Showing posts with label World War One. Show all posts
Showing posts with label World War One. Show all posts

Saturday, June 11, 2016

Tukumbuke Askari Wetu Waliopigana kwa Niaba ya Mkoloni



Askari Monument in Dar es Salaam, Tanzania
 Leo nimekumbuka ule wimbo tuliokuwa tunaimba jeshini, JKT, inaenda hivi..... Askari Eh, Vitani yee mama......   

Wadau, mnajua ile sanamu pale City Center Dar. Inaitwa Askari Monument.  Ni kumbukumbu ya Askari waafrika waliopigana katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia.  Waafrika walichukuliwa na Mkoloni kuwa Askari katika Majeshi yao, Walifanya kazi ngumu ya kupigana huko wazungu walikaa kwenye viti vyao wanapunga hewa!  Kwa maana hiyo Akari wa nchi fulani, walikuwa wanaua Askari wa nchi nyingine, Kama mchezo vile!  (Gameborad) Askari wengine walipelekwa Ulaya na hawakurudi kwa familia zao, wala familia zao hawajui waliishia wapi!

Nimekusanya picha ya Askari waliopigana katika Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia, wakati huo Tanzania, inaiitwa Deustche Oost Afrika (German East Africa).

Na Mjerumani alikuwa ni msehenzi mkatiki kwa Waafrika..  Waafrika huko vijijini waliuawa wengi sana na Mjerumani eti wazaa au wagonjwa.

Kwa habari zaidi za Vita Kuu ya Kwanza na Dunia na Tanzania (German East Africa) BOFYA HAPA:

Askari Akiaaga Familia Yake kabla ya kwenda Vitani

Askari kwenye Gwaride Dar es Salaam

Askari kwenye Mafunzo 1918










Askari Monument Mwaka 1945

Friday, May 15, 2015

American Hero - Henry Lincoln Johnson Aka Black Death

Henry Lincoln Johnson (1897 – July 5, 1929) the Soldier Called “Black Death”

Henry L Johnson Aka Black Death (1897-1929)
 Henry Johnson suffered 21 wounds and rescued a fellow soldier while repelling an enemy raid in the Argonne Forest in 1918 but died 11 years later a forgotten man.

On June 2, 2015, President Barack Obama will award the Medal of Honor to Army Private Henry Johnson for conspicuous gallantry during World War I.


Private Henry Johnson will receive the Medal of Honor posthumously for his actions while serving as a member of Company C, 369th Infantry Regiment, 93rd Division, American Expeditionary Forces. Then-Private Johnson distinguished himself during combat operations in the vicinity of the Tourbe and Aisne Rivers, northwest of Saint Menehoul, France, on May 15, 1918.

Private Johnson entered the Army on June 5, 1917. He was assigned to Company C, 15th New York (Colored) Infantry Regiment, an all-black National Guard unit that would later become the 369th Infantry Regiment. The Regiment was ordered into battle in 1918, and Private Johnson and his unit were brigaded with a French Army colonial unit in front-line combat.

While on night sentry duty on May 15, 1918, Private Johnson and a fellow Soldier received a surprise attack by a German raiding party consisting of at least 12 soldiers. While under intense enemy fire and despite receiving significant wounds, Johnson mounted a brave retaliation resulting in several enemy casualties.

When his fellow soldier was badly wounded, Private Johnson prevented him from being taken prisoner by German forces. Private Johnson exposed himself to grave danger by advancing from his position to engage an enemy soldier in hand-to-hand combat. Displaying great courage, Private Johnson held back the enemy force until they retreated. He died at the age of 32 and was buried in Arlington National Cemetery, his only recognition the French Croix de Guerre.

At last, in 1996, the U.S. awarded Johnson a Purple Heart and followed up in 2002 with the nation’s second-highest commendation, the Distinguished Service Cross. At the time, the military denied Johnson the Medal of Honor, finding insufficient documentation of his heroism.

Subsequently, Sen. Chuck Schumer’s volunteer historians have amassed overwhelming proof that this quintessential Hellfighter from Harlem performed with incomprehensible valor in service of a nation that spurned him at every turn because of skin color. Command Sergeant Major Louis Wilson, New York National Guard, will join the President at the White House to accept the Medal of Honor on Private Johnson’s behalf.
(Story via Edie A.)
Read more here: http://www.smithsonianmag.com/…/remembering-henry-johnson…/…

Tuesday, March 01, 2011

Askari Wa Vita Vya Kwanza ya Dunia - German East Africa

Hii ni meli ya kivita Mjerumani SMS Konisberg ikiwa imita nanga bandarini Bagamoyo. Bagamoyo ilikuwa mji mkuu wa Tanganyika enzi za MJerumani
Askari kwenye foleni
Waliopitia JKT wataelewa hii...ROUTE MARCH!

Sijui ni Tanga au Bagamoyo hapo au Itakuwa kwenye Ziwa Victoria au Nyasa

Hao watakuwa wale Asakri wa kwanza kabisa. Hawana viatu!

Askari wakisfisha bunduki zao

Enzi za MJerumani walikuwa wanatumia Rupia siyo Shilingi


Bahati mbaya hatuna majina ya hao Askari pichani



The Force Publique in German East Africa during World War One

Monday, September 28, 2009

Askari Wakisoma Gazeti la Kiongozi 1916

Kumbe gazeti la 'Kiongozi' ilikuwepo tangu enzi za Mjerumani! Hao askari wa enzi za Mjerumani wanaburudika kwa kusoma gazeti la Kiongozi iliyoandikwa kwa lugha ya Kiswahili. Hii Picha ilipigwa wakati wa Vita Kuu ya Dunia ya Kwanza (World War I) na Walther Dobbertin.


Askari eh, Vitani eeh Mamaaa!