Showing posts with label Mwanajeshi. Show all posts
Showing posts with label Mwanajeshi. Show all posts

Saturday, October 15, 2016

TAKUKURU Mkoani Mwanza Yamnasa Askari Feki wa Jeshi la Wananchi (JWTZ)

Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Mwanza, Ernest Makale, akitoa taarifa ya kukamatwa kwa mwanamke aitwaye Felister Mathias Mawe, kwa tuhuma za kujifanya askari wa Jeshi la Wananchi JWTZ na kuchukua fedha kwa baadhi ya watu Jijini Mwanza ili awasaidie kupata nafasi ya kujiunga na jeshi hilo kupitia maofisa anaofahamiana nao.
Na BMG

Makale ameeleza kwamba mtuhumiwa huyo alikamatwa baada ya kujipatia kiasi cha shilingi 240,000 kati ya shilingi 500,000 alizokuwa ameomba kutoka kwa mmoja wa walioomba kujiunga na JWTZ.

Amebainisha kwamba mtuhumiwa mmoja ambaye ni mstaafu wa JWTZ aitwaye Sophia Chacha amekuwa akimsaidia mtuhumiwa huyo kwa kumuunganisha na watu waliokuwa wakihitaji kujiunga na jeshi ambapo ili kupata nafasi hiyo mtuhumiwa amekuwa akihitaji kiasi cha shilingi 500,000.

Mtuhumiwa alikamatwa Oktoba 10 mwaka huu katika hoteli moja iliyopo Kirumba Jijini Mwanza kufuatia mtego wa maofisa wa TAKUKURU.

"Kitendo cha mtuhumiwa kujifanya afisa wa jeshi hakihusiani na makosa yaliyo chini ya sheria ya kuzuia na kupambana na rushwa namaba 11/2007, hivyo jalada lenye tuhuma hiyo namba PCCB/MZ/ENQ/40/2016 limehamishiwa kwa wakili wa serikali mfawidhi ili mtuhumiwa aweze kufikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili". Alifafanua Makale.

Aidha Makale ameongeza kwamba TAKUKURU wilayani Misungwi imemfikisha mahakamani Katibu wa Idara ya Utumishi wa Waalimu TSD wilayani humo kwa kosa la tuhuma za kupokea rushwa shilingi 400,000 kutoka kwa Kitoki Mgaya ili asimchukulie hatua za kinidhamu kazini.
Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoani Mwanza, Ernest Makale, akitoa taarifa ya kwa wanahabari kuhusu kukamatwa kwa mwanamke aitwaye Felister Mathias Mawe, kwa tuhuma za kujifanya askari wa Jeshi la Wananchi JWTZ na kuchukua fedha kwa baadhi ya watu Jijini Mwanza ili awasaidie kupata nafasi ya kujiunga na JWTZ kupitia maofisa anaofahamiana nao.
Mtuhumiwa Felister Mathias Mawe, anayetuhumiwa kujifanya askari wa Jeshi la Wananchi JWTZ na kuchukua fedha kwa baadhi ya watu Jijini Mwanza ili awasaidie kupata nafasi ya kujiunga na JWTZ.
Kushoto ni mtuhumiwa Felister Mathias Mawe, anayetuhumiwa kujifanya askari wa Jeshi la Wananchi JWTZ na kuchukua fedha kwa baadhi ya watu Jijini Mwanza ili awasaidie kupata nafasi ya kujiunga na JWTZ. Kulia ni Sophia Chacha ambaye ni mstaafu wa JWTZ anayetuhumiwa kumsaidia mtuhumiwa huyo kwa kumuunganisha na watu waliokuwa wakihitaji kujiunga na JWTZ.
Baadhi ya wanahabari Jijini Mwanza

Friday, May 15, 2015

American Hero - Henry Lincoln Johnson Aka Black Death

Henry Lincoln Johnson (1897 – July 5, 1929) the Soldier Called “Black Death”

Henry L Johnson Aka Black Death (1897-1929)
 Henry Johnson suffered 21 wounds and rescued a fellow soldier while repelling an enemy raid in the Argonne Forest in 1918 but died 11 years later a forgotten man.

On June 2, 2015, President Barack Obama will award the Medal of Honor to Army Private Henry Johnson for conspicuous gallantry during World War I.


Private Henry Johnson will receive the Medal of Honor posthumously for his actions while serving as a member of Company C, 369th Infantry Regiment, 93rd Division, American Expeditionary Forces. Then-Private Johnson distinguished himself during combat operations in the vicinity of the Tourbe and Aisne Rivers, northwest of Saint Menehoul, France, on May 15, 1918.

Private Johnson entered the Army on June 5, 1917. He was assigned to Company C, 15th New York (Colored) Infantry Regiment, an all-black National Guard unit that would later become the 369th Infantry Regiment. The Regiment was ordered into battle in 1918, and Private Johnson and his unit were brigaded with a French Army colonial unit in front-line combat.

While on night sentry duty on May 15, 1918, Private Johnson and a fellow Soldier received a surprise attack by a German raiding party consisting of at least 12 soldiers. While under intense enemy fire and despite receiving significant wounds, Johnson mounted a brave retaliation resulting in several enemy casualties.

When his fellow soldier was badly wounded, Private Johnson prevented him from being taken prisoner by German forces. Private Johnson exposed himself to grave danger by advancing from his position to engage an enemy soldier in hand-to-hand combat. Displaying great courage, Private Johnson held back the enemy force until they retreated. He died at the age of 32 and was buried in Arlington National Cemetery, his only recognition the French Croix de Guerre.

At last, in 1996, the U.S. awarded Johnson a Purple Heart and followed up in 2002 with the nation’s second-highest commendation, the Distinguished Service Cross. At the time, the military denied Johnson the Medal of Honor, finding insufficient documentation of his heroism.

Subsequently, Sen. Chuck Schumer’s volunteer historians have amassed overwhelming proof that this quintessential Hellfighter from Harlem performed with incomprehensible valor in service of a nation that spurned him at every turn because of skin color. Command Sergeant Major Louis Wilson, New York National Guard, will join the President at the White House to accept the Medal of Honor on Private Johnson’s behalf.
(Story via Edie A.)
Read more here: http://www.smithsonianmag.com/…/remembering-henry-johnson…/…