Showing posts with label Michael Jackson. Show all posts
Showing posts with label Michael Jackson. Show all posts

Friday, June 25, 2010

KumbuKumbu Michael Jackson 1958-2009

Kuna mtu ambaye alitumia programu ya kompyuta kupata piacha ya kulia. Eti Michael angekuwa hivyo kama asingejiharibu kwa ma plastiki surgery na kujikrimu. Mbona anagekuwa handsome. Badala yake kajirhaibu huko akisema Mungu alitak awe hivyo.


THRILLLER!



(Michael na baba yake Joe Jackson)

Leo ni mwaka moja tangu mwimbaji maarufu, Michael Jackson afariki dunia. Kwa vile alikuwa na sura nyingi, nimeamua kuweka picha zinazoonyesha nyuso zake. Wengine wanamkumubuka vizuri alivyo kuwa mweusi, na wengine wanamkumbuka alivyogeuka kuwa mzungu.
REST IN ETERNAL PEACE MICHAEL! WE MISS YOU BUT YOUR MUSIC LIVES ON!

Kwa habari zaidi someni:

Saturday, March 27, 2010

Kumbe Kweli Michael Jackson Alikuwa Anajichubua!

Michael Jackson kabla hajajichubua
Michael Jackson baada ya kujichubua


Ukweli umefichuka. Kumbe ni kweli Michael Jackson alikuwa anajichibua na makrimu, ndo maana rangi yake iligeuka kuwa kama mzungu. Jackson alikuwa anaumwa ugonjwa wa Vitiligo ambao muathirika anakuwa na mabaka mwilini. Ni mweusi lakini nakuwa na vipande vikubwa kama ngozi ya kizungu. Mimi niliona vigumu kuamini habari ya vitiligo. Kwanza nafahamu watu wengi hapa Marekani ambao ni waathrika na hata wakipaka make-up kuficha mabaka utawajua tu. Kumbe Jackson aliaamua awe mzungu kimoja na afute hayo mabaka meusi!

Leo kuna habari kuna tube kibao za krimu za kujichubua zilikutwa nyumbani kwa Jackson alivyofariki. Wanasema kuwa watu walijaribu kuzificha. Miaka ya 80 mwanzoni kulikuwa na madai kuwa Michael Jackson alikuwa anaoga katika madawa ya kujichubua na usikua alikuwa anajipaka makrimu kibao za kujichua na kusudi ziwe kali zaidi alikuwa anafunika mwili waka na plastiki (cling wrap) wakati analala. Kulikuwa na habari kuwa Jackson alisema kuwa anachukia weusi wake. Huenda ni kweli maana alichonga pua yake kuwa kama ya mzungu.
Kwa habari zaidi someni:



Monday, August 24, 2009

Kifo cha Michael Jackson Sasa ni Kesi ya Mauaji!!!


Duh! Kumbe Michael Jackson aliuawa na daktari wake! Makubwa!

***************************************************************
Coroner rules Jackson's death homicide

LOS ANGELES - The Los Angeles County coroner has ruled Michael Jackson's death a homicide, a law enforcement official told The Associated Press, a finding that makes it more likely criminal charges will be filed against the doctor who was with the pop star when he died.

The coroner determined a fatal combination of drugs was given to Jackson hours before he died June 25 in his rented Los Angeles mansion, according to the official who spoke on condition of anonymity because the findings have not been publicly released. Forensic tests found the powerful anesthetic propofol acted together with at least two sedatives to cause Jackson's death, the official said.

Dr. Conrad Murray, a Las Vegas cardiologist who became Jackson's personal physician weeks before his death, is the target of a manslaughter investigation by the Los Angeles Police Department. According to a search warrant affidavit unsealed Monday in Houston, Murray told investigators he administered a 25 mg dose of propofol around 10:40 a.m. after spending the night injecting Jackson with two sedatives in an unsuccessful attempt to get him to sleep.
The warrant, dated July 23, states that lethal levels of propofol were found in Jackson's system. Besides the propofol and two sedatives, the coroner's toxicology report found other substances in Jackson's system but they were not believed to have been a factor in the singer's death, the official said.

Murray has spoken to police and last week released a video saying he "told the truth and I have faith the truth will prevail." His attorney, Edward Chernoff, had no immediate comment but has previously said Murray never administered anything that "should have" killed Jackson.
A call to the coroner's office was not returned Monday.

Murray did not say anything about the drugs he gave to Jackson

Wednesday, July 22, 2009

Go and Hug Your Michael


Go and Hug your “Michael”

by Kimberly Seals Allers

Yesterday I cried watching the Michael Jackson memorial. I cried for a little
black boy who felt the world didn't understand him. I cried for a little black
boy who spent his adulthood chasing his childhood. And I thought about all the
young black boys out there who may too feel that the world doesn't understand
them. The ones who feel that the world does not understand their baggy jeans,
their swagger, their music, their anger, their struggles, their fears or the
chip on their shoulder. I worry that my son, may too, one day will feel lonely
in a wide, wide world.

I cried for the young children of all colors who may live their life feeling
like a misfit, feeling like no one understands their perspective, or their soul.
What a burden to carry.

As a mother, I cried for Katherine Jackson because no mother should ever bury a
child. Period. And I think about all the pain, tears and sleepless nights that
she must have endured seeing her baby boy in inner pain, seeing him struggle
with his self-esteem, and his insecurities and to know he often felt unloved
even while the world loved him deeply. How does it feel to think that the
unconditional love we give as mothers just isn't enough to make our children
feel whole? I wonder if she still suffers thinking, "what more could I have
done?" Even moms of music legends aren't immune to mommy guilt, I suppose.

When Rev. Al Sharpton ("who always delivers one" awesome "funeral speech") said
to Michael's children, "Your daddy was not strange...It was strange what your
Daddy had to deal with," I thought of all the "strange" things of the world that
my children will have to deal with. Better yet, the things I hope they won't
ever have to deal with anymore.

And as a mother raising a young black boy, I feel recommitted and yet a little
confused as to how to make sure my son is sure enough within himself to take on
the world. Especially a "strange" one. To love himself enough to know that even
when the world doesn't understand you, tries to force you into its mold or
treats you unkindly, you are still beautiful, strong and Black. How do I do
that?

Today, I am taking back "childhood" as an inalienable right for every brown
little one. In a world, that makes children into booty-shaking, mini-adults long
before their time, I'm reclaiming the playful, innocent, run-around-outside,
childhood as the key ingredient in raising confident adults. Second, I will not
rest until my little black boy, MY Michael, knows that his broad nose is
beautiful, his chocolately brown skin is beautiful, and his thick hair is
beautiful.


And nothing or no one can ever take that away from him.

"Now aint we bad? And ain't we black? And ain't we fine? ---Maya Angelou

Tuesday, July 07, 2009

Mazishi ya Michael Jackson

Hivi sasa maelfu ya wadau wa Michael Jackson wamekusanyika huko Staples Center, Los Angeles kwenye misa ya kumwombea.

Mnaweza kusomea na kufuatilia habari za misa na mazishi CNN.com:
http://www.cnn.com/2009/SHOWBIZ/Music/07/07/michael.jackson.wrap/index.html

Monday, June 29, 2009

Michael Jackson Angelikuwa Bila MaSurgery

Wadau, marehemu Michael Jackson, hakupenda weusi wake. Alitaniwa sana na ndugu zake kwa vile alikuwa na pua kubwa. Baba yake alikuwa anamwita, "Big Nose" (pua kubwa). Matokeo yake alijigeuza mzungu na kachonga pua yake.

Kuna Forensic Scientist ambaye amachora picha ya jinsi Michael angelikuwa kama asingejiharibu kwa maplastic surgery.

*************************************************************************
Michael mwaka juzi

Alivyokuwa na miaka 13 na pua ya kawaida ya kiafrika
Akiwa late 30's bila masurgery


Mzee Michael Jackson bila masurgery

Friday, June 26, 2009

Daktari wa Michael Jackson Anatafutwa na Polisi!

Jana, walisema wapelelezi wa mauaji (Homicide) wamekwenda kwenye nyumba aliyokodi Michael Jackson kufanya uchunguzi. Sasa kuna habari kuwa daktari aliyekuwa anamtibu nyumbani kwake haonekani!

********************************************************************
June 26th, 2009

Cops look for Jackson’s doctor

Posted: 12:29 PM ET

LOS ANGELES, California (CNN) — Police are looking for Michael Jackon’s personal physician but have been unable to contact him, they said Friday.

The doctor’s car was towed from Jackson’s home Thursday and impounded, authorities said.
The car may contain “medications pertinent to the investigation” into Jackson’s death, said Detective Agustin Villanueva of Los Angeles Police Department said.
Police did not release the doctors name.

Kwa habari zaidi soma:

http://www.google.com/hostednews/ap/article/ALeqM5iJN6FHrmT75HzSZChIb2PDzFEDXgD992F6Q00

Kifo cha Michael Jackson Karibu Kiue Mtandao!

Duh! Hivi mna habari kuwa Mtandao (internet) karibu ife jana. Kisa, watu dunia nzima walikuwa wanatafuta habari za kifo cha Michael Jackson. Kama ulifanya search na kuona ilikuwa taratibu mno sababu ilikuwa hiyo, watu wengi mno waliingia kwenye neti.

Inanikumbusha siku ile 9/11. World Trade Center ilivyoangushwa. Internet ilianguka siku hiyo.

Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:

http://edition.cnn.com/2009/TECH/06/26/michael.jackson.internet/

Thursday, June 25, 2009

Vifo Vya MaCelebrity Wiki Hii

Ed McMahon 1923 - 2009

Ushauri - Muziki wa Michael Jackson

Nendeni dukani na ITunes nk. mkanunue CD's za Michael Jackson kabla hawajapandisha bei. Sijui kwa nini hapa Marekani msanii akifa ndo muziki, michoro, nk. ina kuwa mali kweli.

Halafu, kwenye FOX News niliona video iliyopigwa hivi karibuni. Kwa kweli MJ alikuwa amekondeana kama 'scarecrow'. Alikuwa amebakia mifupa na ngozi tu! Wanaongelea jinsi alivyokosa imani na watu tangu ile kesi ya yule kijana wa kizungu adai eti MJ alimbaka.

REST IN PEACE MICHAEL JACKSON

Tanzia - Michael Jackson

Michael Jackson 1958-2009

Wadau, watu wanashangaa na kulia. Michael Jackson amefariki dunia leo! Alikuwa anajiandaa kwa ajili ya concerts na watu walikuwa wanasubiri albamu yake mpya.

Taarifa ya habari inasema kuwa alifariki saa sita na dakika 20 (Pacific) mchana. Alikuwa ametoka kwenye mazoezi, ndipo alianguka. EMT's/911 waliitwa na walikuta hapumui na moyo umesimama. Walijitahidi kwa kila mbinu waliokuwa nayo kumfufua lakini wapi.

Michael atakuwa na imani sasa, maana maisha yake kwa kweli yalikuwa ya ajabu. Muziki wake ulipendwa lakini watu walibakia kushangaa jinsi alivyokuwa anaogea madawa ya bleaching (kujikrimu) mpaka kawa kama mzungu. Alifanya surgery usoni na kuchonga pua. Alikataa asili yake ya uafrika. Alisema kuwa anajitengeneza kuwa kama Mwenyezi Mungu alivyotaka awe. Na watu walisema, Michael, Mungu alikuumba alivyotaka yeye.

Tuache utani, na kumlaani sasa. Amefariki na familia yake, marafiki na mashabiki wake wamebakia na majonzi. Muziki wake utakumbukwa daima.

REST IN ETERNAL PEACE MICHAEL JACKSON
Kwa habari zaidi someni:

Michael Jackson Apata Heart Attack!


Michael kabla hajajigeuza kuwa mtu mwingine wa ajabu

DUH! Makubwa! Habari zinasema kuwa Michael Jackson alikutwa nyumbani kwake, hapumui na moyo wake umemisama! Lakini hospitali za Marekani nzuri wanaweza kumfufua, na hivyo tajiri. Tumwombee apone, ila ndugu zake wanasema afya yake ilikuwa mbovu kweli hivi karibuni.

***********************************************************
Michael Jackson in Cardiac Arrest, Rushed to Hospital

http://www.eonline.com/uberblog/b131160_michael_jackson_in_cardiac_arrest.html

Today 2:07 PM PDT by Ashley Fultz

Michael Jackson has been rushed by ambulance to the hospital after collapsing at his home.

"The call came in because a person was not breathing," says a spokesman for the Los Angeles City Fire Department, who says paramedics were dispatched to Jackson's Holmby Hills mansion shorty after noon today.

"When the team arrived, they saw that CPR was already in progress by someone at the home. The person not breathing was transported to UCLA Medical Center and remains there."

His immediate condition is unknown.

Michael's father, Joe Jackson, says he had been alerted to the emergency but didn't have any additional details.

"I am in Las Vegas, but yes, people in Los Angeles called me and are with Michael and tell me he was taken to the hospital," the elder Jackson tells E! News. "His mother is on her way to the hospital now to check in on him.

"I am not sure what's wrong. I am waiting to hear back from them."

(Originally published June 25, 2009, at 1:50 p.m. PT)




Wednesday, November 26, 2008

Barua kutoka kwa Michael Jackson

Asante mdau D.C. wa Dar kwa kuniletea hii. Ni utani lakini nadhani Michael Jackson anajuta kujikrimu mwili mzima. Bahati ana hela na anaweza kupata check-up mara kwa mara, maana wengine wanaojichuna hivyo wanakufa kwa kansa ya ngozi (skin cancer). Na hivyo siku hizi tunasikia anaumwa umwa, lazima itakuwa atahari za jinsi alivyoharibu mwili wake. Mbona kaka zake wazuri, lakini yeye alijiona mbaya. Anasema alivyo sasa ndo jinsi Mungu alivyotaka awe. Khaa! Si Mungu anakutaka uwe kamalivyokuumba?

***********************************


Message from Michael Jackson

TO ALL MY BLACK BROTHERS AND SISTERS

It is with a heavy heart and regret that I come to you my fellow black brothers and sisters.
Had I known that one day America would be ruled by a black man, I wouldn’t have changed my color.

Please tell me what I should do now?

Yours truly

Michael Jackson (Fellow Black)

Monday, February 11, 2008

Vituko Vya Michael Jackson

Michael Jackson kabla hajajiharibu kwa plastic surgery na vidonge vya kubadilisha rangi ya ngozi na dawa za kuogea za kubadilisha rangi.
Michael Jackson na mkwe wake wa wahakti huo, Debbie Rowe. Rowe alikuwa ni nesi wake na alimzalia watototo watatu. (Hao watoto ni wa Jackson kweli?)
Michael Jackson na watoto wake Prince na Paris wakiwa wamejifunika ushungi.
Watoto wa Jackson, Paris and Prince Michael walivyo leo.

Mke wa zamani wa mwimbaji maarufu Michael Jackson ambaye pia ni mama watoto wake, Debbie Rowe (49) amekasirika mno! Kisa, watoto aliyozaa na Jackson, wamepigwa picha bila kufunikwa ushungi.

Anasema kuwa walivyokuwa wadogo watu walitiisha kuwateka hao watoto. Sasa wanajua walivyo itakuwa rahisi wao kutekewa.

Baada ya kuwaona watu wanauliza kama hao kweli ni watoto wa Michael Jackson. Au ni kweli huyo Debbie Rowe alifanyiwa Artificial Insemination (kuchomwa sindano zenye shahawa/mbegu) ukeni. Si siri kuwa Jackson hakupenda weusi wake, pua kubwa, nywele za kipilipili, rangi yake. Ndo maana kajiegeuza kuwa kinyago.

Si ajabu Jackson alimchagua baba watoto wake na alinunua hiyo shahawa! Watu waliozoea kuona watu mixed wanajua kuwa lazima hao watoto watakuwa na rangi kiasi na curly hair. Hao nywele zao zimenyoka kizungu! Hebu cheki mifano ya watu mixed, kama Halle Berry, Shemar Moore, Barack Obama, na Derek Jeter. Wataalamu wa DNA wanasemaje hapo?

Kwa habari zaidi someni:

http://www.foxnews.com/story/0,2933,330232,00.html

http://breakingnews.iol.ie/entertainment/story.asp?j=245984520&p=z45985zz6