Wadau, ninasikitika kutangaza kifo cha Baba yangu mzazi, Dr. Aleck H. Che-Mponda, kilichotokea katika hospitali ya Massana mjini Dar es Salaam, jana jioni (March 30, 2015). Mipango ya mazishi inafanyika. Alikuwa anumwa ugonjwa wa Saratani (Cancer ya Mifupa).
Habari ziwafikie ndugu na marafiki wote popote walipo.
Rest in eternal peace, Dr. Aleck H. Che-Mponda (1935-2015)
Showing posts with label Massana Hospital. Show all posts
Showing posts with label Massana Hospital. Show all posts
Tuesday, March 31, 2015
Subscribe to:
Comments (Atom)


