Showing posts with label Nyama. Show all posts
Showing posts with label Nyama. Show all posts

Saturday, October 08, 2016

Nyama Choma Fesitval - Rock City Mall Mwanza

Rock City Mwanza hili ni balaa jingine la burudani ni ndani ya Rock City Mall, leo Jumamosi Oktoba 08,2016 ambapo Wananzengo watakuwa wakipata raha ya The Nyama Choma Festival huku jukwaani mkali AY akidondosha burudani. 

Pia madjz wakali akiwemo Dj Dhifa kutoka Lake Fm Mwanza. Kwa Shilingi Elfu Kumi tu, unaburudika kuanzia saa 12 jioni hadi kucheeeeeeeee!
Na BMG
Dj KFlip kutoka 102.5 Lake Fm atakuwepo
Dj HCue kutoka 102.5 Lake Fm atakuwepo
Rock City Mwanza hili ni balaa jingine la burudani ni ndani ya Rock City Mall, leo Jumamosi Oktoba 08,2016 ambapo Wananzengo watakuwa wakipata raha ya The Nyama Choma Festival huku jukwaani mkali AY akidondosha burudani. 

Pia madjz wakati kutoka Lake Fm Mwanza. Kwa Shilingi Elfu Kumi tu, unaburudika kuanzia saa 12 jioni hadi kucheeeeeeeee!
Bonyeza HAPA Kujua Zaidi.

Saturday, May 16, 2015

Mgahawa Nigeria Yafungwa kwa Kulisha wateja Nyama ya Binadamu!

Nigeria ina idadi kubwa sana ya watu. Sasa wengine wameamua kuwapunguza kwa kuwala! 

*******************************************************

Sad and horrifying and gross and true.

Nyama ya bindamu buchani Ulaya (pichani si nyama ya bindamu kweli bali nyama  ya n'gombe iliyoumbwa kwa shepu ya bindamu)





Kutoka  EATER:

A hotel restaurant in Anambra, Nigeria has been shuttered by authorities for serving human flesh. According to the BBC, suspicious residents told police of rumors that the restaurant was cooking human meat for customers. Police then raided the restaurant, where they discovered fresh human heads that were still bleeding. The blood was in the process of being drained into a plastic bag.
In addition to the illegal meat, authorities discovered automatic weapons, grenades, and cell phones. Ten people were arrested in conjunction with the crimes. One resident said, "Every time I went to the market, I observed strange activities going on in the hotel. People who were never cleanly dressed and who looked a bit strange made their way in and out of the hotel, making me very suspicious of their activities. I am not surprised at the shocking revelation."
A priest who ate at the restaurant was alarmed when presented with a bill of 700 Naira, or roughly $3.50 (Tens of millions of people in Nigeria subsist on less than $1 a day). "The attendant noticed my reaction and told me it was the small piece of meat I had eaten that made the bill scale that high," he said. "I did not know I had been served with human meat, and that it was that expensive."
Last year, Australian chef Marcus Volke murdered and cooked his girlfriend before killing himself. In Brazil, also last year, a man and two women were arrested for murdering potential nanny candidates and then cooking their flesh into empanadas.


Monday, August 15, 2011

Huko Asia Weusi ni Mboga!

ONYO - Nimepata kwa email. Kama huna roho ngumu usiangalie hizi picha! Kama sikosei ni Thaliand hapo. Cheki wanavyomkata huyo marehemu kama nyama kwenye bucha! Nadhani tumejua ndugu zetu walioenda huko na wakapotea waliishia wapi sasa! DUH!


































































Email Text:
THAI & CHINESE PEOPLE EATING A BLACK MAN. I have never seen anything like this before! The Asian appetite for "exotic" taste sometimes scare me - from stories of cat eating to dogs, to lizard, snakes to all sorts of crazy fish, then human embryos and now to fully grown humans! The photo of the person you are about to watch could have been somebody's fiance, husband or Dad! This looks too real to be true.
How I wish all black leaders watch these photos and give guidelines of who they allow to migrate into their countries. The time has come for black (Africans, American, West Indies etc) to rise and unite together against attrocities committed by foreigners on them either on their soil or abroad. Time to pray to God is now!

Friday, June 13, 2008

Nyama Pori Adimu Afrika

Wadau, hebu cheki hii habari. Wanasema nyama pori ni adimu huko Cameroon, Afrika Magharibi. Wanasema nyama wengine wamepotea kabisa.

Nadhani Afrika Mashariki hatujaingia kwenye hatua ya kusema nyama pori ni adimu. Wanyama walikuwa wengi kweli huko Afrika Magharibi kama walivyokuwa Bongo mfano Serengeti. Ila waliruhusu watu kuwamaliza. Bora Tanzania tuna hifahdhi za wanyama. Na wanyama wako kibao.

http://ac360.blogs.cnn.com/2008/06/13/whats-for-dinner-porcupine/

Thursday, October 11, 2007

Bado Hajashiba!

Snoop Dogg na wembamba wake kamaliza fillet mignon, prime rib sijui. Bongo watu wangapi wangepata dishi hapo?