Watu zaidi ya 200 wamekufa Congo baada ya lori liyokuwa imebeba mafuta kupinduka huko Congo leo. Lori ilitoka Tanzania. Watu wengi waliokufa walikuwa wanajaribu kuiba mafuta hayo! Umaskini jamani! Mtu unachukua ndoo, viplastiki kwenda kusomba mafuta bila kujali kuwa yanaweza kuwaka moto! mUngualaze wroho zao mahala pema mbinguni. AMEN.
**************************************************************
KINSHASA, Congo (AP) - At least 204 people were killed in Congo when a tanker truck transporting oil flipped over and exploded overnight in the east of the country, a Red Cross official said Saturday.
The truck was carrying fuel from neighboring Tanzania when it overturned at high speed late Friday in the village of Sange, around 100 kilometers (60 miles) outside the regional capital, Bukavu, said Red Cross official Desire Yuma.
Speaking by telephone from Bukavu, Yuma said the toll could rise since Red Cross workers were still collecting bodies from the scene.
U.N.-funded Radio Okapi reported a similar death toll, and said some local residents had rushed to steal the leaking fuel when it burst into flames.
Madnodje Mounoubai, a spokesman for the U.N. mission that has peacekeepers in the region, said the U.N. force was investigating the blast. He said no U.N. troops were killed or wounded.
Showing posts with label Lori. Show all posts
Showing posts with label Lori. Show all posts
Saturday, July 03, 2010
Wednesday, August 20, 2008
Ajali ya Pikipiki huko Oklahoma
Hivi karibuni, kwenye saa saba za usiku (1:00am) jamaa alikuwa anaendesha lori karibu na Tulsa, Oklahoma. Alitokea jamaa aliyekuwa anaendesha pikipiki kwa kasi 120mph (240kilometres) kwa saa. Dereva alisikia kitu kikigonga lori lakini aliendelea kuendesha kidogo. Alivyosimama na kushuka kwenye gari ona alichoona......
Ingawa Brandon Lee White (26) alikuwa anavaa helmet haikumsaidia alifariki papo hapo.
Msiendeshe pikipiki kwa kasi.
Labels:
Brandon Lee White,
Lori,
Pikipiki,
Tulsa Oklahoma
Subscribe to:
Comments (Atom)



