Showing posts with label Uwongo.. Show all posts
Showing posts with label Uwongo.. Show all posts

Tuesday, January 15, 2013

Profesa Jay aka. Joseph Haule Yu Hai - Hajafa!

Wadau, leo habari zilisambaa kwa kasi kuwa mwimbaji, rapper Profesa Jay aka. Joseph Haule, alizimia na kufa hapo papo.  Asante Twitter na Facebook habari hiyo ya uwongo ulisambaa kwa haraka.

Nafurahi kuwaaambia kuwa hiyo habari si kweli.   Profesa Jay yu hai na anawasalimia.  Namtakia Projesa Jay maisha marefu.

Jamani, acheni tabia mbaya ya kuzusha habari zisizo kweli!