Mdau Kazungu Samuel(Mhimili) kutoka Mombasa, Kenya anawakaribisha mtembelee blogu yake mpate mavitu vya Kenya.
http://mhimili.blogspot.com/
Kuna mambo huko!
Showing posts with label Kazungu Samuel. Show all posts
Showing posts with label Kazungu Samuel. Show all posts
Tuesday, July 22, 2008
Monday, June 30, 2008
Tamasha la Kukata na Shoka Pwani nchini Kenya
Picha kwa hisani ya mdau, Kazungu Samuel.
Dada Chemi, hivi ndivyo ilivyokuwa katika ukumbi wa Jomo Kenyatta Public Beach viungani mwa jiji la Mombasa wakati wakazi wa pwani walipojitokeza katika tamasha la Family Fun Show ambalo liliandaliwa na stesheni ya Pwani FC pamoja na kampuni ya Kaluworks. Kwa kweli ufuo ulifurika kama unavyoona katika picha hizi. Weka kwa blog wabongo wajue kuwa hata Kenya jamaa hupenda kujirusha.
Kazungu Samuel(Mhimili)
Subscribe to:
Comments (Atom)


