Showing posts with label Maombi. Show all posts
Showing posts with label Maombi. Show all posts

Thursday, January 14, 2016

Maombi ya Kumombea Rais Magufuli na Serikali Yaka Mjini Mwanza

Viongozi mbalimbali wa dini wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo (wa pili kushoto walioshikilia bendera), katika Maombi ya Kumuombea Rais Magufuli na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Na:George Binagi-GB Pazzo @Binagi Media Group (BMG)
Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza kwa kushirikiana na Umoja wa Maaskofu kutoka Jijini Dar es salaam jana January 13,2015 ulifanya Mamombu Maalumu ya Kumuombea Rais wa wa awamu ya tano ya Jamhuri ya Muungani wa Tanzania Mhe.Dkt.John Pombe Magufuli pamoja na Wasaidizi wake.

Maombi hayo yalifanyika katika Uwanja wa Furahisha Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wakiwemo viongozi wa Serikali na Dini huku pia wananchi wakijumuika pamoja na waumini wa dini mbalimbali katika maombi hayo.

Mgeni Rasmi katika maombi hayo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo ambae katika hotuba yake, aliwasihi Watanzania wote kuendelea kuliombea Taifa ili kuondokana na vikwazo mbalimbali ambapo alidokeza kuwa kupitia maombi kama yaliyofanyika jana, migogoro mbalimbali ikiwemo ya kisiasa kama iliyopo Zanzibar itamalizika.

Viongozi mbalimbali wakiwemo Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza Askofu Charles Sekelwa, Makamu wake Zenobius Issaya pamoja na Kiongozi wa Kundi la Maaskofu kutoka Jijini Dar es salaam la Good News For all Ministry Askofu Dr.Charles Gadi pamoja na viongozi wengine wa dini kutoka mikoa mbalimbali nchini waliliombea Taifa na kuhimiza utuliza nchini.

Wasaidizi wa wa Rais Maguguli ambao ni pamoja na Makamu wa Rais Mhe.Samia Suluhu, Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa, Jaji Mkuu Mhe.Othman Chande, Spika wa Bunge Mhe.Job Ndugai, Mawaziri pamoja na viongozi wengine wa Serikali wa awamu ya tano waliombewa ili kuliongoza vema taifa kwa kuendana na kasi ya Rais Magufuli.

Pamoja na mambo mengine, ia maombi hayo yalijumuisha toba kwa taifa, kumuomba Mungu kukomesha mauaji ya Vikongwe na watu wenye ulemavu wa ngozi pamoja na kuombea taifa mvua zisizo na madhara. 
Viongozi mbalimbali wa dini wakiwa katika picha ya pamoja na Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo (Wa tatu kushoto) katika Maombi ya Kumuombea Rais Magufuli na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Viongozi mbalimbali wa dini
Maombi ya kuliombea Taifa yaliyofanyika Jijini Mwanza jana
Viongozi mbalimbali wa dini wakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza
Kulia ni Mwenyekiti Msaidizi wa Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza Zenobius Isaya akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Mwenyekiti Msaidizi wa Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza Zenobius Isaya akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Mmoja wa Viongozi wa dini akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Umoja wa Makanisa Jijini Mwanza Askofu Charles Sekelwa  akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Kiongozi wa Kundi la Maaskofu kutoka Jijini Dar es salaam Askofu Dr.Charles Gadi akiwa katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Viongozi wa dini
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akizungumza katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Mgeni Rasmi Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Magesa Mulongo akizungumza katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Kwaya ya EAGT Mabatini Jijini Mwanza ikitumbuiza katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Wanahabari katika kunasa habari kwenye Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.
Meneja wa HHC Alive Fm Radio ya Jijini Mwanza (Kulia) akiwa pamoja na GB Pazzo (Kushoto) katika Maombi ya kumuombea Rais Magufuli, wasaidizi wake pamoja na Taifa yaliyofanyika jana Jijini Mwanza.

Saturday, October 24, 2015

Uchaguzi - Tanzania 2015 - Tunaomba kuwe na Amani Tanzania

Wadau,  WaTanzania wa Disapora wanaomba Uchaguzi 2015 upite kwa AMANI.

Mungu awabariki wagombea na waTanzania.

May the Best Man win!


Wagombea Wakuu ni Mh. Edward Lowassa (UKAWA) na Mh. John Pombe Magufuli (CCM)

Saturday, December 21, 2013

Pray for Jahi McMath (Currently on LIfe Support)

UPDATE:   Jahi's mother released a photo of her holding Jahi's hand last night Friday December 20, 2013.

Jahi's Mom holds her hand


Jahi McMath

OAKLAND, Calif. (AP) - A judge on Friday ordered a California hospital to keep a girl declared brain dead on life support following what was supposed to be a routine tonsillectomy.

   The ruling by Superior Court Judge Evelio Grillo came as both sides in the case agreed to get together and chose a neurologist to further examine 13-year-old Jahi McMath and determine her condition. The judge scheduled a hearing Monday to appoint a physician.

   The girl's family sought the court order to keep Jahi on a ventilator while another opinion is sought. They left the courtroom without commenting.

   The family says doctors at Children's Hospital Oakland wanted to disconnect life support after Jahi was declared brain dead on Dec. 12.

   After her daughter underwent a supposedly routine tonsillectomy and was moved to a recovery room, Nailah Winkfield began to fear something was going horribly wrong.

   Jahi was sitting up in bed, her hospital gown bloody, and holding a pink cup full of blood.

   "Is this normal?" Winkfield repeatedly asked nurses.

   With her family and hospital staff trying to help and comfort her, Jahi kept bleeding profusely for the next few hours then went into cardiac arrest, her mother said.

   Despite the family's description of the surgery as routine, the hospital said in a memorandum presented to the court Friday that the procedure was a "complicated" one.

   "Ms. McMath is dead and cannot be brought back to life," the hospital said in the memo, adding: "Children's is under no legal obligation to provide medical or other intervention for a deceased person."

   In an interview at Children's Hospital Oakland on Thursday night, Winkfield described the nightmarish turn of events after her daughter underwent tonsil removal surgery to help with her sleep apnea.

   She said that even before the surgery, her daughter had expressed fears that she wouldn't wake up after the operation. To everyone's relief, she appeared alert, was talking and even ate a Popsicle afterward.

   But about a half-hour later, shortly after the girl was taken to the intensive care unit, she began bleeding from her mouth and nose despite efforts by hospital staff and her family.

   While the bleeding continued, Jahi wrote her mother notes. In one, the girl asked to have her nose wiped because she felt it running. Her mother said she didn't want to scare her daughter by saying it was blood.

   Family members said there were containers of Jahi's blood in the room, and hospital staff members were providing transfusions to counteract the blood loss.

   "I don't know what a tonsillectomy is supposed to look like after you have it, but that blood was un-normal for anything," Winkfield said.

   The family said hospital officials told them in a meeting Thursday that they want to take the girl off life support quickly.

   "I just looked at the doctor to his face and I told him you better not touch her," Winkfield recalled.

   The family filed a request Friday for a temporary restraining order prohibiting the hospital from taking Jahi off life support or any of her other current treatment.

   At the hearing later, the hospital's attorney, Doug Straus, said two doctors unaffiliated with the hospital examined Jahi and concluded that she was brain dead. But he said, "We're happy to cooperate with the judge's suggestion that an independent expert be provided to confirm yet again that brain death is the outcome that has occurred here."

   The family's attorney, Christopher Dolan, said the family wanted independent tests of their own because they do not believe the hospital's physicians are sufficiently independent.

   "There is mistrust and there is a conflict of interest," he said.

   Judge Grillo said he would grant the restraining order in hopes that a resolution could be reached by Christmas to give the family peace of mind.

   Hospitals do a barrage of sophisticated tests to determine brain death, said Dr. Cristobal Barrios, an associate professor and a trauma and critical care surgeon at the University of California, Irvine. He is not involved in Jahi's care and spoke about general hospital protocols.

   The tests include touching a patient's cornea to elicit a blink, moving a breathing tube to stimulate a gag reflex, tickling the back of the throat to bring on a cough, and applying pressure or pain.

   If the patient fails to respond to all of those tests, doctors remove the breathing tube for a few minutes. If there is any brain activity, the patient should begin breathing within a few minutes, he said.

   In some cases, doctors will also draw a blood sample, add radioactive tags and re-inject it into the body to track where it flows. If the blood doesn't flow to the brain, Barrios said, there is no brain activity.

   Generally, two teams of specialists must run the tests and determine independently that the patient is brain dead, he said. At UC Irvine, those evaluations must take place 12 hours apart if the patient is a child.

   Barrios said it's not unusual for family members to resist a diagnosis of brain death.

   While the hospital is not obligated to keep life support going after that diagnosis, Barrios has left brain dead patients hooked up for up to five days while family members move toward acceptance, he said.

   "I understand why sometimes for families it's devastating and confusing," he said.

Friday, November 16, 2012

Four More Years of President Obama

Received Via E-mail


HE STILL STANDS TALL...Please Share

44th President of the USA - President Barack Obama

AND HE STILL STANDS TALL... God's grace and peace upon this man is my prayer, and I pray that before the end of his term, people's heart, mind, and eyes will open.

There will never be another like him.

May he lead and be guided in the way God would want him to lead and guide.

He is not perfect and has never claimed to be.

He and this whole country is in need of our prayers.

It only takes a spark.

NO President has ever worked this hard for our country.

Many wonder, does he ever sleep??

Only God can sustain such energy, knowledge, and person.

Please let us form a powerful prayer chain around our President and his family and ask God to secure it with love, protection, mercy and grace.

Amen.

*********
Will you please join in this prayer?

Let's keep this going!

Lord,

We pray for optimum health, mental clarity and political prosperity for President Barack Obama.

We pray that what he lacks in political 'experience' you make up for with supernatural wisdom and power.

We also pray that when his enemies come upon him they will stumble and fall; and that your love will fill his heart to the end and that 'Your Will' be done through him.

All you are asked to do is keep this circulating if you are so inclined.

May God bless and keep you.

"For to be free is simply not to cast off one's chains, but to live in a way that respects and enhances the freedom of others"

- Nelson Mandela

Thursday, May 20, 2010

Mtumishi wa Mungu Mama Habiba Atakuwa Dallas!

Wapendwa katika shamba la Bwana. Ninayoheshima kukukaribisha ili uweze kukutana na mtumishi wa Mungu Mama Habiba.Inawezekana umewahi kumsikia huyu mtumsihi kwa namna moja au nyingine au hujawahi kumsikia.Mama Habiba ni mama aliyepewa karama ya maombezi na Mungu na amekuwa akiifanya hii kazi kila Mungu alipompeleka.Watanzania wengi wanaoishi hapa Marekani wamekuwa wakisafiri kwenda Houston ili kuombewa na mama huyu na wengine wengi kwa mamia wemekuwa wakiombewa kwa njia ya simu.Mama Habiba atakuwa mgeni wetu kuanzia Jumamosi mpaka Jumapili (22&23/5).

Mama Habiba atafuatana na ujumbe wa watu kama 20 ukiongozwa na Dr.Jerrry Mng'wamba.
Kutokana na uwezo wa ukumbi wetu na ushauri tuliopewa hatutaweza kuchukua watu zaidi baada ya ukumbi kujaa.Ninakushauri ujitahidi kuwahii ili uwe na uhakika wa kupata nafasi ya kukaa bila usumbufu.Milango itakuwa wazi kuanzia saa kumi na moja kamili jioni.

Kwa Maelezo zaidi; 214 554 7381, 682 552 6402, 214 773 6697

Mungu akubariki sana na naomba ufoward huu ujumbe kwa kila mtu bila kujali dini,kabila au nchi anayotoka.

Pastor
Venue:
Trinity Church
12727 Hillcrest Road
Dallas, Texas 75230

Jumamosi kuanzia saa 12 jioni 6:00PM

Jumapili 9:00AM to 11:00AM (saa tatu hadi saa tano asubuhi)
na 5:00PM - 8:00PM (saa 11 hadi saa mbili jioni)