Nimeona kwenye mtandao hii picha ya Rais Mwinyi (Mzee Ruksa), Mwalimu Julius Kambarage na mke wake Maria. Sijui ilipigwa mwaka gani lakini huenda ni wakati Mzee Mwinyio alivyokuwa Rais.
Showing posts with label Mama Maria Nyerere. Show all posts
Showing posts with label Mama Maria Nyerere. Show all posts
Saturday, May 17, 2014
Wednesday, January 07, 2009
Mkutano wa UWT Dodoma
Anna Abadallah akihutubia wajumbe
Baadhi ya wajumbe kwenye mkutano wakiwemo Mama Maria Nyerere
Kutoka Lukwangule Blog:
JK akihutubia wakati akifungua mkutano mkuu wa Umoja wa Wanawake katika ukumbi wa Kilimani huko Dodoma leo. Picha nyingine ni Mwenyekiti anayeng'atuka Anna Abdallah akihutubia na picha nyingine wajumbe na waalikwa wakiwa katika mkutano.Mpaka sasa mambo bila bila hasa tukitambua wanachuana ni Mh. Janeth Kahama na Mh. Sofia Simba ambapo mmoja wao atamrithi Mh. Anna Abdallah katika kiti hicho. Matokeo yanatarajiwa baadaye usiku huu!
Monday, February 25, 2008
Mama Pinda na Mama Maria Nyerere
Kutoka Food for Thought BlogMke wa Waziri Mkuu, Tunu Pinda(kushoto) akiwa na Mama Maria Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam hivi karibuni Mke wa waziri mkuu Tunu Pinda pamoja na waziri Mkuu Mizengo Pinda walikwenda kumjulia hali Mama Maria Nyerere.
Subscribe to:
Comments (Atom)



