Showing posts with label Florida. Show all posts
Showing posts with label Florida. Show all posts

Wednesday, March 05, 2014

Mzungu Akamatwa Akifanya Ngono Na Mbwa Florida!

Wadau, huyo mzungu alikuwa anafuga mbwa kwa ajili ya kufanya ngono nao!  Sasa amekamtwa laivu akiwa amemwingilia mbwa. Anashitikawa kwa kos ya kumtesa mnyama, na kumjeruhi mnyama!  Sheria za Marekani ni kali sana kwa wanaotesa wanyama!  Naona kafanya ngono na mbwa muda mrefu kiasi kwamba uso wake unafanana na mbwa!

BOFYA LINKI HAPO CHINI KWA HABARI ZAIDI!

**************************



Tampa man accused of sex with pit bull. Eight dogs were removed from his home after shocked neighbors complained.

STORY: http://www.myfoxtampabay.com/story/24892576/2014/03/05/man-accused-of-sex-with-pit-bull
— with William Fueshko, Paul Fraser, Daniel McGuinness, Kristin Lambert and Kimberly Heselton Nicholson.

Monday, March 19, 2012

Justice for Trayvon Martin! - Murdered by White Florida Racist!

Three weeks ago, 17-year old Trayvon Martin was gunned down by self-appointed neighborhood watch captain George Zimmerman. Despite Zimmerman admitting to following, confronting, and killing Trayvon, he has yet to be arrested or charged with any crime.1
Just minutes before Trayvon was killed, Zimmerman had called police stating that Trayvon looked "suspicious." Trayvon was unarmed and walking back to his father's home in Sanford, Florida when Zimmerman accosted him.
At the crime scene, Sanford police botched their questioning of Zimmerman, refused to take the full statements of witnesses, and pressured neighbors to side with the shooter's claim of self-defense.2 As it turns out, Sanford's police department has a history of failing to hold perpetrators accountable for violent acts against Black victims, and the police misconduct in Trayvon's case exemplifies the department's systemic mishandling of such investigations.3 And now, the State Attorney's office has rubber-stamped the Sanford police's non-investigation, claiming that there is not enough evidence to support even a manslaughter conviction.4
Trayvon's family and hundreds of thousands of people around the country are demanding justice.5 Please join us in calling on the Department of Justice to take over the case, arrest Trayvon's killer, and launch an independent investigation into the Sanford police department's unwillingness to protect Trayvon's civil rights. It takes just a moment:
Walking home from the store shouldn't cost you your life, but when Black youth are routinely assumed to be violent criminals, being randomly killed is a constant danger.6 Before Zimmerman decided to get out of his parked car — gun in tow — to pursue Trayvon on foot that night, he called the police to identify Trayvon as a "suspicious person" — apparently because he was wearing a hoodie and walking too slowly in the rain for Zimmerman's liking. Despite being instructed not to follow Trayvon, Zimmerman proceeded to confront and fatally shoot the boy in the chest within a matter of minutes.7
The case has been compromised from the beginning. When Sanford police arrived on the scene, Zimmerman was first approached by a narcotics detective — not a homicide investigator — who "peppered him with questions" rather than allowing him to tell his story without prompting. Another officer "corrected" a witness giving a statement that she'd heard Trayvon cry for help before he was shot, telling her she had heard Zimmerman instead.8 And beyond the questions of professional competence or even the police's disregard for the facts, Florida's notorious "Shoot First" law takes a shooter's self-defense claim at face value — incentivizing law enforcement not to make arrests in shooting deaths that would lead to murder charges in other states.9
Sanford has a history of not prosecuting when the victim is Black. In 2010, the white son of a Sanford police lieutenant was let go by police after assaulting a homeless Black man outside a downtown bar. And, in 2005, a Black teenager was killed by two white security guards, one the son of a Sanford Police officer. The pair was arrested and charged, but a judge later cited lack of evidence and dismissed both cases.10
Please join us in calling on the Department of Justice to arrest Trayvon's killer and launch an investigation into the Sanford police department's mishandling of the case and when you do, ask your friends and family to do the same:
Thanks and Peace,
-- Rashad, Gabriel, Dani, Matt, Natasha, Kim and the rest of the ColorOfChange.org team
   March 19th, 2012
Help support our work. ColorOfChange.org is powered by YOU—your energy and dollars. We take no money from lobbyists or large corporations that don't share our values, and our tiny staff ensures your contributions go a long way. You can contribute here:
References
1. "Witnesses in Trayvon Martin death heard cries before shot," Miami Herald, 03-15-12
http://act.colorofchange.org/go/1228?akid=2383.1443032.3jif8I&t=7
2. "Orlando Watch Shooting Probe Reveals Questionable Police Conduct," ABC News, 03-13-12
http://act.colorofchange.org/go/1219?akid=2383.1443032.3jif8I&t=9
3. "Trayvon Martin Case Salts Old Wounds And Racial Tension," Huffington Post, 03-14-12
http://act.colorofchange.org/go/1220?akid=2383.1443032.3jif8I&t=11
4. "Police: No Grounds For Arrest in Trayvon Martin's Death," WESH-2 Orlando, 03-16-12
http://act.colorofchange.org/go/1227?akid=2383.1443032.3jif8I&t=13
5. “Trayvon Martin Family Seeks FBI Investigation of Killing by Neighborhood Watchman,” ABC News, 03-18-12
http://act.colorofchange.org/go/1221?akid=2383.1443032.3jif8I&t=15
6. "Ramarley Graham: NYPD Slays Unarmed Black Teen as Outrage over Targeting of People of Color Grows," Democracy Now!, 02-08-12
http://act.colorofchange.org/go/1222?akid=2383.1443032.3jif8I&t=17
7. “Trayvon Martin would be alive if Neighborhood Watch rules followed,” Orlando Sentinel, 03-14-12
http://act.colorofchange.org/go/1223?akid=2383.1443032.3jif8I&t=19
8. See reference 2.
9. "Teen's death suggests review of 'Stand Your Ground Law' needed," Tallahassee Democrat, 03-16-12
http://act.colorofchange.org/go/1224?akid=2383.1443032.3jif8I&t=21
10. "Five years since Florida enacted 'stand-your-ground' law, justifiable homicides are up, Tampa Bay Times, 10-17-10
http://act.colorofchange.org/go/1225?akid=2383.1443032.3jif8I&t=23

Tuesday, April 22, 2008

Akuta Mamba Jikoni!


Huko Florida, bibi moja mwenye miaka 69, alimkuta mamba mwenye urefu wa futi nane jikoni kwake.

Sikiliza alivyoaomba msaada 9-11 hapa: 9-11 operator anamwuliza siyo kenge kweli?


Huko Florida kuna tatizo kubwa mamba. Ni protected species yaani wanalindwa hivyo ni marufuku kuwaua. Matokeo yake wamezaliana na wamakuwa wengi. Tukio za mamba kudhuru na hata kuua watu zimeongezeka huko Florida.

Saturday, March 22, 2008

Katumwa!!!!

Samaki aina ya Sting Ray aliyoua!

Huyo mdudu/samaki pichani (Sting Ray) kamwua mwanamke Florida siku ya Jumatano wiki hii. Kwa maelezo ya familia yake, Judy Kay Zagorski, 55, alikuwa anaota jua kwenye boti yao. Ghafla huyo mdudu katokea majini na kuruka kwenye boti na kumgonga huyo mama aliyekuwa anaota jua. Yule mama alikufa papo hapo. Ni ajali ya ajabu.

Na huko Bongo lazima watu wangesema, "KATUMWA!" Watasema lazima alimkera mtu fulani, au kamkosea mtu au mtu kamwonea wivu, hivyo walitambika na kumtuma huyo mdudu kwenda kumtoa roho huyo mama.

Mwaka jana, samaki kama huyo alimwua yule mtaalam wa wanyama, Steve Irwin, wa kumchoma kwenye moyo akiwa anaogelea baharini.
Kwa habari zaidi someni:

Wednesday, February 13, 2008

Ukatili wa Polisi Florida!

Deputy Charlette Marshall-Jones (mugshot)








Huko Tampa Florida, polisi wa kike, deputy Charlette Marshall-Jones, 44, alimwaga chini mwanaume aisyejiweza na anayetumia wheelchair.

Huyo Marshall-Jones alimwambia Brian Sterner (32), asimame ingawa alimwona yuko kwenye wheelchair. Sterner alimwambia kuwa hawawezi kusimama ndipo huyo katili Charelette Marshall-Jones, alimwaga chini! Alitenda maovu yaka January 28, 2008 lakini jana ndo waandishi wa habari walizipata na kusambaza habari. Wakuu wa polisi eti hawakuwa na jabari mpaka walipoambiwa na waandishi wa habari!

Sterner ni Quadraplegic. Alipata ajali miaka 14 iliyopita akiwa anacheza wrestling na kuumia shingo. Hawezi kutumia viungo vyake chini ya kifua ndo maana anatumia wheelchair. Hatua ya kishenzi ya huyo mama zingeweza kumwua mgonjwa kama huyo. WaBongo waliopitia home health aide wanajua jinsi ya kuwageuza na kushugilia wagonjwa kama huyo. Ajabu ukiona hiyo video polisi wengine wanacheka!

Kisa cha Sterner kupelekwa Polisi - alikuwa anatuma gari maalum kwa ajili ya maquaraplegic, ilmgomea barabarani. Alikuwa anashitakiwa kwa kuzuia magari kupita.

Kwa sasa watu wanaoiona hiyo video wamechukia mno! Wanataka hatua kali zichukuliwe dhidi ya huyo polisi mshenzi, msimamizi wake na polisi wengine waliokuwepo huyo mama alivyofanya ushenzi wake! Habari zinasema polisi wanne wamesimamishwa kazi kuhusiana na tukio huo. Huyo mama anastahili afukuzwe kazi na afunguliwe mashitaka!

Yaani nchi hii inaoza mpaka watu wanakosa huruma!

Kuna Video ya tukio bofya hapa:

Kwa habari kamili ya tukio soma: