Haya mmekaribisha waChina na sasa wanachukua kazi za walalahoi! Si angechoma mahindi kwao Uchina? Je, mwafrika akienda kuchoma mahindi huko China itakuwaje?
Haya wadau, picha hizi hapa za kijana wa kijana aliyekuwa hawezi kutembea anatumia wheelchair, aliyeponyeshwa na Askofu Kakobe mwezi uliyopita kwenye Mkutano Toronto, Canada.
I worked for Tanzania's Daily News for 11 years leaving as a Senior Reporter. I love acting, films, short story writing and cooking. I blog in English and Swahili. I am a member of the Screen Actors Guild (SAG) and AFTRA.
You can contact me at chemiche3@yahoo.com.