Showing posts with label Ngono. Kufira. Show all posts
Showing posts with label Ngono. Kufira. Show all posts

Thursday, March 13, 2014

Mashoga wa Kike Waambukizana UKIMWI

Wadau, hii mpya! Kwa kawaida ni wasenge, mashoga wa kiume wanaoambukizana virusi vya UKIMWI (HIV/AIDS) kwa vile wanapenda mchezo wa kufirana. Sasa leo kuna habari shoga wa kike amemwambukiza shoga mwenzake kwa kupenda mchezo wa kutumia  sex toy (mboo bandia)!  Walisema kuwa walikuwa wanafanya mabo yao hata wakati wakiwa kwenye siku zao! Jamani, damu si ndo ina virusi!  Hii kali!  Walikuwa wanasema kuwa wanawake wakifanya ngono wenyewe kwa wenyewe yaani ushoga hawawezi kuambukizana! Kumbe

*************************************
 
 Kutoka Yahoo.com

Washington (AFP) - A rare case of suspected HIV transmission from one woman to another was reported Thursday by US health authorities.
The 46-year-old woman "likely acquired" human immunodeficiency virus while in a monogamous relationship with an HIV-positive female partner in Texas, said the Centers for Disease Control and Prevention.
The woman, whose name was not released, had engaged in heterosexual relationships in the past, but not in the 10 years prior to her HIV infection.
Her HIV-positive partner, a 43-year-old woman who first tested positive in 2008, was her only sexual partner in the six months leading up to the test that came back positive for HIV.
She did not report any other risk factors for acquiring the virus that causes AIDS, such as injection drug use, organ transplant, tattoos, acupuncture or unprotected sex with multiple partners.
The strain of HIV with which she was infected was a 98 percent genetic match to her partner's, said the CDC in its weekly report.
Authorities first learned of the case in August 2012 from the Houston Department of Health.
The couple said they had not received any counseling about safe sex practices, and reported that they routinely had sex without barrier methods.
"They described their sexual contact as at times rough to the point of inducing bleeding in either woman," said the CDC report.
"They also reported having unprotected sexual contact during the menses of either partner."
The partner who was infected since 2008 had been prescribed antiretroviral drugs in 2009 but stopped taking them in November 2010, and was lost to follow up in January 2011.
The CDC warned that although such cases are rare, "female-to-female transmission is possible because HIV can be found in vaginal fluid and menstrual blood."
People with HIV should be under the care of a doctor and take their prescribed medicines to keep their viral load down and reduce the risk of infecting a partner, the CDC said.
Very few cases of this kind have been documented, and confirmation "has been difficult because other risk factors almost always are present or cannot be ruled out," said the report.
One survey of 960,000 female blood donors found 144 who tested positive for HIV and were therefore blocked from donating.
Of 106 of those women who agreed to interviews, none described female-to-female sexual contact as their only risk factor.
The CDC also described one case of a woman in the Philippines who tested positive for HIV and said she had sex only with women and did not inject drugs, though no source of infection could be confirmed.
One other case is known of a 20-year-old woman who was diagnosed with HIV after a two-year monogamous relationship with a female partner who was HIV positive. While both women had the same drug-resistant HIV mutations, no tests were done to identify if their HIV strains were a genetic match.

Sunday, June 09, 2013

Acheni Mchezo wa Tigo Jamani!

Wadau, nasikia huko Bongo mambo ya Tigo yanashamiri. Wanasema ni kwa sababu ya video za nchi za magharibi na Asia. Nilisikia hiyo habari hata nilipokuwa Dar mwaka juzi. Wanaume walikuwa wanasema mwanamke akijamba ina maana yuko tayari kufanya Tigo (kulwiti/kufirwa). 

Aathari za mchezo wa Tigo ni nyingi. Baada ya muda huko myuma pana legea, haja kubwa haikai, mimavi inatoka kila saa. Itabidi mvae nepi!  Lakini midume haiogopi mavi kuingia kwenye ume zao na kuwasababishia magonjwa?

Halafu nasikia wanawake wanakubali kutoa nyuma kwa kuhofia wanaume wao hawatawapenda au watawaacha na kwenda kwa wengine. Mchezo wa Tigo ni mbaya na miili yetu haikuumbwa kwa ajili ya mchezo huo mchafu!

************************************



Mdau Hildegard Kiwasila alitoa ushauri huo kwa dada fulani ambaye alikuwa anajadili ampe mpenzi wake nyuma kwa vile alihofia atamwacha:
 
Tatizo ni la wanawake, mwanamke anapopenda anaingia mzima mzima anapenda kwa moyo, kichwa, tumbo, miguu, macho anakuwa haoni kingine tena na masikio-kiziwi haoni na kusikia mifano ya wenzake. Hakubali.

Ndio maana mwanamke au msichana akiachwa na boyfriend au mume-anachanganyikiwa kuliko mwanaume na anawerza kujiua au kufeli mitihani. Na ikiwa huyo ni bwana wake wa kwanza aliyemtokea-ndio haoni kabisa kipofu, hasikii na anaweza akaharibu masomo au kazi kama ataachwa ghafla. Hivyo anapata tabu kuamua aachane naye anaona kama mbingu itashuka imuangukie, bora avumilie hivyo hivyo baadae kicha kinakuja kuchanganya.

Mwenzake huyo alizoea siku nyingi ila alikuwa anamlia time tu amzoee ili amwambie. Yeye-alishindwa kugundua au kutambua alama za nyakati.

Ndio hao wanawake wasio maamuzi. Mume anabaka housegirl anatia mimba, anambaka mdogo wake anayeishi naye au mwanae wa kufikia anawazalisha wote bado mke yup radhi kuficha evidence amwache aende jela naye akasulubiwe huko eti anampenda, hataki afungwe kama amekosa amemsamehe. Hapo ndio sheria za nchi zinatakiwa zimkamate na huyo mama msicha siri akalale ndani na mume pia.
Akikataa uchafu huo eti mume analeta bibi wa nje  kwa vile yeye hataki hiyo Tigo na anamlazwa chini au mke unalala na watoto chumba kingine na bado upo.

Tujifunze ujasiri na kuweka kuwa na maamuzi. Atakapokubali na kuharibika ataachwa pia atatafuta mwingine. Madhara ni mengi sana pamoja na kuambukizwa magonjwa ya zinaa, kuchubuka maana huko hakukuumbika kwa kazi hiyo na mengine kisaikolojia.

Zipo study nyingi sana za sexual violence, sexual abuse na extent of sodomy in Tanzania zilizofanywa na wadaktari na wengineo Muhimbili, NGOs.

Binafsi nimefanya ya sexual abuse kwa wanafunzi Kilosa, Lindi, DSM na ya Extent of Sodomy TZ sample dar, bagamoyo, ZNZ na kujumlisha na ile ya sodomy kwa wanafunzi. Sodomy ni tatizo ktk ndoa. 1% ya ndoa huathiriwa na suala hili. Wanafunzi mashuleni sexually active waliofanya sodomy tulipata ktk sampo yetu 67% wanaongoza kwa hiyo Tigo. Hufanya jambo hili kuzuia mimba. Wanaume mpaka wa umri wa 26 waliripoti kubakwa/kulawitiwa. Wanaume (2%) walitoa taarifa ya kufanyiwa mchezo huu na waajiri wao mpaka baba mwenye nyumba kwa vijana houseboys au waajiri wenye maduka anakofanya kazi (hawa umri mdogo). Wanaobakwa umri mkubwa huwa ni mpango na ushindani kibiashara, kugombania mwanamke/msichana, kufumaniwa. Unasukiwa zari ili uhame eneo la ushindani au umuache mwanamke mnayegombania baada ya kukutumia vijana bangi bangi wanakutesa na kukupiga picha na kukutishia kuziweka hadharani; au kukutangaza na ukipita watu wanakucheka au ulitendewa ukaachwa hoi ukaokotwa huna nguo na umechafuka.

Wanaume tuliowahoji ambao walitoa taarifa za kubakwa tuligundua kuwa ndio waundao magenge ya ubakaji. walipoulizwa  kama wataendelea na sodomy walisema 'Yes'. why? alijibu-anapomfanyia hivyo mtu 'me' au 'ke' anapata ahuheni au nafuu kisaikolojia kuona kwamba amemuadhibu mtu kama yeye alivyoadhibiwa kwa kumfanyia hiyo Tigo. hawa wanaume hawapati ushauri nasaha na hawajitokezi kama wanawake wabakwao. Yupo baba mmoja Dodoma alibakwa akitoka kulewa pombe alifariki kutokana na depression ya kufanyiwa tendo hilo. Yupo yule aliyetolewa ktk gazeti ambaye alikuwa akibaka wake za watu (Dodoma). akawamaliza mjini eneo lake na akaanza kuwafanyia wanaume (Kiuchawi) akakamatwa nyumba ya mlokole mmoja anayesali sana uchawi ukaishia hapo. Ndipo aliposimulia yote aliyofanya. Wapo wengine wana mapepo na wapo watumiao uchawi wasionekane bali wanafanya uchafu majumbani mwa watu na mashuleni. Hawa wana laana. wapo wanafunzi wanaofanyiana wenyewe kwa wenyewe au kuonea wale wadogo kuwaingiza machakani, mabanda mabovu etc. Fundisha mwanao vizuri aepuke haya.

Wapo ndugu unaokaa nao na kuwalaza na watoto wako wadogo hao ndugu au mgeni aliyekuja, au kulala na houseboy, shamba boy/mfuga mifugo wako wa dairy cattle DSM-hawa tazama weka onyo kwamba ukimsikia na kupata taarifa kwa mtoto utamfunga tu. waelimishe na watoto ambao hutishiwa na kuhongwa visent, kaka anampenda sana na kumlea vizuri kumbe anamuharibu wewe hujui. kagua watoto me na ke mbele na nyuma ili nao waogope na hao waishio nao. Usichanganye watoto wakubwa na wadogo ktk malazi kutokana na uhaba wa vyumba na kuchanganya watoto wa umri tofauti-wengi wameharibika na ndio chanzo cha ushoga-anazoea.

Wapo changudoa ambao ni Toigo na Voda kwa bei tofauti hawa huharibu waume za watu. Anapozoea-inakuwa tatizo ktk ndoa. Tulipowahoji wale ambao walifanya mchezo huu mbaya kimila na maadili ya kiafrika na kidini:-wale walioanza na wasichana mambo ya Tigo-HAWAKUWAOA HAO WALIOFANYA NAO HAYO. WALIOA WENGINEO AMBAO HAWAKUENDELEA NAO HAYO. Wasichana/wanawake walioanza mambo hayo shuleni walipoolewa-hawakufanya na waume zao ambao hawakuomba suala hilo na wala mume hakujua kama huyo alishafanya hivyo. Ni wachache sana waliolazimisha wake zako kufanya tendo na kutishia talaka, moto unawaka daily na anakwenda nje anamaliza mambo yake anarudi apendavyo. kama wewe hutaki, wenzako wanataka-bye-anatoka!!

Utafiti huu tulifanya 1997 na tuliangalia kama mchezo huu mtu alianza kwa sababu ya kuwa pwani (sample, DSM, Bagamoyo, ZNZ). Utafiti haukuona uhusiano wa kuwahi kuja au kuishi Dar na kupenda upotofu huu wa Tigo. Mtu alianza akiwa Songea, Iringa, Mwanza, Mbeya. Ni pale yalipomkuta maisha na matatizo hayo akiwa dar au popote pale kwani tuliangalia alizaliwa wapi Tigo, kabila lake na Dar, Bgmoyo, ZNZ kafika lini. Mazingira  ya maisha ni muhimu zio kuwa Pwani au visiwani. yupo ambaye aliweka alama ya vema kuonyesha akiwa mwanaume-ameolewa, ameoa, ametalikiwa na ametaliki. Hii ilituchanganya. Lakini alikuwa na bwana (sodomy-kama gay) akaachwa na bwana; akaoa akaona haimfai akamuacha mke -akataliki.

Utafiti tumeuendeleza kila mwaka alipopatikana mtu au kikundi cha masuala haya hadi sana. Tumeongea na bisexuals, gays, transgender na lesbians. Tumeangalia pia alianzaje akiwa wapi na circumstances, anaishije, maisha na matatizo. Tusijidanganye, matatizo ni makubwa sana na source 80% ndani ya familia kunatoka watu hawa. Sasa wale ambao ndio wateja wa gays wamebadilika sura na gays wanakotoka imebadilika sana kidini (imechanganyika) na kikabila uelekeo umebadilika na huwezi kuamini. sitoongea hapa.Aina za gays na lesbians ni nyingi pia sio moja tu. Ndani ya familia (ndoa) na mahusiano kwa sasa kuna usumbufu zaidi wa watu kupenda haya unayoongea hapa tracy pamoja na kuwepo ukimwi na elimu juu ya magonjwa ya STDs na cancer za koo kutokana na watu kufanya mila iliyokataza. sio sigara tu kuleta cancer au viroba na mengine yaingizayo virus kooni. Waafrika hatupendi kuongea ukweli-tunajidanganya lakini nyuma ya pazia-ndio wenyewe.
Tukazane na maadili ya kiafrika katika mahusiano. Kiafrika mume akitaka Tigo ilikuwa ni leseni ya ndoa kuvunjwa. wapo wanaowafundisha wasichana wasiojua kuwa hiyo ni njia ya kawaida ya mapenzi nao wajinga hawajui. watu wa race nyingine hutumia Tigo kama uonevu na kukomoa kuchezea hao masikini si unampa hela. Wanawapangia vyumba/nyumba lakini akirudi kwake unamuona kama mtu safi mheshimiwa lakini amempangia shoga hata kama home hafanyi hivyo na mkewe.

Siku mke akimfumania mumewe na shoga marafiki wakimtonya-anamvaa shoga na kumpiga mume anamuacha-analinda ndoa na penzi. Yawezekanaje kakijana kadogo kamlazimishe baba mtu mzima ambaye ni mumeo umemfumania lakini humpigi? unaleta umma kumpiga shoga? shoga wamelalamika mengi wanapokamatwa na kuwekwa korokoroni. Sitosema hapa.

Huenda kitabu kitatoka kabla mwaka kuisha ili tujione katika kioo chetu wenyewe tuavche unduma kuwili. NGO yetu imetibu kwa kujitolea watoto wanafunzi wanaobakwa majumbani na njia ndefu ya kwenda wenye STDs (kilosa) na kujaribu kufikisha mahakamani baadhi ya kesi za ubakaji-ikashindikana kutokana na rushwa; mila za kiafrika za usiri kufanya mke, ndugu kuzuia na viongozi wa kijiji kutokutoa ushirikiano.

Asiyefahamu afahamu haya ni ya ukweli si porojo. Chunga wanao na vijana wako, akizoea anakuwa anataka haya ktk ndoa.

Mkundu enye ugonjwa shauri ya mchezo wa Tigo! Lazima anapata taabu wakati wa kunya! (Samahani kwa lugha lakini ukikubali kufanyiwa vituko ndo maneno yenyewe!)


 *************************************************

Kusoma habari zaidi za jinsi vijana wanavyooza Bongo kwa mchezo wa Tigo BOFYA HAPA:

Friday, April 12, 2013