Actor maarufu wa Hollywood, Mark Curry aliyecheza kama Mr. Cooper kwenye sitcom ya miaka ya tisini, "Hanging with Mr. Cooper" alitembelea Tanzania na kufanya maonyesho huko juzi kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee.
Hivi karibuni alichekesha umati wa watazamaji wa show, Fat Actress, stelingi Kirstie Alley, alivyocheza kama mwanaume anayependa wanawake wanene.
Hapo juu ni moja ya picha aliyepiga na washabiki wake wa Bongo wakiwemo rafiki yangu, Michuzi.
Showing posts with label Hanging with Mr. Cooper. Show all posts
Showing posts with label Hanging with Mr. Cooper. Show all posts
Saturday, October 20, 2007
Subscribe to:
Comments (Atom)
Photo from Michuzi Blog

