Showing posts with label Canada. Show all posts
Showing posts with label Canada. Show all posts

Wednesday, October 22, 2014

Ibada ya Kiswahili Ottawa - Ottawa Swahili Fellowship

Wadau, Pastor Edith Mwita, wa Ottawa, Canada anafurahi kuwatangazia kuwa kutakuwa na Ibada ya Kiswahili jumapili hii Oktoba 26th, kuanzia saa 11 hadi saa 1 jioni (5:00pm to 7:00pm) mjini Ottawa.

Anwani ni 36 Bentley Avenue, Ottawa.

Pia, Ibada ya Kiswahili itafanyika kila jumapili ya mwisho wa mwezi.

Wote Mnakaribishwa!

Wednesday, June 25, 2014

Mbunge Shukuru Kawambwa Yuko Canada - Hajafa! Ilikuwa Uzushi

 
Mb. Shukuru Kawambwa

Kutoka Facebook

TAARIFA TOKA BAGAMOYO
Ndg Watanzania,WanaBagamoyo na wapenda maendeleo, kwa niaba ya CCM-Bagamoyo na Ofisi ya Mbunge-Jimbo la Bagamoyo napenda kuleta kwenu Masikitiko yetu kwa niaba ya Chama na Familia ya Mheshimiwa Mbunge Shukuru Jumanne Kawambwa kutokana na Usumbufu ambao umesababishwa na habari zinazoenezwa Mitandaoni kwamba Mheshimiwa Kawambwa amekumbwa na Umauti akiwa njiani anaelekea Mwanza.

UKWELI
Mheshimiwa Shukuru Jumanne Kawambwa yupo Nchini Canada Akitimiza majukumu yake. Hivyo Watanzania na wana Bagamoyo mnaombwa radhi kwa usumbufu uliotokea na kwamba Mheshimiwa Mbunge yuko na Afya njema na utekelezaji wa Majukumu unaendelea kama kawaida.


Tuesday, August 06, 2013

Wednesday, July 17, 2013

Picha za Kijana wa KiChina Aliyeponyeshwa na Askofu Kakobe

Haya wadau, picha hizi hapa za kijana wa kijana aliyekuwa hawezi kutembea anatumia wheelchair,  aliyeponyeshwa na Askofu Kakobe mwezi uliyopita kwenye Mkutano Toronto, Canada.











Friday, June 28, 2013

Mama Aliyetembea Baada ya Miaka 18 Kwenye Wheelchair



Huyo Mama alikuwa kwenye wheelchair miaka 18. Utaona  anatembea na lazima atahitaa mazoezi zaidi ili aweze kutembea vizuri. Iliktokea kwenye Bishop Kakobe's Toronto Miracle Healing Crusade, Saturday 6/22/13/

Watu Wangapi Walihudhuria Mkutano wa Askofu Kakobe Toronto?

Naona kumekuwa na maswali mengi kuhusu watu wangapi walihudhuria Mkutano wa Askofu Kakobe mjini Toronto. Idadi ya kweli ni maelfu, lakini wengine eti kwa kutizama picha wananipinga wanasema mamia.  Kwanza, hamkumwepo, mimi nilikuwepo.

Ile Rexall Tennis Center ina chukua watu 10,000 (capacity). Ni kweli aikujaa.  Lakini kila siku watu 2,000-3,000 walihudhuria. Parking lot zilijaa, kulikuwa na polisi wa kuongoza trafiki.  Pia Paramedics (kuhudumia Wagonjwa walikuwepo wanne kila siku).  Picha nilipiga lakini hazikutoka vizuri za hao Paramedics. Pia sikuona mtu aliyeenda kupata huduma yao, walienda kwa kwa Askofu.

Wakati Askofu alivyoomba watu waende kumpokea Bwana Yesu ni mamia walioenda kwa vile wengine wengi walikuwa wamekwishampokea.

Watu walikuwa wanakaa sections fulani, ndo maan zingine zilikuwa tupu. Niliona watu wa kila rangi pale, na hata waislamu. Ile stadium ni kubwa. Labda mwaka wataijaza. Pia hakuna fujo iliyotokea pale. Mambo yalienda vizuri sana.

Roho ya Bwana Yesu ilikuwepo pale Rexall.  Amen.   Askofu aliwaombea wafanyakazi wa pale Rexall na mji wa Toronto kwa ujumla. 

Monday, January 07, 2013

Harry Fear Speaking Tour Schedule - Gaza's Ark

Reporting on Israeli aggression against Gaza - Speaking tour January 7-12, 2013


Greetings to all supporters of the Canadian Boat to Gaza for 2013, the year when we plan to sail Gaza's Ark to challenge the blockade from the inside out, with your support. To find out more about Gaza's Ark and how you can support our work, please see http://www.GazaArk.org

The Canadian Boat to Gaza is pleased to co-sponsor a Canadian tour this week by Harry Fear, an independent journalist, documentary maker and activist from the UK. Harry was witness to the Israeli aggression against the Palestinians of Gaza during Operation Pillar of Cloud in November 2012. Harry will be appearing in six Canadian venues in early January following a successful talking tour in Germany.

Website: http://www.harryfear.co.uk

YouTube: http://www.youtube.com/user/harryfear

Twitter: @harryfear

Harry's schedule this week in Ontario and Alberta is as follows (for more details check Facebook event page or http://www.gazaark.org/events):

Jan 7 Guelph, ON

7:00 - 9:00 PM

40 Baker Street

Co-host: OPIRG U of Guelph

Event page: http://on.fb.me/TIMRrF



Jan 8 Toronto, ON

2:00 - 5:00 PM

University of Toronto Mississauga

Co-hosts: SAIA U of T & UTM
TSJP UTSC
SJP Ryerson U
SAIA York U

Event page: http://on.fb.me/UkmuGP


Jan 9 Hamilton, ON

7:00 PM Talk

Co-host: SPHR McMaster U

Event page: http://on.fb.me/ZUkFZ0


Jan 10 London, ON

7:00 PM

Co-host: Western U SPHR


Jan 11 Windsor, ON

7:00 PM

Co-host: PSG U of Windsor

Event page: http://on.fb.me/ZVNm7U



Jan 12 Calgary, Alberta

Co-host: SPHR U of Calgary

Event page: http://on.fb.me/10QRBRz


For updates and more information, please see: http://www.harryfear.co.uk/blog/gaza-report/reporting-aggression-tour

Saturday, October 06, 2012

Sasa, Si Lazima Kumwambia Mpenzi Wako Una VVU huko Canada


Sasa huko Canada, si lazima mtu akuambie kuwa ana  VVU kama mnatumia kondomu. Lakini je, kama nyie ni wapenda ulimi, kunyonyana inakuaje? Ni vizuri kutokujua? Uamuzi huo unatokana na kesi ya Msudani mwenye VVU aliyetembea na wanawake 9 huko Canada bila kuwaambia kuwa anayo.  Bahati nzuri hakuna aliyeambukizwa.  Alitumia kondomu.

Kuna wenye VVU waliofungwa kwa shitaka la kutaka kuua kwa vile hawakuwaambia wapenzi wao ni wagonjwa.

**************************************************

 
TORONTO (AP) - The Supreme Court of Canada has ruled that people with low levels of HIV who use condoms during sex do not need to disclose their condition to sexual partners.

   In a 9-0 ruling Friday, the court said it was reflecting the medical advances in treating the virus that causes AIDS.

   The court first ruled on the issue in 1998, saying that people with HIV must inform their sex partners of their condition or face a charge of aggravated sexual assault. That carries a maximum life sentence.

   The Supreme Court ruled on two separate cases on the issue from Manitoba and Quebec.

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Saturday, December 10, 2011

Canada Yachachamaa! Waliopata Uraia Kwa Njia Zisizohalali Kukamatwa!

Canada, nchi ambayo inajulikana kwa urahisi wa kupata uraia, inasema kuwa inchunguza zaidi ya watu 7,000 waliopata uraia kwa njia zisizo halali! Kazi ipo!

********************************************************************
TORONTO (AP) - Canada's immigration minister says the country is carrying out the biggest citizenship-fraud crackdown in its history.

 Jason Kenney said Friday that the federal government is investigating 6,500 people from more than 100 countries for their allegedly fraudulent attempts to become Canadian citizens or maintain permanent resident status.

  Kenney says Canada is seeking to revoke citizenship from more than 2,100 people who cheated the system - a total that has climbed from 1,800 last July.

  The federal government is also monitoring 4,400 permanent residents believed to be involved in residence fraud in case they try to obtain citizenship.

Kenney says Canada has the highest rate of immigrants in the developed world who go on to become citizens.

Sunday, September 11, 2011

Rambirambi Kwa Waliopata Ajali ya Meli Zanzibar Kutoka Montreal- Canada

Ndugu zetu Watanzania,

Kwa niaba ya Watanzania na wananchi wote wa Afrika Mashariki waishio hapa Montreal- Canada, tumezipokea kwa majonzi na mshtuko mkubwa taarifa za ajali ya kuzama kwa meli ya MV Spicer jana usiku, tarehe 10/9/2011 iliyosabababisha vifo vingi vya Watanzania wenzetu kutoka Zanzibar.

Kwa niaba ya Uongozi wa Montreal Tanzanians Association (http://www.montrealtanzanians.com/), tunapenda kutoa salamu zetu za rambirambi kwa wananchi wote wa Zanzibar na Pemba na Tanzania kwa ujumla waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki zao wapendwa katika kindi hiki kigumu cha maombolezo.

Na pia tungependa kuwapa pole wote waliokoka kwenye ajali hiyo ya kusikitisha na tunawaombea kwa M/Mungu awapuguzie maumivu na awape nguvu na faraja.

Mwisho kabisa, Montreal Tanzania Association (MTA) ingependa kutoa shukrani na pongezi za dhati kwa wote walioshiriki katika harakati za kuokoa maisha ya wahanga wa ajali hii na pia katika shughuli za kuopoa maiti.

Tunamuomba Mwenyezimungu aziweke mahali pema peponi nafsi za wote waliopoteza maisha yao kwenye ajali hii. Ameen.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Afrika.

Uongozi,

http://www.montrealtanzanians.com/ (MTA)

Thursday, December 10, 2009

Mzungu Amtemea Mate Trafiki Dar!

Hapa Marekani zamani wakati ubaguzi ulikuwa waziwazi ilikuwa jambo la kawaida mzungu kumtemea mate mtu mweusi. Lakini jamani wazungu wanafanya hivyo Afrika, huko wanakuja kwetu kuishi kwa anasa ambazo hawawezi kupata kwao! Kwa kweli nimechukia kusikia habari hizi! na hebu wafanya DNA ya hiyo mate wampige persona non grata Tanzania!

**********************************************************************

kutoka ippmedia.com

Mzungu amtemea mate trafiki Dar
Na Moshi Lusonzo
10th December 2009


Mzungu mmoja ambaye anadaiwa kuwa ni mfanyakazi wa ofisi ya ubalozi wa Canada nchini hapa, anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumtemea mate askari wa usalama barabarani (Trafiki) aliyekuwa akiongoza magari, Jijini Dar es Salaam.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Ilala, Faustine Shilogile, amesema tukio hilo la aina yake lilitokea jana saa 8:15 mchana eneo la Ukonga Banana, barabara ya Nyerere Jijini.

Kamanda amemtaja mtuhumiwa huyo kuwa ni Gean Touchatte, 48, ambaye imeelezwa kuwa ni Katibu Mhitasi wa ubalozi huo.

Akisimulia tukio zima, Kamanda Shilogile amesema kabla ya tukio hilo, trafiki mwenye namba NCO E1653 Koplo Samson, alikuwa kazini akiongoza magari katika barabara ya Nyerere pale Ukonga Banana.

Akasema wakati huo mtuhumiwa huyo alipita akiendesha gari lenye namba za usajili T 17 DC 178 aina ya Toyota Land Cruiser, akitokea Ukonga kwenda Uwanja wa Ndege.

Kamanda Shilogile amefafanua kuwa mtuhumiwa huyo alipomkaribia trafiki, alipunguza mwendo, akashusha kioo cha gari, kisha akamtemea mate askari kabla ya kuongeza mwendo na kuondoka.

Kwa mujibu wa Kamanda Shigolile, trafiki alitoa taarifa za tukio hilo kwa wenzake kupitia `redio call’ za polisi, juhudi zilizosababisha gari hilo kufuatiliwa.

Amesema gari lilipofika maeneo ya Kamata, lilikamatwa na askari na kupelekwa Makao Makuu ya Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam.

Kamanda amesema wakati mtuhumiwa huyo akiendelea kuhojiwa kituoni hapo, alifika mwandishi wa habari wa TBC, Jerry Muro akiwa na nia ya kumhoji lakini naye inadaiwa aliishia kutemewa mate yaliyompata chini ya kidevu na kuenea upande wa mbele wa fulana aliyokuwa amevaa.

Amefafanua kuwa kutokana na kitendo hicho, mwandishi huyo alifungua jalada la mashtaka ya shambulio kituoni hapo na kufunguliwa jalada namba CD/102/4818/2009.

Kwa mujibu wa Kamanda Shilogile, mtuhumiwa huyo hakuwa tayari kutoa maelezo yoyote, kwa madai kuwa atafanya hivyo pindi akiwepo balozi wa nchi yake.

Aidha, akasema fulana ya mwandishi Jerry Muro iliyotemewa mate, imehifadhiwa katika Kituo cha Polisi Kati kwa ajili ya ushahidi na mtuhumiwa huyo anaendelea kushikiliwa na Polisi.

Monday, May 19, 2008

Mzungu achomwa kisu moyoni kwenye Mchezo wa Ngono!

Wazungu wamebuni michezo ya ajabu ya ngono. Wengine wanaenda kwa DOMINATRIX, kusudi watendewe.

Sasa kuna mchezo wa kuchukua kisu na kuitumia kuchora kwenye mwili wa mpenzi wako. Wakati huo mko kazini yaani 'juu/chini'!

Huko Ottawa, Canada kuna mzungu alimwomba mpenzi wake achore moyo kwenye kifua chake juu ya moyo wake. Sijui yule dada alikuwa amenogewa na utamu wa tendo mpaka kajisahau, kaishia kumtoboa kifua mpenzi wake na ilichoma moyo! Madaktari walidhani jamaa hatapona lakini ilikuwa si wakati wake na hajambo sasa.

Jamaa anasema bado anapenda mpenzi wake ingawa alimchoma kisu moyoni. Walikuwa mchezoni katika mapenzi! Pia walikuwa wamelewa!

Polisi walimfungulia mashitaka yule dada, na kapewa miaka mitatu 'Probation'Yaani hataenda jela kama hatatenda kosa lingine kwa miaka mitatu.

*****************************************************************************

Canadian pierces lover's heart in botched sex game

Fri May 16, 2008

OTTAWA (Reuters) - A Canadian man who asked his lover to carve a heart-shaped symbol on his chest during a rough sex game almost died when she accidentally pressed too hard and punctured his heart, a newspaper said on Thursday.

The Winnipeg Free Press said the 25-year-old woman had been sentenced to three years' probation after she pleaded guilty to assaulting the man in February 2007.

The 24-year-old man was initially given little chance of survival but made a full recovery and is backing the woman. Both had been drinking heavily and engaging in rough sex when he asked the woman to carve the symbol, the paper said.

Kwa habari zaidi soma:

http://thechronicleherald.ca/Canada/1055957.html