Showing posts with label Aging. Show all posts
Showing posts with label Aging. Show all posts
Wednesday, October 15, 2014
Monday, June 29, 2009
Michael Jackson Angelikuwa Bila MaSurgery
Wadau, marehemu Michael Jackson, hakupenda weusi wake. Alitaniwa sana na ndugu zake kwa vile alikuwa na pua kubwa. Baba yake alikuwa anamwita, "Big Nose" (pua kubwa). Matokeo yake alijigeuza mzungu na kachonga pua yake.
Kuna Forensic Scientist ambaye amachora picha ya jinsi Michael angelikuwa kama asingejiharibu kwa maplastic surgery.
*************************************************************************
Michael mwaka juzi
Kuna Forensic Scientist ambaye amachora picha ya jinsi Michael angelikuwa kama asingejiharibu kwa maplastic surgery.
*************************************************************************
Michael mwaka juziWednesday, January 07, 2009
Urais Unazeesha

Kuwa rais wa Marekani ni kazi ngumu. Wataalamu wanasema kuwa ukiwa rais unazeeka haraka, mara mbili kuliko mtu wa kawaida. Kazi ipo.
Kusoma habari zaidi na kuona picha za jinsi marais wa Marekani walivyozeeka wakiwa madarakani, BOFYA HAPA:
******************************
Subscribe to:
Comments (Atom)






