Showing posts with label Prayers. Show all posts
Showing posts with label Prayers. Show all posts

Thursday, January 14, 2016

Maombi ya Kumombea Rais Magufuli na Serikali Yaka Mjini Mwanza

Viongozi mbalimbali wa dini wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo (wa pili kushoto walioshikilia bendera), katika Maombi ya Kumuombea Rais Magufuli na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Na:George Binagi-GB Pazzo @Binagi Media Group (BMG)
Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza kwa kushirikiana na Umoja wa Maaskofu kutoka Jijini Dar es salaam jana January 13,2015 ulifanya Mamombu Maalumu ya Kumuombea Rais wa wa awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli pamoja na Wasaidizi wake.

Maombi hayo yalifanyika katika Uwanja wa Furahisha Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa Serikali na Dini huku pia wananchi wakijumuika pamoja na waumini wa dini mbalimbali katika maombi hayo.

Mgeni Rasmi katika maombi hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ambae katika hotuba yake, aliwasihi Watanzania wote kuendelea kuliombea Taifa ili kuondokana na vikwazo mbalimbali ambapo alidokeza kuwa kupitia maombi kama yaliyofanyika jana, migogoro mbalimbali ikiwemo ya kisiasa kama iliyopo Zanzibar itamalizika.

Viongozi mbalimbali wakiwemo Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza Askofu Charles Sekelwa, Makamu wake Zenobius Issaya pamoja na Kiongozi wa Kundi la Maaskofu kutoka Jijini Dar es salaam la Good News For all Ministry Askofu Dr.Charles Gadi pamoja na viongozi wengine wa dini kutoka mikoa mbalimbali nchini waliliombea Taifa na kuhimiza utuliza nchini.

Wasaidizi wa wa Rais Maguguli ambao ni pamoja na Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu, Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa, Jaji Mkuu Mhe.Othman Chande, Spika wa Bunge Mhe.Job Ndugai, Mawaziri pamoja na viongozi wengine wa Serikali wa awamu ya tano waliombewa ili kuliongoza vema taifa kwa kuendana na kasi ya Rais Magufuli.

Pamoja na mambo mengine, ia maombi hayo yalijumuisha toba kwa taifa, kumuomba Mungu kukomesha mauaji ya Vikongwe na watu wenye ulemavu wa ngozi pamoja na kuombea taifa mvua zisizo na madhara. 
Viongozi mbalimbali wa dini wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo (Wa tatu kushoto) katika Maombi ya Kumuombea Rais Magufuli na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Viongozi mbalimbali wa dini
Maombi ya kuliombea Taifa yaliyofanyika Jijini Mwanza jana
Viongozi mbalimbali wa dini wakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
Kulia ni Mwenyekiti Msaidizi wa Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza Zenobius Isaya akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Mwenyekiti Msaidizi wa Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza Zenobius Isaya akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Mmoja wa Viongozi wa dini akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza Askofu Charles Sekelwa  akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Kiongozi wa Kundi la Maaskofu kutoka Jijini Dar es salaam Askofu Dr.Charles Gadi akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Viongozi wa dini
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akizungumza katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akizungumza katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Kwaya ya EAGT Mabatini Jijini Mwanza ikitumbuiza katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Wanahabari katika kunasa habari kwenye Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Meneja wa HHC Alive Fm Radio ya Jijini Mwanza (Kulia) akiwa pamoja na GB Pazzo (Kushoto) katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.

Tuesday, August 05, 2014

Friday, November 16, 2012

Four More Years of President Obama

Received Via E-mail


HE STILL STANDS TALL...Please Share

44th President of the USA - President Barack Obama

AND HE STILL STANDS TALL... God's grace and peace upon this man is my prayer, and I pray that before the end of his term, people's heart, mind, and eyes will open.

There will never be another like him.

May he lead and be guided in the way God would want him to lead and guide.

He is not perfect and has never claimed to be.

He and this whole country is in need of our prayers.

It only takes a spark.

NO President has ever worked this hard for our country.

Many wonder, does he ever sleep??

Only God can sustain such energy, knowledge, and person.

Please let us form a powerful prayer chain around our President and his family and ask God to secure it with love, protection, mercy and grace.

Amen.

*********
Will you please join in this prayer?

Let's keep this going!

Lord,

We pray for optimum health, mental clarity and political prosperity for President Barack Obama.

We pray that what he lacks in political 'experience' you make up for with supernatural wisdom and power.

We also pray that when his enemies come upon him they will stumble and fall; and that your love will fill his heart to the end and that 'Your Will' be done through him.

All you are asked to do is keep this circulating if you are so inclined.

May God bless and keep you.

"For to be free is simply not to cast off one's chains, but to live in a way that respects and enhances the freedom of others"

- Nelson Mandela

Monday, March 29, 2010

Tumwombee Rais Obama

Wadau, nimepokea hii kwenye e-mail. Ni kweli kuna watu wanamwombea rais Obama mabaya. Kuna watu wanaomba hata afe wakidai eti ni mkomunisti! Zaidi ya hiyo wanachukia kuongozwa na mweusi. Habu ona zile rallies za Sarah Palin, na Tea Party ni akina nani wanaoenda? Tumwombea uzima Rais Obama!

*************************************************
Pray for our President

If you have not noticed...few Presidents have ever worked this hard for our country, having to deal with such hatred and ill-will. Many wonder, does he ever sleep? Only God can sustain such energy, knowledge and person. Will you please join in this prayer?

Let's keep this going!

Lord, We pray for optimum health, mental clarity and political prosperity for President Barack H. Obama. We pray that what he lacks in political 'experience' you make up for with supernatural wisdom and power.

We also pray that when his enemies come upon him they will stumble and fall; and that your love will fill his heart to the end that 'Your will' be done through him.

We pray mightily for his protection. As we plead the Blood of your son, Jesus, over him and his family. We reverently ask you to dispatch legions of angels to protect them from all hurt, harm, danger as he serves as the President of the United States of America.

We thank you and praise you for answering our sincere prayers, in Jesus' precious name, AMEN.
All you are asked to do is keep this circulating if you are so inclined.

May God bless and keep you...

Monday, August 04, 2008

Morgan Freeman aumia vibaya katika ajali ya gari!


Habari kutoka Mississippi zinasema kuwa mwigizaji mashuhuri wa sinema, Morgan Freeman (71) ameumia vibaya katika jali ya gari aliyoipata jana usiku huko.

Habari zinasema kuwa Freeman alikuwa anaendehsa gari mwenyewe alipopata ajali. Mwanamke ambaye abiria ndani ya gani naye kaumia vibaya. Hawajasema huyo mwanamke ni nani.

Ilibidi watolewe kwenye hiyo gari na 'jaws of life'.

Habari pia zinasema watu walipojua kuwa ni yeye, Morgan Freeman ndani ya gari hiyo mashabiki walianza kupiga picha za ajali na majerehi.

Freeman ni mwaigizaji wa tatu kutoka sinema, Batman The Dark Knight kupatwa na maafa.

1. Heath Ledger alikufa baada ya kunywa mchanganyiko wa madawa mbalimbali.

2. Christian Bale alifungwa baada ya kumpiga mama yake mzazi na dada yake.

Sasa Freeman kapata ajali mbaya ya gari.

Laana ya Batman nini? DUH!

Nitawapa habari nikizipata, kwa sasa mnaweza kupata habari zaidi:

http://ap.google.com/article/ALeqM5jNttk7bYjxd_EyVMhB-0WLJQv2-AD92BIUP00

http://www.telegraph.co.uk/news/newstopics/celebritynews/2500038/Actor-Morgan-Freeman-seriously-injured-in-Mississippi-car-accident.html

http://www.suntimes.com/entertainment/people/1089879,freeman080408.article

*********************************************************

Ukitaka kumpa Pole Morgan Freeman, soma chini:

MEMPHIS, Tenn., Aug 04, 2008 /PRNewswire-USNewswire via COMTEX/ -- The following is a statement by Donna Lee - Spokesperson/Publicist for Morgan Freeman:

Regarding Morgan's injuries - "Morgan has a broken arm, elbow and has minor shoulder damage but was in good spirits when I spoke with him a short time ago at the Elvis Presley Memorial Trauma Center at The MED, a Level 1 Trauma Center at the Regional Medical Center at Memphis.

He is having a little bit of surgery this afternoon or tomorrow to help correct the damage. He says he'll be OK and is looking forward to a full recovery."

Folks are welcome to send well wishes - no flowers or gifts - to:
PO Box 16548, Encino, CA 91416 in care of Morgan Freeman

Or they can blog him at:
http://www.planitnow.org/morgan/

He and we thank everyone who has sent them for the good wishes and prayers.

SOURCE Donna Lee - Spokesperson/Publicist for Morgan Freeman