Showing posts with label Kansa. Show all posts
Showing posts with label Kansa. Show all posts
Wednesday, July 13, 2016
Hospitali ya Kutibu Kansa Kujengwa Bukoba
MWEKEZAJI MZAWA AAMUA KUWEKEZA KAGERA KWA KUJENGA HOSPITALI KUBWA YA KUTIBU MAGONJWA YA KANSA KATIKA MANISPAA YA BUKOBA
Mkoa wa Kagera kupiga hatua kubwa kimaendeleo baada ya kujitokeza mwekezaji mzalendo ambaye ni Mshauri Mkuu wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Company Ltd ya Jijini Dar es Salaam Bwana James Rugemalila kuanza mchakato wa kujenga kituo kikubwa (hospitali) ya magonjwa ya matibabu ya Kansa katika Manispaa ya Bukoba.
Bw. James Rugemalila akiambatana na ujumbe mzito na wataalamu wa afya kutoka nchi mbalimbali alifika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera tarehe 10/07/2015 na kuongea na Katibu Tawala mkoa Bw. Nassor Mnambila ambaye alimhakikishia juu ya kupata ardhi wanayohitaji na kuwa serikali ya mkoa itawaunga mkono katika hatua zote za kupatikana kwa kituo hicho.
Aidha Bw. Rugemalila na ujumbe wake walifika Manispaa ya Bukoba na kuongea na Kaimu Mkurugenzi Bw. Lukiko Chibunu ambaye pia aliwahakikishia kuwa ardhi ipo na tayari wameitenga kwa ajili ya uwekezaji huo kama walivyoombwa na Bw. Rugemalila na walidhuru eneo husika Mtaa wa Makongo karibu na Ziwa Victoria.
Ujumbe huo ulilidhishwa na eneo husika pia Bw. Rugemalila aliambatana na Profesa Anthony Pais Mkuu wa Idara ya Upasuaji kutoka Bangalore India ambaye alisema Tanzania na Mkoa wa Kagera ni muhimu kuwa na kituo hicho kutokana na takwimu za Shirika la Afya ulimwenguni (WHO).
Profesa Pais alisema kuwa wagonjwa wa kansa 35000 wanatambuliwa kila mwaka duniani na asilimia 90% ya wagonjwa wanatoka duniani kote na wagonjwa 3000 wanatoka Tanzania kila mwaka na hupelekwa nje ya nchi kutibiwa ambapo baada ya kituo hicho kujengwa itakuwa fursa kwa watanzania kupata matibabu hapa hapa nchini na mkoani Kagera.
Vilevile Profesa Pais alisema kuwa Kampuni ya VIP Engenering and Marketing Ltd iliamua kujenga kituo hicho mkoani Kagera kwasababu walipoonyeshwa eneo la Makongo katika Manispaa ya Bukoba walipendezwa nalo sana pia mkoa wa Kagera umepakana na nchi zote za Afrika Mashariki ambapo ni moja wapo ya fursa katika uwekezaji.
Naye Bw. Anic Kashasha Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano katika Kampuni ya VIP Engineering Ltd alisema kuwa kituo hicho mara baada ya kukamilika kitajulikana kwa jina la (RUTAKWABYERA CANCER HEALTH CENTER) na kitakuwa na hadhi zote za hali ya juu mpaka kawaida ili kutoa fursa kwa wananchi wote kupata huduma stahili.
Kituo hicho kwa kuanzia kitajengwa na kuanza na vitanda 100 na mara baada ya kukamilika kitakuwa na vitanda 500 pia zitajengwa hosteli za wananchi ambao watakuwa wanawaleta wagonjwa wao kupata mahala pakujihifadhi. Kitaitwa kituo badala ya hospitali kwani kitakuwa kinaendesha uchunguzi, ugunduzi, na kutoa tiba na elimu juu ya ugonjwa wa Kansa.
Kituo cha Rutakwabyera kinatarajiwa kujengwa ndani ya miaka mitatu kuanzia sasa na gharama za mradi mzima zitajulikana mara baada ya ujenzi kuanza rasmi. Mkoa wa Kagera unazo Nyanja nyingi sana za uwekezaji wazawa na wawekezaji mbalimbali mnakaribishwa kuwekeza Kagera.
Mkoa wa Kagera kupiga hatua kubwa kimaendeleo baada ya kujitokeza mwekezaji mzalendo ambaye ni Mshauri Mkuu wa Kampuni ya VIP Engineering and Marketing Company Ltd ya Jijini Dar es Salaam Bwana James Rugemalila kuanza mchakato wa kujenga kituo kikubwa (hospitali) ya magonjwa ya matibabu ya Kansa katika Manispaa ya Bukoba.
Bw. James Rugemalila akiambatana na ujumbe mzito na wataalamu wa afya kutoka nchi mbalimbali alifika katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Kagera tarehe 10/07/2015 na kuongea na Katibu Tawala mkoa Bw. Nassor Mnambila ambaye alimhakikishia juu ya kupata ardhi wanayohitaji na kuwa serikali ya mkoa itawaunga mkono katika hatua zote za kupatikana kwa kituo hicho.
Aidha Bw. Rugemalila na ujumbe wake walifika Manispaa ya Bukoba na kuongea na Kaimu Mkurugenzi Bw. Lukiko Chibunu ambaye pia aliwahakikishia kuwa ardhi ipo na tayari wameitenga kwa ajili ya uwekezaji huo kama walivyoombwa na Bw. Rugemalila na walidhuru eneo husika Mtaa wa Makongo karibu na Ziwa Victoria.
Ujumbe huo ulilidhishwa na eneo husika pia Bw. Rugemalila aliambatana na Profesa Anthony Pais Mkuu wa Idara ya Upasuaji kutoka Bangalore India ambaye alisema Tanzania na Mkoa wa Kagera ni muhimu kuwa na kituo hicho kutokana na takwimu za Shirika la Afya ulimwenguni (WHO).
Profesa Pais alisema kuwa wagonjwa wa kansa 35000 wanatambuliwa kila mwaka duniani na asilimia 90% ya wagonjwa wanatoka duniani kote na wagonjwa 3000 wanatoka Tanzania kila mwaka na hupelekwa nje ya nchi kutibiwa ambapo baada ya kituo hicho kujengwa itakuwa fursa kwa watanzania kupata matibabu hapa hapa nchini na mkoani Kagera.
Vilevile Profesa Pais alisema kuwa Kampuni ya VIP Engenering and Marketing Ltd iliamua kujenga kituo hicho mkoani Kagera kwasababu walipoonyeshwa eneo la Makongo katika Manispaa ya Bukoba walipendezwa nalo sana pia mkoa wa Kagera umepakana na nchi zote za Afrika Mashariki ambapo ni moja wapo ya fursa katika uwekezaji.
Naye Bw. Anic Kashasha Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Mawasiliano katika Kampuni ya VIP Engineering Ltd alisema kuwa kituo hicho mara baada ya kukamilika kitajulikana kwa jina la (RUTAKWABYERA CANCER HEALTH CENTER) na kitakuwa na hadhi zote za hali ya juu mpaka kawaida ili kutoa fursa kwa wananchi wote kupata huduma stahili.
Kituo hicho kwa kuanzia kitajengwa na kuanza na vitanda 100 na mara baada ya kukamilika kitakuwa na vitanda 500 pia zitajengwa hosteli za wananchi ambao watakuwa wanawaleta wagonjwa wao kupata mahala pakujihifadhi. Kitaitwa kituo badala ya hospitali kwani kitakuwa kinaendesha uchunguzi, ugunduzi, na kutoa tiba na elimu juu ya ugonjwa wa Kansa.
Kituo cha Rutakwabyera kinatarajiwa kujengwa ndani ya miaka mitatu kuanzia sasa na gharama za mradi mzima zitajulikana mara baada ya ujenzi kuanza rasmi. Mkoa wa Kagera unazo Nyanja nyingi sana za uwekezaji wazawa na wawekezaji mbalimbali mnakaribishwa kuwekeza Kagera.
Saturday, February 13, 2016
Fahamu Jinsi Radiotherapy Inavyoweza kuokoa Maisha
Dk. Mahadev, mshauri mwandamizi wa radiotherapia kutoka Hospitali
za Apollo.
Na Mwandishi wetu,
Matibabu
ya kawaida ya saratani huwa yanahusisha upasuaji, radiotherapia na
kemotherapia. Hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa kwenye tiba kwa njia
hizo mbili. Katika hatua za mwanzo, saratani huwa ni ugonjwa unaotibika kwa
dozi moja mahususi lakini saratani iliyosambaa au kukomaa inahitaji dozi zaidi
ya moja katika kuitibu. Radiotherapia, ni tiba iliyopo katika mfumo maalumu
unaoleta matokeo katika mwili mzima.
Dk.
Mahadev ,
mshauri mwandamizi wa tiba ya uvimbe kwa mionzi kutoka hospitali za Apollo
anaeleza kwamba radiotherapia inahusisha chembe chembe ndogo za mionzi ya gamma
au X-rays katika kutibu saratani na hata matatizo ambayo sio ya saratani pia.
Mionzi hii imegawanyika katika ile mionzi ya mbali (external radiotherapy)
ambayo chanzo cha mionzi kinakuwa mbali na mwili na ile mionzi ya karibu ambayo
mionzi inawekwa karibu ili kuchoma sehemu yenye uvimbe peke yake.
Mionzi
ya karibu ni aina nzuri ya kutibu saratani ila kwa uvimbe unaoonekana kirahisi
na unaofikika. Hivyo saratani iliyopo mdomoni, saratani ya tezi dume, saratani
ya kizazi zote zinaweza kutibiwa kwa mionzi ya karibu peke yake. Faida kubwa ya
mionzi ya karibu ukilinganisha na mionzi ya mbali ni kwamba mionzi ya karibu
inahusisha uponyaji ndani ya muda mfupi (siku 3-5) wakati mionzi ya mbali
inachukua hadi wiki 7 hadi 8. Uvimbe wowote uliokomaa unahitaji mionzi ya
mbali.
Lengo
kubwa la matumizi ya radiotherapia ni kuchoma sehemu pekee yenye uvimbe na
kuepuka kuchoma sehemu nyingine za pembeni katika mwili. Mionzi ya mbali
inahistoria ndefu kutoka enzi za cobalt kwenda kwenye hali ya teknolojia ya juu
ya kutoa tiba ya mionzi kwa moduli ya hali ya juu (IMRT), mionzi kwa kuongozwa
na picha (IGRT), upasuaji kwa njia ya sterio (SRS) na njia ya sterio kwa mionzi
mwilini (SBRT). Mashine yenye program maalumu kwa ajili ya upasuaji (Cyberknife
robotic radiosurgery ) ni njia bora zaidi katika kufanya SRS na SBRT,
aliongeza Dk. Mahadev kuwa teknolojia hizi zinapatikana
katika hospitali za Apollo.
Umuhimu
pekee wa kutumia mashine yenye program maalumu kwa ajili ya upasuaji ni kukata
milimeta sahihi na uponyaji katika siku chache. Ni tiba ya mgonjwa bila kulazwa
na hahihitaji nusu kaputi katika kufanyika. Hivyo saratani ya mapafu na tezi
dume inaweza kutibika ndani ya siku 3 hadi 5, wakati muda wake kawaida huchukua
wiki 7-8 kwa uangalizi wa karibu. Mashine yenye program maalumu kwa ajili ya
upasuaji ni muhimu katika kutibu uvimbe, ambao hauwezekani kufanyiwa operesheni
kwa sababu ya eneo ilipo aidha katika ubongo au uti wa mgongo. Inatumika kutibu
magonjwa kama meningiomas, uvimbe katika pituitary, mishipa ya ateri
iliyodhofika (AVM) na madhara kutokana na saratani katika ubongo, mapafu na
ini.
Dk.
Mahadev
anaelezea njia bora ya kutumia radiotherapia ni kwa protoni. Faida kubwa ya
protoni ukilinganisha na njia ya kawaida ni katika kutoa mionzi kwa umakini
zaidi hasa kuchoma sehemu yenye uvimbe peke yake. Hiyo inapelekea matokeo
mazuri na madhaifu machache. Kutokana na kutokuwa na dozi zaidi katika kutibu
uvimbe, ni vyema kudhibiti uvimbe ukiwa katika hatua za mwanzo ambapo huwa
tunaogopaga madhara ya kutumia mionzi. Matumizi ya protoni ni mapinduzi katika
tiba ya saratani. Saratani ya kichwa na shingo, mapafu na tezi dume huwa
zinatibika kirahisi kabisa kwa mionzi hii ya protoni.
Baadhi
ya saratani zinazotibika kwa upasuaji, inaweza kutibika kirahisi kwa
radiotherapia tu. Ikiwa hatua ya mwanzo, saratani ya mdomoni, mfumo wa chakula,
tezi dume, zaweza tibiwa kwa mionzi peke yake. Faida katika kutibu aina hizi za
saratani ni kuwa zipo sehemu zinazofikika. Mgonjwa anaweza kuwa na ogani
inayofanya kazi vizuri hivyo kuona ubora wa maisha. Saratani nyingi zilizokomaa
huwa zinahitaji kwa pamoja upasuaji, radiotherapia na kemotherapia katika
kuitibu ambazo zote zinapatikana katika teknolojia ya juu kutoka hospitali
za Apollo.
Tumetoka
kwenye enzi za kufanya operesheni kubwa na kuingia kwenye utunzaji wa ogani
zetu kwa msaada wa teknolojia ya mionzi bora na dawa mpya na bora za tiba kwa
kemotherapia. Kwa mfano saratani ya matiti ndio saratani inayoongoza kwa
wanawake duniani. Hapo kabla, titi lote lilikuwa linakatwa. Ila kwa sasa
wagonjwa wengi wanabaki na matiti yao salama kwa upasuaji mdogo tu unaofanywa.
Tiba
hiyo ndogo katika tiba inawasaidia wanawake kuwa na saikolojia chanya
inayowafanya wapone haraka pia. Kichwa na shingo, mfumo wa chakula, saratani ya
tezi dume na sehemu nyingine ambazo huwa kutokuondoa ogani ni kitu cha muhimu
katika tiba.
Radiotherapia
ni mbadaka zuri kuepuka upasuaji au kemotherapia katika kupambana na saratani.
Mabadiliko makubwa katika teknolojia na matumizi ya kompyuta yamewezesha utoaji
bora wa huduma ya tiba ya mionzi kwa madhara kidogo sana.
Kuhusu Hospitali ya Apollo
Hospitali za Apollo ni za kwanza
katika eneo Asia Pacific kutoa huduma za upasuaji kwa kutumia mfumo huu wa
Robot, ambayo ni aina ya upasuaji isiyokuwa na madhara. Taasisi ya upasuaji
kutumia Robot iliyopo hospitalini hapo wamejitoa kipekee katika kutoa huduma
bora kwa wagonjwa.
Taasisi ina wataalamu waliobobea
kwenye mafunzo ya upasuaji, upendo katika utoaji wa huduma vifaa vya matibabu
vya kisasa vinavyolenga kutoa uzoefu bora kwa mgonjwa. Vifaa hivyo ni pamoja na
vifaa Robot ya Da Vinci inayotumika katika upasuaji.
Labels:
Cancer,
Kansa,
Radiotherapy,
Tiba,
Ugonjwa
Tuesday, March 31, 2015
Tanzia - Dr. Aleck H. Che-Mponda, Baba yangu mzazi
Wadau, ninasikitika kutangaza kifo cha Baba yangu mzazi, Dr. Aleck H. Che-Mponda, kilichotokea katika hospitali ya Massana mjini Dar es Salaam, jana jioni (March 30, 2015). Mipango ya mazishi inafanyika. Alikuwa anumwa ugonjwa wa Saratani (Cancer ya Mifupa).
Habari ziwafikie ndugu na marafiki wote popote walipo.
Rest in eternal peace, Dr. Aleck H. Che-Mponda (1935-2015)
Habari ziwafikie ndugu na marafiki wote popote walipo.
Rest in eternal peace, Dr. Aleck H. Che-Mponda (1935-2015)
Friday, June 08, 2012
Apona UKIMWI! Kweli Kabisa!
Hatimaye, tiba ya UKIMWI umepatikana! Mzungu aliyekuwa mwathirika wa UKIMWI amepona. Hana dalili ya virusi vya HIV mwilini wake. Tiba aliyopata ni ile ya ugonjwa wa Leukemia (Kansa ya damu). Ila hiyo tiba ni ghali na si rahisi kupatikana hivyo itakuwa muda kabla waathirika wote waweze kupata tiba. Kwa sasa ni huyo mtu mmoja tu aliyepona, Bwana Timothy Brown.
Hata hivyo, hayo makampuni yanayotengeneza dawa za cocktails wata zuia hiyo tiba. Watakuwa hawapati faida tena.
************************************************
Man Cured of AIDS: ‘I Feel Good’
KUTOKA ABC News
The fact that Timothy Brown is a reasonably healthy 46-year-old is no small thing. Only a few years ago, he had AIDS.
“I feel good,” Brown told ABC News. “I haven’t had any major illnesses, just occasional colds like normal people.”
Brown is the only person in the world to be cured of AIDS, the result of a transplant of blood stem cells he received to treat leukemia.
“My case is the proof in concept that HIV can be cured,” he said.
Brown got lucky. The blood stem cells he received came from a donor with a special genetic mutation that made him resistant to HIV. The genetic mutation occurs in less than 1 percent of Caucasians, and far less frequently in people of other races. Before Brown got his transplant in 2007, doctors tested nearly 70 donors for this genetic mutation before they found one who was a match.
But doctors hope that a similar solution could help other people with HIV: umbilical cord blood transplants.
Dr. Lawrence Petz, medical director of StemCyte, an umbilical cord blood bank, said although Brown was cured by his transplant, the process was complicated because the blood stem cells came from an adult donor.
“When you do that you have to have a very close match between donor and recipient,” Petz said. “With umbilical cord blood, we don’t need such a close match. It’s far easier to find donor matches.”
But it’s still not that easy. Petz and his colleagues have tested 17,000 samples of cord blood so far, and found just 102 that have the genetic HIV-resistant mutation. The team performed the first cord blood transplant on an HIV-infected patient a few weeks ago, and they have another transplant planned for a similar patient in Madrid, Spain, later this year. It will still be months before researchers can tell if the transplants have any effect on the patients’ HIV.
Petz also noted that transplants aren’t performed solely to treat AIDS. Patients who get them have an additional condition that requires a blood stem cell transplant. Curing their AIDS would be an incredible bonus.
“It can be done. It’s just a matter of time,” Petz said.
Brown had his transplant in February 2007. Today, his body shows no signs of the virus.
Brown said he feels guilty being the only person to have been cured of the virus when millions still live with it. But he hopes his story will inspire others that a cure is possible.
”I don’t want to be the only person in the world cured of HIV. I want a cure for everyone,” he said.
Hata hivyo, hayo makampuni yanayotengeneza dawa za cocktails wata zuia hiyo tiba. Watakuwa hawapati faida tena.
************************************************
Man Cured of AIDS: ‘I Feel Good’
![]() |
| Aliyepona UKIMWI, Timothy Brown |
The fact that Timothy Brown is a reasonably healthy 46-year-old is no small thing. Only a few years ago, he had AIDS.
“I feel good,” Brown told ABC News. “I haven’t had any major illnesses, just occasional colds like normal people.”
Brown is the only person in the world to be cured of AIDS, the result of a transplant of blood stem cells he received to treat leukemia.
“My case is the proof in concept that HIV can be cured,” he said.
Brown got lucky. The blood stem cells he received came from a donor with a special genetic mutation that made him resistant to HIV. The genetic mutation occurs in less than 1 percent of Caucasians, and far less frequently in people of other races. Before Brown got his transplant in 2007, doctors tested nearly 70 donors for this genetic mutation before they found one who was a match.
But doctors hope that a similar solution could help other people with HIV: umbilical cord blood transplants.
Dr. Lawrence Petz, medical director of StemCyte, an umbilical cord blood bank, said although Brown was cured by his transplant, the process was complicated because the blood stem cells came from an adult donor.
“When you do that you have to have a very close match between donor and recipient,” Petz said. “With umbilical cord blood, we don’t need such a close match. It’s far easier to find donor matches.”
But it’s still not that easy. Petz and his colleagues have tested 17,000 samples of cord blood so far, and found just 102 that have the genetic HIV-resistant mutation. The team performed the first cord blood transplant on an HIV-infected patient a few weeks ago, and they have another transplant planned for a similar patient in Madrid, Spain, later this year. It will still be months before researchers can tell if the transplants have any effect on the patients’ HIV.
Petz also noted that transplants aren’t performed solely to treat AIDS. Patients who get them have an additional condition that requires a blood stem cell transplant. Curing their AIDS would be an incredible bonus.
“It can be done. It’s just a matter of time,” Petz said.
Brown had his transplant in February 2007. Today, his body shows no signs of the virus.
Brown said he feels guilty being the only person to have been cured of the virus when millions still live with it. But he hopes his story will inspire others that a cure is possible.
”I don’t want to be the only person in the world cured of HIV. I want a cure for everyone,” he said.
Labels:
HIV/AIDS,
Kansa,
Leukemia,
Transplant,
UKIMWI
Wednesday, April 13, 2011
Ushuhuda wa Kupona Kansa Baada ya Kunywa Dawa ya Babu
Wadau, Hebu mtembelee Da Subi kusoma shuhuda za watu waliopona saratani (Kansa) baada ya kunywa dawa ya babu wa Loliondo. http://www.wavuti.com/4/post/2011/04/ushuhuda-kupona-saratani-dawa-masapile.html#axzz1JK62Bn7R
Thursday, March 26, 2009
Wagonjwa wazidi kuongezeka Ocean Road Hospital

Wagonjwa wa Saratani (Kansa) wanazidi kuongezeka Ocean Road Hospital. Ina maana kuwa ubora wa huduma huko itapungua. Wadau, nawauliza kwa nini ugonjwa wa saratani unaongezeka Tanzania? Je, watu walikuwa nayo zamani ila hatukujua ni nini, tunasema kalogwa? Je, ni kwa vile maisha yanabadilika na kuwa ya kizungu (vyakula nk.).?
*********************************************************
Kutoka ippmedia.com
Taasisi ya Saratani ya jijini Ocean Road imeanza kuzidiwa
2009-01-24 12:04:06
Na ITV Habari
Taasisi ya Saratani ya jijini Ocean Road imeanza kuzidiwa kutoa huduma za tiba hiyo kwa wagonjwa wapya kutokana na idadi ya wagonjwa hao kuongezeka kila mwaka na kufikia wagonjwa elfu arobaini wanaohitaji tiba hiyo kwa mwaka .
Wakizumgumza baada ya ufunguzi wa mkutano wa siku tatu kujadili mikakati ya kuthibiti ugonjwa wa saratani uliohudhuriwa na wataalam wa tiba na madkatari wa saratani nchini baadhi ya washiriki wamesema kuna haja ya kuongeza jitihada katika kuwahamasisha wanajamii wa maeneo ya vijijini umuhimu wa kuwahi tiba ya saratani ikiwa kwenye awamu za mwanzoni wakati bado kuna matumaini ya mgonjwa huyo kupona.
SOURCE: ITV
Subscribe to:
Comments (Atom)




