Showing posts with label Archbishop Zakaria Kakobe. Show all posts
Showing posts with label Archbishop Zakaria Kakobe. Show all posts
Wednesday, July 17, 2013
Picha za Kijana wa KiChina Aliyeponyeshwa na Askofu Kakobe
Haya wadau, picha hizi hapa za kijana wa kijana aliyekuwa hawezi kutembea anatumia wheelchair, aliyeponyeshwa na Askofu Kakobe mwezi uliyopita kwenye Mkutano Toronto, Canada.
Labels:
Archbishop Zakaria Kakobe,
Canada,
Healing,
Kupona,
Mchina,
Miracle Healing Crusade,
Toronto
Friday, June 28, 2013
Mama Aliyetembea Baada ya Miaka 18 Kwenye Wheelchair
Huyo Mama alikuwa kwenye wheelchair miaka 18. Utaona anatembea na lazima atahitaa mazoezi zaidi ili aweze kutembea vizuri. Iliktokea kwenye Bishop Kakobe's Toronto Miracle Healing Crusade, Saturday 6/22/13/
Watu Wangapi Walihudhuria Mkutano wa Askofu Kakobe Toronto?
Naona kumekuwa na maswali mengi kuhusu watu wangapi walihudhuria Mkutano wa Askofu Kakobe mjini Toronto. Idadi ya kweli ni maelfu, lakini wengine eti kwa kutizama picha wananipinga wanasema mamia. Kwanza, hamkumwepo, mimi nilikuwepo.
Ile Rexall Tennis Center ina chukua watu 10,000 (capacity). Ni kweli aikujaa. Lakini kila siku watu 2,000-3,000 walihudhuria. Parking lot zilijaa, kulikuwa na polisi wa kuongoza trafiki. Pia Paramedics (kuhudumia Wagonjwa walikuwepo wanne kila siku). Picha nilipiga lakini hazikutoka vizuri za hao Paramedics. Pia sikuona mtu aliyeenda kupata huduma yao, walienda kwa kwa Askofu.
Wakati Askofu alivyoomba watu waende kumpokea Bwana Yesu ni mamia walioenda kwa vile wengine wengi walikuwa wamekwishampokea.
Watu walikuwa wanakaa sections fulani, ndo maan zingine zilikuwa tupu. Niliona watu wa kila rangi pale, na hata waislamu. Ile stadium ni kubwa. Labda mwaka wataijaza. Pia hakuna fujo iliyotokea pale. Mambo yalienda vizuri sana.
Roho ya Bwana Yesu ilikuwepo pale Rexall. Amen. Askofu aliwaombea wafanyakazi wa pale Rexall na mji wa Toronto kwa ujumla.
Ile Rexall Tennis Center ina chukua watu 10,000 (capacity). Ni kweli aikujaa. Lakini kila siku watu 2,000-3,000 walihudhuria. Parking lot zilijaa, kulikuwa na polisi wa kuongoza trafiki. Pia Paramedics (kuhudumia Wagonjwa walikuwepo wanne kila siku). Picha nilipiga lakini hazikutoka vizuri za hao Paramedics. Pia sikuona mtu aliyeenda kupata huduma yao, walienda kwa kwa Askofu.
Wakati Askofu alivyoomba watu waende kumpokea Bwana Yesu ni mamia walioenda kwa vile wengine wengi walikuwa wamekwishampokea.
Watu walikuwa wanakaa sections fulani, ndo maan zingine zilikuwa tupu. Niliona watu wa kila rangi pale, na hata waislamu. Ile stadium ni kubwa. Labda mwaka wataijaza. Pia hakuna fujo iliyotokea pale. Mambo yalienda vizuri sana.
Roho ya Bwana Yesu ilikuwepo pale Rexall. Amen. Askofu aliwaombea wafanyakazi wa pale Rexall na mji wa Toronto kwa ujumla.
Tuesday, June 25, 2013
Picha Zaidi za Miracle Crusade wa Askofu Kakobe Toronto
![]() |
| Watu wakimpokea Yesu kama Mwokozi wao - Picha Kutoka Kakobe International Ministries |
![]() |
| Watu wakimpokea Yesu kama Mwokozi wao - Picha Kutoka Kakobe International Ministries |
![]() |
| Watu wakimpokea Yesu kama Mwokozi wao - Picha Kutoka Kakobe International Ministries |
| Halleluyah! |
| Baadhi ya Waumini |
| Baadhi ya Waumini |
| Huyo kijana wa KiChina kwenye wheelcahir alitoka kwenye mkitano akitembea mwenyewe na furaha kubwa! |
| Wagonjwa wakiombewa |
| Gari la Mama Nuru wa Toronto! |
| Baadhi ya Walinzi |
Monday, June 24, 2013
Askofu Kakobe Amaliza Ziara Yake Toronto, Canada
Wadau, nimekuwa hapa Toronto, Canada kwenye mkutano wa Askofu Kakobe. Maelfu ya watu wa kila rangi na hata waislamu walitokea. Kulikuwa na wahindi, wachina, wakorea, wazungu pamoja na waafrika wengi. Tumeshuhudia miujiza! Jana kijana wa kiChina aliyekuwa kwenye wheelchair aliweza kutembea. Bibi ambaye alikuwa kwenye wheelchair miaka 18 aliweza kutembea, viziw walisikia! Watu waliolewa mapepo! Hapa Toronto, Askofu Kakobe amefanya mengi! Mkuanta huo ulikuwa June 20-23, 2013 Rexall Centre, York University. Kweli Mungu anamtumia Askofu Kakobe!
Nimepiga picha hizi kwenye mkutano jana na juzi.
Nimepiga picha hizi kwenye mkutano jana na juzi.
| Askofu Kakobe Jukwaani |
| Walioamua kuokoka |
Wednesday, June 19, 2013
Bishop Zachary Kakobe Yuko Toronto, Canada
Since
Bishop Zachary Kakobe's arrival in Toronto for the Miracle Healing
Crusade, a number of Press Conferences and Interviews have been held
with this Man of God. During the conferences and interviews, when
Journalists asked Bishop Kakobe on what the people of Toronto should
expect at his Crusade which will be held at the Rexall Centre Tennis
Stadium, York University, from June 20-23, 2013; the Servant of God
spoke up with a very marked and unusual boldness saying, "Signs, wonders
and miracles will be the order of the day at the Crusade." To find out
more of what he spoke at the Press interviews, watch a Video of one of
the Press Conferences on YouTube titled, "MIRACLE HEALING PRESS
CONFERENCE", by following this link https://www.youtube.com/ watch?v=SMOwt2D_sUA
You can also play the Video right here on this Page, by clicking on the
"Play" icon on the image below. THE DURATION OF THE VIDEO is 7 minutes
and 1 second. STAY BLESSED!
Tuesday, June 04, 2013
Wednesday, May 22, 2013
East Africans in USA gear up for Massive Toronto Conference
![]() |
| Pastor Jared Mlongecha of the International Gospel Church in Chelsea, MA, USA |
By Harrison Maina, AjabuAfrica.com,
BOSTON, MA_Dozens of Tanzanians, Kenyans Ugandans, Rwandese and other nationals from the east African countries in Boston and Kansas are planning to attend a major Christian revival conference to be held in Toronto Canada next month presided by renowned Tanzanian evangelist, Bishop Zachary Kakobe of Zachary Kakobe International Ministries.
Dubbed the “The Toronto Miracle Healing Crusade & Restoration Retreat”, the 5 day conference has also attracted the attendance by top world gospel musicians including Don Moen, Donnie Mcclurkin Martha Munizzi and the Krystal Brothers.
It is scheduled to start on Thursday June 20th to Sunday June 23rd at the Canada Tennis Rexall Center, a popular stadium that hosts major world Tennis tournaments.
According to Rev. Jared Mlongecha pastor of the International Gospel church in Chelsea, MA, who is the main coordinator of the conference, about 50 east Africans in Boston and about 60 from Kansas Missouri are planning to attend the unique event.
Pastor Mlongecha said that the believers will travel to Toronto in busloads as a group to minimize expenses and maximize the unique experience at the 5 day conference.The trip also includes a one day relaxation trip to the famous Niagra Falls a short distance from the crusade venue.
“This is a major conference. Bishop Kakombe has done tremendous work in the spiritual world leading many to experience healing, deliverance, signs and wonders. Barren women have conceived, cancers and tumors have been healed, real problems have been solved,” said Rev. Mlongecha during an interview with AjabuAfrica.com on the upcoming conference.
He added that there will also be a Restoration Retreat where singles, couples and the youth will be ministered to Bishop Kakobe.( View more details here >> )
“We expect massive restoring broken marriages and relationships, breaking the spirit of celibacy, bad habits, addictions and many more debilitating issues of life.”
At the end of the conference, the group plans to take a time off to visit the legendary Niagara Fall for sightseeing and general entertainment, Mlongecha leads the International Gospel Church in Chelsea that is frequented by worshippers from practically all the east African nations.
“However, we are welcoming other east Africans in the region who would like to attend the unique Toronto conference to join us so they can also be ministered to by Bishop Kakobe,” he added.
Pastor Mlongecha has been closely involved at organizing international conferences for Bishop Kakobe in many different countries including motherland Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC and many others.
He said that the bishop has traveled in many other parts of the world including a sermon at the Yoido Full Gospel Church, an Assemblies of God church led by Dr. David Yonggi Cho in South Korea.
The church is considered to host the world's largest congregation with a membership of 1,000,000. (Wikipedia)
As the main coordinator for Bishop Kakobe’s international conferences, Rev. Mlongecha has been working together with a committee of pastors from different evangelical churches across Canada to organize the Toronto crusade.
According to Mlongecha, the trip to Toronto from Boston is a 9 hour drive and all the logistics have been worked out for all those who would like to accompany them for the conference.
The pastor said that conference attendees from the Boston region will take buses to Toronto at a cost of $120 per person for the roundtrip.
Plans have been worked out with the Toronto Airport Marriot Hotel, a 5 Star Hotel in Toronto where where four people can l share a room at a discounted rate of $35 a night per person.
After attending difference sessions and retreats at the conference, we will take a trip to the Niagara falls which is about 1 hour drive from the Rexall Center. There is no extra cost of this leisure trip to before we go back to our hotel for the final evening dinner.”
\
The trip has been generating a lot of excitement among many east African faithful from Boston, Kansas City, Kansas, Ohio, Michigan, and elsewhere in USA have contacted organizers with plans to attend the crusade.
This is a special kind of crusade that I will be attending together with my wife. We are looking forward to a great time with other believers,” said Rev. John Baker Katende, pastor of the global Evangelical church, a predominantly Ugandan church based in Burlington, MA.
Other east Africans reached by AjabuAfrica.com about the trip said that the trip is worth every penny as it provided a great opportunity to experience spiritual revival and taking a road trip to Toronto provides a break from the busy working schedules of most people who cherish a summer vacation.
“I will go for the trip because it provides me an opportunity to attend the crusade and take a little vacation with my family. I would also like to experience the Niagra falls in the company of people that I am familiar with. This is a great opportunity,” said Alex Kamau a Kenyan living in Boston.
For more information or to sign up for the trip, interested readers are requested to contact: Pastor Daniel Kungu (913) 850-4698 E-mail: pastor Kungu @ gmail.com
Alex Kamau (618) 509-1386. International Gospel Church (617)884-1951.
On the Net: https://bishopzacharykakobe.org/en/events/upcoming-events
Tuesday, February 26, 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)
















