivilinde.

    Fidel Castro si kiongozi mbaya. Lakini mabeberu hawakupenda siasa zake za kutotaka kulamba miguu ya wakubwa. Matokeo yake ni kuwa nchi yake leo inachechemea. Hali iko hivyo kwa Venezuela ya Hugo Chavez na hata Chile ya Salvador Allende.

    Patrice Lumumba alionyesha dalili mapema kwamba atakuwa mwiba kwa mabeberu, akapotezwa. Hapa kwetu, mtu kama hayati Abdulrahman Babu aliishia kuwekwa rumande na kupewa kazi za kutangatanga tu bila utulivu. Mabeberu wasingekubali apewe nafasi ambayo angeonyesha njia ya kweli ya maendeleo.

    Hatua hii ya Magufuli na serikali yake si hatua ya mchezo. Endapo mwishowe atakataa kabisa kusaini mikataba hiyo, afahamu kwamba atatangazwa kuwa adui namba moja wa mabeberu.

    Habari zake zote zitakuwa mbaya. Ataandikwa kwa aliyoyafanya na asiyoyafanya. Atapewa majina ya kila namna na uchumi wetu utaanza kufanyiwa hujuma. Na kwa sababu mabeberu ndiyo wameshika uchumi wa dunia, safari ya huko tuendako inaweza isiwe rahisi.

    Kama ameamua kwa dhati kufuata njia hii, ni muhimu ajiandae na yanayokuja. Ingekuwa vema pia kama angeweza kushirikisha jamii pana ya Watanzania katika kufahamu kiini na sababu za kuchukua hatua anazochukua. Hii ni sawa na kusema anatakiwa pia kuwaandaa watu wake.

    Kama serikali ya Magufuli ina nia ya dhati ya kuhakikisha Tanzania inajenga viwanda vyake na haibaki kuwa soko la malighafi kwa ajili ya viwanda vya mabeberu, ni muhimu ikashikilia msimamo wake wa kukataa kusaini EPA kama ilivyo sasa.

    Cha msingi, ni kufahamu kwamba mabeberu hawatakaa kimya wala bwete wakati Tanzania ikichukua uamuzi mkubwa na muhimu kama huo.

    Raia Mwema

    Saturday, September 10, 2016

    Tetemeko la Ardhi Bukoba - Earthquake in Bukoba, Musoma and Mwanza Tanzania

    Nimepata ujumbe kupitia Facebook muda huo kuwa kumetokea tetemeka la Ardhi kubwa (Earthquake) Bukoba!!!! Nitawajulisha nikipata habari zaidi!

    ***********************************
    Tetemeko la Ardhi imetokea Mwanza, Bukoba na Musoma.  Magnitude 5.7.



    **********************
    Earthquake information today.
    Magnitude 5.7
    Region LAKE VICTORIA REGION, TANZANIA
    Date time 2016-09-10 12:27:28.6 UTC
    Location 1.06 S ; 31.55 E
    Depth 10 km
    Macroseismic
    Intensity VI Effects: Slightly Damaging
    Distances
    191 km SW of Kampala, Uganda / pop: 1,354,000 / local time: 15:27:28.6 2016-09-10

    42 km NW of Bukoba, Tanzania, United Republic of / pop: 70,700 / local time: 15:27:28.6 2016-09-10
    20 km NE of Nsunga, Tanzania, United Republic of / pop: 20,100 / local time: 15:27:28.6 2016-09-10


    Picha kwa Hisani ya Innocent Lugumamu.  Picha ni kutoka Bukoba Kijijini.










    *****************************************************************
     Picha kutoka Bunda, Tanzania Kwa Hisani ya Mawazo Maduhu





    Saturday, March 19, 2016

    Tanzanians Happy with Proposed Uganda/Tanzania Oil Pipeline

    By Sultani Kipingo
    Tanzanians are happy with the implementation speed of the proposed construction of the Tanzania-Uganda crude oil pipeline which is expected to start in August this year, and will be completed in 2019. 
    Many of those interviewed expressed gratitude to President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda and his Tanzanian counterpart Dr. John Pombe Joseph Magufuli for initiating the 4-billion-U.S. dollar oil pipeline project that is expected to hasten socio-economic development between the two nations.
    “We are overwhelmed by the rapidity of the project considering only two weeks have  passed since  Presidents Museveni and Dr. Magufuli  jointly approved the project when they met in Arusha. 
    “It is unbelievable to note that officials from both sides have this week signed the agreement and come August the construction work takes off”, said Ms Natala Kimaro of Moshi. 
    Amani Abdallah of Tanga  said that the 1,403-kilometer pipeline that will link oil fields in Uganda’s Lake Albert, Hoima region to Tanga port in Tanzania is testimony to true East African integration spirit, hoping more such projects would be initiated. 
    The construction of the crude oil pipeline will be carried out by three oil firms–UK’s Tullow Oil PLC, France’s Total E&P and China’s Cnooc. Once completed, the pipeline is expected to transport up to 200,000 barrels per day passing through a number of Tanzanian regions from the Indian Ocean port of Tanga to Uganda. 
    The construction will lead to installations of 200km of permanent new roads and corresponding bridges, and upgrades to 150km of existing roads, opening up regional integration in the energy sub-sector. 
     Tanzanians are also happy that that the crude oil pipeline project will also increase foreign Direct Investment  by more than 50 percent per annum, let alone creating over 15,000 jobs.
    Tanzania President Dr. John Pombe Joseph Magufuli announces the crude oil pipeline project to reporters after his meeting with President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda on March 1, 2013 in Arusha in the sidelines of the  The 17th Ordinary East African Community (EAC) Heads of State Summit 
    "The project will be implemented at Dr. Magufuli's  speed" jokes President Yoweri Kaguta Museveni of Uganda when confirming  the project to reporters after talks with his host President Dr. John Pombe Joseph Magufuli on March 1, 2013 in Arusha in the sidelines of the  The 17th Ordinary East African Community (EAC) Heads of State Summit. 
    Tanzania's Minister for Energy and Minerals  Prof. Sospeter Muhongo (second left) and Uganda's Minister for Energy and Minerals Development Engineer  Irene Muloni ( wa tatu right), with the Managing Director of the Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) Dr. James Mataragio  (left) and the General Manager of  Total E&P Uganda, Mr Adewale Fayemi (second right) sign the crude oil pipeline project implementation plan in Arusha on March 17, 2016. Seated extreme right is Permanent Secretary Ministry of  Energy and Minerals Development of Uganda Dkt. Kabagambe Kaliisa 
    Map of the proposed crude oil pipeline project

    Saturday, March 05, 2016

    Rais Magufuli Asema.....


    Honourable President John Pombe Magufuli of Tanzania

     “Sitojali idadi ya watu nitakaowasimamisha au kuwafuta kazi hata ikifikia 2,000...Ninachoangalia na kujali ni watanzania milioni 50 wafaidike" ---Rais John Pombe Magufuli.

     "Mafisadi wakinishinda, basi msiniite rais wenu....utumbuaji "MAJIPU" unaendelea".---Rais John Magufuli.

    "Ndugu zangu Watanzania, najua maisha mnayoishi, taabu mnazozipata na matarajio yenu kwangu. Vilio vyenu ninavisikia na ninavifanyia kazi. Lengo langu ni kuwatoa katika UMASIKINI....sitowaangusha"---Rais John Pombe Magufuli.

    KUTOKA:  https://www.facebook.com/TanzaniaGovernment/?fref=photo

    Tahadhari Kuhusu Hali ya Hewa Nchini

    Mkurugenzi wa Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini TMA Dkt.Agness Kijazi (Katikati) akitoa taarifa ya Mwelekeo wa hali ya Mvua nchini kwa kipindi cha mwezi machi hadi mwezi Mei, 2016. Kushoto ni Samwel Mbuya ambae ni Meneja Kitengo Kikuu cha Habari TMA Dar es salaam na Kulia ni Dkt.Hamza Kabelwa ambae ni Mkurugenzi Huduma za Utabiri TMA.
    Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG
    Mamla ka ya Hali ya Hewa nchini TMA imewatahadharisha Wananchi pamoja na Taasisi mbalimbali ikiwemo za Uokoaji, kujiandaa juu ya namna ya kukabiriana na athari zinazoweza kujitokeza kutokana na mvua za masika ambazo tayari zimeanza kunyesha hapa nchini.

    Mkurugenzi wa mamlaka hiyo Dkt.Agness Kijazi alitoa tahadhari hiyo juzi Jijini Mwanza, wakati akitoa taarifa ya mwelekeo wa Mvua za Masika kwa Kipindi cha kuanzia mwezi Machi hadi mwezi Mei Mwaka huu.

    Dkt.Kijazi alisema kuwa mvua za Masika zinatarajiwa kuanza katika wiki ya kwanza nay a pili ya mwezi machi mwaka huu, katika maeneo ya Ukanda wa Ziwa na kusambaa katika maeneo mengine yanayopata misimu miwili ya mvua kwa mwaka.

    Alisema Mvua hizo zinatarajiwa kuwa za wastani hadi juu ya wastani katika maeneo mengi nchini, na kwamba zinaweza kusababisha athari mbalimbali ikiwemo mafuriko hivyo ni vema wananchi pamoja na mamlaka za uokozi zikajiandaa kikamilifu ili kukabiliana na athari zinazoweza kujitokeza.
    Mkutano baina ya Wanahabari pamoja na TMA uliofanyika Jijini Mwanza, ambapo TMA ilikuwa ikitoa taarifa ya Mwelekeo wa hali ya Mvua nchini kwa kipindi cha mwezi machi hadi mwezi Mei, 2016.
    Wanahabari wakifuatilia taarifa ya Mwelekeo wa hali ya Mvua nchini kwa kipindi cha mwezi machi hadi mwezi Mei, 2016.
    Wanahabari wakifuatilia taarifa ya Mwelekeo wa hali ya Mvua nchini kwa kipindi cha mwezi machi hadi mwezi Mei, 2016.

    Wanahabari wakifuatilia taarifa ya Mwelekeo wa hali ya Mvua nchini kwa kipindi cha mwezi machi hadi mwezi Mei, 2016.
    Wanahabari wakifuatilia taarifa ya Mwelekeo wa hali ya Mvua nchini kwa kipindi cha mwezi machi hadi mwezi Mei, 2016.
    Bonyeza HAPA Kutazama Semina Kwa Wanahabari.

    Thursday, November 05, 2015

    Cocktail Party Kusherehea Kuapishwa kwa Rais Magufuli

     Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiwasili kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es salaam Alhamisi usiku kwa ajili ya mchapalo maalum ulioandaliwa na Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli kusherehekea kupishwa kwake
     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi 
     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar Dkt Ali Mohamed Sheim
     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Rais Mstaafu wa awamu ya nne Jakaya Mrisho Kikwete akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli
      Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan kifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli
      Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Hadija Mwinyi akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli
      Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Sitti Mwinyi  akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli
      Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Salma Kikwete  akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli
      Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama  Asha Suleiman Iddi akifuatiwa na mkewe Mama Janet Magufuli
     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli na viongozi wengine wakiwa hema kuu
     Mama Janet Magufuli akisalimiana na Mhe Makongoro Nyerere
     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli  akisalimiana na Mhe Makongoro Nyerere
     Makamu wa Rais Mhe Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makongoro Nyerere
     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli  akiongea na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete
     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akienda kusalimiana na wageni wake
      Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake
     Rais Mstaafu Jakaya Kikwete akisalimiana na Mbunge wa Mtera Mteule Mhe Livingstone Lusinde
       Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake
       Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni wake

     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea  kusalimiana na wageni wake
     Mama Janet Magufuli akiwa na wageni wao

     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake

     Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake
      Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake
       Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake
       Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake
       Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake
        Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake

       Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake
        Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake
        Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake
        Rais wa awamu ya Tano Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiendelea kusalimiana na wageni wake