Showing posts with label Kujamba. Show all posts
Showing posts with label Kujamba. Show all posts

Saturday, May 31, 2014

Ukweli Kuhusu Ushuzi

 Kutoka Facebook:

Kujamba kunasababishwa na kubanwa kwa hewa,ambayo inaweza kutoka mwilini kwa njia nyingi.Baadhi ni hewa tuliyoimeza wakati wa kula au kunywa.

Hewa ingine husababishwa na gesi kuingia kwenye utumbo wetu kutoka kwenye damu,na baadhi ya gesi huzalishwa na kemikali katika utumbo au bakteria.

Kwa kawaida "ushuzi" unakua na asilimia 59 ya gesi ya nitrogen, asilimia 21 ni hydrogen,asilimia 9 ni carbon dioxide,asilimia 7 methane na asilimia 4 ni oygen.

Asilimia moja tu ya "ushuzi" inaweza kuwa hydrogen sulfide na mercaptans,ambayo ndio ina sulfur ndani yake,sulfur ndo hufanya "ushuzi" utoe harufu mbaya Kujamba huambatana na sauti,hii ni kutokana na "vibration" katika njia ya haja kubwa.

Ukubwa wa mlio wa kujamba hutegemea "presha" inayosukuma gesi itoke nje na pia ugumu wa misuli ya njia ya haja kubwa.

Harufu mbaya ya ushuzi hutegemea na ulaji wa mtu,vyakula vyenye sulfur kwa wingi ndio husababisha hili.Vyakula vyenye sulfur kwa wingi ni kama maharage,kabichi,soda na mayai.
Kwa Baadhi ya Tamaduni,Kujamba Sio Ishu

Wakati tamaduni nyingi zikichukulia tendo la kujamba lifanywe kistaarabu,kuna baadhi ya tamaduni hawaoni haya kujamba hadharani,na pia hufurahia tendo hilo.

Mfano kabila la Yanomami huko America ya Kusini,kwao husalimiana kwa kujamba,na China unaweza kupata kazi ya kunusa ushuzi! Katika Roma ya zamani,Mfalme Claudius akihofia kwamba kujizuia kujamba inaweza kuwa hatari kiafya,alipitisha sheria kwamba ni ruhusa kujamba kwenye "banquets".

Mtu wa kawaida hutoa hata nusu lita ya ushuzi kwa siku.Inasemekana mtu akijamba mfululizo kwa kipindi cha miaka 6,anaweza kuzalisha nishati ya kutosha kutengeneza bomu la atomiki.


Tuesday, October 23, 2012

Msichana Auwawa kwa Kujamba!!!

Huko Ohio, msichana mwenye miaka 16 kauwawa na msichana mwingine kwa vile alimtania alivojamba!  Msichana aliyejamba ndo kashitakiwa kama muaji.  Maisha ya huyo muaji yamekwisha maana ataishia gerezani. Bila shaka watamshitaki kama mkubwa. Huko gerezani ataweza kujamba tani yake. Tena huenda Big Bertha atampenda na kumfanya awe mke wake mdogo. Duniani kuna mambo! Inasikitisha kusikia mtu kapoteza maisha yake kwa ajili ya upuuzi. Watu wanajamba kila siku tena zingine zina ushuuzi ile mbaya!

Rest in Peace Shaakira Dorsey.

Marehemu Shaakira Dorsey

Mnaweza kusoma habari zaidi kwa kubofya HAPA:

****************************************************
http://www.huffingtonpost.com/2012/10/09/shaakira-dorsey-16-dead-flatulence_n_1951165.html

A 16-year-old in Warrensville Heights, Ohio, was reportedly killed by a teen she teased about her flatulence.
The fight took place last Wednesday at about 8 p.m. when, according to witnesses, the suspect, whose name has not been released, passed gas.
The victim, Shaakira Dorsey, started teasing the suspect and, consequently, a fistfight broke out between the two, WOIO-TV reported.
Dorsey collapsed after her stepfather broke up the fight, but it was too late, according to UPI.
She died after being rushed to a hospital, but her cause of death has not been officially announced. The unnamed suspect has been charged with one count of murder, and will make her first court appearance on Wednesday, the New York Daily News reported.
Although only one person has been charged in Dorsey's death, 911 calls obtained by WEWS-TV suggest adults were on the scene and stood by.
"At the end of my driveway, it's some kids fighting, and it's adults there watching ... it's adults, grown-ups there watching them fight," says the 911 caller.