Showing posts with label Bwana Harusi. Show all posts
Showing posts with label Bwana Harusi. Show all posts

Tuesday, September 22, 2015

Mke Atalakiwa baada ya kuondoa Make-Up Usoni. Kumbe ana sura mbaya!

Yaani nimecheka. Jamaa kaoa mwanamke huko Arabuni kwa sababu ya uzuri wake. Kumbe alikuwa ana paka make-up kibao na kupachika nyusi bandia!  Jamaa alifunga ndoa na mrembo wake. Asubuhi baada ya harusi waliyoamka alishngaa huyo mwanamke ni nani.Kumbe ni mke wake bila make up. DUHHHHH! Danganya toto kweli kweli!  Lakini huyo mwanamke siyo mbaya, na jamaa mshamba hajui kazi ya make-up.

Sunday, August 09, 2015

Star wa Bongoland 'Mukama Morandi' Afunga Pingu za Maisha!

Stelingi (Star) wa sinema Bongoland, Mukama 'Jimmy' Morandi, amefunga ndoa mjini Minneapolis, Minnesota, jana na mpenzi wake Priscilla.  Mukama ni mcheza sinema na mwanamuziki pia.

Tunawatakia maisha mema ya ndoa!

Director wa sinema Bongoland, Bongolan II na Tusamehe, Josiah Kibira, (katikati) na Mukama na Priscilla.

Mukama na mke wake nje ya Kanisa, Minneapolis
 


Mnaweza kupata habari za Kibira Films kwa kuBOFYA HAPA:

Mnaweza kuona kanda ya Mukama, You Tube

TURN BACK TIME


Saturday, November 02, 2013

Fesheni Mpya ya Picha za WanaHarusi Bongo

Wadau, naomba maoni yenu kuhusu hii picha. Mimi nasema Tarzan angefurahi sana kuona wanaharisu kwenye miti! Bibi harusi alipandaje na hiyo gauni na heels?