Huyu ni Bwana Christopher Maganga Malecha wa Tenki Bovu, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Anasema anataka kutangaza Tanzania kwa dunia. Anapenda sana kuvaa nguo za Khanga amabazo anashona mwenyewe. Asili yake ni MNyamwezi kutoka Tabora. Anapatikana sehemu za Chai Bora njia ya kwenda Goba.
Showing posts with label Tanzania. Mbezi Beach. Show all posts
Showing posts with label Tanzania. Mbezi Beach. Show all posts
Monday, December 20, 2010
Mr. Tanzania - Christopher Maganga Malecha
Huyu ni Bwana Christopher Maganga Malecha wa Tenki Bovu, Mbezi Beach, Dar es Salaam. Anasema anataka kutangaza Tanzania kwa dunia. Anapenda sana kuvaa nguo za Khanga amabazo anashona mwenyewe. Asili yake ni MNyamwezi kutoka Tabora. Anapatikana sehemu za Chai Bora njia ya kwenda Goba.
Labels:
Dar es Salaam,
Khanga,
Tanzania. Mbezi Beach
Subscribe to:
Comments (Atom)


